AALIYAH KWENDA KWA MGANGA KILA SIKU, LULU DIVA KUINGIA KAMA MCHAWI - HELLO MR. RIGHT
Vložit
- čas přidán 8. 12. 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Zábava
Wabongo wabunifu ila hawa watangazaji mko juu mubaki hivi watatu yani kila mtu anaongeza ladha fulani ,Mc,Lulu,Aaliyah!yani your chemistry on set and the playfulness I am getting to know people in a whole different way ,thanks for entertaining us ,ila Mganga Mtaalamu leo umeweza 😂😂😂 alafu Aliyah you are such a breath of Fresh air !ah Mc yaaaani wewe!hii kali Bwana 🇩🇪🇰🇪
Aliya u are so cute 🥰🥰🥰
Dj ni mchina au mbona haelewi ? Hii background music iko juu sana
Aaliya mzur sana 🎉🎉❤❤
The show is good but try to reduce music kwa background please nxt time
HUYO SOPHIE MBONA KAMA SIO YEYE😢😢😢ANATUMIA NINI MAANA KUANZIA SURA MPAKA HIYO SHEPU HAFANANI NA WA KWENYE AMELOWA🤦😢😭
Mtu hukua na kubadilika pia alafu camera pia zinachangia kwa mfano snapcharti na camera ya kawaida vitu viwil tofauti nadhan umeelewa mpenzi
DJ UNAZINGUA SANA NA MZIKI PUNGUZA SAUTI
Na Enjoy sana na hiki kipindi kwa kweli Much Love guys ❤❤❤❤
mbona background music sooo loud,. its not necessary manze,. inaudhi mbaya,..hadi ata huwasikii watu wakiongea
Sherry amependeza ajab,..
Yes that’s true and the to reduce to talk it’s takes too much time on that they need to on point look these people they just come for they it’s much time for nothing please l
SHIDA YENYU KUBWA NI HAMSOMI COMMENT ZA WATU, MAANA WENGI WANALALAMIKIA BACKGROUND MUSIC INAUDHI AJAB,...
Kali Sana Wong leee Niko macho naangalia
Hello Mr right tz
dj anazingua kipindi kizuri sema anaweka sauti ya mziki mkubwa
Nice 🎉🎉🎉🎉
MC GARA B mwambie dj atoage hiyo mlio wakati wa hoja et
Sahz hii iko pw sana aiseee
❤️❤️❤️⭐️⭐️⭐️
Hiki kipind asa hivi ni cha moto sana
Jamani mtavunja ndoa ya Garabi
Tumeinjoy Leo Sana maana una angalia mpaka narizika
Waaooooo umependeza Sana sijui kwann diamond alikuacha
Uwezo wa kumiliki 6 Kwa 6 ndiyo mtihani
Sio kupendeza tu Halia she is very beautiful Manshallah
Jaman watu hawaangalii uzur wa nje tu
A taka mwengine
Hyo background music jaman
Hahahaaa eleza hisia zako mama i😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lulu diva😂😂😂😂😂mganga mtaalamu😂😂😂
Mm nataka kuja mnapatikana wap
Garabi naomba no ya Aliya
Ila hamorapa yah kibao
Ehe mbona mkali wenu alishaoa na mtoto na wanaishi WOTE inakuaje aje hapo
nawauliza mbona warembo hawaulizwi waliolewa au Bado
Harmorapa Shikamoo
😂😂😂😂😂Shuhuli ipo
😂😂😂 nimecheka sana
@@agnesjohn9382 kwa kwel ucheke tu 😂🤣🤣
niko Saudi arabia
mnauliza waume tu
Hyu ni sajo wa shilling
warembo pia waulizeni waliolewa au bado
Harmorapa nini shida🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
vipi hali zenu
Aaliyah am happy umependeza sana mwambie garab umetisha sana mwamba mm mshabiki sana wa kipindi chenu
😂
Hii show ni 🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Harmoraper 😂😂😂😂 mwamba huyu hapa
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅
Show kalii😂❤
😂😂😂😂😂😂😂
Glb utoki masikini dada wa watu atulie