PART4:MWANAUME MCHAWI AELEZA ALIVYOKUWA ANAKULA NYAMA ZA WATU KWA UCHAWI,UGANGA NA KUUA KWA BUNDUKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 234

  • @salmakiyabosiriyamachoziha8756

    Tunajifunza mengi jinsi ulimwengu wa roho ulivyo mungu tusaidie kwa uwezo wako tupe nuru yako mungu tuweze kuzishinda

  • @joycesycherlwy3835
    @joycesycherlwy3835 Před 3 lety +3

    Ametudanganya shanga nyingine ni za urembo Tu yeye ameshudia wachawi pekee yako, maana yeye alikua kwenye dunia ya giza,sisi tupo watumishi wa Mungu na Mungu wa mbingu na nchi , Jehovah mfalme wa wafalme , anatutumia sana tena

    • @veeinn7965
      @veeinn7965 Před 3 lety

      Mimi hapa nimeishiwa pozi kuhusu shanga mbona shanga nyingine za urembo tuu tutasia mengi

    • @anthonysindabaha7517
      @anthonysindabaha7517 Před 3 lety

      Nlijua tuu hiii sehem ya shanga mtakao comment ni mademu 😂 nyie vaeni tuu heheheh

    • @user-vc4xc7xg7j
      @user-vc4xc7xg7j Před 10 měsíci

      Jiulize kiwanda cha shanga tanzania kiko wapi? Shanga tu pekeyake nikamakao ya mapepo aijalishi unavaa kwa maana gani

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 Před 3 lety +1

    Uyu mzee katunganya sana vikuku shanga Pete wengii uvaa kwaajilii ya urembo

    • @barakashamba5811
      @barakashamba5811 Před 3 lety +1

      Wewe ndio unaona urembo kwasababu huna maarifa ya ulimwengu wa roho

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 Před 3 lety +1

    Binafsi huwa simuelewi mtu anaevaa vikuku miguuni,wala Pete miguuni.Ni ushetani kabisa 👐.Mtu akinuna kwa hii comment yangu aje tu atukane aondoke.YESU NI BWANA🙏

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Před 3 lety +1

    Hizo shanga na vikuku huwa natamni sana kuvivaa ila roho inasta sana, nahaka kamguu kangu kha bia nikivaa kikuku unadamsh 😂😂😂😂😂😂😋

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      We vaa my unaani niulembo Kwa yeye ndio anamini kuwa ni maajet wa shetani kila mmoja na fikira zake

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před 3 lety

      @@fatmaalrshdii7615 bibi yangu alikuwa anavaa sana kipindi nakuwa namuona sijui kwasasa ila yeye alikuwa anavaa za kiunoni na shingonii.

    • @floralaizer5685
      @floralaizer5685 Před 3 lety

      Siyo kila mtu akivaa ndo kaambiwa mbona sisi wamasai tunava miguuni na kiunoni hata watoto wadogo huvishwa duuh sio kweli shanga zote za kishetani

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 Před 3 lety +4

    Bac masai wote ni ma agent....dooh, ili chaka

    • @lizzybeth6344
      @lizzybeth6344 Před 3 lety +1

      Mmh pia nashangaa huyu baba apana

    • @fatmamucha4419
      @fatmamucha4419 Před 3 lety +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @barakashamba5811
      @barakashamba5811 Před 3 lety

      Hujui kuwa wamasai ndio wanaongoza kwa matambiko ya mizimu ambazo ni roho za kuzimu? Angalia wamasai wote waliookoka kama wanafanya mambo hayo hutaona

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Před 3 lety +2

    Davister mwanangu usije jaribu kwenda kuzimu. Lazima nawe watakuweka nembo ya kuwa mwanachama wa kuzimu take care.

    • @jessekingston8142
      @jessekingston8142 Před 3 lety

      Pro trick: you can watch series on Flixzone. Been using it for watching loads of movies recently.

    • @milankylan7037
      @milankylan7037 Před 3 lety

      @Jesse Kingston Definitely, I have been using flixzone} for since december myself :)

  • @user-wy6tv5uq5c
    @user-wy6tv5uq5c Před 7 měsíci

    Kwa kwelii shanga sijawai zipenda

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 Před 3 lety +2

    Najikuta nacheka maan baada ya kaka jambazi kutolea mfano wa shaga kuwa shanga zote niza maajenti ila mm nimeelewa sana kuwa kunavitu vingine tunavifanya kwa kufata mikumbo ndomana tunakutana na mabo magum ambayo hatuju chanzo chake nini Kumbe ndo hivyo vitu kati ya vingi ambayo tunaviona ninyakawaida kumbe vina vyanzo vyake au vimenenewa laan toka vikiwa kiwandani

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety +1

    Napenda Sana kuvaa vikuku ila sijawai kwenda Kwa mganga sijawai ata Kuota ndoto kuwa nipo mazingira tofauti ebu niache mi niendelee kuvaa

  • @sheikhabdallahiddi3350
    @sheikhabdallahiddi3350 Před 3 lety +2

    jamani ni ukweli huyu jama anaonekana na anazungumza kama jambazi

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      Pia kama kalewa leo

    • @sapnaabdallah1084
      @sapnaabdallah1084 Před 3 lety +1

      @@pilimusa7770 hahaaa Eti shanga ni uchawi mm navaa kumi nikisema Bismillah tu shetani wote wanakimbia

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      @@sapnaabdallah1084 hata mie 😁😁😁😁

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 Před 3 lety +3

    So kwer shanga kama shanga hazika ttz

  • @florencerose859
    @florencerose859 Před 3 lety

    Niko locked 🔥🔥

  • @rappertinno4184
    @rappertinno4184 Před 3 lety +1

    Chapa nembo Davistar Nakubal

  • @costavalenci7699
    @costavalenci7699 Před 3 lety

    Hapo umesema uongo kabisaaa Kuna wengi huvaa kama urembo tu

  • @husnaharuna5480
    @husnaharuna5480 Před 3 lety +1

    Hapo umedanganya kuhusu shanga

  • @mishibaron5021
    @mishibaron5021 Před 3 lety +1

    Yesu ni bwana...na pia mambo ya shanga naona ni kweli juu huyu sio wa kwanza kuongea kuhusu shanga

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 Před 3 lety

    Sorry baba kuhusu nashanga za kiunoni au za miguu wengi tunavaa sana ila hatuko maajent uongo mtupu kuhusu na shanga

  • @adbulmama5065
    @adbulmama5065 Před 3 lety

    Mzee shanga kuva sio vibaya kila kitu ni niya kama umeva kwa niya ya ucawi nivibaya kwani mkeo havaye shanga?

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 Před 3 lety

    Ok🏃🏃🏃🏃💪💪💪🙏🙏

  • @qelseykenya3933
    @qelseykenya3933 Před 3 lety

    Mimi nina shanga LAKINI nilinunua kwa maasai tu innocently not everyone is agent...

  • @aishaally8811
    @aishaally8811 Před 3 lety +2

    Kigoma kuna mambo sio ya

    • @christinarussambi2161
      @christinarussambi2161 Před 3 lety

      Kigoma ndo kwetu na ndo naishi mpaka leo. But wote hawako Ivo watu Wema pia wapo dear. Ila uchawi upo kila mahali, ni mtu tu dear na imani yake. Kikubwa tu Mungu ndie kila kitu

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety +1

    Mtu makini katika ubora pamoja Sana Kaka angu wa ukweli ulipo nipo

  • @mariamshabani6853
    @mariamshabani6853 Před 3 lety

    We babu muongo Sana eti Wana wake wote wenye Wana vaashanga ni wa fwasi wa shetani webabu 🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 3 lety

    Huo uchawi unauzwa Congo maeneo yapi ili nami nikanunue

  • @rehemaaloni8526
    @rehemaaloni8526 Před 3 lety

    MTU makini muulize he ata cheni nazenyewe ni mbaya maana mm napenda kuvaa kama urembo tu

  • @adbulmama5065
    @adbulmama5065 Před 3 lety

    Shanga kuva nikupendeza kwa wanawake sio vibaya

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 3 lety

    Dunia ni balaa

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 Před 3 lety

    Wah hii kali

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 Před 3 lety

    🔥🔥🔥🔥

  • @mtindajafeti3400
    @mtindajafeti3400 Před 3 lety +1

    Davista jitaidi bc wakati unafanya nao mahojiano au kipindi angalia sehem iliotulia ambayo haina makelele baazi ya maneno hatuyasikii vizuri,nihayo tu man.

  • @ibraismail753
    @ibraismail753 Před 3 lety +1

    Baba kauzu uyu😁😁😁😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 3 lety +2

    Kwa swala la shanga hapana

  • @asiasalim4634
    @asiasalim4634 Před 3 lety

    Napenda anavyo elezea yupo makini sana

  • @salimmapande4668
    @salimmapande4668 Před 3 lety

    Mi nilikuwa sijui kumbe wamasai wote wanamajini!!!!!!

  • @pili3750
    @pili3750 Před 3 lety +1

    Daah yaan mimi kiufupi shanga sizipendi tokeapo yaan mtu akitunga shanga akiniambia nimsaidie nahis kichefu chefu

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety +1

      Akuna kitu kama icho
      Mana zahabu wanasema za majini Leo tena Shanga nazo mmmm

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      Mimi ata siachi kuvaa my adi siku nikijikuta gamboshi nitaamini

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      @@fatmaalrshdii7615 😂😂😂😂😂😂

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Před 3 lety +1

      @@fatmaalrshdii7615 Dada umeamua kujitoa muanga kumbuka wauzaji wengi ni Masai na wao wakikutibu lazima utakuta wamevaa shanga na anaweza kukwambia masharti lazima uvae shanga si lazima kiunoni hata mkononi au kidoleni hapo mizimu inafurahi kisha kama utaendelea kubisha basi kwaheri dada yetu.

  • @pili3750
    @pili3750 Před 3 lety +1

    Wa6 😂😂😂❤#Davistar mata

  • @dorithjohn2177
    @dorithjohn2177 Před 3 lety

    Leo nimewah

  • @johanesthobias8742
    @johanesthobias8742 Před 3 lety +1

    Kaka uko mbashara unaonwa🥴🥴🥴🥴😜

  • @brenda1083
    @brenda1083 Před 3 lety

    Tuendelee Sasa

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 Před 3 lety +2

    Watu tunavaa kama fashion tu labda kama natumika sijui mm

    • @dotosalim5090
      @dotosalim5090 Před 3 lety

      Kama mm napenda pete

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      Mimi napenda kuvaa vikuku ila ii Kali sijawai kwenda Kwa mganga na sasa ivi Niko omani na bado navaa at sitoacha

    • @salmakiyabosiriyamachoziha8756
      @salmakiyabosiriyamachoziha8756 Před 3 lety

      @@fatmaalrshdii7615 ndio ivyo sasa kasem unaweza kuingizwa kwenye madhabau za kishetan bil kijua kil unapoenda alama yao unakua nayo tu wewe bil kujua ujatumikiswa weee mpk vifungo vya sili hivyo tuombe mungu tuzid kujua mengi kupitia shuhuda izi

  • @nancychissamo379
    @nancychissamo379 Před 3 lety

    Bn weee vngine ni urembo usitutie ndimu mzee ,ehhh

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D Před 3 lety +1

    Alhamdulillah w mwishoo 😭😭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      Pole

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety +1

      @@pilimusa7770 Asante kipenzi😂😂😂😂

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety

      @@fatmaalrshdii7615 Asante kipenzi😍😍😘😘

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety +1

      @@pilimusa7770 wazma wote😋😋😍😍😍😍

  • @victoriakyara8000
    @victoriakyara8000 Před 3 lety +2

    Khaaaaa hapo kwenye shanga brazaa unatutia chaka bwana wamasai wauzaji ni maagent kwahiyo???

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 Před 3 lety

      Kumbe ujui???😂😂😂aho wamasai ndo wana madawa usiombe.ujasikia jini la kimasai???khaaaa uoni wahindi wanavyo vaa vicheni?na wahindi wana miungu yao

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      Hapo kwenye ushanga wa kiunoni hapo pasua kichwa n

    • @anthonysindabaha7517
      @anthonysindabaha7517 Před 3 lety +1

      Tatizo lenu mnafahama kama ni urembo ilaa tuu wenng wetu hatuna maarifa ya ulimwengu wa roho
      Muwe makini

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 Před 3 lety

      @@anthonysindabaha7517 kbs binadamu wengi wpo kimwili ila kiroho awajui chochote.

  • @credo7837
    @credo7837 Před 3 lety +1

    Story ndio kama inaanza 😎

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

    Arafu usituogopeshe wenzio Shanga
    Ni urembo Tu basi kama Ivo ata SIM tunazo tumia tunawawakilisha ao mashetani Sawa tuombe dua na mungu atupe mwisho mwema

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 Před 3 lety +1

      Unamkumbuk yule dada jina nimemsahau alikuwa malkia wa Majin alizungumzia hbr km hz Dada sem ndio ivy tunavyaa Ila htujui tunavyaa kitu Cha ain gn😂

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      @@deelissa2746 Sawa Ila Mimi apana nitaendelea kuvaa vikuku vyangu

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      @@deelissa2746 naamini ni ulembo tu

    • @nooor1120
      @nooor1120 Před 3 lety

      Mimi nahisi km hizo shanga wanatumia wachawi basi wana maana yao ila wanaotumia dadazetu ni zile kwajili ya mapambo kwahio kila amali na nia yake

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      @@nooor1120umesema nikweli kabisa

  • @safindume2089
    @safindume2089 Před 3 lety

    Mambo ni moto leo akuna ku lala

  • @linahmwende8397
    @linahmwende8397 Před 3 lety +1

    Leo wa pili ila msimuliaji amechangamka hadi raha

  • @user-cr9mf7dg4k
    @user-cr9mf7dg4k Před 3 lety

    Sio kweli wanawake wanavaa kama fashen NA urembo tu

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 Před 3 lety

    Wa 4 leo

  • @askaounga6456
    @askaounga6456 Před 3 lety +1

    Huyu mtu sini muongo, I have That thing na mimi sio egent

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij Před 3 lety

      Hata watoto Wa sister wanavaa. Sio ma agent 😁

    • @tayanabenard4392
      @tayanabenard4392 Před 3 lety +2

      Ndio hapo sasa...bac masai wote maagent...

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 Před 3 lety

      unawez kuwanavyo, hata wewe na usijuwe, kama wewe ni ajenti, hao jamaa zenu wana, ushetani ndani yao.

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 Před 3 lety

      umeambiwa hata mama yako, anaweza kuwa na usijue kwani watoto wa, dada yako hawawezi kua wachawi?.

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij Před 3 lety

      @@ivaniavianarodrigo7201 jameni 😬

  • @answarmusaanswarmusa5797

    Davister usi shituke

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

    Wewe jambazi msitafu usituogopeshe wenzio vikuku vyangu vya zahabu unataka nikavitupe Ila apana nitaendelea kuvaa adi siku nione awo walioniajili na iyo KAZI ya uwajeti wanilipe mshara wangu kama kunitumia wamenitumia miaka mungu bila kijuwa

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety +1

      Mwambie kipenzi 🤝🤔

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Před 3 lety +1

      Hivyo vikuku ukitoa ufafanuzi wa huyu jamaa basi elewa Marekani na uIaya ukionekana unakikuku mguu wa kushoto basi unajulikana ni kahaba unae gawa kwa Mpalange. Mguu wa kulia unagawa mbele ukivaa miguu yote basi unagawa kote mbele na nyuma kwahiyo mtu akiku tongoza wala usirushe ngumi maana ndio utaratibu wahivyo vikuku

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      @@charlesmapunda5905 siwezi zuwia fikira za mtu ata siku Moja ukweli naujuwa Mimi Nikko vaa

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      @@FFL-X1D sasa basi itakuwa naama nyingi mara ajeti washetani mara kwampalange Aya kila mtu na fikira zake ebu niache kidogo

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

      @@charlesmapunda5905 maana Apa napoishi adi MTOTO anavaa kwaiyo na uyu anaenda Kwa mparange Naisi we itakuwa mngoni nimeona jina Tu mtani wangu ebu niache kidogo

  • @asiasalim4634
    @asiasalim4634 Před 3 lety

    Hakuna bwana wapo wnaovaa kma fashion

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety

    Wewe Kaka mchawi msitafu nimekusikiliza ila apo kwenye Shanga niache kidogo

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety +1

      Kabisaa

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety

      Kabsa

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Před 3 lety

      Hii habari ya shanga kama unavaa kwa kufata mkumbo acheni tuu dada zangu huyu sio mtu wa kwanza kuzungumzia shanga,
      Wamasai wanao uza shanga hawajui kuhusu kanisa wao wanaabudu mizimu na mila na desturi zakimasai tu.

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Před 3 lety +1

      Ila wanashauri kama umesha kombolewa kutolewa majini na unajitambua basi ukinunua kabla yakuvaa lazima uzipigie maombi ndio uvae nje ya hapo umeyaita mwenyewe majini yakuvae.

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      @@charlesmapunda5905 asante kaka

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 Před 3 lety

    WATU 🔥🔥🔥🔥

  • @susannyamwitha1354
    @susannyamwitha1354 Před 3 lety +1

    I put rings in my finger and my legs, but am God fearing, I don't believe in that guy

    • @dallasabinchar5128
      @dallasabinchar5128 Před 3 lety +2

      Yes my dear the are making fake story just because they want to praise apostol maziwa and is church that this not fear and we are not stupid

    • @veeinn7965
      @veeinn7965 Před 3 lety

      I’m telling y’all this guy is something else even his face can tell that his telling Lies

    • @fredrickmichael2317
      @fredrickmichael2317 Před 3 lety

      Anachoongea kuhusu shanga na ring ni kweli...inategemeana uko stage gani katika uelewa wa ulimwengu wa Roho.ni elimu pana

  • @lizzybeth6344
    @lizzybeth6344 Před 3 lety

    Kwenye vikuku mi niache kwa kwel sitaacha kuvaa

  • @credo7837
    @credo7837 Před 3 lety

    Wa 31 hapa🤣😂

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 Před 3 lety +1

    Wewe jambazi msitafu usituogopeshe wenzio Shanga niache kidogo nitaendelea kuvaa adi siku nijikute Niko gamboshi nitaamini

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 Před 3 lety

    🇰🇪🎲🎲🎲💪

  • @eshialabonita7736
    @eshialabonita7736 Před 3 lety

    nlikua naiwinda hii.

    • @credo7837
      @credo7837 Před 3 lety

      Karibu hatimae umefanikiw kuiyona

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      Hata mie

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety +1

      @@pilimusa7770 Hata mieeeeeeee😋😋

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 Před 3 lety

      @@FFL-X1D kabisaa. Umeshindaje kipenzi

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D Před 3 lety +1

      @@pilimusa7770 Alhamdulillah kipenzi ❤❤ vp na ww

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo7201 Před 3 lety +2

    huyu kuna vitu anaficha