Askofu Malasusa alivyosimikwa Mkuu wa KKKT mbele ya Rais Samia, atakiwa kushughulikia.......
Vložit
- čas přidán 20. 01. 2024
- Askofu Alex Malasusa amesimikwa kuwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kutakiwa kuhakikisha anazishughulikia changamoto zinazoisumbua dunia kwa sasa.
Hongera baba yetu KKKT
Baba yetu mpendwa Mhashamu Askofu Malasusa,Mungu akuimarishe ktk utumishi huu.Hongera Sana Baba yetu.
🙏🙏🙏🙏
🤔🤔🤔