GAUNI LA BIBI HARUSI LAWAKA MOTO UKUMBINI DAR, GARI LAO HUMMER LAGONGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Siku ya harusi kikawaida wengi wetu huwa ni siku ya furaha lakini inapotokea visa vyenye mshikemshike huwa inatibua kabisa furaha hiyo, AyoTV leo inakuletea hizi dakika 7 za simulizi ya harusi ambayo moto ulishika kwenye gauni la Bibi Harusi wakati wakiingia ukumbini ambapo pamoja na kwamba pia siku hiyo ilionekana kuwa na vimikosi baada ya gari la Maharusi hao kuligonga gari jingine kabla ya kuingia ukumbini, haikuwapunguzia Maharusi hao furaha yao kwa namna yoyote ile....

Komentáře • 430

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 Před 2 lety +89

    Unapo kua na shughuli muwe mnatoa sadaka. Sadaka inakinga shari nyingi zinazo tokea.

  • @evankya1955
    @evankya1955 Před 2 lety +24

    It's scary Ila GaraB speaks about it Kama Ni kitu kidogo kabisa; hii Ni attitude nzuri Sana ya ku-face changamoto yoyote in life.

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 Před 2 lety +38

    Mbwembwe hizi, mtaja ua watoto wa watu, hakuna cha shetani wala nini, hivo vimoto mloweka hapo cjui mnaviitaje alivipitia karibu vikanasa kwenye shela.

  • @alexlyamsema4984
    @alexlyamsema4984 Před 2 lety +11

    Pole sana Dada Mshukuru Mungu wenda furaha yako ingegeuka kuwa majonz makubwa,, Mungu mwemaaa

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph6673 Před 2 lety +18

    Du hongera sana dada kwa ndoa nzuri na pole kwa misukosuko

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 2 lety +6

    Kwa jinsi watz tulivyo teyari wamehusisha na imani za kishirikina.tuaitoke nje ya simulizi tuliyopewa na washiriki wa hiyo sherehe.

  • @gkely2618
    @gkely2618 Před 2 lety +2

    Banda la wakala linauzwa
    Ukubwa futi 5 kwa 6
    Nila chuma (hard metal)
    Limepigwa red oxide plus rangi
    Lipo daresalaam kigamboni
    Bei 600,000/=
    Maongezi yapo

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose2907 Před 2 lety +6

    wanatakiwa waombe sn hii ndoa

  • @clarajapheth8804
    @clarajapheth8804 Před 2 lety +22

    Ashukuriwe Mungu Kwa kuwaepusha na hayo mabaya yoye

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před 2 lety +1

    Ishar mbaya kabisaaa daaah pole Sana jaman hmmm

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 Před 2 lety +3

    huyo bi harusi mungu anampenda sana unapo muomba mungu akupe kitu fulani naye anakuja anakuonyesha upendo kuliko kile unamuitisha ahsante sana muumba wetu Amen🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @ammyt9952
    @ammyt9952 Před 2 lety

    Pitia nyimbo kali hapa Ammy t ft addah ni noma sana

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 2 lety +19

    Harusi za mbwembwe nyingi Nakujionesha kua Hela zipo Zina nuksi sana utakuta kakodi ilo gauni na Gari pia, Pole Yao wamejifunza kitu apo

    • @elviraramadhan3900
      @elviraramadhan3900 Před 2 lety +12

      Hizi ni Hila
      Hujazipata tuu hizo hela, Kwan ww ukiwa nazo huwezi Kodi gauni hela hiyo🤣
      Tz mna chuki za ajabu

    • @nasrahassanabioll6559
      @nasrahassanabioll6559 Před 2 lety +10

      @@elviraramadhan3900 Tulioolewa bila shughuli yoyote kimya kimya na bado tukapigwa majuju tukaugua nusu ya kufa chuki tu zinakuwaga kwann aolewe fulani!! huwa hawaionei wivu ile sherehe bali ni ile ndoa inayopitishwa ndiyo wanayoifanyia hila kibao binaadam ss wengine hatar sana

    • @elviraramadhan3900
      @elviraramadhan3900 Před 2 lety +5

      @@nasrahassanabioll6559 yaan sijui inakaaje hii kwa watanzania 🤣 mtu mwenyewe hamjui Ila Sasa chuki kama za mama wa kambo🙌

    • @fusotanzania8174
      @fusotanzania8174 Před 2 lety +4

      acha wivu wew

    • @shabanandrea9131
      @shabanandrea9131 Před 2 lety +3

      Roho mbaya tu ukizeeka nahisi utakuwa mchawi wewe ,

  • @frederickloongableu-goude

    Sio vizuri wakati wa sherehe ukubini bi arusi kuvaa shela au gahuni. Shela ni ya kanisani tu.

  • @joramkimario6174
    @joramkimario6174 Před 2 lety +8

    Halaf nilikodisha sasa. Na mwenyewe hataki lingine anataka lilelike

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 2 lety +4

    Mungu anakupenda dada shukuru sana Mungu,kwakukuepusha nahuo moto

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 2 lety +14

    Mhmmm ndiyo Tanzania bhana hatari saana

  • @neemadickson9526
    @neemadickson9526 Před 2 lety +8

    Nyieeeeeee 🙌😭uchawi huu khaaaa 🙏

    • @fettyabiola1389
      @fettyabiola1389 Před 2 lety +1

      Mmmmmmmm acha uswahili kitu kawaida unaona apo na macho yako, uchawi uwo kwio😁😁

    • @neemadickson9526
      @neemadickson9526 Před 2 lety +1

      @@fettyabiola1389 🙆🙆🙆🙆ndo nimeangalia mwanzo mwisho ushwahili gani sasa unasema

    • @fettyabiola1389
      @fettyabiola1389 Před 2 lety

      @@neemadickson9526 kwakuwa uyo mc kasema walipata ajali , we ajali ya uchawi unaujua, hashuo walizonazo kwenye gari umegonga tu gari la mtu , na uyo fire works ni fire kama jina lake moto unawaka na nguo tena shela neti na satin tupu ile unataka isiwake, kavaa mahmeli au nayo pia si mbele ya moto , firework za birth day cake humuunguza mtu sikwambii zile za sherehe, hakuna uchawi pale punguza imani izo

    • @neemadickson9526
      @neemadickson9526 Před 2 lety

      @@fettyabiola1389 sawa nilikuwa sijawatch vzr dear ndomaana ila nimeshaelewa🤝

    • @jacksonmathayo6510
      @jacksonmathayo6510 Před 2 lety

      @@neemadickson9526 😂

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo6126 Před 2 lety +1

    DUU HIYO NI NGUMU SANA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 Před 2 lety

    Duhhhh pole

  • @dorcasfaith5050
    @dorcasfaith5050 Před 2 lety +5

    Mungu akuinue sana mc nowachache sana wanaojua kuwa hizi ni hila za shetani

    • @NimuFx
      @NimuFx Před 2 lety

      MC Mtu wa Mungu sana. Abalikiwe sana. Shetani ni mjinga sana ujuwe

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 Před 2 lety +4

    X wa huyu bwana harusi anahusika wallah. Khaaaaaaaaa 🙌🙌🙌 yaan gari lipate ajali, mara gauni lishike Moto ukumbuni loh🙌 uchawi upo

  • @tramyspinkiebee3536
    @tramyspinkiebee3536 Před 2 lety +2

    Hizi decorations ziwe zinaangalia aina ya nguo anayovaa maharusi jaman.sa fire works zinawekwa karibu karibu wakat bi harusi kavaa gauni la cinderela??hapa hakuna cha uchawi ni kosa la event planner au mpambaji.Alitakiwa alipe fidia kwa hili

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 Před 2 lety +6

    Bibi harusi alipelekewa Moto 😂😂😂

  • @sithymohammed3191
    @sithymohammed3191 Před 2 lety +2

    Dalili za kiama hizo ajali za moto zimekuwa nyingi Sana huu mwaka Allah atujalie mwisho mwema inshaallah

  • @Dina-py8js
    @Dina-py8js Před 2 lety

    pole sana kwa maharusi

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Před 2 lety +10

    Mmeyataka wenyewe huo moto wanini humo ndani fundisho hata kwa wengine ila poleni

  • @hamadiselemani1110
    @hamadiselemani1110 Před 2 lety

    Mmh sio ishara nzuri hiyo,

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 2 lety +23

    Hizo ni dalili mbaya,Kuna wanadamu wabaya washafanya Mambo yao hapo

  • @robinahumphrey9725
    @robinahumphrey9725 Před 2 lety +16

    Tunamshukuru Mungu akuungua m2 na shetani alishindwa ila uchawi tuu

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 2 lety +2

    Poleni sana jamani

  • @druumarley2159
    @druumarley2159 Před 2 lety +1

    Dah! Hii ajar niliiona mbez beach ya chinii hummer nyeupe... Dah! Nowmaaa

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle3263 Před 2 lety +1

    Mmmh........yatakayo Jiri baada ya miaka miwl MTUJuze

  • @chapter2719
    @chapter2719 Před 2 lety +1

    Wabongo mnapenda harusi adi gauni linawaka moto

  • @nuratkalinga581
    @nuratkalinga581 Před 2 lety

    Haya ndoo umeazima sasa sijui inakuwaje.

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 Před 2 lety +11

    Maombi yanini wakati nyie mlijichanganya kwan hamjui maana ya fire works? Yan kila kitu shetan na uchaw africa amken achen fikra pitofu

  • @barakanyoka5482
    @barakanyoka5482 Před 2 lety

    C wanakulaga ela za wanaume alfu wanawaacha ingetakiwa alipuke kabs

  • @camillahamis1069
    @camillahamis1069 Před 2 lety

    Haibu Naona mm😀😀😀😀😀

  • @jacklineurassa6006
    @jacklineurassa6006 Před 2 lety

    Mungu bariki nakusimamia ndoa maana shetani yupo kazini

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Před 2 lety +1

    Hapo mwanamke alieahidiwa kuolewa kafanya yake baada ya kuona katoswa hataree sana

  • @tamimtours6934
    @tamimtours6934 Před 2 lety +29

    MAMOTO HAYO SASA YANINI KUMBINI!!!!!?? JIFUNZENI.

    • @jumamayunga5853
      @jumamayunga5853 Před 2 lety +2

      🤣🤣😂😂😂 cjui ya nn mi nawashangaa sana

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 2 lety

      Huyo mpambaj atakuwa na lake jambooooo asa moto og ukumbin wa nn angeungua je

    • @naimaofficial33
      @naimaofficial33 Před 2 lety

      Mashaalah

    • @tamimtours6934
      @tamimtours6934 Před 2 lety

      @@naimaofficial33 Naima Hujambo?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety

      Haswa hizo ni cheche ni hatari alafu wameweka karibu uku wanajua shela ni pana na refu wameyataka wenyewe

  • @rahmanassoro1759
    @rahmanassoro1759 Před 2 lety

    Na shera Kama imekodiwa mmmh italipwa,, polen

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 2 lety +1

    Makubwaaaa 🤔🤔🤔

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před 2 lety +16

    Kila siku nasema hii sio nzuri. Hata birthday za watoto mue makini. Mimi niko ulaya lakini vitu kama hivi wanaangalia safety kwanza ila kwetu wanaiga tuu hawafikiri

  • @joanngatulile4687
    @joanngatulile4687 Před 2 lety +2

    This is very dangerous uwii fireworks🙆‍♀️🙆‍♀️Ningeliaaaaa

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před 2 lety +4

    Hizo ni ishara mbaya wasali sana

  • @vivianvivian8585
    @vivianvivian8585 Před 2 lety +2

    Jaman

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 Před 2 lety +1

    Eh mshakuwa mastar

  • @siasteven135
    @siasteven135 Před 2 lety +1

    Dah asee 😪

  • @elinahjoseph3085
    @elinahjoseph3085 Před 2 lety

    Imeisha iyoooo na ndo isha fungu na shereee kimenukiswa x pole hahahahhahahaa

  • @hilalikiba2214
    @hilalikiba2214 Před 2 lety +1

    Nice

  • @rebeccajeremiah4883
    @rebeccajeremiah4883 Před 2 lety +1

    Hujatoa wee bhnaaa mbona tunamuona mshikaji mwingine

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa5459 Před 2 lety +4

    Matukio kama haya yananogesha shughuli na ukumbusho pia kujulikana wapi habari zingeandikwa kama sio moto,kuna aliempiga Rais kiatu ila hadi leo anakumbukwa na ana jina watu wana mbinu huenda tukio lilipangwa ili habar itrend

  • @mariachuri7123
    @mariachuri7123 Před 2 lety

    Mmmh! Jamani...pole bi harusi

  • @fatmafarijala1498
    @fatmafarijala1498 Před 2 lety

    Mmh kunguni weusi yani maombi mnakumbuka mkiwa na matatizo

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 2 lety +1

    Tatizo mbwembwe nyingi punguzeni ria mungu hapendi

  • @barakatrassi3903
    @barakatrassi3903 Před 2 lety

    Hatariiii sanaaaa

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 2 lety +1

    Magaidi

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 2 lety +5

    Duh!!:Anasa vs Husda

  • @polytarimo324
    @polytarimo324 Před 2 lety

    Gara B wewe ni nomaaa

  • @sumamwaipopo8598
    @sumamwaipopo8598 Před 2 lety

    Pole jamani daaah

  • @vampire9464
    @vampire9464 Před 2 lety

    Wabongo washamba sana hivo vimoto vya party mnaweka kwenye harusi daaahhh mbwembwee vimezidi matokeo ndio hayo

  • @ruthwatson3057
    @ruthwatson3057 Před 2 lety +1

    Anachomeka na bado anapiga disco tu? Ni ulevi au nini???

  • @beancamsuya1493
    @beancamsuya1493 Před 2 lety

    Daah polee ilaa mungu yupoo na wew

  • @peninakilanga4349
    @peninakilanga4349 Před 2 lety

    Dah!

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 Před 2 lety

    Polen sana

  • @hadijaabdrahamani5089
    @hadijaabdrahamani5089 Před 2 lety

    Mm naomb kuuliza hiv huyu gara B analipwa bei gani jamani maana nampenda anajua kunogesha

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 2 lety

    Yamungu mengi

  • @annkim2690
    @annkim2690 Před 2 lety

    Watanzania mmezidi jamani

  • @ephraziachristopher1271
    @ephraziachristopher1271 Před 2 lety +1

    Hao inabid wasali sana kama mwanzo tu accident kabla ya haruc mmh

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 2 lety +7

    Kuna rafiki yangu mmoja siku ya harusi yake alikunywa mzinga mmoja wa whisky lakini yeye ni mlevi toka zamani

    • @selinamwikali4181
      @selinamwikali4181 Před 2 lety

      Hahaha 😂😀

    • @عامرالشيباني-ح3ظ
      @عامرالشيباني-ح3ظ Před 2 lety

      😂😂😂😂😂

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před 2 lety

      @@عامرالشيباني-ح3ظ na mimi nakunywa pombe lakini ni bia tu tena hapa kwetu weekend ndiyo inaanza leo nimekunywa bia kazaa naogopa kunywa bia nyingi sababu huwa nikinywa sana nawapigia simu polisi nawaambia kuna mtu anagonga mlangoni na polisi wamekuja nyumbani mara nyingi hawajaona mtu hapa naishi Ulaya

    • @bahatiagape7121
      @bahatiagape7121 Před 2 lety

      Sasa unatakaje km alikunywa?yy ni mlev wa pombe.wewe je ni mlevi wa nini??

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před 2 lety

      @@bahatiagape7121 mimi ni mnywaji wa pombe lakini sio mlevi na nakunywa bia tu sigusi pombe kali pia nakunywa nyumbani tu sio kwenye baa wala sehemu yenye watu wengi na sijawahi kupata ajali yeyote nikiwa nimekunywa bia na bia inanifanya niwe na hamu ya kula vyakula vitamu

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před 2 lety

    Mmmh au kuna dem alihaidiwa sasa alipoona kazinguliwa nae akawazingua

  • @diamondplatnumz1377
    @diamondplatnumz1377 Před 2 lety

    Full video ya gauni la Bibi harisi likiungua
    czcams.com/video/xO3S7fB8Hak/video.html

  • @abdallahamir9234
    @abdallahamir9234 Před 2 lety +2

    Kwahiyo na hiyo habari?

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 2 lety +19

    wacheni jealous kwani kuonavmwenzenu kaolewa dio nyinyi munabebwa tu . hapo akipata mume ndio pakusherehekea hasa wengi wanaitafuta chance km hiyo hawakujaaliwa wanaishiwa kufugwa . km ni moto kuweko ukumbini ni jumla ya mapambo na hawakuanza wao hiyo ni ajali km nyengine . kuna maharusi wanaanguka nakufa juu ya mastage mutasema wameyataka ? kwa vile kashapata mume angekaa kwake ? wacha wafurahiye siku yao na km nguo kuungua ni binaadamu wenye hasada km humu wamo wenye choyo na vijicho , wacheni hayo km nyinyi mumeshindwa kuyafanya uwezo haupo yeye anayamudu

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 Před 2 lety

      Shida sio uwezo na wewe kuwa mwelewa kwani wangapi wenye uwezo na kila siku wanafunga ndoa ukumbini bila kuweka atli kama hiz,

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 2 lety

      @@wamoroboy8963 hawana uwezo hao wenye uwezo wanaonekana . hakuna mwenye uwezo akafanya arusi asisherehekee. arusi ni jambo pekee .

  • @marytemba883
    @marytemba883 Před 2 lety +1

    Nimecheka huyo aliyelewa kabla ya sendoff 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 Před 2 lety

    Jamani mtoto wawatu ange ungua bule

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před 9 měsíci

    😢

  • @evancetilya5140
    @evancetilya5140 Před 2 lety

    Da

  • @kwampalangetv5511
    @kwampalangetv5511 Před 2 lety

    Mhhh dalili mbaya Sana hiyo wanatakiwa waombe Sana Sana . inaonesha ndoa yao mhhhhhhhh

  • @makitandungu2604
    @makitandungu2604 Před 2 lety +1

    Wahenga hawakukosea waliposema kuchamba kwingi lazima uondoke na kipande cha nnya!!!

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 Před 2 lety +3

    Hahahahaaha hao waliolewa ndo wamenichekeshaaa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +12

    Subhannallah, mtihani kwakweli very bad 😢😏

    • @mariahyera3737
      @mariahyera3737 Před 2 lety

      Shetani alijiinua alitaka kufanya uharibifu. Tunamshukuru sana Mungu kwa uweza wake.

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 Před 2 lety +4

    Hiyo ndoa ama ndoano, kudumu ni vigumu maana shetani yupo Kati yao

  • @fredricksamson8095
    @fredricksamson8095 Před 2 lety

    Duuuh hiyo kali.

  • @shebbynzengula6993
    @shebbynzengula6993 Před 2 lety +1

    Huyo bibi harusi kuna kitu alifanya 😂😂😂😂 🏃‍♂️

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety

    Duuuh pole yk

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 2 lety +2

    Aya ni majanga jamani

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 Před 2 lety

    Pole Sana kwa misuko suko na umuombe Sana Mungu

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 Před 2 lety +8

    Tunako elekea tutaungana tu ktk ndoa zetu za MKEKA🤣 We unadhani ndoa yako itaizidi ile ya MBILIABERI aliyo fungia angani!? Na je? Ilidumu !!? Acheni ulimbukeni ktk ndoa,,,safari ni ndefu ! Bado hujaamka usiku saa 7 ukakuta MTOTO kachemka MWILI na unatakiwa uamke umpeleke hospitali !!!!(Acheni tamthilia )

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Před 2 lety +2

    Hahaha aiseee yaduniani ahera hayapo

  • @giftmlange3327
    @giftmlange3327 Před 2 lety

    Maskini mpaka nimeona huruma

  • @HairatyAliy
    @HairatyAliy Před 3 měsíci

    Mmm kivumbii

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před 2 lety

    Dah

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před 2 lety +6

    Shetani mnamsingizia bwana; Uzembe wa hali ya juu...Ebu Watanzania tuwe responsible na na makosa yetu! The planning was horrible 😕

    • @childrengospelmissiontanza1474
      @childrengospelmissiontanza1474 Před 2 lety +1

      Kwa kweli yaan huyu Shetani nae anatushangaa sana

    • @GloriousRestorationTV
      @GloriousRestorationTV Před 2 lety +2

      Nyie hamwelewi, hakuna ubaya usiotoka kwa ibilisi, na everything is planned in the Spiritual realm.....no coincidence

    • @glorytoGod639
      @glorytoGod639 Před 2 lety +1

      Ni uzembe tu ulifanyika ile moto ulikuwa njiani sana

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 2 lety

      @@GloriousRestorationTV Let me save my breath....it will be a wastage of my time and intelligence to dispute your statement. Sad 😔

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 Před 2 lety +15

    Umeshapata mume Sasa mimoto yanini ktk migauni,mngeungua ndo mngepunguza hizo ngenge,tuko tuna omba waume nyie mnaangaika na mimoto.

    • @credo7837
      @credo7837 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣

    • @magrethpoulpoul8585
      @magrethpoulpoul8585 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🙌

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 Před 2 lety +1

      Eeh we nae kwan bi harusi kakosea nn apo

    • @farajakigura8720
      @farajakigura8720 Před 2 lety +3

      Rose Tembe Hapo shida Sio Bibi halusi Ila mwanaume unaweza kukuta mwanamke mwingine hakupenda haolewe huyoooo dada alitakaka aolewe yeye sasa meza kuu ikashindikana Au mwanamke kuna Mtu alishakuwa nae kwenye mahusiano wakaachana akasema tutaona Kama ataolewa ndo akatuma Moto akasahau kuwa yupo Mungu msemaji wa mwisho ambae Ni Yesu kristo alie hai ambae huwa hashindwi na chochote kumbuka shetani aliazia kwenye ajali lakini bado Mungu wa mbinguni alisimama nao aliaza kuhaibika zamani hata sasa shetani kahaibika na ataendelea kuhaibika Na Mungu awe upande wenu lolote watakalolifanya juu yenu likawadie wenyewe kwa jina la Yesu Alie hai kila pando asilolipanda Baba wa mbinguni kwenye maisha yenu likang'olewe kwa jina la Yesu

    • @mariamhavile8849
      @mariamhavile8849 Před 2 lety

      Kwani bibi harusi anakosa gani na wewe

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 2 lety

    Hahaaaha X ashiñdwe Kwa jina la Yesu

  • @glorywiliam1172
    @glorywiliam1172 Před 2 lety

    Bwana harusi hana time mbon

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 2 lety +4

    Sasa bibi harusi unalewa ukumbini jamani 🤣🤣

  • @reubenkissinga5802
    @reubenkissinga5802 Před 2 lety +2

    Ndoa yao sasa itang'aa kama Dhahabu kwa maana wamekwishapita kwenye Moto tayari,,,hakuna tabu tena kwenye ndoa yao ni furaha milele na milele😅😅😅

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 Před 2 lety

      😂

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 Před 2 lety

      @@africanproudly4004 😁😁😁💞💞💞Nakupenda Moni Dedu Wangu naomba nasi tufunge Ndoa na ipitie kwenye moto pia ili hapo baadae tun'gae kama dhahabu,,,Kama hutojali lakini Binti Moni!!!

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 Před 2 lety

      @@africanproudly4004 😁😁😁💞💞💞Nakupenda Moni Dedu Wangu naomba nasi tufunge Ndoa na ipitie kwenye moto pia ili hapo baadae tun'gae kama dhahabu,,,Kama hutojali lakini Binti Moni!!!

    • @mylessmswelo7497
      @mylessmswelo7497 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 Před 2 lety

      @@reubenkissinga5802 🙄🙄🙄🙄