Huyu shkh alipokuwa khirafi wakimsifu sanaaa kuwa ana ilimu sanaaa... alipowacha uzushi matusi waliompa ajabu!!! Yani kama mayahudi walivyokuwa na swahaba Abdallah bin Salaam!!! Subhanallah wamejifananisha na tabia za mayahudi kabisaa... Allah akupe thabaat shkh, na makhurafi mpate funzo mrudi katika sunna za mtume swalla llahu aleihi wasallam.
,subhallah umeenda kwenye dhulma ya Kula Mali za mayatima na kumshtaki mama yao mjane kuwa kavamia nakiongozi wenu akashika msahafu kuapa mwezi WA ramadhanm
Nilipoteza muda mwingi was kusoma kwa ajili ya maulidi nikipoteza muda kuijua qurani na Hadith kwa kua busy na kutunga miziki na kaswida Allah anisamehe maana nilikua mjinga Sana
,unashirikiana watu dhulma said janjira umesahau ukipanda ngazi na kushuka wala hukuona tabu kumwambia haja zako akakutimizi leo umemsahau allah shahid
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi???? Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!! Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
,Ansar rudisheni haki marhum nyingi si watu suna ila nieatu kudhulu yatima wajane na wewe alikuwa mfadhili wako mkubwa ilikuwa ukipanda ngazi kama mchezo lakini Hakim wakhaki NI allah
Ndugu yangu maulidi ni Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume sio uzushi Wala bidaa Wala haramu lakini inshallah tutafika tu mbele ya alla
Watu wa bidaa za maulidi wakasirika na kutetea uzushi wao hawana dalil yeyote,hutapatapa tu ka mtu anaekufa katika kifo cha kwenye maji hujaribu kujishika kila sehemu lakin bado uangamia
Tena umechelewa tokaaaaa kwani ww nani mpk wakushawish mijitu mijinga sanaaa kwan ukiwepo au kutokuwepo inapunguza nn acha kiki we mzee mtu mzima ovyooo
Kuipinga Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume ndio kuijua haki maulidi ni Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume na Hadith kama hizi ni nyingi huyo paukwa pakawa atatauka maneno tu Hana lolote isipokua kumpinga mtume
Kila mtu Malidi Maulidi mnatumia nguvu nyingi kuyasema Maulidi hivi shida ya waislam ni Maulidi kweli leo mashekh wampoteza mwelekeo leo kuna riba hakuna sheikh anaelaani leo ktk nyumba tatu za waislam mbili kuna mtoto wainje ya ndoa hakuna sheikh anaekemea liwatwi hiyo imeenea ktk jamii zetu hakuna sheikh anaekemea Misikiti yetu waumini wamekimbia hakuna sheikh anaekemea wao ni Maulidi tu hiv mnanini nyie
@@mudybeka6698 sasa kurukaruka barabarani na nyinyi majahili mnaoabudu mungu mwenye mwili nani jahili zaidi. Yani mawahabi walivyo na ufinyu wa elimu wanadai mungu nikijana barobaro ,akibebwa na malaika anauzito,Nendeni na ushenzi na ukafiri wenu wskiyahudi.alafu eti mnajidai mna elimu ya kukataza maulidi.majahili nyinyi mumfundishe nani
@@abiabi9353 kwamfano ukiambiwa Mungu ana mwili ww unajua upoje huo mwili wake ...hali yakua yeye hafanani na chochote...au kwamfano mkono mwili wako ww upo sawa na mwili wachura au mkono wako upo sawa na mkono wa birika ...nenda ukasome acha ujinga
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi???? Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!! Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi???? Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!! Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi???? Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!! Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi???? Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!! Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
Huyu shkh alipokuwa khirafi wakimsifu sanaaa kuwa ana ilimu sanaaa... alipowacha uzushi matusi waliompa ajabu!!! Yani kama mayahudi walivyokuwa na swahaba Abdallah bin Salaam!!! Subhanallah wamejifananisha na tabia za mayahudi kabisaa...
Allah akupe thabaat shkh, na makhurafi mpate funzo mrudi katika sunna za mtume swalla llahu aleihi wasallam.
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
Allah akubariki kwakuacha bidaa akuthibitishe katika hakk
Shekh alhamdlillah mshukuru Allah amekutoa kwenye ujinga
MSHUKURU ALLAH AMEKUTOA KWENYE UJINGA NA KUKUEKA KWENYE SUNNA, IN SHA ALLAH TUKO PAMOJA
Allah akuhifadh
,subhallah umeenda kwenye dhulma ya Kula Mali za mayatima na kumshtaki mama yao mjane kuwa kavamia nakiongozi wenu akashika msahafu kuapa mwezi WA ramadhanm
Cwezi kukushangaa,sh wangu aliisha maliza kujibu,usipolijua unalotaka kufanya kunahatari--------------
Nilipoteza muda mwingi was kusoma kwa ajili ya maulidi nikipoteza muda kuijua qurani na Hadith kwa kua busy na kutunga miziki na kaswida Allah anisamehe maana nilikua mjinga Sana
Allah atuhifadh amiin
Aamiyn
Allah anamuongoza amtakae hakika Allah amekuongoza shekh maana co rahisi kuacha bidaa maana wanaofanya wanajua wanafanya dini
Kwenye Uwahabi Kuna pesa nzuri
,unashirikiana watu dhulma said janjira umesahau ukipanda ngazi na kushuka wala hukuona tabu kumwambia haja zako akakutimizi leo umemsahau allah shahid
Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
Kaa na ujinga wako hukohuko hakuna anekutaka
Astaghfirullah
,Ansar rudisheni haki marhum nyingi si watu suna ila nieatu kudhulu yatima wajane na wewe alikuwa mfadhili wako mkubwa ilikuwa ukipanda ngazi kama mchezo lakini Hakim wakhaki NI allah
Hakuna shaka
Maulidi haramu
Na atakae fanya lazima aende motoni
Kwa sababu katenda dini
Na kamkosoa mungu kwenye sheria yake
Ndugu yangu maulidi ni Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume sio uzushi Wala bidaa Wala haramu lakini inshallah tutafika tu mbele ya alla
Na sisi hatuwataki
Watu wa bidaa za maulidi wakasirika na kutetea uzushi wao hawana dalil yeyote,hutapatapa tu ka mtu anaekufa katika kifo cha kwenye maji hujaribu kujishika kila sehemu lakin bado uangamia
Tena umechelewa tokaaaaa kwani ww nani mpk wakushawish mijitu mijinga sanaaa kwan ukiwepo au kutokuwepo inapunguza nn acha kiki we mzee mtu mzima ovyooo
Sio kiki ameijua hakki na ameifuata
Kuipinga Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume ndio kuijua haki maulidi ni Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume na Hadith kama hizi ni nyingi huyo paukwa pakawa atatauka maneno tu Hana lolote isipokua kumpinga mtume
Wee ni mpuuz mawaiza gan sasa hayo Kwan lazima hunaakil
Sisi watu wa maulidi pia hatukutaki 😂😂😂😂😂😂😂
Mze umaarufu hauji hivo yani unaporoja tu
Kwani iliuonekane sheikh hakuna mada nyingine yakuongea ispokuwa Maulidi?
Kila mtu Malidi Maulidi mnatumia nguvu nyingi kuyasema Maulidi hivi shida ya waislam ni Maulidi kweli leo mashekh wampoteza mwelekeo leo kuna riba hakuna sheikh anaelaani leo ktk nyumba tatu za waislam mbili kuna mtoto wainje ya ndoa hakuna sheikh anaekemea liwatwi hiyo imeenea ktk jamii zetu hakuna sheikh anaekemea Misikiti yetu waumini wamekimbia hakuna sheikh anaekemea wao ni Maulidi tu hiv mnanini nyie
Kwani wewe ninani?? urudi usirudi hupunguzi kitu nawala huongezi kitu.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Amekuudhi kuijua haki sio??? 😅😅😅😅😅😅 akirudi mtafurahi lakini au sio???
Huna radhi ya shekh wako pole sana
Soma dini
Sisi wenyewe watu wa maulidi tumejitosha hatuhitaji mtu jahili kama wewe
Juha ni makhurafii
Jahili niwewe unaemkosea adabu mtume nakurukaruka barabaran watu wamaulidi mmejaa upuuzi mtupu
@@mudybeka6698 sasa kurukaruka barabarani na nyinyi majahili mnaoabudu mungu mwenye mwili nani jahili zaidi. Yani mawahabi walivyo na ufinyu wa elimu wanadai mungu nikijana barobaro ,akibebwa na malaika anauzito,Nendeni na ushenzi na ukafiri wenu wskiyahudi.alafu eti mnajidai mna elimu ya kukataza maulidi.majahili nyinyi mumfundishe nani
@@abiabi9353 kwamfano ukiambiwa Mungu ana mwili ww unajua upoje huo mwili wake ...hali yakua yeye hafanani na chochote...au kwamfano mkono mwili wako ww upo sawa na mwili wachura au mkono wako upo sawa na mkono wa birika ...nenda ukasome acha ujinga
@@abiabi9353ndugu yangu unachupa mipaka nikosa kubwa kumuita muislamu mwenzako kafiri ambae ametamka لاإله إلا الله محمد رسول الله
Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
Nakuita sheikh Kwa umr wako tu
Lkn sheikh Kwa ilmu bado sana
Na Kwa hakika huna radhi ya ilmu ya sheikh Mohammed Ayyoob
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 kwani huyo ayub ndio nani hata atoe radhi????
Wewe akili zako timamu??? Umtoe mtu sokoni ndio agawa radhi na kuzizuia??? Hebu kasome uislamu wako tena usiwe mjinga!!! Mnadanganyana makhurafi mashekhe wenu wa batwil ndio wanaomiliki radhi za Allah!!!!
Wee vipi wewe??!!! 😅😅😅😅