MTENDAJI MBELE YA MAKONDA SIJALIPWA MSHAHARA MIEZI MITANO "RAS HAMISHA HUYU HATUFAI ARUSHA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 33

  • @AminAbubakar-ye8vw
    @AminAbubakar-ye8vw Před 3 měsíci +7

    Mwamba miminakuerewa sana makonda mungu akulinde

  • @kessygilbert4565
    @kessygilbert4565 Před 3 měsíci +8

    Hiki ndio chuma kilichobaki tanzania piga kazi mkuu utalipwa huko juu mbinguni wala sio hapa dunianii

  • @SilvesterRichard-rk3by
    @SilvesterRichard-rk3by Před 3 měsíci +3

    Mh makonda nakuaahidi utakuwa waziri mkuu wa Tanzania naomba hii sms uitunze na siku moja ukumbuke kuwa kuna mtu alikutabiria ukuu kwenye mamlaka

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 3 měsíci +2

    Huu ni mtambo shikamoo mwl Nyerere ahadi Yako Iko sahihi kweli unatuombea Kwa Mungu

  • @samweli7985
    @samweli7985 Před 3 měsíci +3

    Huyu ndiyo kopi ya magu, wengine wote kimya

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 3 měsíci +2

    Kula bando langu tu jamaa hata siwazi 🤣🤣

  • @user-wq7zm9bo6l
    @user-wq7zm9bo6l Před 3 měsíci +1

    Dah hii nchi tuje tuwape tu watu wa kanda ya ziwa yaonekana wanauzalendo wa kweli na hii nchi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 3 měsíci +2

    WEWE KWANINI USIWE RAIS WA NCHI YA TANZANIA???🇹🇿 WATU KAMA SISI TUPO NJEE YA NCHI TOKA RAIS MWINYI TUNATAKA MAELEKEZO YA NCHI KAMA WEWE MAKUFULI JUNIOR 😂😂😂❤❤❤

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před 3 měsíci

    Makonda ni next level

  • @ChrisElectrical-ck4mc
    @ChrisElectrical-ck4mc Před 3 měsíci

    Salute kwako makonda

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 3 měsíci

    Afisa utumishi roho mbaya.. wapo wa aina yake,ni wengi..wanajionaga miungu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před 3 měsíci

    Makonda❤❤❤❤❤❤

  • @mangaikwelamatengo8556
    @mangaikwelamatengo8556 Před 3 měsíci +1

    Nyayo

  • @brysonmchau9384
    @brysonmchau9384 Před 3 měsíci

    Nakuelewa san mkuu, piga kazi usiku na mchana

  • @RobertGwelela-zq2fr
    @RobertGwelela-zq2fr Před 3 měsíci +1

    Mimi nachoshangaa kwanini wakuu wa Mikoa mingine wasiige kwa Makonda? Mbona Makonda ameiga kwa marehemu Magufuli,Lakini anapongezwa Makonda.Hata wao wakiiga watapongezwa wao kwa kazi nzuri sio Makonda.inamaana mikoa yao hamna wananchi wanaodhulumiwa kweli? inamaana mikoa yao haina madudu kweli? Hamna wanaoonewa? Nashindwa kabisa kuamini kama mikoa yao iko salama.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 měsíci

    Daah hi nchi bwana kuna watu wana onewa sana😢😢

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před 3 měsíci

    Huyu mwamba tumpe nchi 2030 Kuna mahali tutafika

  • @jacklineernest4627
    @jacklineernest4627 Před 3 měsíci

    Brother umekiwasha 🤣🤣 ukilipwa unitumie na mi dadaako

  • @eliudgathuthi8601
    @eliudgathuthi8601 Před 3 měsíci +1

    Hehehe one minute issue sorted

  • @AbdalahMsaga-wf6zl
    @AbdalahMsaga-wf6zl Před 3 měsíci

    Mwamba ameletwa namungu SEMA xaxa watampoteza kizur hakidumu

  • @user-ld4tj7ij6n
    @user-ld4tj7ij6n Před 3 měsíci

    Huyu mtu mungu amtunze jamn

  • @mathayokaimaima4578
    @mathayokaimaima4578 Před 3 měsíci

    Ametokea halimashauri ya wilaya ya mbonga- du

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z Před 3 měsíci

    Jembe uriobaki toka afe baba

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Před 3 měsíci

    Kweli mmepata chuma, mh. Makonda piga spina hao

  • @BestonMfikwa
    @BestonMfikwa Před 3 měsíci

    Vp khs mikoa mingine hali ipoje

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před 3 měsíci

    Huyu afsa utumishi atakuwa anaroho mbaya sna ndo alimzungusha yule mwalimu jaman c muwafukuze muweke wengine mbona wasomi ni wengi jaman

  • @OmaryChipeta-mh2wi
    @OmaryChipeta-mh2wi Před 3 měsíci

    hahaha makonda ww nyoko piga spana

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 3 měsíci

    Dah huyu ni chuma

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 3 měsíci

    Lakini hapa afisa utumishi hana kosa