Haya ndio aliyoyasema SHEKH MOHAMMAD IS'HAAQ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 54

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Před 8 měsíci +3

    Huyu shkh alipokuwa khirafi wakimsifu sanaaa kuwa ana ilimu sanaaa... alipowacha uzushi matusi waliompa ajabu!!! Yani kama mayahudi walivyokuwa na swahaba Abdallah bin Salaam!!! Subhanallah wamejifananisha na tabia za mayahudi kabisaa...
    Allah akupe thabaat shkh, na makhurafi mpate funzo mrudi katika sunna za mtume swalla llahu aleihi wasallam.

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 Před 3 měsíci

    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM

  • @AbuuImraan-alghafr-azinjibar

    Allah akubariki kwakuacha bidaa akuthibitishe katika hakk

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před 8 měsíci +3

    Shekh alhamdlillah mshukuru Allah amekutoa kwenye ujinga

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 Před 8 měsíci +3

    MSHUKURU ALLAH AMEKUTOA KWENYE UJINGA NA KUKUEKA KWENYE SUNNA, IN SHA ALLAH TUKO PAMOJA

  • @OmaryBakariOmary-ts3mf
    @OmaryBakariOmary-ts3mf Před 8 měsíci +2

    Allah akuhifadh

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 4 měsíci

    ,subhallah umeenda kwenye dhulma ya Kula Mali za mayatima na kumshtaki mama yao mjane kuwa kavamia nakiongozi wenu akashika msahafu kuapa mwezi WA ramadhanm

  • @abdulalarakya3139
    @abdulalarakya3139 Před 5 měsíci +2

    Cwezi kukushangaa,sh wangu aliisha maliza kujibu,usipolijua unalotaka kufanya kunahatari--------------

  • @hamishasan7737
    @hamishasan7737 Před 6 měsíci +4

    Nilipoteza muda mwingi was kusoma kwa ajili ya maulidi nikipoteza muda kuijua qurani na Hadith kwa kua busy na kutunga miziki na kaswida Allah anisamehe maana nilikua mjinga Sana

  • @abuumaryam185
    @abuumaryam185 Před 5 měsíci +1

    Allah anamuongoza amtakae hakika Allah amekuongoza shekh maana co rahisi kuacha bidaa maana wanaofanya wanajua wanafanya dini

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 4 měsíci

    Kwenye Uwahabi Kuna pesa nzuri

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 10 dny

    ,unashirikiana watu dhulma said janjira umesahau ukipanda ngazi na kushuka wala hukuona tabu kumwambia haja zako akakutimizi leo umemsahau allah shahid

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 Před 7 měsíci +1

    Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
    Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
    Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
      Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
      Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅

  • @user-no7sl7ve5f
    @user-no7sl7ve5f Před 6 měsíci +1

    Kaa na ujinga wako hukohuko hakuna anekutaka

  • @Kitambimsalanda
    @Kitambimsalanda Před 8 měsíci +1

    Astaghfirullah

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 4 měsíci

    ,Ansar rudisheni haki marhum nyingi si watu suna ila nieatu kudhulu yatima wajane na wewe alikuwa mfadhili wako mkubwa ilikuwa ukipanda ngazi kama mchezo lakini Hakim wakhaki NI allah

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 8 měsíci +2

    Hakuna shaka
    Maulidi haramu
    Na atakae fanya lazima aende motoni
    Kwa sababu katenda dini
    Na kamkosoa mungu kwenye sheria yake

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 Před 7 měsíci

      Ndugu yangu maulidi ni Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume sio uzushi Wala bidaa Wala haramu lakini inshallah tutafika tu mbele ya alla

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Před 7 měsíci +1

    Na sisi hatuwataki

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 5 měsíci

    Watu wa bidaa za maulidi wakasirika na kutetea uzushi wao hawana dalil yeyote,hutapatapa tu ka mtu anaekufa katika kifo cha kwenye maji hujaribu kujishika kila sehemu lakin bado uangamia

  • @mr.macintosh5687
    @mr.macintosh5687 Před 8 měsíci +1

    Tena umechelewa tokaaaaa kwani ww nani mpk wakushawish mijitu mijinga sanaaa kwan ukiwepo au kutokuwepo inapunguza nn acha kiki we mzee mtu mzima ovyooo

    • @awatifomar5185
      @awatifomar5185 Před 8 měsíci

      Sio kiki ameijua hakki na ameifuata

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 Před 7 měsíci

      Kuipinga Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume ndio kuijua haki maulidi ni Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume na Hadith kama hizi ni nyingi huyo paukwa pakawa atatauka maneno tu Hana lolote isipokua kumpinga mtume

  • @user-gi7uf8jl7i
    @user-gi7uf8jl7i Před 5 měsíci

    Wee ni mpuuz mawaiza gan sasa hayo Kwan lazima hunaakil

  • @shilingi-Ahmadi
    @shilingi-Ahmadi Před 5 měsíci

    Sisi watu wa maulidi pia hatukutaki 😂😂😂😂😂😂😂

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před 8 měsíci

    Mze umaarufu hauji hivo yani unaporoja tu

  • @KaitaKatema
    @KaitaKatema Před 8 měsíci

    Kwani iliuonekane sheikh hakuna mada nyingine yakuongea ispokuwa Maulidi?

    • @KaitaKatema
      @KaitaKatema Před 8 měsíci

      Kila mtu Malidi Maulidi mnatumia nguvu nyingi kuyasema Maulidi hivi shida ya waislam ni Maulidi kweli leo mashekh wampoteza mwelekeo leo kuna riba hakuna sheikh anaelaani leo ktk nyumba tatu za waislam mbili kuna mtoto wainje ya ndoa hakuna sheikh anaekemea liwatwi hiyo imeenea ktk jamii zetu hakuna sheikh anaekemea Misikiti yetu waumini wamekimbia hakuna sheikh anaekemea wao ni Maulidi tu hiv mnanini nyie

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 Před 8 měsíci +1

    Kwani wewe ninani?? urudi usirudi hupunguzi kitu nawala huongezi kitu.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂 Amekuudhi kuijua haki sio??? 😅😅😅😅😅😅 akirudi mtafurahi lakini au sio???

  • @MaulidiPossi
    @MaulidiPossi Před 8 měsíci

    Huna radhi ya shekh wako pole sana

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 8 měsíci +1

    Sisi wenyewe watu wa maulidi tumejitosha hatuhitaji mtu jahili kama wewe

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před 8 měsíci

      Juha ni makhurafii

    • @mudybeka6698
      @mudybeka6698 Před 8 měsíci +1

      Jahili niwewe unaemkosea adabu mtume nakurukaruka barabaran watu wamaulidi mmejaa upuuzi mtupu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 8 měsíci

      @@mudybeka6698 sasa kurukaruka barabarani na nyinyi majahili mnaoabudu mungu mwenye mwili nani jahili zaidi. Yani mawahabi walivyo na ufinyu wa elimu wanadai mungu nikijana barobaro ,akibebwa na malaika anauzito,Nendeni na ushenzi na ukafiri wenu wskiyahudi.alafu eti mnajidai mna elimu ya kukataza maulidi.majahili nyinyi mumfundishe nani

    • @mudybeka6698
      @mudybeka6698 Před 8 měsíci

      @@abiabi9353 kwamfano ukiambiwa Mungu ana mwili ww unajua upoje huo mwili wake ...hali yakua yeye hafanani na chochote...au kwamfano mkono mwili wako ww upo sawa na mwili wachura au mkono wako upo sawa na mkono wa birika ...nenda ukasome acha ujinga

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 Před 8 měsíci

      ​@@abiabi9353ndugu yangu unachupa mipaka nikosa kubwa kumuita muislamu mwenzako kafiri ambae ametamka لاإله إلا الله محمد رسول الله

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 Před 7 měsíci

    Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
    Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
    Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
      Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
      Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 Před 7 měsíci

    Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
    Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
    Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
      Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
      Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 Před 7 měsíci

    Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
    Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
    Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
      Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
      Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
      Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
      Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅