Jinsi ya kufunga Dish la Azam mwenyewe bila kutumia 📡satellite finder.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 56

  • @dicksonmarko7926
    @dicksonmarko7926 Před 2 lety +5

    kazi yako nzuri sana kaka sasa kitu ningependa kujua ni namna ya kufanya registration ya card ya king'amuzi ambacho ni kipya

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety +1

      Unaponunu king'amuzi huwa wanasajili moja kwa moja. Huwa wanajaza taarifa zako majina mwaka mahali nambaya sm nk. So Kama umefunga dish channel hazij bas wapigie watakifungua upesi.

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety

      Comment yako nimeipenda sana. Shukran 🙏

  • @kisalee1943
    @kisalee1943 Před 2 lety +3

    Well gotten this is helpful

  • @saimonfundialuminium7790
    @saimonfundialuminium7790 Před 2 lety +5

    Kaka umenisaidia sana sana sana San kwasababu Jana nimehangaika sana na huku hakuna mafundi basi Kwa kuwa umeelimisha vzir bc nijaribu Tena nakupenda kk

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety

      Nafurahi kwa comment yako kaka, Pia nashukuru kwa support yako kutambua mchango wangu.

    • @gnasnassary9475
      @gnasnassary9475 Před 11 měsíci +1

      Ni wapi huko kaka ni chitogori ama😂😂😂

  • @user-xr8io5lq7b
    @user-xr8io5lq7b Před 7 měsíci +1

    helpful brother keep the experience

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 Před 2 lety +2

    Its works , thanks ✊

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 Před rokem +1

    Umezingua.
    Haujaonyesha jinsi unavyosachi signal kwa maana ya kuzungusha dishi. Unasema umepata kirahisi bila sisi kuona. Pili hujaonyesha settings zozote kwenye TV.

  • @joshmangi
    @joshmangi Před 2 lety +1

    Kazi nzuri Chief, naomba kuuliza, naweza ongeza LNB kwenye dish la Azam lakini nipate FTA channels

  • @hovsankrosnuustasi6776
    @hovsankrosnuustasi6776 Před 2 lety +1

    SUPER ♥️📡

  • @Michinews1
    @Michinews1 Před rokem +1

    helpful

  • @alhajimasoud8289
    @alhajimasoud8289 Před rokem +2

    Ningependa kujua namba za lnb za azan ni ngap

  • @jeremiahayo2726
    @jeremiahayo2726 Před 2 lety +4

    Nime elewa

  • @titondomba7802
    @titondomba7802 Před rokem

    Pamoja funding kazi nzuri

  • @mwajumamahmoud1720
    @mwajumamahmoud1720 Před 2 lety +1

    Very helpful thanks 👍

  • @user-rt5hs8fm1c
    @user-rt5hs8fm1c Před 6 měsíci +1

    Nahitaji Kwa sasa nipo kabindi mkoa wa kagera

  • @clevermtz6897
    @clevermtz6897 Před 2 měsíci

    Kazi huwa ni kuzungusha kuzipata signals na kupandisha na kushusha cha ajabu haujaonyesha kabisa

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 měsíci +1

      Ni kweli, changamato sikuweza kukuonesha ktk iyo video Ila ukizingatia principal wala kwenye kuzungusha sio kazi. Ili kazi iwe rahis elewa cha Kwanza uelekeo WA satellite ya Azamtv cha pili bomba linaloshikilia dish likasimame wima nyuz 90 set LNB receiver kwenye..

    • @clevermtz6897
      @clevermtz6897 Před 2 měsíci

      @@dmginfo2470 pa1 xana

  • @brunokinunda4803
    @brunokinunda4803 Před rokem +1

    Kama kwenye ghorofa unafanyaje hiyo kazi bila finder

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před rokem

      Ningumu Sana unatakiwa uwe na satellite finder Ila kama huna bado hujafeli paper UNaweza mkawasiliana Kwa cm Kwa MTU aliyechin

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před 2 lety +1

    mbona kwani haiyojeshi

  • @ShamsaMohammad-v1b
    @ShamsaMohammad-v1b Před měsícem

    Mbona hamujibu

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před měsícem

      Karibu @shamsaMohammad ikua na sea gani,? Karibu

  • @hamisidongo4683
    @hamisidongo4683 Před 2 lety

    kote nime elewa Ila bdo uku kwenye decoda ilikua aioneshi vizuli tv yako

  • @penielmbise5388
    @penielmbise5388 Před 2 lety +2

    Kirefu cha DMG ni nini

  • @ElinikeSoi
    @ElinikeSoi Před měsícem

    Tofauti kati ya kisimbuzi cha antenna na dish nn

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před měsícem

      Tofauti nikwamba king'amuzi cha antena kinapokea mawimbi yake kutoka kwenye vituo vya kurusha na kusafirisha mawimbi vilivyokaribu sio maeneo yote king'amuzi cha antena hufanya kazi, maeneo ambao hayo masafa hayafiki ningumu kupata huduma Ila king'amuzi cha dish kinachukua mawimbi direct kutoka kwenye satellite popote ulipo ukiwa unatumia dish utapata Huduma na ving'amuzi hivi huwa haviingiliani. Tofauti nyingine king'amuzi cha antena hakitumii card Ila cha dish kinatumia card. Wkt WA mvua king'amuzi cha antena hakikati mawasiliano wkt dish huwa kinakata Hadi mvua au Hali ya hewa ikae sawa

  • @ismailmohamed-sc1hg
    @ismailmohamed-sc1hg Před rokem +1

    Nimeelewa kaka ngoja nikalibu na Mimi yani

    • @ismailmohamed-sc1hg
      @ismailmohamed-sc1hg Před rokem

      Kaka nimejalibu lakini sioni mafanikio sijui shida hiko wapi nimelifunga vizuri lakini Kila nikichezesha sipati signal

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před rokem

      Nicheki kesho ukiwa unafunga ili iwe rahis kukuelekeza

    • @ismailmohamed-sc1hg
      @ismailmohamed-sc1hg Před rokem

      @@dmginfo2470 sawa kaka nimekupata

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před rokem

      Utanichek WhatsApp 759060986

  • @EmanueliKatoli
    @EmanueliKatoli Před 2 měsíci +1

    Je nawza kutumia laputop kama tv

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 měsíci

      Kabisa bila wasiwasi angalia kwenye mtiririko WA video zetu IPO naelekeza jinsi yakuunganisha🙏

  • @michaelmbela8655
    @michaelmbela8655 Před 2 lety

    Kwenye reseive naona waya hupo hupande ni kanuni

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety

      Ndivyo kabisa, ikiwa haupo upande huwez pata signal 📡

  • @johnsamwelsamwel7827
    @johnsamwelsamwel7827 Před 2 lety

    vema kaka. Ila yakwangu inanisumbua ukizima dicoda ukija kuwasha inaandika "no or bad signal ". Na strength ni 100 na quality 80!!
    Ukizima kama masaa manne mpaka matono kinakubali.
    Nifanyeje aisee na ni aina hiyohiyo nyekundu

    • @dmginfo2470
      @dmginfo2470  Před 2 lety

      Inaweza kuwa either ni decoder inamatatizo( wasiliana na mafundi) Ila kabla haujafanya hivyo unaweza wapigia Azam huduma kwa wateja au jiridhishe na waya wa dish Kama unaconect vzr. Kwenye decoder na receiver iliyoko kwenye dish, kadi unaweza ichomoa na kuirudisha

    • @anastahiliutawala3879
      @anastahiliutawala3879 Před 2 lety

      Badilisha waya au lnb

  • @saimonfundialuminium7790
    @saimonfundialuminium7790 Před 2 lety +1

    Naomba namba yako

  • @derickkasim570
    @derickkasim570 Před 2 lety +2

    naomba no yako ya whatsap