Biblia inasema mwanamke asipofunika kichwa amelaaniwa - Sheikh Shafi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 61

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 3 měsíci +1

    Sheikh Shafi Allah amekujaaia unakipaji san cha kuzungumz wallah.❤❤❤

  • @allyjuma9299
    @allyjuma9299 Před rokem +2

    Shehke alla akuhifadhi unaupiga mwingi

  • @miishhassn
    @miishhassn Před rokem +2

    😂😂😂😂 Allah akulipe kher inshaallah ❤

  • @shijagan6671
    @shijagan6671 Před rokem +1

    Tuamkeni waislam

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Před rokem +3

    Tuwekana sawa shehe kakosea kidogo ni WAKORINTHO WA KWANZA(1)11:5 sio wa pili jaman

  • @user-ys5hz1kz6r
    @user-ys5hz1kz6r Před rokem

    Ww husen rajabu kichwa chako hakipo sawa

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 Před rokem

    Eti Kiarabu Imani za matendo

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Před rokem

    Wanaume kufunika kichwa kama wanawake kwa mujibu wa neno la Mungu ni AIBU .

  • @MathewPagi
    @MathewPagi Před rokem

    Katika kitu ambacho sijategemea nikuona viongozi was dini kushindwa kujua wanacho takiwa kufanya kama unatakakutenganisha uarabu na uislamu harafu ukaunganisha ukristo na uzungu ndipo naonani wapiga dili

  • @mariosigala8760
    @mariosigala8760 Před rokem

    Mavazi hayana mibingu Yesu ndio wa mhimu

  • @mariosigala8760
    @mariosigala8760 Před rokem

    Hadithi na Neno la MUNGU nivitu viwili tofauti

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 Před rokem

    KWahiyo nyiee mungu wenu ..anajua lugha moja tu?

    • @MesaidaMatano
      @MesaidaMatano Před 5 měsíci +1

      Mungu anajua lugha zote ILA ikija wakati w kuitana pamoja kwa kufanya ibada n kiarabu maana quran n kiarabu kitupu ikija kwenye dua unaeza ukaomba kwa lugha yyte ILA KWENYE SWALA N KIARABU N KUISOMA QURAN TUKUFU♥️

  • @mariosigala8760
    @mariosigala8760 Před rokem

    Dini haina mbingu

  • @info-w4l
    @info-w4l Před rokem

    Www kweli unatumia nguvu zako mwisho wako upo karibu we muongo sana naomba nipate muda ukiwa tayar kudhihirisha uongo wako ww unatafuta wafiasi acha kujitapa hujui lolote unawapoteza wenzako hovyo sana

  • @victorgasper7563
    @victorgasper7563 Před rokem

    unajua waislam sio imani iyo ni kikundi cha wapiga ngoma

    • @MesaidaMatano
      @MesaidaMatano Před 5 měsíci +1

      Allah akuongoze n akupe Kauli njema

    • @sakinamohamed5518
      @sakinamohamed5518 Před 5 měsíci

      Nyie ndio wapoga Ngoma uko kanisani wake kwa waume mbwa walio potea

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 Před rokem

    UISILAMU HAKUNA DINI HAPO

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 Před rokem

    UMEPOTOKA SHEKH😂

  • @user-tr8rs4iz6s
    @user-tr8rs4iz6s Před rokem

    Huna lolote

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 10 měsíci

    Adhana mbona hata Ugeruman waislaam wapo wanapiga adhana kama kawaida huyo mzungu rufiji huyo kwa wandenge🤣🤣🤣🤣

  • @info-w4l
    @info-w4l Před rokem +2

    Kwanza shekh acha uongo hakuna sehemu biblia inasema hivyo umepotoka na unawapotosha wengine acha kama kitu hukijui vizur usikisemee mm nimeisoma biblia vizur sana huu ni upotoshaji mkubwa

    • @hassanmpwepwe3826
      @hassanmpwepwe3826 Před rokem +1

      Wew aujaisoma bali umepita pita2

    • @info-w4l
      @info-w4l Před rokem

      Unaposoma unaelewa nini au unasoma kwa kutamka ndy maana Kuna ufahamu ww umesoma ila huna ufahamu wa hicho unachokisoma na watu kama ww ni wengi sana wanapotosha wengi sana

    • @buremalyatabu3517
      @buremalyatabu3517 Před rokem

      50: 6 yeremia yenyeweumeisoma ukaielewa?

    • @user-yo5ez7pm8e
      @user-yo5ez7pm8e Před rokem

      ​@@buremalyatabu3517wewe unapinga nini hata hio dini huna ukiulizwa dini Gani unayo unasema Mimi ni kristo, kaka Hilo ni jina la yesu mjinga mkubwa wee,

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      Ww wamfika shafii basj nenda upambane naye kwenye midahalo mapaster wenyewe wamkimbia wacha kuropokwa

  • @selemanyousuf8160
    @selemanyousuf8160 Před rokem

    😂😂😂😂😂

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před rokem

    Mtu mnzima hovyo uongo ni dhambi huna jipya la kusema