Jamaa amuua nduguye kufuatia mzozo kuhusu ng'ombe Nandi
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2024
- Wakazi wa kijiji cha Seretunin wameshangazwa na tukio ambapo mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 28, anadaiwa kumuua kwa kumdunga kisu nduguye mdogo kufuatia mzozo kuhusu uuzaji wa ng'ombe wao.
wakazi wanasema kuwa jama ahuyo alikuwa mlevi alipomshambulia kakake. Wakazi wanalaumu polisi kwa kushindwa kukabiliana na biashara haramu ya pombe. Wanaitaka hatua za dharura zichukuliwe kushughulikia suala hili na kuzuia maafa zaidi kutokea.
Pombe ni kisingizio tuu.
Lengo na thamira haibadiliswi na ulevi.
Mtu wakafanya kile anaitaji anaweza ifanya tu bt c kuzingizia pombe
Pombe + mbagi + mukuka = kuua, kujiua, ama reaping
Yaani unapenda ngombe kuliko ndugu yake?
Sasa wewe unasema nini?
UDA
@@erickanyugo3253In other words anasema huyo jamaa anaua ndugu yake kwa sababu ya ng'ombe?
Ata wewe unapenda mshahara kuliko dugu yako