#Live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • #arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
    #tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
    Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
    From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
    WATCH ARISE AND SHINE TV
    AZAM CHANNEL 469
    STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.

Komentáře • 55

  • @user-fz1qz3fz3q
    @user-fz1qz3fz3q Před 27 dny

    Mungu naomba unisaidie niongezewe mshahara kazini na pia Mungu naomba kibali kazn na kwa bosi wangu na Kila mahali

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nikombolee familia yangu yote na bibi yangu appne magonjwa yote na shangazi yangu uzidi kumpa sfya njema na nguvu akae na bibi yetu na watoto wangu vizuli mungu nisaidie

  • @EuniceKatabi2244
    @EuniceKatabi2244 Před 27 dny

    Apostle naomb uniombee mim nimdzidwa na madeni na kutopata kazi na mtaji naamin kwako napokea. Amen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nisaidie nimezidiwa na madeni mungu nitoe pepo la kiroho la madeni nyamazisha wadeni wangu wote mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakushulu kwa kuniamsha salama aminaa

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba uwajalie rajabu na wenzake na siku ya leo wakienda kuchimba wapate jiwe kubwa mungu wasaidie wapate ela nyingi mungu wasaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu mshushie baraka mpenzi wangu rajabu apate ela nyingi ili tuishi vizuli mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba nataka rajabu daudi awe mume wangu kabisa na kila anapo kaa awe ananifikilia mm mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Ewe mungu nakuomba umoe tatu moyo wa kunisaidie akanizamini mungu msaidie

  • @babyjane-u2z
    @babyjane-u2z Před 27 dny

    Nataka watoto wangu wote wapate kibali najose asvutebangi asinywe pombe ❤❤❤❤

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba mwanangu abuu apate chuo kizuli na afaulu mungu nisaidie

  • @user-je6kg5ou1u
    @user-je6kg5ou1u Před 27 dny

    Mm neema Julia's kitundu naomba MUNGU anipehekima na marifa mtume mm ninamimba naomba uniombee aliye nipa mimba aniowe Tena Kwa ndo naomba MUNGU anisaidie katika uchumi wangu na kazin niongezewe mshara na ambaye nimtalajiwa wangu naomba afanikiwe kwenye biashara zake na amini bwana atatenda

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba dua zote ninazoxiomba na maombi kuhusu madeni ya mchexo ya mitaani mungu yapokee kwa haraka na uyajibu kwa haraka hawa wtu wasinisumbye wakiniona waone km hamna kitu mungu nisaidie

    • @RoseWilliamhokoror
      @RoseWilliamhokoror Před 27 dny

      Mung nakuomb unijb na mm Leo mumewang anitafut na Kam sio saii unip mume mwingin saii

    • @TumainiNgonyani
      @TumainiNgonyani Před 27 dny

      Namwombea mungu mdogo wangu apone ziwa kwa jina la yesu itawezekana tuu

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba kwa siku ya leo ela yote niliyo panga niioate mungu nisaidie niipate na zaidi kwa njia yyte mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba darazia dada wa mashuka subila kk wa dukani hadija asia noela agines tatu hamida j richi diki bonge dazuu wote nilio waandika hapa nakujabizi kwenye mazabao hii naomba wafanye km hawanidai wasahaulishe na rehema mpaka nopate ela niwalipe mungu nisaidie

  • @euniceedward-xh8zy
    @euniceedward-xh8zy Před 27 dny

    Mungu wa mwamposa ninaomba nipone AFYA Nikipima majibu yatoke vzur

  • @TatuAbdhallah
    @TatuAbdhallah Před 27 dny

    Apostle naomba uniombee kuhusu mume wangu uchumi na mimi nipate kaz na biashara

  • @VanessaRippel
    @VanessaRippel Před 27 dny

    Mtumishi mimi naomba uponyaji ugonjwa wa p. Shorster

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mungu nakuomba tatu nikiongea nae kauli moja tu akubaki kunizamini mungu nisaidie

  • @AnaRafaelNamuembe
    @AnaRafaelNamuembe Před 28 dny

    Kesi zimeisha zote amen

  • @user-oy7qi6st1j
    @user-oy7qi6st1j Před 27 dny

    Mungu naomba kibariiii

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Amen amen

  • @TumainiNgonyani
    @TumainiNgonyani Před 27 dny

    Naombea ndoa yangu idumu milele hakuna shetani wakutikisa

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nihamie nyumba iliokuwa sahihi ndani ya mwezi huu

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka ndugu zetu wa ulaya wote warudi tanzania kwa haraka wahamie zinga bagamoyo

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka mwajuma abdallah aende kanisani kawe kusali

  • @khadijamwawira9025
    @khadijamwawira9025 Před 28 dny

    Pastor mm nashida sana sina amani nishindwa sijui nifanye nn shule yngu imeanguka biashara zngu zimezama Niko na madeni Kila mahali nimefika mwisho niombe mchungji ukiniacha bs sijui nifanye nn

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nizione siku zangu kwanjia sahihi na kwa haraka

  • @VanessaRippel
    @VanessaRippel Před 27 dny

    Naomba mchungaji uniombee nina ugonjwa wa Herpes shorster

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka saida ngoma amsaidie mamaangu mwamtoro ngoma NAMTENGANISHA na na watu wasio sahihi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka mamaangu mwamtoro ngoma NAMTENGANISHA na na watu wasio sahihi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nipate kadi yangu yangu ya Benk kwanjia sahihi na kwa haraka

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka kujuakusuka kwa haraka na kwanjia rahisi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka dadaangu mwali na shuruti warudi tanzania kwa haraka wahamie zinga bagamoyo

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka mwanangu Karimu kantoni afaulu mitihani na achagulìwe kwenda darasa la tano

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nizidiwe na wateja kwenye biashara zangu

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka kesi zangu zote ziishe kwa haraka na kwanjia sahihi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka naitenganisha nyumba yetu vitu vyote vibaya vitoke kwa haraka na kwanjia sahihi

  • @toninhotembe2537
    @toninhotembe2537 Před 27 dny

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka mwanangu binur juma awe na kipaji shuleni na apate mfadhili wakumsomesha kwa haraka na kwanjia rahisi na sahihi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nipone maradhi yote kwa haraka na kwanjia sahihi na kwa haraka

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nipate mtoto wa kiume baba wa mtoto awe annuary Ally Hassani Kukera

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka kakaangu iddi abdallah apate cheo cha uwenyekiti achaguliwe na wanakijiji wote wa zinga bagamoyo

  • @HRISServices
    @HRISServices Před 27 dny

    Kuna yeyote awezaye kunipa link ya zoom ya ARISE and SHINE?

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka msiba abdallah aache kuuza mifuko na afirisiwe

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nipone macho kwa haraka na kwanjia sahihi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka nipone UTI na P ID

  • @user-wm7dw4oh2x
    @user-wm7dw4oh2x Před 28 dny

    Kesi iliyonikabili ya michango imekwisha

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka kakaangu Adam abdallah apone Maradhi yake na mguu gotini apokee uponyaji kwa haraka na kwanjia sahihi

  • @ZureyaAlly
    @ZureyaAlly Před 27 dny

    Zulfa abdallah nataka kakaangu Adam abdallah apate mtu wakukodi kwa haraka

  • @TumainiNgonyani
    @TumainiNgonyani Před 27 dny

    Shetani Hana mamlaka kwangu

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed Před 27 dny

    Mingu msaidie mpenzi wangu rajabu afanikiwe achimbe apate jiwe kubwa sana na akiuza apate ela nyingi mungu msaidie kuwe na wepesi kwenye uchimbaji wake

  • @user-lv7wt6tj4j
    @user-lv7wt6tj4j Před 27 dny

    Amen