TRA ARUSHA YANASA KIWANDA BUBU POMBE KALI MMOJA AKAMATWA KILA KITU NI FEKI WATOA ONYO KALI
Vložit
- čas přidán 7. 06. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Mbona gongo hamkamati au kwa sababu ya kuweka kwenye chupa,sahivi mmelala ndip maana wanaibuka watu wa namna hii kufanya serikali kupoteza mapato. Toeni dau watu watoe taarifa bure
walevi mnauwawa kirahisi saana siku hizi
uroho wenu wa pombe unawababua figo na ini mapemaaa
acheni tuu pombe muwe salama
MWENYE KIWANDA HICHO TUNDU LISSU😂😂😂
Makonda kaja. Yatajulikana mengi tu. Vijana arusha wanaharibika sana kwa pombe na vilevi vingi tuuu
Shindwa kwa jina yesu amuoni vijana wanavimba mashavu mnafurai eti kodi
Ukiona limenuka ujue kuna mtuu kawachoma
Na sababu ya kuchomwa n huenda walikuwa hawajalipa vijana wao helaa
Zinamaliza vijana Arusha wamachinga wote wanauza hizi pombe kwenye viski tusaidie
Zimeanza Kila Kona pitia kwenye viosk hii nchi jamani kz ya wamachinga ni kuuza pombe Fanya uchumguzi stendi ya usa na tengeru
Wafungwe
Ndio mana wanakunywa kidogo tu ubongo unataka kuuwa Arusha IPO kazi
Arusha kuna mambo yaani ila spana inawahusu
Taratibu za nini we funga kiwanda pombe zibaki za mimea tu
Ci munawakamata munawasaindia hili wafanye kazi