Katika kitu ambacho sijategemea nikuona viongozi was dini kushindwa kujua wanacho takiwa kufanya kama unatakakutenganisha uarabu na uislamu harafu ukaunganisha ukristo na uzungu ndipo naonani wapiga dili
Mungu anajua lugha zote ILA ikija wakati w kuitana pamoja kwa kufanya ibada n kiarabu maana quran n kiarabu kitupu ikija kwenye dua unaeza ukaomba kwa lugha yyte ILA KWENYE SWALA N KIARABU N KUISOMA QURAN TUKUFU♥️
Www kweli unatumia nguvu zako mwisho wako upo karibu we muongo sana naomba nipate muda ukiwa tayar kudhihirisha uongo wako ww unatafuta wafiasi acha kujitapa hujui lolote unawapoteza wenzako hovyo sana
Kwanza shekh acha uongo hakuna sehemu biblia inasema hivyo umepotoka na unawapotosha wengine acha kama kitu hukijui vizur usikisemee mm nimeisoma biblia vizur sana huu ni upotoshaji mkubwa
Unaposoma unaelewa nini au unasoma kwa kutamka ndy maana Kuna ufahamu ww umesoma ila huna ufahamu wa hicho unachokisoma na watu kama ww ni wengi sana wanapotosha wengi sana
@@buremalyatabu3517wewe unapinga nini hata hio dini huna ukiulizwa dini Gani unayo unasema Mimi ni kristo, kaka Hilo ni jina la yesu mjinga mkubwa wee,
Sheikh Shafi Allah amekujaaia unakipaji san cha kuzungumz wallah.❤❤❤
Shehke alla akuhifadhi unaupiga mwingi
😂😂😂😂 Allah akulipe kher inshaallah ❤
Tuamkeni waislam
Tuwekana sawa shehe kakosea kidogo ni WAKORINTHO WA KWANZA(1)11:5 sio wa pili jaman
Ww husen rajabu kichwa chako hakipo sawa
Eti Kiarabu Imani za matendo
Wanaume kufunika kichwa kama wanawake kwa mujibu wa neno la Mungu ni AIBU .
Katika kitu ambacho sijategemea nikuona viongozi was dini kushindwa kujua wanacho takiwa kufanya kama unatakakutenganisha uarabu na uislamu harafu ukaunganisha ukristo na uzungu ndipo naonani wapiga dili
Mavazi hayana mibingu Yesu ndio wa mhimu
Hadithi na Neno la MUNGU nivitu viwili tofauti
KWahiyo nyiee mungu wenu ..anajua lugha moja tu?
Mungu anajua lugha zote ILA ikija wakati w kuitana pamoja kwa kufanya ibada n kiarabu maana quran n kiarabu kitupu ikija kwenye dua unaeza ukaomba kwa lugha yyte ILA KWENYE SWALA N KIARABU N KUISOMA QURAN TUKUFU♥️
Dini haina mbingu
Www kweli unatumia nguvu zako mwisho wako upo karibu we muongo sana naomba nipate muda ukiwa tayar kudhihirisha uongo wako ww unatafuta wafiasi acha kujitapa hujui lolote unawapoteza wenzako hovyo sana
Pole sana
Hii kweli
Kama huyo ni muongo Chief Haina shida, Lete ushahidi wa maandiko au tuma tafsri ya hayo maandiko aliyonukuu
Vipofu siku zote wanataka waongoze huyo Bwana anakosowa Biblia kwa maandishi ya humu bila kutowa ushahidi wa kumkosoa shekhe
Wewe ndiyo biblia huijui kabisa!
unajua waislam sio imani iyo ni kikundi cha wapiga ngoma
Allah akuongoze n akupe Kauli njema
Nyie ndio wapoga Ngoma uko kanisani wake kwa waume mbwa walio potea
UISILAMU HAKUNA DINI HAPO
Unasemaje we fyatu
Ww dini yako ni ipi tuijue
UMEPOTOKA SHEKH😂
Huna lolote
Kwan hujaerewa
Adhana mbona hata Ugeruman waislaam wapo wanapiga adhana kama kawaida huyo mzungu rufiji huyo kwa wandenge🤣🤣🤣🤣
Kwanza shekh acha uongo hakuna sehemu biblia inasema hivyo umepotoka na unawapotosha wengine acha kama kitu hukijui vizur usikisemee mm nimeisoma biblia vizur sana huu ni upotoshaji mkubwa
Wew aujaisoma bali umepita pita2
Unaposoma unaelewa nini au unasoma kwa kutamka ndy maana Kuna ufahamu ww umesoma ila huna ufahamu wa hicho unachokisoma na watu kama ww ni wengi sana wanapotosha wengi sana
50: 6 yeremia yenyeweumeisoma ukaielewa?
@@buremalyatabu3517wewe unapinga nini hata hio dini huna ukiulizwa dini Gani unayo unasema Mimi ni kristo, kaka Hilo ni jina la yesu mjinga mkubwa wee,
Ww wamfika shafii basj nenda upambane naye kwenye midahalo mapaster wenyewe wamkimbia wacha kuropokwa
😂😂😂😂😂
Mtu mnzima hovyo uongo ni dhambi huna jipya la kusema
Tupe moja l kweli