TRA ARUSHA YANASA KIWANDA BUBU POMBE KALI MMOJA AKAMATWA KILA KITU NI FEKI WATOA ONYO KALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 06. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Komentáře • 14

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před měsícem +2

    Mbona gongo hamkamati au kwa sababu ya kuweka kwenye chupa,sahivi mmelala ndip maana wanaibuka watu wa namna hii kufanya serikali kupoteza mapato. Toeni dau watu watoe taarifa bure

  • @hamynas
    @hamynas Před měsícem +2

    walevi mnauwawa kirahisi saana siku hizi
    uroho wenu wa pombe unawababua figo na ini mapemaaa
    acheni tuu pombe muwe salama

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MWENYE KIWANDA HICHO TUNDU LISSU😂😂😂

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před měsícem

    Makonda kaja. Yatajulikana mengi tu. Vijana arusha wanaharibika sana kwa pombe na vilevi vingi tuuu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Shindwa kwa jina yesu amuoni vijana wanavimba mashavu mnafurai eti kodi

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa Před měsícem

    Ukiona limenuka ujue kuna mtuu kawachoma
    Na sababu ya kuchomwa n huenda walikuwa hawajalipa vijana wao helaa

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Zinamaliza vijana Arusha wamachinga wote wanauza hizi pombe kwenye viski tusaidie

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Zimeanza Kila Kona pitia kwenye viosk hii nchi jamani kz ya wamachinga ni kuuza pombe Fanya uchumguzi stendi ya usa na tengeru

  • @evancetilya167
    @evancetilya167 Před měsícem

    Wafungwe

  • @Bettylaizery
    @Bettylaizery Před měsícem

    Ndio mana wanakunywa kidogo tu ubongo unataka kuuwa Arusha IPO kazi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem

    Arusha kuna mambo yaani ila spana inawahusu

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Před měsícem

    Taratibu za nini we funga kiwanda pombe zibaki za mimea tu

  • @joellongidare8280
    @joellongidare8280 Před měsícem

    Ci munawakamata munawasaindia hili wafanye kazi