JINSI YA KUFUNGA DISH LA AZAMTV BILA KUTUMIA SETELLITE FINDER AU FUNDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • JIFUNZE JINSI YA KUFUNGA DISH ZA AZAM DSTV STARTIME CONTINENTAL NK

Komentáře • 33

  • @markd2062
    @markd2062 Před 5 měsíci +1

    Shukran Sana mkuu umenipa ujuzi

  • @ramzitv2450
    @ramzitv2450 Před 2 lety +3

    Big shout out zfike kwako ka mkubwa dah mbinu yako imeniokolea buku ten ya kumwita fundi sina cha kukulipa brother thanks

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety +1

      Karibu Sana endelea kufuatilia video zetu share na wana.

    • @ramzitv2450
      @ramzitv2450 Před 2 lety +1

      @@dmginfo2470 p1

  • @simongibishi9217
    @simongibishi9217 Před 3 lety +1

    Msaada Sana hii video 🙏

  • @lulekamayunga5839
    @lulekamayunga5839 Před 2 lety +1

    Good idea

  • @nehemiahnelson3520
    @nehemiahnelson3520 Před 2 lety +1

    Nimekupata mkuu Ayo.. Big Up

  • @dedicationofparents4451
    @dedicationofparents4451 Před 3 lety +1

    informative video 👍

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Před 2 lety +1

    Kuna dishi lipo hapa nimefanya vyote unavyoelekeza lkn bado yaani mvua zilinyesha ikapiga radi ndio bai bai ila king'amuzi kinawaka lkn hakioneshi chochote

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety

      Unaweza fanya yafuatayo yamkin moja wapo ikawa solution
      1. Jaribu kuangalia Kama waya wa dish unapitisha Moto unaweza ukaulamba( hauna shoti kubwa Wala nikama ya betri za redio tu)
      2.Jaribu kufungua recever iliyopo juu ya dish then angalia ule waya unaoingia pale Kama uko sawa kwa kufanya kuuchomoa na kuchokonoa kuondoa kutu au waya kuukangua kuondoa kutu then uifunge.
      3. Kama namba 1 na namba 2 umefanya bila mafanikio jaribu kuangalia receiver nyingine kwa jiran kwa kujaribu yajiran ikifanya Kaz yamkin yako inatatizo
      4. Badilisha decoder jaribishia na decoder ya jiran ikifanya kazi Basi decoder yako yamkni ikawa na kasoro. Au ukachukua decoder yako nakwenda nayo kwa jiran kujaribisha
      5. Ikiwa haujafanikiwa nichek 719220216 Anza na sifur

  • @historiazoteduniani5595
    @historiazoteduniani5595 Před rokem +1

    naomba unioelekeze au kama unavideo jinsi ya kuset dish kwa mfumo wa ndani na nje kwa aina zote za madishi

  • @mandropapi5128
    @mandropapi5128 Před 2 lety

    nawezaje kuludisha program ya zaman ambayo nilikuwa na uwezo wa kuweka flash nikaangalia vitu mana sasa iv bila kulipia aikubali

  • @lulekamayunga5839
    @lulekamayunga5839 Před 2 lety +1

    Love it✌️

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz Před 2 lety

    Mahali nilipo nasumbuka sana kwenye Signal za Azam Dish. Naweza nikarekebisha Leo baada ya mwezi narudia tena

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety

      Hakikisha umepata uelekeo sahihi wa Azam dish, hakikisha receiver yako umeiset vzr (set kwenye zero na waya Ukae kulia ikiwa unatazama jua lilipo zama)
      Unakaza vzr pale unapopata signal( hakikisha dish halipo kwenye mkondo wa upepo Sana.) Angalia Kama kunavizuiz mbele ya dish. Kama vyote hiv viko sawa yamkini ikawa tatizo la kiufund kwenye decoder yako.

  • @user-do3bc4tv7p
    @user-do3bc4tv7p Před 11 měsíci

    Vipi Kama tv inaleta kuchagua lugha, time,na baada ya hapo inaleta mambo ya antena, satellite/TP. Shida ni nini hapo

  • @uniquehandxome6238
    @uniquehandxome6238 Před rokem +1

    Kwangu io quality haiji kabisa lkn intensity inakuja mpka 87

  • @bonifacemabomu4144
    @bonifacemabomu4144 Před rokem

    Hujasaidia kupata kwa satellite finder mzee

  • @uniquehandxome6238
    @uniquehandxome6238 Před rokem +1

    Nisaidie ndgu

  • @suduntambi3068
    @suduntambi3068 Před rokem

    Sasa akuna demonstration 😢

  • @thabitmuhammed7180
    @thabitmuhammed7180 Před rokem

    App gani niwekee kiongozi niidawload

  • @sangulorashoo4116
    @sangulorashoo4116 Před 2 lety

    frequency ya dst please