#FiladelphiaChoir #MimiSiogopi #UnitedFellowshipChurchDallasTexas "Mimi Siogopi" By Filadelphia Choir 2019 | Directed By Akilis Film Studio | Produced By B Mule Production |
Amin Amin, mubarikiwe sana , nyimbo nzuri sana kweli kweli, Mungu ni mwema kila wakati.... Ushauri kidogo : kitu mulichokosea kwenye huu wimbo ni party za wanawake, wanaume mbona wamevaa vizuri why wanawake wamevaa hivyo jamani? Mkiwa kama lengo lenu ni kumuimbia Mungu vivyo mujitaidi muwe nature , maana Mungu aliwaumba na uzuri wenu wa asili, wala msitumie vya dunia hii, ninyi kama waimbaji was a nyimbo za Gospel mujitaidi mujitenge na mambo ya dunia hii, maana ninyi pia ni mfano wa kuigwa, sasa ninyi mkivaa vivyo kweli watu wa dunia hii tutawashauri nini? Si watasema angalieni waimbaji choir ndo hao wanavaa nguo mbovu,,, So tafadhali, tunawapenda sana, lakini kwenye project zinazokuja, mujitaidi muvae vizuri , maadili ya ki africa, musitumie vipodozi vyovyote maana hivyo vyote vinatokana na shetani, Kwaiyo jitaidini tafadhali musivae skirt fupi wala nguo za juu za kuwabana na kuonyesha maongu yenu , Nguvu za Bwana zitende kazi kwenu, na Roho matakatifu awaongoze katika jina ka Yesu kristo ili mpate kufanya vizuri katika next project , In Jesus name , I Pray , Amen 🙏 Naitwa Maurice from Houston Texas , jirani yenu, ukiwa na swali lolote nitafute Facebook kwa jina la Grevis Vete nami nitakukubalia urafiki na tuta hubiri zaidi na zaidi
Duuuh mubarikiwe sana gonga like apa adi mchoke coz nikitu chamaana sana walichokifanya daaah nililikuwa naisubiri kwamakini saaaana daaah I love tha song 💟💟❤❤❤❤❤❤❤❤🤝🤝🤝🤝🤝🤝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖
nyimbo ni nzur lkn sketi walizovaa hazina heshima. nguo zimebana mpaka maumbile? hapo si mahali pa kuonyeshana shepu na umbo na mahips ni kama wanatafuta wanaume wa kuwaoa. kwan hakuna sket za heshima? kwanza hizo sket zinabana had step hazichezwi kwa uhur. hakuna lolote ni kuonyeshan mashepu tu. tutakutana kwenye kiti cha hukumu kisicho na ubaguzi, tutajua mengi siku hiyo.
Bado naendelea kuwatazama kila leo Ndugu katika Kristo Yesu.
Amen Barikiwa Mtumishi
Mungu awabariki mumejitaidi nazani mukiendeleya maratatu mutafanya zaidi ya apo
Maulidi Lazaro Amen 🙏
Amen amen Mungu wetu awabariki kwa Kazi kubwa muliyo ifanya
Amin Amin, mubarikiwe sana , nyimbo nzuri sana kweli kweli, Mungu ni mwema kila wakati....
Ushauri kidogo : kitu mulichokosea kwenye huu wimbo ni party za wanawake, wanaume mbona wamevaa vizuri why wanawake wamevaa hivyo jamani?
Mkiwa kama lengo lenu ni kumuimbia Mungu vivyo mujitaidi muwe nature , maana Mungu aliwaumba na uzuri wenu wa asili, wala msitumie vya dunia hii, ninyi kama waimbaji was a nyimbo za Gospel mujitaidi mujitenge na mambo ya dunia hii, maana ninyi pia ni mfano wa kuigwa, sasa ninyi mkivaa vivyo kweli watu wa dunia hii tutawashauri nini?
Si watasema angalieni waimbaji choir ndo hao wanavaa nguo mbovu,,,
So tafadhali, tunawapenda sana, lakini kwenye project zinazokuja, mujitaidi muvae vizuri , maadili ya ki africa, musitumie vipodozi vyovyote maana hivyo vyote vinatokana na shetani,
Kwaiyo jitaidini tafadhali musivae skirt fupi wala nguo za juu za kuwabana na kuonyesha maongu yenu ,
Nguvu za Bwana zitende kazi kwenu, na Roho matakatifu awaongoze katika jina ka Yesu kristo ili mpate kufanya vizuri katika next project ,
In Jesus name , I Pray , Amen 🙏
Naitwa Maurice from Houston Texas , jirani yenu, ukiwa na swali lolote nitafute Facebook kwa jina la Grevis Vete nami nitakukubalia urafiki na tuta hubiri zaidi na zaidi
Neema ya bwana na iwe pamoja na kila aliyeshiriki kwenye wimbo huhu
Nimependa ushauri wako brother Mungu akubariki sana naitwa leah
@@user-gr6vi2ft3k amen , ubarikiwe pia 🥰🥰
Magic voice usiogope {Amazing}
God bless you
wow!!!! na bipenda sana hibi bitoto,huh bizuri tena ma shujaa!!!!
Very Good mnaimba powa sana piya mubarikiwe
Beautiful.. Dont reject your African clothing..same style but with African material. Thank you...
Amen mungu hawabariki sana watumishi.
amina asante kwa kazi ya mola
Mubarikiwe sana
Mubarikiwe
Wow..May God bless ya'll.
Wow love you guys
my love for choir imepanda bei.. nyimbo nzuri
Duuu nawakubali sana vijana wetu.
La Mubile Amen 🙏
Mubarikiwe 💯❤️
Hola
Jambo
Wow beautiful song 🤭🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🤛🤛🤛❤❤❤❤
Super cool God bless u so much
Woooow, mimi siogopi mtu yeyote, maana Mungu yu upande wangu
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 I love it
I'm in DRC but this song makes me enthusiastic.
Whenever I listen to it I literally feel how it spread out in my body
wow mbega byiza
Mubarikiwe sana watumishi wabwana ❤♥️🎁💙💗💚💛
Allelujha dada mwimbie Mungu
Mubarikiwe 💞💖🌸
Que Dieu vous bénisse les jeunes premiers dans le christ. vous êtes génial
Domitile Maliyetu Mercie ❤️
We waiting for it🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oh my God God bless you God bless you this is good song
Duuuh mubarikiwe sana gonga like apa adi mchoke coz nikitu chamaana sana walichokifanya daaah nililikuwa naisubiri kwamakini saaaana daaah I love tha song 💟💟❤❤❤❤❤❤❤❤🤝🤝🤝🤝🤝🤝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖
Isee wap hii choir
Official Jack B Alvis amen
@@DallasFiladelphiaChoir hii iko sehemu gani hii kwaya mtujibu jamami
jacky luns Dallas Texas Mawasiliano piga +1 2148819867
Hii kwaya oko mombasa by the way naitwa leah from kenya but for now am working in another country but ntakucall ama uko whastapp
Wasichana na huyo kaka mmoja wamechangamka vizur.
❤️❤️❤️❤️
Hakika mm ni chombo cha bwana nice song be blessed
Erigy simzosha Thanks 🙏
Mubarikiwe sana 🙏🙏
Amen
This song gets me in tears 😩😭🥺 it makes feel blessed 🙏🏾 amen jmn what a beautiful song and beautiful ppl ✊🏾😘💘☺️
Sifa Bawili Amen 🙏
Mbarikiwe 💯❤🔥💞
AMEN AMEN
Wow good 👍 voice's and good job y'all 👌
Wow my Lilian unanifuraisha wangu
blessed❤️🙏🏾
Great🔥🔥🇰🇪🇨🇩
We waiting 💖💖🥰
I love the song......so much truth in it
Amen 🙏
Kali sana 🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mungu awabariki
Am so impressed with this choir
Gotar Gobum Gonap Amen 🙏
Safi sana kaz nzur na ujumbe mzur
Amen Amen Mubarikiwe sana tena sana
We Proud of your job🔥🔥🔥
Keep up the Great Job
Great job
Kweli Bwana Yesu ndie ngao
EMMANUEL BAHATI ARTIST Amen 🙏 Kubwa Sana
6:58 😍😍
Amen mubarikiwe sana wa himbaji
Riziki Bahati amen 🙏
Hongereni sana mungu awabariki mambo naona nimoto mtutatupatiya zingine nyimbo lini mana wamoja tunanza kusikiya kiwu yanyimbo zenu
Amen
Mungu awabariki sana
Nice job Gerrard's brother 🔥🔥💪
Hongera sana wangu umeua
Congratulations da li and da kesia
Naipenda yiii daa Silali silamki bila kuisikiya 💋❤️
Irene Mungombe amen 🙏 Barikiwa Dada
2020 ❤️❤️❤️❤️🇨🇩🇨🇬👈
Kazi njema kakake Gerrard 🔥🔥
Haaaaaa Mathieu Ulinichekesha sana Leo
To be honest I love this song's may God bless you guys
CHRISPIN GEDEON Thanks
Jjjj
Twayaweza mambo yote katika yeye atutiaye nguvu mungu ni mwema wakati wote inabariki moyo
Grace Abedi amen 🙏
Mimi sihogopi mtu awayeyote Asante YESU 🙏🙏🔥🔥kwakuwa kazi yako ili kwenda vizuri inabariki sana moyo
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Good job
Nawaona mubarikiwe watu wangu tuko apa kwakuwa support kazi nzuri snaa❤️❤️❤️❤️💙💙💙
Adela Queen amina
nyimbo ni nzur lkn sketi walizovaa hazina heshima. nguo zimebana mpaka maumbile? hapo si mahali pa kuonyeshana shepu na umbo na mahips ni kama wanatafuta wanaume wa kuwaoa. kwan hakuna sket za heshima? kwanza hizo sket zinabana had step hazichezwi kwa uhur. hakuna lolote ni kuonyeshan mashepu tu. tutakutana kwenye kiti cha hukumu kisicho na ubaguzi, tutajua mengi siku hiyo.
Melkizedeki Wiliam hakuna shida na hizo sket, they’re dancing softly and not in a wrong way. I wish to watch them live. Which state does they stay??
kazi safi nimeipenda kwa kweli
Tukaze mwendo walegevu hawafiki mbinguni,mungu munguatusaidiye.
Nawakubali sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kabwe Terezia Asant Shem Languvu
Nice job Man of God
Kali sana Endeleyeni kuyitangaza injili ya bwana 🔥🔥🔥🔥🌍
Amen kubwa
Nice job Brother 🔥🔥🔥💪
I love this song
Amen 🙏
@@DallasFiladelphiaChoir Hello are u okay , so i greet my proffesor loms lomenge vétérinaire
Mungu awabariki sana tena sana
Mubarikiwe nice voice
Mambo jay hope uko fine my name is leah nimependa style yako
Good job
Wako sawa... 😊 😊 🙏 🙏
Mungu awabariki
Tuna subiri wakati wowote tupokee mzigo
Still watching 🙌🏽
Nice job my brother 🔥🔥🔥
Thank you
God bless y’all guys did good work on it
Thanks
My Lilian on top wangu
Adela Queen thx
🔥
Wimbo nzuri sana
phoebe muhalya amen 🙏
I love this song ❤️❤️❤️❤️I keep listening to it all day.........keep up guys
Nyota Abedi Thanks 🙏
Uko sawa kaka💪💪
Mubarikiwe sna
Jeanette Wa moyo amen 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nice one 🔥🔥🔥🔥
Nice one
Hi
Hola
Jambo
NYIMBO NZURI SANA.FROM KENYA
Nice job Gerrard's Brother Keep up the Great job 🔥🔥
good job guys!!
Hata mimi siogopi namini yupo upande wangu
Thank for great video. i enjoy watching in full. i joined you and my thumps up. Stay safe and well connected.
Thanks 🙏 So Much
Nice 🔥🔥👅🙏🙏
Im in Australia but i real love this song ... Keep it up with a great job ... God is good 🤗🤗
Rama Scoop Thanks 🙏