HUZUNI YATANDA MSIKITINI KILICHOMKUTA SHEIKH MWAIPOPO KATIKA KUTANGAZA DINI UTATOKA MACHOZI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya CZcams ya SHEIKH MWAIPOPO TV
    ..
    Like pamoja na kushare
    kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
    ...............
    من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب
    ..
    مثل مع المشاركة
    للآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Komentáře • 485

  • @luswetichetekeilusweti2879

    Audhubilahi minasheitani rajim...Shari zote na zikuepuke sheikh Wetu...mawaidha yako yalifanya nisilimu...Jazakaala khaira.. Inshallah Mola akufanyia njiwa yako iwe nyepesi Katika kazi ya Allah (S.W).. Alhamdulillah ni mwangazani sasa

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Před 3 lety +5

    Sheikh yaani wewe ndo mwenyezi Mungu amekuchagua katika ushuhuda kuanzia uliposilimu mara tu alipokupa ulaini wa moyo kwa kuijua kweli! Nakuombea heri sheikh wetu!

  • @noblechild5652
    @noblechild5652 Před 3 lety +9

    😭😭😭Pole sana shayk. Allah akuhepushe na kila mabalaa. Utalipwa kila la kheri hapa dunian na Akhera inshaAllah 🙏

  • @josephatmgeka8678
    @josephatmgeka8678 Před 3 lety +1

    Amini ww kuwa yesu sio Mungu na dini kiristo sio dini ya Mungu Ila ni kwa Imani yk.. Tumsifu yesu kiristo milele amina

  • @enuelabunimkali9529
    @enuelabunimkali9529 Před 3 lety +24

    Neema ya mungu iwe juu yako Mtumishi!!!

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 3 lety +9

    Ishalla Mungu atakulipa frdaus shehe wetu pole kwayote Mungu yupo na nyny mkono Kwa mkono had pepon ishalla

  • @shamsaal-kindy4762
    @shamsaal-kindy4762 Před 3 lety +5

    Barakallahufik shekhe wetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe pamoja na waislam Amin yaa Rabil'Alamina

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 Před 3 lety +13

    Pole sana Allah awe nasi daiman ktk kheri sh. Fanya kazi yallah na allah atakulinda abadani

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed7006 Před 3 lety +20

    Mashaa-Allah ALLAH azidi kukuhifadhi sheikh mwaipopo (Nairobi kenya)

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 Před 3 lety +17

    Ma shaa ALLAH
    Ma shaa ALLAH
    Ma shaa ALLAH
    Wallahi shekh mwaipopo ALLAH akupe umri mrefu na tuzidi kuongoka

  • @omarijawadu4047
    @omarijawadu4047 Před 3 lety +6

    Allah akulipe kher shukran saan

  • @rukiauledi8179
    @rukiauledi8179 Před 3 lety +5

    Mashaallah Mwenyezi mungu akuhifadhi duniani na akhera

  • @yusufumaganga6128
    @yusufumaganga6128 Před rokem +1

    Nimepata faraja na furaha sheikh Allah aendele kukuhifadzi napepo iwe makiziyalo pamoja na mimi.
    Allah amin.

  • @ayushiashanty9818
    @ayushiashanty9818 Před 3 lety +5

    Pole sana shekhe Allah atakulipa kheri

  • @wardakanyinyi1325
    @wardakanyinyi1325 Před 3 lety +5

    Pole shekhe Allah ndiye muweza kwakweli

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Před 3 lety +16

    Pole Sana sheikh kwa yalio kupata. Allah atakulipa IshaaAllah

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 2 lety +1

    Yesu alisema :msifurahi kwa kuwa mapepo yanawatii bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni". Sio mnapata.wafuasi ama mapepo kuwatii.
    "Yasemeni / hubirini maneno ya Mwenyezi Mungu yenye kuleta amani, upendo na kheri duniani na ahera". Mbarikiwe

  • @kudramzee4638
    @kudramzee4638 Před 3 lety +7

    Subhanallah MWENYEZI MUNGU atunusuru

  • @maryamal-busayd416
    @maryamal-busayd416 Před 3 lety +2

    Maa shaa Allah. Allah akuzidishie shekhe

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 3 lety +1

    inshallah mwenyezi Mungu azidi kukupa subra! pole kwa mitihani iliyokukuta shekhe wangu.

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 Před 3 lety +2

    Mashaallah allah akuzidishie kheri katika maisha yako amiin

  • @ghaniyashaban9845
    @ghaniyashaban9845 Před 3 lety +13

    Allah atakuhifadhi in shallah sheikh kwa sababu una tangaza neno la Allah subhana llaha

    • @michaelmunene738
      @michaelmunene738 Před 3 lety

      Huo niuongo mtupu anasimulia mwaipopopo Somali wanawasumbua wakristo tu na siyo waislamu wacha uongo

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před 3 lety +9

    Pole san ust mwaipopo kwa yailyo kukuta 😭😭😭😭

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman3160 Před 3 lety +8

    Subhnllh...Allaah atunusuru na hayo..polesn

  • @najmashaame1030
    @najmashaame1030 Před 3 lety +9

    Waullah nimelia kwa imani allah ni mwema takibiiiir

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 Před 3 lety +2

    Mungu akulinde zaidi inshallah

  • @NASMEDIATV
    @NASMEDIATV Před 3 lety +6

    Masha Allah shehe mwaipopo, mungu akueke

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 Před 3 lety +1

    Allah akulipe kilaa la kheir,,
    Allah akujalie kwa dunia na akhera yako

  • @abeidneggopipoo2405
    @abeidneggopipoo2405 Před 3 lety

    Anaetetea dini ya ALLAH YUKO PAMOJA NAE MASHALLAH MUNGU AKULIPE KHERI

  • @nagmajoseph2675
    @nagmajoseph2675 Před 3 lety +2

    Nasma polesana shehe mwenywnzi mungu akurinde akuhepoahe nahayo mazwahama

  • @rashidissaabdulla6627
    @rashidissaabdulla6627 Před 3 lety +6

    Allah akuhfadhi na mabalaa

  • @rahakesho5550
    @rahakesho5550 Před 3 lety

    Subuhnallah m mungu atakupa ujira mwema na atakuandalia mahala pema peponi kwa kazi kubwa uliyoifanya na unayoendelea kuyafanya . Mnapata shida kubwa sana katika kuwaelimisha watu.

  • @mamiewana7224
    @mamiewana7224 Před 3 lety +5

    Allah akujaalie mwisho mwema

  • @barkemohamed4198
    @barkemohamed4198 Před 3 lety +2

    Allah atakulipa kheri from mombasa

  • @bonefasmallya1480
    @bonefasmallya1480 Před 3 lety +3

    Ma shaa Allah
    Masha Allah
    Allah akup umri mrefu shekh wetu

    • @ln3147
      @ln3147 Před 3 lety

      Umewadanganya hao waumini wako hakuna Mkristo anahangaika na mtu at kasema Yesu si Mungu anajitetea mwenyewe na km walikuumiza kwajili ya Hilo walukuinea au wewe ni Muongo ZAIDI ya YOTE YESU NI MUNGU UFAHAMU WAKO HAUELEWI

  • @tatuhongeranurushaus485
    @tatuhongeranurushaus485 Před 3 lety +3

    Manshallah,manshallah 😥😥😥😥😥😥pole sana sheikh wetu.

  • @khalidkiwelu7583
    @khalidkiwelu7583 Před 3 lety +1

    NAMUOMBA ((ALLAH)) AKIZIDISHIE KHER SHEIKH WETU

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 3 lety +4

    Taqbeer mashaallah allah walipe inshallah

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 Před 3 lety +2

    Pole sana Allah akulipe kheri

  • @musamusamm6418
    @musamusamm6418 Před 3 lety +2

    ما شا اللہ الحمد للہ علی نعمة الا سلا م

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 3 lety +3

    Masha Allah Allah akuhifadhi

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 3 lety +9

    Mashallah ishallah seheh wetu mungu atakulinda kwayote yLiyokufik ia llahyuko pamoja na wewe

  • @yasruhumile2438
    @yasruhumile2438 Před 2 lety

    Mwaipopo we ni jasili San inshallah mungu akujalie

  • @eliabuedward8755
    @eliabuedward8755 Před 3 lety +1

    Haswaaaa, tunahaja ya kuhubiri kweli ya Mungu Si vinginevyo.
    Note:DINI NI MAHALI PANAPOMWONGOZA MTU KUISHI KUTII, KUNYENYEKEA, KUPENDA NA KUAMINI. si mahali pa uchonganishi au uchochezi.

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani5331 Před 3 lety +3

    ALLAH akuzidishie kila jema

  • @shamilamuhamedi7904
    @shamilamuhamedi7904 Před 2 lety

    Mwaipopo mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 3 lety +1

    Amani iwe nawe daima🤲 Allah aliyekuwezesha majaribu hayo anakupenda kuliko unavyojijua

  • @zainabzainab9724
    @zainabzainab9724 Před 3 lety

    Subuanallah. Pole sheikh mwaipopo.malipo kwao kwa allah.

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před 3 lety +4

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 3 lety +2

    Allah akulipe kher sheikh wetu

  • @makamechapa5166
    @makamechapa5166 Před 3 lety +1

    Mungu akulinde na msimamo wako

  • @kaburashindika5617
    @kaburashindika5617 Před 3 lety

    Mashalaah allah akulipe mema khakiyamungu nimelia hadithi yakuhuzunisha nayenye mafundisho

  • @jamalabdul6113
    @jamalabdul6113 Před 3 lety

    Pole sheikh, ndio wanayopitia wenye imani hayo.

  • @mename6020
    @mename6020 Před 3 lety +14

    Mwaipowe Mwaipopo Alhabiby... Allah a kuhifadhi na akulipe malipo mema...

  • @princeeddiekingsley8719

    Pole jameni nimekuonea huruma mno hata japo mi si mwislamu .Mola akuneemeshe uishi miaka mingi uhubiri injili yake watu wamfahamu mwenyezi mungu wamwabudu yeye tu

  • @zainabomar9139
    @zainabomar9139 Před 3 lety +2

    Allah azidi kukuhifadh na akuepushie namabalaa

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D Před 3 lety +1

    Maa shaa Allah Allah akuzidishie🤗🤗🇪🇭🇪🇭

  • @hamzafishten4276
    @hamzafishten4276 Před 3 lety +2

    Tabkir Allah akulipe kwakweli

  • @rehemamwakinyaka3167
    @rehemamwakinyaka3167 Před 3 lety

    Ashukulliwe Mungu Alie juu aliekuokoa ameni

  • @boraimanijumamahenge7554

    Sheikh Mwaipopo.. Nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 Před 3 lety +1

    Pole sana allah akusimamia paka mwisho wako.

  • @asmamwatandara4109
    @asmamwatandara4109 Před 3 lety +1

    Allah azidi kukutilia wepesi kwa kila jambo

  • @ratohabi6459
    @ratohabi6459 Před 3 lety

    Yesu sio mwanadini. Yesu ni Neno la Mungu. Wewe na waisilamu ni wanadini na ni sawa tu. Akini Dini tu haitoshi, ndio mana unaona kuna unafiqi mwingi katika Dini zote ikiwemo Dini ya Islam. Yesu wachana nae yeye sio mwenzenu. Yesu ni Neno, Njia na Uzima. Punguzeni utapeli.

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 Před 3 lety +1

    Subhanallah... Shukran Jazaqallah kher Sheikh

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 Před 3 lety +1

    ALLAH AKULINDE SHEIKH WANGU MWAIPOPO.

  • @hassanmsipi4094
    @hassanmsipi4094 Před 3 lety +4

    Subhaanallah pole sana Shekh wetu 08:37 -09:04 pamenihuzunisha Sana

  • @katerelomkuyati6764
    @katerelomkuyati6764 Před 2 lety

    ALLAH AKBAR
    MUNGU AKUJAALIE MWISHO MWEMA

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Před rokem

    LAAHAULA WALA QUWWATI ILA BILAH SUBHANALLAH
    KWELI KABISA MANENO YAKO SHEKH
    اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين صلى الله عليه وسلم

  • @kihweleibra8568
    @kihweleibra8568 Před 3 lety +4

    mashallah....Allah akujalie afya njema

  • @user-ue4os3os7d
    @user-ue4os3os7d Před rokem

    allah akujalie maisha marefu shekhe,,,,,,,

  • @castrokassoga7271
    @castrokassoga7271 Před 3 lety +1

    Kwa nini dini ziko nyingi jawabu 2wathesalonike 2:4 yule mpingamizi ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama cha kuabudiwa hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu akijionesha nafsi yake kana yeye ndiye Mungu
    Shetani tangu mwanzo anataka kujifananisha na Mungu kwa hiyo alijua Mungu anapatikana na kuabudiwa hekaluni kwa hiyo na yeye ili aabudiwe ikabidi aingie hekaluni.
    1timotheo 2:3-6 hili ni zuri nalo lakubalika mbele za Mungu mwokozi wetu,ambaye hutaka watu waokolewe na kupata kujua yalio kweli kwa sababu MUNGU NI MMOJA NA MPATANISHI KATI YA MUNGU NA WANADAMU MWANADAMU KRISTO YESU ambaye alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote utakaoshuhudiwa kwa majira yake.
    Mungu ni mmoja na ili aabudiwe ni lazima aabudiwe kwa jina la Yesu
    Kwa hiyo wote wanaoabudu mungu pasipo jina la Yesu (waislamu wahindu budha nk)hawamwabudu Mungu ila wanamwabudu shetani.

  • @aliabeid3802
    @aliabeid3802 Před 3 lety +1

    Mashallah Allah wabaarik

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 2 lety +1

    "Ukizungumza ukweli maneno ya Mungu usiwe na shaka Mungu atakusimamia tu"

  • @janenabwire6629
    @janenabwire6629 Před 3 lety +4

    You are the servant of God you will live long🙏🙏🙏😭

    • @stanleyrocky2278
      @stanleyrocky2278 Před 3 lety

      Ww unasapoti nn hapo? Wkt watu wana imani za ubaguzi na za kikatili?

  • @munaahfarina2934
    @munaahfarina2934 Před 3 lety

    Takbir Allahuakbar ☝️ Allahuakbar lailahailallah Mohammad rasullullah

  • @user-bf1ps5cb4b
    @user-bf1ps5cb4b Před 9 měsíci +1

    Wala hatumshangai tunamuona snaitikadi kali ww unaweza badala yakusemea mashallah

  • @sikudhanichikambo4244
    @sikudhanichikambo4244 Před 3 lety

    Mungu akujaalie umri mrefu

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před 3 lety

    Upuuzi mtupu kumbe hadi akimu naye anasupport . Mungu akuoneshe njia maana ulishapotea

  • @hassankasimu1517
    @hassankasimu1517 Před 3 lety +2

    Mh ongera ramadhani Kareem

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 Před 3 lety

    Subukhanallah mungu kupe kila lakheri

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Před 3 lety +5

    Sheigh Mwaipopo, kuanzia leo nimebahatika kuona clip yako ya kwanza, natafuta na zingine zote na nitakuwa msikilizaji mzuri wa clip zako zijazo

    • @missmrs829
      @missmrs829 Před 3 lety

      Hawanaga hata point yaan niuchochez tu ndio maisha yao yaan badara kubadilisha maisha ya watu waache dhambi wao ni uchochezi

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety +3

    subhanallah subhanallah mtihan wallah

  • @rashidismail3006
    @rashidismail3006 Před 3 lety

    Allah akuzidizishie Zulu na baya

  • @shoottv4543
    @shoottv4543 Před 3 lety +1

    Pole sana Allah akuliepe

  • @paradisefelix1218
    @paradisefelix1218 Před 3 lety

    Nimeipenda SoMo lako Allah wakibal

  • @dralhajijbmatatala4580
    @dralhajijbmatatala4580 Před 3 lety +4

    Allah'Akibar 🤲🏿😭

  • @Salma-kf6xd
    @Salma-kf6xd Před 2 měsíci

    Allah akusaidie😢

  • @lelasalum555
    @lelasalum555 Před 3 lety +11

    Laila haila llahu mohamadu rasululahi hakika allh atakuongoza mpk siku ya umulkayma

  • @gracemwaipopo3209
    @gracemwaipopo3209 Před 2 lety

    Ndagha Mwaipopo Kaka gwangu

  • @binmweritz6843
    @binmweritz6843 Před 3 lety

    Dah!! Wallah watumishi wa dini yanapitia tabu sana!

  • @sauhatmoses5414
    @sauhatmoses5414 Před 3 lety +1

    Mashalaaa

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před 3 lety +10

    😭😭😭 Allah akulipe jannatul firdaus

  • @ismailradjabu3871
    @ismailradjabu3871 Před 3 lety +4

    Subhanallah

  • @michaelsaimonmuhojamichael8430

    Kwanii ulisema yesu sio mungu,ubaguzi wa kidini.

  • @mwenyembiozakenyingisana4105

    Vijana wa alshabaab wanaumiza sana sisi wanyonge.Sheikh Mwaipopo wewe ndio uliyo shuhudia na ukweli wote kwa wale wasiojua angalieni majirani zenu wakenya tunavyoumia hususan katika maeneo ya lamu,mpeketoni,mandera,Garisa na maeneo mengi sana tu.Mungu atulinde inshaallah alshabaab sio watu wa mchezo.

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 Před 3 lety

      Jeshi LA Allah hilo jeshi LA Kenya lina uwa waislam wenzetu huko ngoja na wao wakatwe shingo huko

    • @ibnqassim7002
      @ibnqassim7002 Před 3 lety

      Uliwa kafiri lazima uumizwe

    • @princessdaniella7217
      @princessdaniella7217 Před 3 lety +1

      Pple are soo selfish n GOD is otherwise, to me Muslim n Christians are brothers, but killing your brothers does not make you right before God

    • @petromachanga29
      @petromachanga29 Před 3 lety

      Hahaaaa kumbe Allah anaalishababu , siutaki wislam wa kuufikilia

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 Před 3 lety

      @@petromachanga29 uislam haukuhitaji wewe Bali we we ndo unauihitaji uislam

  • @habibumussa7712
    @habibumussa7712 Před 3 lety +1

    Masha Allah Allah akuongoze

  • @ashamaggimba747
    @ashamaggimba747 Před 3 lety

    Allah akunusuru Hilo na jingine

  • @ashianaser9275
    @ashianaser9275 Před 3 lety +1

    Yaallah mpe shekhe mema ya finish na akhera

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Před 3 lety

    Mwaipopo unajua kuwadanganya waislamu alafu kumbe waislamu wanadanganyika kuliko wakrsto mwaipopo unajua tu kwamba unatafuta maisha kwa waislamu acha unafiki

  • @kaismohamed7856
    @kaismohamed7856 Před 2 lety

    Allah akulipi kher