🔴LIVE: TANGA MJINI MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Sdílet
Vložit

Komentáře • 4

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Před dnem

    Chadema ni chama madhubuti sana but kinapoteza mvuto kwa kauli zenye kuashiria ubaguzi

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před dnem

    Lema Lema.
    Mifano ni mizuri na ndicho kinaleta umasikini! Je tutawezaje kuwasaidia hawa GEN Z!!
    Haya mahesabu hayajai kwa watu hawa wanaokusikiza!

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 Před dnem

    Lema wewe ni kamanda

  • @kingj9606
    @kingj9606 Před dnem

    KUHUSU MSIGWA:- Wanasemaga mbwa hawezi kula matapishi yake, ila leo ndo imekuwa ukweli. Yaani Mchungaji mzima na yale yote aliyosema kwa ccm leo hii anasema anaenda kukijenga chama?. Kwa hiyo chama kiendelee kuteka watu, kupoteza au na kuiba, n.k. 😂. Kwani huwezi kujenga nchi bila kuwa na chama?. Mbona watanzania wengi wanaijenga nchi na hawana hata chama. Hao wauza karanga kariakoo wanaolipa kodi TRA hawaijengi tanzania?. Au kwani Bakhresa ushawahi msikia anasema anasubiri mwenyekiti wa ccm amwambie nini afanye kujenga tanzania?. 😂.