HUZUNI YATANDA MSIKITINI KILICHOMKUTA SHEIKH MWAIPOPO KATIKA KUTANGAZA DINI UTATOKA MACHOZI..
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2024
- Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya CZcams ya SHEIKH MWAIPOPO TV
..
Like pamoja na kushare
kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
...............
من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب
..
مثل مع المشاركة
للآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Audhubilahi minasheitani rajim...Shari zote na zikuepuke sheikh Wetu...mawaidha yako yalifanya nisilimu...Jazakaala khaira.. Inshallah Mola akufanyia njiwa yako iwe nyepesi Katika kazi ya Allah (S.W).. Alhamdulillah ni mwangazani sasa
Sheikh yaani wewe ndo mwenyezi Mungu amekuchagua katika ushuhuda kuanzia uliposilimu mara tu alipokupa ulaini wa moyo kwa kuijua kweli! Nakuombea heri sheikh wetu!
😭😭😭Pole sana shayk. Allah akuhepushe na kila mabalaa. Utalipwa kila la kheri hapa dunian na Akhera inshaAllah 🙏
Amini ww kuwa yesu sio Mungu na dini kiristo sio dini ya Mungu Ila ni kwa Imani yk.. Tumsifu yesu kiristo milele amina
Neema ya mungu iwe juu yako Mtumishi!!!
Ishalla Mungu atakulipa frdaus shehe wetu pole kwayote Mungu yupo na nyny mkono Kwa mkono had pepon ishalla
Barakallahufik shekhe wetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe pamoja na waislam Amin yaa Rabil'Alamina
Pole sana Allah awe nasi daiman ktk kheri sh. Fanya kazi yallah na allah atakulinda abadani
Mashaa-Allah ALLAH azidi kukuhifadhi sheikh mwaipopo (Nairobi kenya)
Ma shaa ALLAH
Ma shaa ALLAH
Ma shaa ALLAH
Wallahi shekh mwaipopo ALLAH akupe umri mrefu na tuzidi kuongoka
Allah akulipe kher shukran saan
Mashaallah Mwenyezi mungu akuhifadhi duniani na akhera
Nimepata faraja na furaha sheikh Allah aendele kukuhifadzi napepo iwe makiziyalo pamoja na mimi.
Allah amin.
Pole sana shekhe Allah atakulipa kheri
Pole shekhe Allah ndiye muweza kwakweli
Pole Sana sheikh kwa yalio kupata. Allah atakulipa IshaaAllah
Amiin
Yesu alisema :msifurahi kwa kuwa mapepo yanawatii bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni". Sio mnapata.wafuasi ama mapepo kuwatii.
"Yasemeni / hubirini maneno ya Mwenyezi Mungu yenye kuleta amani, upendo na kheri duniani na ahera". Mbarikiwe
Subhanallah MWENYEZI MUNGU atunusuru
Maa shaa Allah. Allah akuzidishie shekhe
inshallah mwenyezi Mungu azidi kukupa subra! pole kwa mitihani iliyokukuta shekhe wangu.
Mashaallah allah akuzidishie kheri katika maisha yako amiin
Allah atakuhifadhi in shallah sheikh kwa sababu una tangaza neno la Allah subhana llaha
Huo niuongo mtupu anasimulia mwaipopopo Somali wanawasumbua wakristo tu na siyo waislamu wacha uongo
Pole san ust mwaipopo kwa yailyo kukuta 😭😭😭😭
Subhnllh...Allaah atunusuru na hayo..polesn
Waullah nimelia kwa imani allah ni mwema takibiiiir
Allah akbar
🤲🤲😭😭
😭😭😭pole baba pole san jaman nalia san
Mungu akulinde zaidi inshallah
Masha Allah shehe mwaipopo, mungu akueke
Allah akulipe kilaa la kheir,,
Allah akujalie kwa dunia na akhera yako
Atujalie mema kwa dunia yako na Akhera yako
Anaetetea dini ya ALLAH YUKO PAMOJA NAE MASHALLAH MUNGU AKULIPE KHERI
Nasma polesana shehe mwenywnzi mungu akurinde akuhepoahe nahayo mazwahama
Allah akuhfadhi na mabalaa
Subuhnallah m mungu atakupa ujira mwema na atakuandalia mahala pema peponi kwa kazi kubwa uliyoifanya na unayoendelea kuyafanya . Mnapata shida kubwa sana katika kuwaelimisha watu.
Allah akujaalie mwisho mwema
Allah atakulipa kheri from mombasa
Ma shaa Allah
Masha Allah
Allah akup umri mrefu shekh wetu
Umewadanganya hao waumini wako hakuna Mkristo anahangaika na mtu at kasema Yesu si Mungu anajitetea mwenyewe na km walikuumiza kwajili ya Hilo walukuinea au wewe ni Muongo ZAIDI ya YOTE YESU NI MUNGU UFAHAMU WAKO HAUELEWI
Manshallah,manshallah 😥😥😥😥😥😥pole sana sheikh wetu.
NAMUOMBA ((ALLAH)) AKIZIDISHIE KHER SHEIKH WETU
Taqbeer mashaallah allah walipe inshallah
Pole sana Allah akulipe kheri
ما شا اللہ الحمد للہ علی نعمة الا سلا م
Masha Allah Allah akuhifadhi
Mashallah ishallah seheh wetu mungu atakulinda kwayote yLiyokufik ia llahyuko pamoja na wewe
Alwahu akibaru😭😭😭
Wbc
Mbona mnateseka na makafiri na yesu wao kwani msifanye yenu na makafiri muwaache warende motoni?
Mwaipopo we ni jasili San inshallah mungu akujalie
Haswaaaa, tunahaja ya kuhubiri kweli ya Mungu Si vinginevyo.
Note:DINI NI MAHALI PANAPOMWONGOZA MTU KUISHI KUTII, KUNYENYEKEA, KUPENDA NA KUAMINI. si mahali pa uchonganishi au uchochezi.
ALLAH akuzidishie kila jema
Mwaipopo mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Amani iwe nawe daima🤲 Allah aliyekuwezesha majaribu hayo anakupenda kuliko unavyojijua
Subuanallah. Pole sheikh mwaipopo.malipo kwao kwa allah.
Jazaka Allah khaira shekh
Allah akulipe kher sheikh wetu
Mungu akulinde na msimamo wako
Mashalaah allah akulipe mema khakiyamungu nimelia hadithi yakuhuzunisha nayenye mafundisho
Pole sheikh, ndio wanayopitia wenye imani hayo.
Mwaipowe Mwaipopo Alhabiby... Allah a kuhifadhi na akulipe malipo mema...
Amiin
Amiin
Pole jameni nimekuonea huruma mno hata japo mi si mwislamu .Mola akuneemeshe uishi miaka mingi uhubiri injili yake watu wamfahamu mwenyezi mungu wamwabudu yeye tu
Allah azidi kukuhifadh na akuepushie namabalaa
Maa shaa Allah Allah akuzidishie🤗🤗🇪🇭🇪🇭
Tabkir Allah akulipe kwakweli
Ashukulliwe Mungu Alie juu aliekuokoa ameni
Sheikh Mwaipopo.. Nakupenda sana kwa ajili ya Allah
Pole sana allah akusimamia paka mwisho wako.
Allah azidi kukutilia wepesi kwa kila jambo
Yesu sio mwanadini. Yesu ni Neno la Mungu. Wewe na waisilamu ni wanadini na ni sawa tu. Akini Dini tu haitoshi, ndio mana unaona kuna unafiqi mwingi katika Dini zote ikiwemo Dini ya Islam. Yesu wachana nae yeye sio mwenzenu. Yesu ni Neno, Njia na Uzima. Punguzeni utapeli.
Subhanallah... Shukran Jazaqallah kher Sheikh
Mashallah
ALLAH AKULINDE SHEIKH WANGU MWAIPOPO.
Subhaanallah pole sana Shekh wetu 08:37 -09:04 pamenihuzunisha Sana
ALLAH AKBAR
MUNGU AKUJAALIE MWISHO MWEMA
LAAHAULA WALA QUWWATI ILA BILAH SUBHANALLAH
KWELI KABISA MANENO YAKO SHEKH
اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين صلى الله عليه وسلم
mashallah....Allah akujalie afya njema
allah akujalie maisha marefu shekhe,,,,,,,
Kwa nini dini ziko nyingi jawabu 2wathesalonike 2:4 yule mpingamizi ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama cha kuabudiwa hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu akijionesha nafsi yake kana yeye ndiye Mungu
Shetani tangu mwanzo anataka kujifananisha na Mungu kwa hiyo alijua Mungu anapatikana na kuabudiwa hekaluni kwa hiyo na yeye ili aabudiwe ikabidi aingie hekaluni.
1timotheo 2:3-6 hili ni zuri nalo lakubalika mbele za Mungu mwokozi wetu,ambaye hutaka watu waokolewe na kupata kujua yalio kweli kwa sababu MUNGU NI MMOJA NA MPATANISHI KATI YA MUNGU NA WANADAMU MWANADAMU KRISTO YESU ambaye alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote utakaoshuhudiwa kwa majira yake.
Mungu ni mmoja na ili aabudiwe ni lazima aabudiwe kwa jina la Yesu
Kwa hiyo wote wanaoabudu mungu pasipo jina la Yesu (waislamu wahindu budha nk)hawamwabudu Mungu ila wanamwabudu shetani.
Mashallah Allah wabaarik
"Ukizungumza ukweli maneno ya Mungu usiwe na shaka Mungu atakusimamia tu"
You are the servant of God you will live long🙏🙏🙏😭
Ww unasapoti nn hapo? Wkt watu wana imani za ubaguzi na za kikatili?
Takbir Allahuakbar ☝️ Allahuakbar lailahailallah Mohammad rasullullah
Wala hatumshangai tunamuona snaitikadi kali ww unaweza badala yakusemea mashallah
Mungu akujaalie umri mrefu
Upuuzi mtupu kumbe hadi akimu naye anasupport . Mungu akuoneshe njia maana ulishapotea
Mh ongera ramadhani Kareem
Subukhanallah mungu kupe kila lakheri
Sheigh Mwaipopo, kuanzia leo nimebahatika kuona clip yako ya kwanza, natafuta na zingine zote na nitakuwa msikilizaji mzuri wa clip zako zijazo
Hawanaga hata point yaan niuchochez tu ndio maisha yao yaan badara kubadilisha maisha ya watu waache dhambi wao ni uchochezi
subhanallah subhanallah mtihan wallah
Allah akuzidizishie Zulu na baya
Pole sana Allah akuliepe
Nimeipenda SoMo lako Allah wakibal
Allah'Akibar 🤲🏿😭
Allah akusaidie😢
Laila haila llahu mohamadu rasululahi hakika allh atakuongoza mpk siku ya umulkayma
Poleni.
Ndagha Mwaipopo Kaka gwangu
Dah!! Wallah watumishi wa dini yanapitia tabu sana!
Mashalaaa
😭😭😭 Allah akulipe jannatul firdaus
Aammin
Aaammin
Amiin
Subhanallah
Kwanii ulisema yesu sio mungu,ubaguzi wa kidini.
Na pia wewe jiulize yesu atakuwa aje mungu
@@sophiamakokha9669 sophia kama mwanaume hajatahiliwa utamkubali.
Vijana wa alshabaab wanaumiza sana sisi wanyonge.Sheikh Mwaipopo wewe ndio uliyo shuhudia na ukweli wote kwa wale wasiojua angalieni majirani zenu wakenya tunavyoumia hususan katika maeneo ya lamu,mpeketoni,mandera,Garisa na maeneo mengi sana tu.Mungu atulinde inshaallah alshabaab sio watu wa mchezo.
Jeshi LA Allah hilo jeshi LA Kenya lina uwa waislam wenzetu huko ngoja na wao wakatwe shingo huko
Uliwa kafiri lazima uumizwe
Pple are soo selfish n GOD is otherwise, to me Muslim n Christians are brothers, but killing your brothers does not make you right before God
Hahaaaa kumbe Allah anaalishababu , siutaki wislam wa kuufikilia
@@petromachanga29 uislam haukuhitaji wewe Bali we we ndo unauihitaji uislam
Masha Allah Allah akuongoze
pp0
Allah akunusuru Hilo na jingine
Yaallah mpe shekhe mema ya finish na akhera
Mwaipopo unajua kuwadanganya waislamu alafu kumbe waislamu wanadanganyika kuliko wakrsto mwaipopo unajua tu kwamba unatafuta maisha kwa waislamu acha unafiki
Allah akulipi kher