Ametudanganya shanga nyingine ni za urembo Tu yeye ameshudia wachawi pekee yako, maana yeye alikua kwenye dunia ya giza,sisi tupo watumishi wa Mungu na Mungu wa mbingu na nchi , Jehovah mfalme wa wafalme , anatutumia sana tena
Binafsi huwa simuelewi mtu anaevaa vikuku miguuni,wala Pete miguuni.Ni ushetani kabisa 👐.Mtu akinuna kwa hii comment yangu aje tu atukane aondoke.YESU NI BWANA🙏
Najikuta nacheka maan baada ya kaka jambazi kutolea mfano wa shaga kuwa shanga zote niza maajenti ila mm nimeelewa sana kuwa kunavitu vingine tunavifanya kwa kufata mikumbo ndomana tunakutana na mabo magum ambayo hatuju chanzo chake nini Kumbe ndo hivyo vitu kati ya vingi ambayo tunaviona ninyakawaida kumbe vina vyanzo vyake au vimenenewa laan toka vikiwa kiwandani
Kigoma ndo kwetu na ndo naishi mpaka leo. But wote hawako Ivo watu Wema pia wapo dear. Ila uchawi upo kila mahali, ni mtu tu dear na imani yake. Kikubwa tu Mungu ndie kila kitu
Davista jitaidi bc wakati unafanya nao mahojiano au kipindi angalia sehem iliotulia ambayo haina makelele baazi ya maneno hatuyasikii vizuri,nihayo tu man.
@@fatmaalrshdii7615 Dada umeamua kujitoa muanga kumbuka wauzaji wengi ni Masai na wao wakikutibu lazima utakuta wamevaa shanga na anaweza kukwambia masharti lazima uvae shanga si lazima kiunoni hata mkononi au kidoleni hapo mizimu inafurahi kisha kama utaendelea kubisha basi kwaheri dada yetu.
@@fatmaalrshdii7615 ndio ivyo sasa kasem unaweza kuingizwa kwenye madhabau za kishetan bil kijua kil unapoenda alama yao unakua nayo tu wewe bil kujua ujatumikiswa weee mpk vifungo vya sili hivyo tuombe mungu tuzid kujua mengi kupitia shuhuda izi
Arafu usituogopeshe wenzio Shanga Ni urembo Tu basi kama Ivo ata SIM tunazo tumia tunawawakilisha ao mashetani Sawa tuombe dua na mungu atupe mwisho mwema
Wewe jambazi msitafu usituogopeshe wenzio vikuku vyangu vya zahabu unataka nikavitupe Ila apana nitaendelea kuvaa adi siku nione awo walioniajili na iyo KAZI ya uwajeti wanilipe mshara wangu kama kunitumia wamenitumia miaka mungu bila kijuwa
Hivyo vikuku ukitoa ufafanuzi wa huyu jamaa basi elewa Marekani na uIaya ukionekana unakikuku mguu wa kushoto basi unajulikana ni kahaba unae gawa kwa Mpalange. Mguu wa kulia unagawa mbele ukivaa miguu yote basi unagawa kote mbele na nyuma kwahiyo mtu akiku tongoza wala usirushe ngumi maana ndio utaratibu wahivyo vikuku
@@charlesmapunda5905 maana Apa napoishi adi MTOTO anavaa kwaiyo na uyu anaenda Kwa mparange Naisi we itakuwa mngoni nimeona jina Tu mtani wangu ebu niache kidogo
Hii habari ya shanga kama unavaa kwa kufata mkumbo acheni tuu dada zangu huyu sio mtu wa kwanza kuzungumzia shanga, Wamasai wanao uza shanga hawajui kuhusu kanisa wao wanaabudu mizimu na mila na desturi zakimasai tu.
Ila wanashauri kama umesha kombolewa kutolewa majini na unajitambua basi ukinunua kabla yakuvaa lazima uzipigie maombi ndio uvae nje ya hapo umeyaita mwenyewe majini yakuvae.
Tunajifunza mengi jinsi ulimwengu wa roho ulivyo mungu tusaidie kwa uwezo wako tupe nuru yako mungu tuweze kuzishinda
Ametudanganya shanga nyingine ni za urembo Tu yeye ameshudia wachawi pekee yako, maana yeye alikua kwenye dunia ya giza,sisi tupo watumishi wa Mungu na Mungu wa mbingu na nchi , Jehovah mfalme wa wafalme , anatutumia sana tena
Mimi hapa nimeishiwa pozi kuhusu shanga mbona shanga nyingine za urembo tuu tutasia mengi
Nlijua tuu hiii sehem ya shanga mtakao comment ni mademu 😂 nyie vaeni tuu heheheh
Jiulize kiwanda cha shanga tanzania kiko wapi? Shanga tu pekeyake nikamakao ya mapepo aijalishi unavaa kwa maana gani
Uyu mzee katunganya sana vikuku shanga Pete wengii uvaa kwaajilii ya urembo
Wewe ndio unaona urembo kwasababu huna maarifa ya ulimwengu wa roho
Binafsi huwa simuelewi mtu anaevaa vikuku miguuni,wala Pete miguuni.Ni ushetani kabisa 👐.Mtu akinuna kwa hii comment yangu aje tu atukane aondoke.YESU NI BWANA🙏
Amen
Hizo shanga na vikuku huwa natamni sana kuvivaa ila roho inasta sana, nahaka kamguu kangu kha bia nikivaa kikuku unadamsh 😂😂😂😂😂😂😋
We vaa my unaani niulembo Kwa yeye ndio anamini kuwa ni maajet wa shetani kila mmoja na fikira zake
@@fatmaalrshdii7615 bibi yangu alikuwa anavaa sana kipindi nakuwa namuona sijui kwasasa ila yeye alikuwa anavaa za kiunoni na shingonii.
Siyo kila mtu akivaa ndo kaambiwa mbona sisi wamasai tunava miguuni na kiunoni hata watoto wadogo huvishwa duuh sio kweli shanga zote za kishetani
Bac masai wote ni ma agent....dooh, ili chaka
Mmh pia nashangaa huyu baba apana
🤣🤣🤣🤣🤣
Hujui kuwa wamasai ndio wanaongoza kwa matambiko ya mizimu ambazo ni roho za kuzimu? Angalia wamasai wote waliookoka kama wanafanya mambo hayo hutaona
Davister mwanangu usije jaribu kwenda kuzimu. Lazima nawe watakuweka nembo ya kuwa mwanachama wa kuzimu take care.
Pro trick: you can watch series on Flixzone. Been using it for watching loads of movies recently.
@Jesse Kingston Definitely, I have been using flixzone} for since december myself :)
Kwa kwelii shanga sijawai zipenda
Najikuta nacheka maan baada ya kaka jambazi kutolea mfano wa shaga kuwa shanga zote niza maajenti ila mm nimeelewa sana kuwa kunavitu vingine tunavifanya kwa kufata mikumbo ndomana tunakutana na mabo magum ambayo hatuju chanzo chake nini Kumbe ndo hivyo vitu kati ya vingi ambayo tunaviona ninyakawaida kumbe vina vyanzo vyake au vimenenewa laan toka vikiwa kiwandani
Kabisaa
Napenda Sana kuvaa vikuku ila sijawai kwenda Kwa mganga sijawai ata Kuota ndoto kuwa nipo mazingira tofauti ebu niache mi niendelee kuvaa
Vaaa dada
😂😂😂😂😂😂😂
Mimi nazipenda sana ila naogopa kuzivaa sijui maana yake.
@@dorcaskidoti249 my ni kama unavoona Michele Ila napoishi tofauti
@@dorcaskidoti249 wewe Michele Tu Ila niulembo Tu ninavoamini mimi
jamani ni ukweli huyu jama anaonekana na anazungumza kama jambazi
Pia kama kalewa leo
@@pilimusa7770 hahaaa Eti shanga ni uchawi mm navaa kumi nikisema Bismillah tu shetani wote wanakimbia
@@sapnaabdallah1084 hata mie 😁😁😁😁
So kwer shanga kama shanga hazika ttz
Niko locked 🔥🔥
Chapa nembo Davistar Nakubal
Hapo umesema uongo kabisaaa Kuna wengi huvaa kama urembo tu
Hapo umedanganya kuhusu shanga
Yesu ni bwana...na pia mambo ya shanga naona ni kweli juu huyu sio wa kwanza kuongea kuhusu shanga
Watu sijui kwann wanakuwa wabishi🙏
Watajua wenyewe wanaoendelea kubisha
Sorry baba kuhusu nashanga za kiunoni au za miguu wengi tunavaa sana ila hatuko maajent uongo mtupu kuhusu na shanga
Mzee shanga kuva sio vibaya kila kitu ni niya kama umeva kwa niya ya ucawi nivibaya kwani mkeo havaye shanga?
Ok🏃🏃🏃🏃💪💪💪🙏🙏
Mimi nina shanga LAKINI nilinunua kwa maasai tu innocently not everyone is agent...
Kigoma kuna mambo sio ya
Kigoma ndo kwetu na ndo naishi mpaka leo. But wote hawako Ivo watu Wema pia wapo dear. Ila uchawi upo kila mahali, ni mtu tu dear na imani yake. Kikubwa tu Mungu ndie kila kitu
Mtu makini katika ubora pamoja Sana Kaka angu wa ukweli ulipo nipo
😘😘😘😘
@@FFL-X1D nakupenda pia
We babu muongo Sana eti Wana wake wote wenye Wana vaashanga ni wa fwasi wa shetani webabu 🤣🤣🤣🤣😂😂
Anatufunga jamba🙄
Huo uchawi unauzwa Congo maeneo yapi ili nami nikanunue
MTU makini muulize he ata cheni nazenyewe ni mbaya maana mm napenda kuvaa kama urembo tu
Shanga kuva nikupendeza kwa wanawake sio vibaya
Dunia ni balaa
Wah hii kali
🔥🔥🔥🔥
Davista jitaidi bc wakati unafanya nao mahojiano au kipindi angalia sehem iliotulia ambayo haina makelele baazi ya maneno hatuyasikii vizuri,nihayo tu man.
Baba kauzu uyu😁😁😁😂
Yani mkavu sio poa😀😀😀😀
Hahaaaaa
Kwa swala la shanga hapana
Umeonaee
Kabisaa
Kabsa
Napenda anavyo elezea yupo makini sana
Kabisaa
Mi nilikuwa sijui kumbe wamasai wote wanamajini!!!!!!
JAMAA muongo sana
Daah yaan mimi kiufupi shanga sizipendi tokeapo yaan mtu akitunga shanga akiniambia nimsaidie nahis kichefu chefu
Akuna kitu kama icho
Mana zahabu wanasema za majini Leo tena Shanga nazo mmmm
Mimi ata siachi kuvaa my adi siku nikijikuta gamboshi nitaamini
@@fatmaalrshdii7615 😂😂😂😂😂😂
@@fatmaalrshdii7615 Dada umeamua kujitoa muanga kumbuka wauzaji wengi ni Masai na wao wakikutibu lazima utakuta wamevaa shanga na anaweza kukwambia masharti lazima uvae shanga si lazima kiunoni hata mkononi au kidoleni hapo mizimu inafurahi kisha kama utaendelea kubisha basi kwaheri dada yetu.
Wa6 😂😂😂❤#Davistar mata
Hongera❤️
Hongera
Leo nimewah
Kaka uko mbashara unaonwa🥴🥴🥴🥴😜
Tuendelee Sasa
Watu tunavaa kama fashion tu labda kama natumika sijui mm
Kama mm napenda pete
Mimi napenda kuvaa vikuku ila ii Kali sijawai kwenda Kwa mganga na sasa ivi Niko omani na bado navaa at sitoacha
@@fatmaalrshdii7615 ndio ivyo sasa kasem unaweza kuingizwa kwenye madhabau za kishetan bil kijua kil unapoenda alama yao unakua nayo tu wewe bil kujua ujatumikiswa weee mpk vifungo vya sili hivyo tuombe mungu tuzid kujua mengi kupitia shuhuda izi
Bn weee vngine ni urembo usitutie ndimu mzee ,ehhh
😂😂
Alhamdulillah w mwishoo 😭😭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole
Pole
@@pilimusa7770 Asante kipenzi😂😂😂😂
@@fatmaalrshdii7615 Asante kipenzi😍😍😘😘
@@pilimusa7770 wazma wote😋😋😍😍😍😍
Khaaaaa hapo kwenye shanga brazaa unatutia chaka bwana wamasai wauzaji ni maagent kwahiyo???
Kumbe ujui???😂😂😂aho wamasai ndo wana madawa usiombe.ujasikia jini la kimasai???khaaaa uoni wahindi wanavyo vaa vicheni?na wahindi wana miungu yao
Hapo kwenye ushanga wa kiunoni hapo pasua kichwa n
Tatizo lenu mnafahama kama ni urembo ilaa tuu wenng wetu hatuna maarifa ya ulimwengu wa roho
Muwe makini
@@anthonysindabaha7517 kbs binadamu wengi wpo kimwili ila kiroho awajui chochote.
Story ndio kama inaanza 😎
Aya tuendele kusikiliza story
@@fatmaalrshdii7615 pamojaa sana dada tuendelee
Kabisaa
Kabsa
Duhh!! Nimechelewa ndio nafika..🙂
Arafu usituogopeshe wenzio Shanga
Ni urembo Tu basi kama Ivo ata SIM tunazo tumia tunawawakilisha ao mashetani Sawa tuombe dua na mungu atupe mwisho mwema
Unamkumbuk yule dada jina nimemsahau alikuwa malkia wa Majin alizungumzia hbr km hz Dada sem ndio ivy tunavyaa Ila htujui tunavyaa kitu Cha ain gn😂
@@deelissa2746 Sawa Ila Mimi apana nitaendelea kuvaa vikuku vyangu
@@deelissa2746 naamini ni ulembo tu
Mimi nahisi km hizo shanga wanatumia wachawi basi wana maana yao ila wanaotumia dadazetu ni zile kwajili ya mapambo kwahio kila amali na nia yake
@@nooor1120umesema nikweli kabisa
Mambo ni moto leo akuna ku lala
Hapalaliki
Leo wa pili ila msimuliaji amechangamka hadi raha
Sanaa 😂
@@batulimabewa6953 yaani natamani story yake isiishe
@@linahmwende8397 me nataman mnirudishie Yule msaniii alioolewa na Jin.. 🤣🤣🤣
Sanaa napenda anavyo simulia
Sanaaa
Sio kweli wanawake wanavaa kama fashen NA urembo tu
Wa 4 leo
Hongeraa
Huyu mtu sini muongo, I have That thing na mimi sio egent
Hata watoto Wa sister wanavaa. Sio ma agent 😁
Ndio hapo sasa...bac masai wote maagent...
unawez kuwanavyo, hata wewe na usijuwe, kama wewe ni ajenti, hao jamaa zenu wana, ushetani ndani yao.
umeambiwa hata mama yako, anaweza kuwa na usijue kwani watoto wa, dada yako hawawezi kua wachawi?.
@@ivaniavianarodrigo7201 jameni 😬
Davister usi shituke
Wewe jambazi msitafu usituogopeshe wenzio vikuku vyangu vya zahabu unataka nikavitupe Ila apana nitaendelea kuvaa adi siku nione awo walioniajili na iyo KAZI ya uwajeti wanilipe mshara wangu kama kunitumia wamenitumia miaka mungu bila kijuwa
Mwambie kipenzi 🤝🤔
Hivyo vikuku ukitoa ufafanuzi wa huyu jamaa basi elewa Marekani na uIaya ukionekana unakikuku mguu wa kushoto basi unajulikana ni kahaba unae gawa kwa Mpalange. Mguu wa kulia unagawa mbele ukivaa miguu yote basi unagawa kote mbele na nyuma kwahiyo mtu akiku tongoza wala usirushe ngumi maana ndio utaratibu wahivyo vikuku
@@charlesmapunda5905 siwezi zuwia fikira za mtu ata siku Moja ukweli naujuwa Mimi Nikko vaa
@@FFL-X1D sasa basi itakuwa naama nyingi mara ajeti washetani mara kwampalange Aya kila mtu na fikira zake ebu niache kidogo
@@charlesmapunda5905 maana Apa napoishi adi MTOTO anavaa kwaiyo na uyu anaenda Kwa mparange Naisi we itakuwa mngoni nimeona jina Tu mtani wangu ebu niache kidogo
Hakuna bwana wapo wnaovaa kma fashion
Wewe Kaka mchawi msitafu nimekusikiliza ila apo kwenye Shanga niache kidogo
Kabisaa
Kabsa
Hii habari ya shanga kama unavaa kwa kufata mkumbo acheni tuu dada zangu huyu sio mtu wa kwanza kuzungumzia shanga,
Wamasai wanao uza shanga hawajui kuhusu kanisa wao wanaabudu mizimu na mila na desturi zakimasai tu.
Ila wanashauri kama umesha kombolewa kutolewa majini na unajitambua basi ukinunua kabla yakuvaa lazima uzipigie maombi ndio uvae nje ya hapo umeyaita mwenyewe majini yakuvae.
@@charlesmapunda5905 asante kaka
WATU 🔥🔥🔥🔥
I put rings in my finger and my legs, but am God fearing, I don't believe in that guy
Yes my dear the are making fake story just because they want to praise apostol maziwa and is church that this not fear and we are not stupid
I’m telling y’all this guy is something else even his face can tell that his telling Lies
Anachoongea kuhusu shanga na ring ni kweli...inategemeana uko stage gani katika uelewa wa ulimwengu wa Roho.ni elimu pana
Kwenye vikuku mi niache kwa kwel sitaacha kuvaa
@@esthermurangwa3618 na wajue tu
@@esthermurangwa3618 labda anatoa
@@rikekikonyo2265 labda
@@esthermurangwa3618 kweli
Wa 31 hapa🤣😂
Pole kaka
😂😂😂😂😂😂 team kuchelewa
Hongera 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera
Credo 🤗🤗
Wewe jambazi msitafu usituogopeshe wenzio Shanga niache kidogo nitaendelea kuvaa adi siku nijikute Niko gamboshi nitaamini
Yaani mi vikuku kwa kwel nitavaa tu tutakuwa wote gomboshi ndugu yangu
Kabisaa.
Kabsa
@@lizzybeth6344 umeonaeee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🇰🇪🎲🎲🎲💪
nlikua naiwinda hii.
Karibu hatimae umefanikiw kuiyona
Hata mie
@@pilimusa7770 Hata mieeeeeeee😋😋
@@FFL-X1D kabisaa. Umeshindaje kipenzi
@@pilimusa7770 Alhamdulillah kipenzi ❤❤ vp na ww
huyu kuna vitu anaficha
Kabisaa
Pia kama kalewa leo