#Live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 12

  • @PrincePaul-z3s
    @PrincePaul-z3s Před 19 dny +1

    Acha uhuni ndugu yangu kumbe hata kupa bado kiukwer chama hawezi mfikia azzk Wala pacome SEMA Hujui mpira

  • @HijiraHussein
    @HijiraHussein Před 19 dny

    chamaaaaaaaaa mbna liko wazi mazeee

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula Před 19 dny

    Pakome aziz hawana mpinzani

  • @JumafMakwega
    @JumafMakwega Před 18 dny

    Acha poro za ajabu chama ni mchezaj mzuri lakini usiwashushe daraja wachezaji wengi kila mchezaji ana ubora wake huyo chama ana madhaifu mengi hakabi timu ikiwa haina mpira kwahiyo pacome azzk hata maxnzingeli bado wazuri kiliko chama wanajituma wanashambulia na kukaba chama mvivu kukaba sio mbora kuwazidi hao

  • @malitozzy3538
    @malitozzy3538 Před 19 dny

    Ww jamaa mshamba sanaa unaongea utumbo wako fala ww

  • @FiliMsambwa
    @FiliMsambwa Před 18 dny

    Anaumwa huyojama sisi kama yanga azizi ndokilakitu pale yangandomana analopwa mshahala mkubwa zaidi kuliko chama

  • @JumafMakwega
    @JumafMakwega Před 18 dny

    Huyu jamaa anajipotezea viwers anaongea bila kuweka akiba ya maneno anaweza huyo chama asipafomu vizur kuwashinda hao aliowakuta kwahiyo usiongee sana

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula Před 19 dny

    Mahaba yamepunguza weledi wako.

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus Před 20 dny

    wee jamaa me nakukataaa

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 Před 19 dny

    Azizi ki ni habari nyingine mjinga wewe

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus Před 20 dny

    Ata kama weee ni yanga bado sija ona point uliyo ongea chama ana goli ngap zakumfikia aziz mwaka huu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 19 dny

      Kwani CHAMA alikua kuzungukwa na wakina na pale Simba?