Sema Maneno Haya X 1000 Kila Siku / Usiwacheze Na Kuwatukana Watu Wa Dhikiri / Sheikh Walid Alhad

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 5. 09. 2024
  • Sema Maneno Haya X 1000 Kila Siku / Usiwacheze Na Kuwatukana Watu Wa Dhikiri / Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Alhad akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sema Maneno Haya X 1000 Kila Siku / Usiwacheze Na Kuwatukana Watu Wa Dhikiri / Sheikh Walid Alhad Omar
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    â–ș WATCH MORE: ‱ Swala za Mtume Zinazop... ​
    â–ș FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    â–ș LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

Komentáƙe • 18

  • @abdullipunjaje9603
    @abdullipunjaje9603 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Allah.....
    Dah .. nimenufaika

  • @maimyahkassim4299
    @maimyahkassim4299 Pƙed rokem +4

    Naomba mniandikie hii dhikr aloisema sheikh walid
    Na ile ya allahumma bismillah wa rahman kisha akaendelea

  • @suhailaidarousahmed2879
    @suhailaidarousahmed2879 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Mashallah mawsidha mazuri mno

  • @JaudarAziz-xk9lq
    @JaudarAziz-xk9lq Pƙed 5 měsĂ­ci

    Assalam aleykum warahmatullah shekh engine tumeambulia mawimbi ya saut hata dua yenyewe hatujanakil vzur

  • @JumaZahoro2000
    @JumaZahoro2000 Pƙed rokem +2

    DARSA TV sauti naona kama Haina Loud and clear, Embu Rekebisheni hill, mskitini huu unafeni sana zinakata sautii😅

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Pƙed rokem +1

      shukur tutalifanyia kazi inshaa Allah

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb Pƙed 10 měsĂ­ci

    One day yes

  • @user-kb7bk3sq6v
    @user-kb7bk3sq6v Pƙed rokem

    Darsa nzuri sheikh

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Pƙed rokem

    Masha Allah

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 Pƙed rokem +5

    Me n8nezoea kusema subuhanna Allah yaani jambo lolote likitokea la gafra je nakosea maana naanza na subuhanna?

  • @mudiali4506
    @mudiali4506 Pƙed rokem

    Askm sheikh sauti hatupati
    Tuandikue hiyo azkar sheikh wetu

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Pƙed rokem +1

      alllah .... ndiyo azkar yenyewe

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Pƙed rokem

    Thayibu ya shekhe

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Pƙed rokem +1

    Mawaidha mazuri .ila sheikh wanaohusika na sauti warekebishe kidogo kama inakatakata ila tumeelewa

  • @eliasaamina9165
    @eliasaamina9165 Pƙed rokem

    Tunaomba mawaidha yarudiwe