Ni utotoni, ujanani, ukubwani, uzeeni Mungu anamtokea mtu. Omba bila kukata tamaa yeye hachelewi wala hawahi bali ni kwa wakati wake alioupanga ATAKUTOKEA. Amini tu!
God I'm carrying ministry in me,I'm the one standing on behalf of my mother's house,I'm a single mother too😢😢😢😢😢😢😢God don't let me to give up please,nitie nguvu Jehovah😭😭😭😭😭😭nitokee Baba yangu
Let me live this comment here,i will come back with my testimony,my time is coming ,no matter what am going through, Isaiah 60:22,thanks for this song ,may the LORD bless you servant of GOD🙏🙏.
Ni utotoni, ujanani, ukubwani, uzeeni Mungu anamtokea mtu. Omba bila kukata tamaa yeye hachelewi wala hawahi bali ni kwa wakati wake alioupanga ATAKUTOKEA. Amini tu!
Exactly Amen 🙏🙏
Ipo siku yangu namiini mungu atanitokea Wala sio mbali matezo haya yatageuka historia hio part unipa nguvu na matumaini 🙏
God I'm carrying ministry in me,I'm the one standing on behalf of my mother's house,I'm a single mother too😢😢😢😢😢😢😢God don't let me to give up please,nitie nguvu Jehovah😭😭😭😭😭😭nitokee Baba yangu
Like wise.
God is in control
🙏🙏
Mungo atakuonekania. Mimi aliniokana. Amen
Ipo siku yangu pia na siombali wakati wangu wakukumbukwa na Mungu umefika Amen🙏
This song remember me how we passed sometimes God with us am blessed ❤
ipo siku Kaka itaku yako mungu ako karibu Sana Kaka usipe MOYO MY brother enock Jonas thenk you God bless you Kaka yangu 🙏🏼🙏🏼
😊😮
Ipo siku ya kila mtu the only person who knows is God keep going brother enock God bless you so much for the song ❤
Nashukuru kaka kwa wimbo huu umenigusa sana nimeteseka sana lakin saiv namshukur mungu kuku kwangu nikitu cha kawaida
Mungu ni wawote utoa kwa wakati sahihi ipo siku ivi karibu utakuwa na furaha nakupenda sana nyimbo zako❤❤❤
Wachanikusubili mungu. Ipo siku yangu 😢😢😢😢😢.😭😭😭
🙏🙏🙏nyimbo zako nikisikiza na hisi nimebarikiwa❤❤❤
Nyimbo zako zibarikiwe daima mtumishi hki ziko juu sana
Ipo siku yangu tu mungu atanitokea 😢😢😢😢😢
Mungu akuzidishie sana nyimbo zako zina nikubusha nikiteseka sana na sasa mungu amenibadilishia maisha yangu
Kwel
Hii inaguza sana,,may God bless your work 🙏🙏
Je reçoit cette bénédiction au nom de Jésus depuis RDC.
Nyimbo zako zinaninguza sana kaka wacha Mungu akutie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Surely GOD 🙏 he will make a way for who believe in him 🙏❤️
Let me live this comment here,i will come back with my testimony,my time is coming ,no matter what am going through, Isaiah 60:22,thanks for this song ,may the LORD bless you servant of GOD🙏🙏.
Usijali 😢braza IPO siku utafutwa machoz yko
May god guide you with your e family and be blessed and continue for all you're plan
Ipo siku yangu .E Mungu wangu acha nkusubiri .acha niwe historia Kwa wengi 😢😢😢😢
Aminini Mungu jikashe mbere
Kaka wimbo wako inipa matumaini kua cku moja Mungu atanikumbuka na kesho yangu itakua istoria Mungu akubariki 🙏🙏
Balikiwa sana kaka kwa Imani tu naamini
Nyimbo zako zinanibariki Jonas be blessed and may God blss you aboundantly 🙏
I don't understand but your songs are very nice and touching. 😊
A fan from Namibia 🇳🇦
AMEENI, KILA SIKU NI MUNGU ANANITIA NGUVU MPYA YA KUENDELEA NA MATUMAINI KUWA IPO SIKU NITATOA USHUHUDA IN JESUS NAME.
Amina mtumishi
Mungu aendelee kukuzidishia kipaji chako nyimbo zako zinanitia faraja sana
Amen be blessed kaka 🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana 😊 barikiwa kaka
Amen mungu mm atanibariki❤❤❤
Mungu yupo kwa kila jambo
Huu wimbo umenitoa machozi na kunikumbusha machungu nimepitia kwa maisha yangu ila iko siku Mungu wangu atanitokea
Yote yataisha
Nice song big up brother 👍
Baba mungu akupe nduvu za ugiza ajili nyimbo zako ninzuli sana
Mungu ni wawote
Nyimbo zako zinanitia moto sana mungu akutie guvu 🙏🙏🙏🤷🙌
hakika ipo siku yangu najua mungu utanitokea na Aya maisha yatageuka historia🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘😘😘😘
akika iposiku yangu namimi mungu atanitokeya walasio mbali ,asante mtumishi enock
Mungu ni mwaminifu na SI mchoyo ukiomba ni lazima atatenda🙏🙏🙏
Ipo siku yangu hakika naisubiri Mungu atutie nguvu wote tusizimie mioyo
Ipo siku mungu atanipa tu
kweli mungu yuko.mungu akuinue
Ipo siku yangu namimi nitabalikiwa na mungu wangu na aipo mbali.
Kwa kweli huu wimbo kama alikuwa ameniona umenigusa sana maana mapito nilikuwa nimeyapitia kama huu wimbo ubarikiwe sana nakuomba mungu akutie nguvu
🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌ipo siku nami nitabalika in Jesus name Amen 🙏🙌🙏
Keep going your songs touches my heart alot. Barikiwa sana
Amen umeniguza sana najua umeniwazia mema kutoka kenya.
Amen Amen 🙏🙌👏
Amen najisikia kutiwa moyo na huu wimbo kweli IPO siku
Nainua Imani yangu zaidi Kwa ushuhudah🙏🙌🏻🙏🙌🏻🙏
Asante kwa wimbo
Huuh, wimbo unanigusa moyo kwakweli, Mungu nimudawangu ss nikumbuke na mm.
Wimbo mtamu balaaa kwa kweli mungu kila mtu anampa fungu lake,
Amina kaka nimeishia kulia tu
God remember me through this song
Amen iko siku yangu na mm mungu atanitokea sio mbali barikiwa sana bro
Hii wimbo inanipaa moyo yakuvumia kwa kila jambo ambalo napitia😢😢😢😢
Mungu hutenda makuu kuwaaibisha watesi wako ,hakika tumkilieyeye tu
Iko siku yangu,mungu ni mwema.Asifiwe mungu.
This song is not a jast a song l cry alot about this song because it's lemaind me about something in life 😢😢😢
God bless you great messages God bless you
Be blessed bro nothing l pay God u make me cry the way my life be some few years back thanks lord to bless me 😢❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤ ipo siku yangu kweli
Mungu akubari sana kwali hii wimbo umenigusa sana🙏🙏🙏
Yenyewe imenibariki Tena ikanipa tumaini niishi
Pia mmi ipo siku nitakujacheka mmi mungu atakuwa amenikumbuka mmi kweli kila jambo Lina wakati wake poa
Nina Imani Mungu ananipeleka mbali na amentoa mbali sana yote itakua historia
Naamini pia Mimi upo siku Mungu atanitokea.
Amen 🙏🙏🙏 this song has really blessed,,,be blessed too
Am getting restored in my soul,thank you Lord for this Glorious song
Pia kwangu ipo siku yangu tu
Wimbo mzuri sana ❤barikiwa kaka mungu akubariku sana
Na shukuru Mungu kwa wimbo wako ubariwe kabisa 🎉
Bariki wa sana kaka
Much love from Kenya,huu huniguza sana
My everyday song,the song strengthens my soul
Iposiku yangu na mimi mungu atanitokea
Nyimbo hizi zinanitia nguvu AMen 🙏🙏
Mungu akubariki Sana
Mungu Akuinue Kakangu 😭😭😭UMEGUSA MOYO WANGU BROTHER NATUMAINI MUNGU SIO MWANANDAMU ATAFANYA KWA WAKATI WAKE 🙏
Yani mtumishi nikama unajua ni nini napitia ila siku yaja kesho ya heshima yangu😢
This song really uwa nikiisikiliza najikuta tu machozi inanitiririka yaani inaniguza sana ❤❤❤❤
Ipo siku yangu tu
Amen be blessed bro, Nyimbo zako sinanibariki sana .
Amen🙏.najua mungu atanitokea siku moja
Aminaaaa mwalimu wangu
Nakukubali Sanaa,nikisikiliza kuwa na imani
Really my friend ni muda tu utafika tutasahau
❤Wimbo wa delete niliwafuta wore walio nikosea ndugu yangu
Jonas samaani naomba namba yako kama uyo kali kaka yangu
Jonas naomba namba yako Tafadhali
Naitafuta sana
Kweli hakuna ajuae kesho yangu
Amen wimbo zuri saaana imeninguza saana God bless you 🙏👍
Kaka nyimbo zako zinanabariki Sana ubarikiwe
Amen nabarikiwa sana nakumbuka mengi barikiwa kak
Amen Amen Amen Amen Amen papa 👏👏👏
Ubarikiwe nimepata hopes kwamajaribu napitia
Ipo siku yangu ukweli,nimelia machozi miaka mingi
Brother nyimbo zako zinanibariki sana
naamini ipo siku yangu naamini Munguatanitendea
My day is coming for change