KUPIGWA RISASI KWA TUNDU LISU, NAPE ATOA YA MOYONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 19

  • @miriamthaimon9797
    @miriamthaimon9797 Před 7 lety +3

    hizo zote ni inshu za makufuli kuuzima upinjani na hatofanikiwa mungu mkubwa kwenye

  • @rabielulomi8607
    @rabielulomi8607 Před 4 lety +1

    Ck hizi lakini umembadilikia japo mambo tofauti na mtazamo wako wa mwanzo.

  • @josephatshamba1677
    @josephatshamba1677 Před 7 lety +2

    kweli there is something behind the government must tells Tanzanian Truth I can't believed where we are heading

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 Před 3 lety

    Tanzania tayari ina sura mbaya duniani.

  • @vicentigiboregibore1007
    @vicentigiboregibore1007 Před 5 lety +1

    John Motto atakua mtekaji huyo

  • @hemedslim2787
    @hemedslim2787 Před 7 lety +1

    Mungu ndio mjuzi zaidi

  • @philemonnestory3216
    @philemonnestory3216 Před 7 lety

    John moto huenda ukaisaidia polisi maana inaelekea ukahusika

  • @mohamedkaraturamohamedkara1085

    Uposawa nape

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel9232 Před 4 lety

    Hii ndioo Tanzania ya Amani

  • @mwakaloboambele5161
    @mwakaloboambele5161 Před 4 lety

    Nape ww ni mwanaume

  • @jacksonmbalamila4714
    @jacksonmbalamila4714 Před 7 lety +1

    sema kaka

  • @ayubuwmwakitu7239
    @ayubuwmwakitu7239 Před 7 lety

    john moto wewe ni mkundu kbs

  • @miriamraphael3756
    @miriamraphael3756 Před 7 lety

    wewe una lolote umeshakengeuka kwa kunyangwaywa madaraka,hilo neno la wasiojulikana leo ndio umelisikia kwa lisu , watanzania wangapi wanapigwa risasi hadharani mbona auongei, MUNGU IBARIKI TANZANIA.lisu tunakuombea Mungu ni mwaminifu bado anakupenda utapona haraka

  • @johnmotto6366
    @johnmotto6366 Před 7 lety +1

    issue sio kusema hadharani ,aliripoti kwenye kituo chochote cha polisi?wewe ulimuomba kitambulisho lakini kwa bahati mbaya hakusikia vizuri akahisi unamuomba BASTOLA na akakuonyesha,hiyo inatokea REFEREE kutoa kadi NYEKUNDU badala ya kadi ya NJANO.

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 Před 7 lety

      JOHN MOTTO duh kweli ndugu unaulewa 0

    • @lucassabida789
      @lucassabida789 Před 7 lety

      JOHN MOTTO
      We John acha ujunga

    • @festomagesa8690
      @festomagesa8690 Před 7 lety +1

      JOHN MOTTO Acha kupotosha umma we we, Mara ngapi traffic polisi wamefukuzwa kazi baada ya Taarifa za kuenezwa kwenye mitandao? Ni nani huwa anaripoti police? Kwann serikali inavifuatilia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii na ama kuvifungia au kuwakamata wahusika, kuna yeyote huwa anaenda polisi kutoa Taarifa. Na kusudi la kuwepo kwa vyombo vya habari hasa ni nini?

    • @jsisso7467
      @jsisso7467 Před 7 lety

      JOHN MOTTO we nae acha upotoshaji