Hujui kusoma hujui kuandika af mwlim mkuu mamako ngoma nagwa bendela chuma mlingoti chuma dingili twii mshamba weee oya weee gonga like kama wa kkubali ngoma nagwa sheria
Majina ya cathe ni vivuruge sana kW kuchukua waume Wa mashoga zao...nimejionea kwangu nilikuwa na shoga cathe amenichukulia mtu...nami nikawaacha tu waendlee nimepata ndoa kwa mwanaume mwngne nimetulia,, na wale walonisaliti nao wameachana kwel malipo duniani,,, sasa kuona hii part hapa nimekumbuka
@@tmtzvisuals642 hapo mzee hakuna cha msingi ulichoongea hata script ikakutaka wewe ukae kimya unaskiliza tu ule ukaaji wako hadhira tunajudge kwamba jamaa anajua kukaa kama anasikiliza pumbavvv
Hujui kusoma hujui kuandika af mwlim mkuu mamako ngoma nagwa bendela chuma mlingoti chuma dingili twii mshamba weee oya weee gonga like kama wa kkubali ngoma nagwa sheria
Hahaahah eti hujui kusoma hujui kuandika alafu mwalimu mkuu ni mama ako😂😂😂
Shid😁😁😁
Hii nyimbo anayoimba baruti inaitwaje
Nakukubali sana ngoma nagwa kutoka congo DRC
🤣🤣🤣🤣🤣mandondo chizi kweli anavorukaruka mpaka anasahau mlango ulipo
Ngoma nagwa mringoti chuma 💪💪💪💪💪
Mi mwnyw ningemchagulia nagwa
🤣🤣😂😂Kuwa na bwana km ngoma nangwa😂😂😂🙌ni shida sana
kwenye maisha ya kawaida uyoo yuko simple tuu
MKOJAAANI hahahahahahahhhhhhhh!!! Asee bhana ee
*Ila ukweli usemwe tu huyu mtoto JOJO ni Kipengele* 👉💞👉💟
Mtoto mdhuri mpaka mdhuri tena 😂😂😂😂😂😂😋😋😋☺☺😋😋😋😋😋😋😋
Aiseeee sound mmezngua sana ila kazi nzuri
Kataaaa mandondo hakuna msamaha hapa
Mlingoti chuma bendera chuma like it
Wanyamwezi eeee ilo swala la kukata kata sauti linarusha ile mbaya fanyeni marekebisho nawakubali kichizi....tin mnyamwezi saluuuut mkojani nagwa ngoma ngumu noma sana
Huyu nagwa ana sifa sana
Acting tu bro not serious
Baluti ni noma
Aiseee minaona kilamtu katendea haki sehem yake good idea
Hahahaaa nagwaa kaa mbali na chura wangu
Numero uno
Oy weeeeeeee marage oya sheriaaaaaaaaaaaaaaaa serikali kari utaila siyo hatari aipingwi
Nagwa anadharau 😂😂 eti maharage
Ao watu wa nagwa kazi kupelekeshwa tu
mkojani 😂
Hii move mumefeli sijui mnafundisha nini kwa young generation kushikiana mapanga namna hii.
Saw young generation
Nikweli kabisa hayo.mapanga mmeboa nikijiji gani au mji gani utumie ubabe wa mapanga hivyo watu wakae kimyaa akuna serikali Apo mmebugi
Mandondo kanichekesha wallah njia kaisaau masikin😂😂
Kamaunamkubali tin like zako
Nagwaaaaa unajua sana
😁Mandondo ko anatembea na maharage 🔥🔥atakuwa ndondocha mamae mnaigiza
Mmetisha
Baluti yupo vzr kwenye upande wa kuongea na mtt mzur jojo yupo vzr kwenye upande wa kuimba Ipo siku utatoboa mdgwngu
Weee kiswahili kikubwa Mjomba nagwa hahaha filimba ulembe.🇰🇪🌞
Hakii Jojo ni mzurii
Gonga like kama unamkubali ngoma nagwa
Nagwa aje afanye kazi naa kitale
Aha ngoma nagwa we acha 2
We maharagee nagwa noma sana🔥🔥
Nagwa unayingiza vizuri 👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bwana mkojani movie kama hizi usiigize waachie hawo wahuni.ww tupe tu raha hz hakuna mpango
Daaaaa sio poa kabisa
Ivi ngoma nagwa maisha yako halisi ivo ivo au
Ndo ndoooo kwa hilo kabwe ujachafua hali ya hewa kweli?ni
Owaaa barut uko poa mkl
Chafuuu ina chekaaa nagwa🤣🤣🤣
Kusoma huwezi kuandika huwezi harafu mwalim kuuu mamaako fala wew
😂😂😂😂mandondo jamn
Madondo 😂😂😂😂😂😂
Kubwa kuliko mbn haipo
Majina ya cathe ni vivuruge sana kW kuchukua waume Wa mashoga zao...nimejionea kwangu nilikuwa na shoga cathe amenichukulia mtu...nami nikawaacha tu waendlee nimepata ndoa kwa mwanaume mwngne nimetulia,, na wale walonisaliti nao wameachana kwel malipo duniani,,, sasa kuona hii part hapa nimekumbuka
Mandondo hahahahhaha
Nagwa:unamjua huyo chura hapo mbele
Masumbuko: chura!!!
Hainaga kufeli
maharage😂 aah achen tuu wahuni wanazngatiaa😍
Kuanzia leo ww sio shoga yang mandondo😂😂😂😂😂😂😂
Anatembea na maharagwe hahahaha
nagwa noma nakukubali
Nagwa ni 🔥🔥🔥
Naitwa bendele chuma mlingoti chuma😃😃😃😃
Mandondooo 😂😂😂😂😂
Nagwa unajua broo🔥
Oya eeeh mandondo anatembea na maharage😀
Mkojani kiboko
hahaaaaa
Duuuh Jojo kama Jojo
Mmetisha wakuda nakubal
Nangwa boy
Nagwa acha kua una tixhia HV ww
Uyu dogo wa tishet nyeupe vidred
Yupo vzl mwaka uh anatoboa
Kwasababu yupo
Silius kinomaaaaaaa
Xheriaa aina damu uxera maviiii2
Oya tulaaaaaaaaaaa sheria
💥
Safi sana
Oya oso igizo ya mufirisi rini ss
Lipo tayari anytime from now..be ready...
Thanks for your support
Nagwa 🔥
Nzur
Aweeeee panga shingoni sio poa
Nagwaaaa💥💥💥💥💥💥💥💥
Huyu Nagwa anatisha asee
Anatembea na maharage..
Ila nagwa mzuri
🤣🤣🤣🤣 ila Nagwa we kiboko
Nagwa wewe ni muuni kweli sio kuact tu.
Mpoooo ohoooooo ohoooooo vizuri,
Kuna marafiki wachonganishi nyie achaaa
Basi nashingi elfu 30 basi nikupe😁😁😁😁
Bongo move best wife
Sio sana
Jmn ringo yupo wp??
Kafa
Ringo yupo masasi
Kawa yero masai
Ringo yupo vikindu ...anakaa vkundu
Kali sana
Mbona nagwa mrembo tuu
Mbonambishihuyo
Zuchu
Awa madogo wa Nagwa maboya wanapelekeshwa kishenzi hawana hata kipaji wanatunisha macho tu
@Lyrics Bongo ukweli lazima usemwe hawana mchango wanaonekana wanasubiria kuambiwa tu yaani wamefundishwa kuitikia tu
@@fahadAlloufy sasa wakati script ndo inavyotaka wao watafanyaje KUWA mfafanuz mwenyewe kabl ya kutoa kasoro
@@tmtzvisuals642 hapo mzee hakuna cha msingi ulichoongea hata script ikakutaka wewe ukae kimya unaskiliza tu ule ukaaji wako hadhira tunajudge kwamba jamaa anajua kukaa kama anasikiliza pumbavvv
@@fahadAlloufy nenda wewe
@@safiaimran712 njoo nikuowe safia
Catheeee
Nampend
Sauti ndo mlipozingua
🎉🎉🎉🎉
Ngoma nagwa singeli
Good
Nagwa sema cku nyingne uwe una act mpole
Kasri la mkojani umemcheki?
Nagwa mate sasa mkali
Duh
Ngoma nangwa kwer we jambazi
Mandondo jmn😂😂😂😂😂😂😂
Za kizaman zicwe nyingi
Alafu mnavyo act wababe ayo mapanga sio dili. Mbabe anapambana yeye kma yeye mapanga ya nn? Ila pigeni kazi
Haipingw
Kama unamkubali nagwa lake kwangu🙏🙏🙏
Nagwa singer
Kabust
Chuchu
Nagwa music
Nagwa singeri
San