VITABU VYA MAULID VINATEGEMEA DALILI ZA QUR'AN NA HADITH | SHEIKH ABOUD MUHAMMAD

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 376

  • @saidyusuf9245
    @saidyusuf9245 Před 11 měsíci +9

    Maswahaba hwakujuwa hayo walijuwa huwo niuzushi mcheni mungu

  • @hashimkale3215
    @hashimkale3215 Před 11 měsíci +1

    Allah akuhifadhi Ustadh Aboud tuzidi kunufaika na Elimu yako

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 11 měsíci +7

    Nakupend shekh kwa ajir ya allhu ❤❤❤❤

    • @Twizerimanagerardi21
      @Twizerimanagerardi21 Před 11 měsíci +2

      Acha kupendereya wewe jifunze
      Huyu sheikh hana dariri hebu sikia darasa lake iko tofawuti poenti

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      ​@@Twizerimanagerardi21
      Yaitwa dalili siyo dariri

    • @JabirBakar-ys8dw
      @JabirBakar-ys8dw Před 11 měsíci

      ​@@Twizerimanagerardi21wacha wivu

  • @humanitydensity8974
    @humanitydensity8974 Před 10 měsíci

    Maa Shaa Allaah...Hutukuumbwa tukaachwa Bila [0]...Beli tulipwa [0] [1] Amejaalia Allaah Yapo yakushughulikia na Ipo njia sahihi ya namna gani kuyashughulikia...Mtume wetu Swallahu Alaihi wa 'alaa Aalihi wa Aswhaabihi Wa salam Ameyashughulikia vilivyo kabisa na Akatubainishia Ipasavyo...Alhamdulillah...

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043 Před 11 měsíci +1

    SHEKH ABUDI MCHE ALLAH MBONA MUKIWA MBELE YA WAFUASI HAMTOI DALILI WEWE WASEMA VITABU VIMETEGEMEA QUR AN NA SUNNA MBONA SASA HIZO AYA NA HADITHI HAMTOI MWAONGEA TU SHEKH MNATUEKA NJIA PANDA KWAKWELI NA MNATUPELEKA KAMA USHABIKI CHAMBUENI HOJA BAADA YA HOJA MUACHENI BACHU TUELIMIAHENI SISI AMBAO HATUJUI

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Před 10 měsíci

    Shekh mm nimekuelewa sana uyo mtoto awez elewa wala kujua mfundisheni ataelewa tuu

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 11 měsíci +2

    اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آل سيدنا محمد الطيبين الطاهرين

    • @diribhodandidhadho3199
      @diribhodandidhadho3199 Před 10 měsíci

      Bw kubwa. Hulka ya kigeugeu ni ya kinyonga na umuonapo mwanadamu ana hulka ya kigeugeu basi kuna kadoro kwake. I said this because mnatabia iwapo Jambo limetimiza matamanio yenu mnasema hili liko Sawa hata kama hakuna dalili yoyote Bora tu liwe lakimu hamu yenu lakini lile ambalo haliingiliani na matamanio yenu basi inakuwa kero. Kuweni na vipimo msiwe hayawani nanyi!!

  • @saidhamisi8986
    @saidhamisi8986 Před 10 měsíci

    Mashallah ALLAH akujaze kheri na akuhifadhi sheikh wetu kipenzi

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 11 měsíci +1

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 11 měsíci

    Nyinyi wapumbavu kaeni na bakieni ktk upumbavu wenu, ila munavyo potosha Dini ya Allaah hatuta waacha hata sekunde tuta kula nanyi sahani moja, wazushi nyinyi hamna hayaa hamna khofu kumsemea Bwana Mtume urongo!!!
    Mmelaaniwa nyinyi

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 11 měsíci +4

    Lete dalili sahihi wapi Mtume (s.a.w) amesema ikifika tarehe 12 mkusanyike musome maulidi

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 11 měsíci

    قال الإمام ابن القيم رحمه الله في كتابه مدارج السالكين ١/٢٢٨: عقبة البدعة إما باعتقاد خلاف الحق الذي أرسل الله به رسوله وأنزل به كتابه ، وإما بالتعبد بما لم يأذن به الله من الأوضاع والرسوم المحدثة في الدين التي لا يقبل الله منها شيءا، والبدعتان في الغالب متلازمتان قل أن تنفك إحداهما عن الأخرى، كما قال بعضهم: تزوجت بدعة الأقوال ببدعة الأعمال، فاشتغل الزوجان بالعرس فلم يفجأهم إلا وأولاد الزنا يعيثون في بلاد الإسلام، تضج منهم العباد والبلاد إلى الله تعالى.
    ولا حول ولا قوة إلا بالله

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm Před 11 měsíci +4

    Inaonesha hamkua tayari kwa mjadala kujadili mada husika mulijipanga kuja kumjadili shk abdul wahab lakini uwongo katika barzanj mada hio hamkuitaka kabisa na ndio kila mkipelekwa katika hoja hamkubali kumbe mna yenu mliyo kariri

  • @kimangamohamed6449
    @kimangamohamed6449 Před 11 měsíci +1

    Mashaallah shukrni sna kutoka Bahrain tuko pamja inshaallah

  • @salmamuadham7515
    @salmamuadham7515 Před 10 měsíci

    Masha Allah Tabaraka Allah

  • @user-bu5vh8pl9o
    @user-bu5vh8pl9o Před 11 měsíci

    Yeye bachu hanaelimu ataka abishane nayee.ajulikane kamasema atakiwa asome jafari nimwanawachuni mkubwa Sana hakutowa makosa wanachuweni walibeya ajee ateweyeye bacho Mimi nashari bacho Soma Kwanza sababu kaulizwa sema sijuwi kashindwa kusema engesema sijuwi engefundisha akajuwa elimu mungu amukeshe saidi namshewake zaidi nawenahekima zadi katika elimu kamahivi yakilimu

  • @user-zo6wx9zt3p
    @user-zo6wx9zt3p Před 11 měsíci +5

    قل هل انبئكم بالأخسرين أعمال الذين ظل سعيهم في الحياة الدنيا وهم يحسبون أنهم يحسنون صنعا

    • @Omar_Sharif_Ali
      @Omar_Sharif_Ali Před 11 měsíci +1

      Nenda ukasome hio ayah vizuri sana kwanza na uwache kutumia qurani kwa hizo fikra zako potovu

    • @user-zo6wx9zt3p
      @user-zo6wx9zt3p Před 11 měsíci

      @@Omar_Sharif_Ali nisipo tumia qur an nitumie nn na ndio muuongozo wetu ww vp

    • @user-zo6wx9zt3p
      @user-zo6wx9zt3p Před 11 měsíci

      @@Omar_Sharif_Ali au unataka tutumie akiliyako fupi maneno ya allah yanjitosheleza na ndio muongozo wetu

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      ​@@user-zo6wx9zt3p
      Quran iko na sehemu zake zakutumia

    • @omarkhamis4804
      @omarkhamis4804 Před 11 měsíci

      MAKHAWARIJ WA ZAMA ZETU

  • @yassinm69
    @yassinm69 Před 11 měsíci +3

    Sijasikia hoja yaku support Maulid hata moja ,

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      Na hatujasikia hoja ya kupinga maulidi

    • @manchesterunited7906
      @manchesterunited7906 Před 11 měsíci

      ​@@shilingi-Ahmadi akhilkarim wewe hamu yako nikumridhisha na nani zaidi? Allah (swt) na prophet mohammad sio? Kama zipo dalili uzijuazo twaomba ututoe ujinganj

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 Před 11 měsíci

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم اجمعين💥

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci +2

    TWARIKA WENGI SANAAAAAA HUTBA ZAO UTAONA ANAWEZATAJA HATA IMAM ALIYEKUBALIKA KATIKA SHERIA ZA KIISLAM LAKN HATASEMA VOLUME GANI AU RIWAYA NAMBA NGAP SABABU HANA KITU KICHWAN ,WALIJIFUNZA KIARABU TUUU UPUUZI MTUPU,ALLAH IMA AWAONGOZE AU ALLAH NAOMBA AWAFEDHEHESHE KILA SIKU WALLAHY WATU WAZIDI KUIONA HAKI

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w Před 11 měsíci +3

    Sheikh Muogope Allah mnashikilia UZUSHI wa Waulidi WAKATI mmeshindwa kuonyesha ukweli na mkasema wenyewe mna support Barzanji kwa Hadith Munkari vp mshikilie kitu kilichopo ktk Hadith Munkari??
    UOGOPENI MOTO JAMAN

    • @saidmadai2828
      @saidmadai2828 Před 11 měsíci

      Ss km sira y m2me hutumika hadith munkar yawauma je vitabu vya masheh wenu tena vya tauhid zimo je vp apo napo

    • @KassimSaid-qk8sw
      @KassimSaid-qk8sw Před 11 měsíci

      Hadith munkar kwa mtazamo wa uwezo wako wa kielimu unaichukuliaje na kwa elimu ya muhaddithina wanaielezea kwa namna ipi?

  • @user-dg9pn5tl2d
    @user-dg9pn5tl2d Před 10 měsíci +1

    AMRISHA WATU WAABUDU MAITI WACHA POROJO ZAKO YA AHLUBIDAA WAZUSHI

  • @salaahkarama9927
    @salaahkarama9927 Před 11 měsíci +1

    MashaAllah Elmu yako shekhe ipo juu sana... Allahu Akbar. Yaonyesha Bachu ni mtupu kabisaaaaaaaaaa

  • @rajabmembe6695
    @rajabmembe6695 Před 11 měsíci +5

    ACHENI UONGO KWENYE MUNAQASHA HAMKUWAFUNDISHA WAISLAM ELIMU BAADA YAKE MKAKAA KIMYA ETI MUMESHINDA, ACHENI UONGO

    • @shabaniumande
      @shabaniumande Před 11 měsíci

      Wambie hawo watu wa bidah

    • @mwinjumaissa4434
      @mwinjumaissa4434 Před 11 měsíci

      Yaani hawa watatapatapa sana kuzid kuwaelewesha wajinga wenzao lakini kwa mwenye uelewa wake hata kama hajasoma ataelewa tu,,kuwa maulidi c ibada wala si jqmbo la kheri kwamba ukifanya utapata swawab usipofanya utapat zambi hqhahahaaaa jamani maulidi na wale wanaopiga ngoma za majini ni kitu kimoja maana wao wanatikisa mabega na wale pia hvyo hvyoo😂😂😂😂😂😂

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Amka tahajud utakua karibu na Allah sio kucheza na vinanda

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Před 10 měsíci

    Mashallah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 11 měsíci

    Maa shaa ALLAH 💚 sheikh aboud kwa ufafanuzi mzuri ALLAH akuzidishiye hekima na busara. amin amin YARABI amin 🤲🤲🤲🤲

  • @hafsamohamed8342
    @hafsamohamed8342 Před 11 měsíci +1

    wazee wa kuomba na kuabudu maiti

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 11 měsíci

    Us.Hajji Upepo Sh. Sabas Sh.Diwani na Said wamejibu lakini hamutaki kukubali Bachu alisoma hiyo hadithi ambayo ni munkar Sh.Waleed alitoa hadithi ya jina la Mtume ni mahii ndio hiyo mahiya dhunub nyinyi shikileni hapo hapo hoja hazijajibiwa.

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před 11 měsíci +1

    Mashaallah

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 11 měsíci +7

    BACHU FIRST 11 YA WAJINGA----NGOMBE WA VICHWA VITANO

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 11 měsíci

      Aakhira utajibu maneno hayo.

    • @salumjabir813
      @salumjabir813 Před 11 měsíci

      @@mohagurey2214 yeye bachu atajibu mangap?

    • @kahiyemohammed8556
      @kahiyemohammed8556 Před 11 měsíci

      Yamaza jahili sana wewe

    • @salumjabir813
      @salumjabir813 Před 11 měsíci

      @@kahiyemohammed8556 maneno mpianza nyny...ss twamalza.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 11 měsíci

      @@salumjabir813 so Bachu alifanya dhambi hata wewe wafanya ???

  • @user-ry4kh6fg9j
    @user-ry4kh6fg9j Před 9 měsíci

    Shekhe Aboud ulisema kuna hadith,Sunna na Quran inayozungumzia UHALALI WA MAULID tulikuwa tushafurah lkn haujatusomea hata moja katika hizo na hapa ndipo tunapofeli kutetea MAULID. SHEKHE TULIEZEE HIZO USHAHID KWANZA.

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm Před 11 měsíci +3

    Basi mungejadili kama hadis munkar inatumika katika hoja mbona hilo mulikwepa kujadili kama inatumika

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci

      Kabisaa

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci +1

      WALLAHY Angekua Umar ibn Hatwab ako hai hawa watu wangechinjwachinjwa kama kuku washukuru tu serikali ni ya ruto

  • @mohamedsaid1737
    @mohamedsaid1737 Před 11 měsíci +1

    Kuzungumza koooteee sheikh abud hajatowa hizo daliili kwenye hadith na quran. Nimefunguwa video kwasabu hiyo, lakini mara nyingine, am disappointed.

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 11 měsíci +2

    Ust said alinyima watu elimu ilkua afafanue jee wanyama waliongea

  • @ahlammansur1836
    @ahlammansur1836 Před 11 měsíci

    Mkashindwa kuvitetea vitabu vya mawlidi kwenye munaqasha na kutoa dalili.
    Mkashindwa kufikisha message yenu kuhusu mawlidi.

  • @user-nb7tp5hc9k
    @user-nb7tp5hc9k Před 11 měsíci

    صل الله عليه

  • @Twizerimanagerardi21
    @Twizerimanagerardi21 Před 11 měsíci +3

    Sheikh unakiswahili kingi tua elimu kwa dalili sio maneno mengi bira dariri .

    • @muhammadabdallah1933
      @muhammadabdallah1933 Před 11 měsíci

      dalili

    • @kombomakame9541
      @kombomakame9541 Před 11 měsíci

      Unataka dalili Gani ktk hoja Ile 1 iliojadiliwa wakati habari ya kuongea WANYAMA Barzanji alichukuwa ktk hadithi amba Bachu aliitaja na akashindwa .
      Tatizo watu mnakibri na misimamo mibaya jambo ambalo halitakiwi ktk kujifunza.
      Tatizo mlikimbia shule.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 11 měsíci +3

    Zaman ilikuwa mnawaamnia watu na watu wanaamin tu bila kusoma vitabu!
    Siku hiz tunasoma tumegundua mnasomesha UONGO na SHİRİKi
    Ndıo mn Kitabı cha albarzanji hamkisomwshi kwa kukielewaaa
    bali mnakiimnishaa tu
    mnaqakaililisha watoto wafogo masıkın ya mungu!
    Madhara yake wakikuwa wakıbwa wanakuwa waganga wa kienyejii

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 11 měsíci +4

    Kuwa kati ya masharif ndo kunapelekea wewe kuokoka.. yaani hujaanza ata maneno ushaharibu Upuuzi mtupu unatoka mdomoni

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Před 11 měsíci

      Upuuzi wako aliokupa mzazi wako huna hata heshima labda wewe humjui mzazi wako

    • @nabiljumaothman5912
      @nabiljumaothman5912 Před 11 měsíci +1

      @@saidalhinai1131 mzazi wangu kafanya nini ?

  • @khamismwalim5604
    @khamismwalim5604 Před 11 měsíci

    Masha Allah💘💘💘

    • @manchesterunited7906
      @manchesterunited7906 Před 11 měsíci +1

      Dakika kumi 18 takriban. Hujatoa dalili hata moja na kama ni kuhusu ma imamu basi imam malik kasema 'hakuna sufi mwenye akili' tusimsikize. Wallahy ama kweli kama ilmu ulonayo ni ya kumcha Allah (swt) peke yake yote mengine huyajui basi inatosha kikweli

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      ​@@manchesterunited7906
      الوهابي قرن الشيطان

  • @suleimanally834
    @suleimanally834 Před 11 měsíci +1

    Unajua kila mnaposhabikia kuaminisha uongo toeni dalili katika qur- ani au hadithi kama maulid ni halali katika maisha ya dini naona ishakua mipasho sasa

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před 11 měsíci

    Nimependa hiii

  • @saidaboa9472
    @saidaboa9472 Před 11 měsíci +4

    sasa wapi dalil wanyama na samaki walitamka mimba a rasul saw kuingia?

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 11 měsíci +2

    Hivi inakuaje maswahaba ambao Quran na Hadithi zilitremka kipindi wako hai mtume akawafundisha maana ya Quran na suuna zake
    Wakafanyia kazi hizo misingi miwili ya dini
    Wasipate Mawlidi
    Leo Masufi wanasema Mawlidi yapo katika Quran na Sunna
    Swali langu kwenu enyi masufi naomba munijibu
    Jee nyinyi ndio munafahamu sana Quran na Sunna kuliko Maswahaba
    Kivip nyinyi mpate Mawlidi katika Quran Maswahaba wasipate au
    Mtume hakua muadilifu katika kufikisha Quran na kufafundisha Dini ????

  • @binnyandwecheikhmuhamed
    @binnyandwecheikhmuhamed Před 11 měsíci +1

    M'achallah sheikh, allah akupe kila la heri❤

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 11 měsíci +2

    Mashia ndio wafadhil wa maulidi wacheni porojo

  • @user-sk8bn4zf6p
    @user-sk8bn4zf6p Před 11 měsíci +3

    KAMA KWELI USEMAYO NI KWELI NA ILI TUAMINI UYASEMAYO WEKA KIKAO UELEZE TU DALILI ZA KUA MANENO YA MARZANJI NI KWELI.UTOWE DALILI ZOTE ULIZONAZO

    • @manchesterunited7906
      @manchesterunited7906 Před 11 měsíci

      WACHA YEYE WOTE HAWAWEZI, SINGEKUEKO TUNGEKUA TWASOMA SOTE SASAIVI

  • @hassankisuda1189
    @hassankisuda1189 Před 10 měsíci

    Qaadiriya tunaomba kuelezeeni "ELIMU YA NYOTA INAJUZU AU HAIJUZU KWA DALILI
    Maana wengi wenu mwasema ni fani inajuzu?

  • @kusweymohamed
    @kusweymohamed Před 11 měsíci +1

    Suali na uliza kati ya sayyinaa Ali karramallahu ajhahuu nani mwenye ilimu nani ampendae mtume zaidi kwa nini Asayyid Ali asisome mawlilid Fatma mama Aisha na na haturudi Tena kunyeswa mikojo ya mashariff na povu la ongo la kofia

    • @kusweymohamed
      @kusweymohamed Před 11 měsíci

      Kati Asayyid Ali karramallahu wajhahuu na shekh barzanjii na mwenye ilimu nani mweye mahaba kwa nini ma swahaba kumi walio bashiriwa pepo hakusoma mawlidi kama ingekua ni Amal ya kupata pepo mungeatiwa nyinyi

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci

      Hahahahahah WALLAHY vicheko sana hawa ukiwafata WALLAHY fiinari jahanam

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 10 měsíci

    المخالفة الرابعة : الزعم بأن الذي تولى توليد أم الرسول صلى الله عليه وسلم اثنتان من الحور العين ، ومريم بنت عمران ، وآسية ؛ امرأة فرعون .
    ومما جاء في ذلك :
    ·قول صاحب النظم ، في الصفحة (132) :
    ومذ تم حمل الهاشمي محمد
    أتى أمه في الطلق أربع نسوان
    فثنتان من حور الجنان تبديا
    وآسية مع مريم بنت عمران
    التعليق :
    القول بأن الذي تولى توليد أم الرسول صلى الله عليه وسلم اثنتان من الحور العين ، ومريم بنت عمران ، وآسية امرأة فرعون : قول ليس عليه دليل ، والمعروف عند أهل السير أن القابلة التي تولت ذلك هي الشفاء ؛ أم عبد الرحمن بن عوف رضي الله عنها([24])([25]) .

  • @w4058
    @w4058 Před 11 měsíci +1

    Nyie wapingaji hata mufahamishwa vipi madhali hamtaki mwenzake basi maana mnajaribu kila njia kuyapinga yasisomwe na ndio yanazidi kusomwa Alhamdulilah Rabilaalamin na yatazidi kusomwa kusherehekea alokuja nayo Mtume SAW Mtume kaanza kupigwa vita na watu wa Nagdi yuko hai sikwambi sasa amekufa

    • @KubwaKuliko-dk4bm
      @KubwaKuliko-dk4bm Před 11 měsíci +1

      Hoja yako ni batwil hata zinaa inapingwa kwahio gesti zikiongezeka ndio itakua hakki itabaki ni kharamu
      Toa dalili ya kuthibiti kwake sio yataendelea...ihurumie nafsi yako na mambo ya uzushi katika dini tena baya zaidi kusingiziwa mtume uwongo

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage9664 Před 11 měsíci

    Subhanallah Yani hawa watu sijui wameipata wapi hizo akhlaaaq chaafu ,, ety anasema huyu mpumbavu akiwa baina ya masharifu ataokokaaa,,, لا إله إلا الله ,, wewe ni mjingaa hujielewiii

  • @allyabdi8804
    @allyabdi8804 Před 10 měsíci

    Ukisema dalili kwenye Sunnah unamaanisha Mtume alifanya maulidi au ya kufanania na maulidi

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 11 měsíci +1

    Watu walitegemea kutolewa dalili wanyama jee waliongea zii

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 11 měsíci

    Lete hadithi sahihi inayosema wapi maswahaba wa kiume walipiga dufu

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 11 měsíci +3

    Maulidi ni bid'aa Acha kutetea Mambo ya Uzushi

    • @SaidRashid-ei5wv
      @SaidRashid-ei5wv Před 11 měsíci

      Kaa darsani usome usitoe hukumu jambo usilolijua hiyo bid'aa inavigawanyo vyake usiharamishe jambo usilona elimu nalo

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      Bid'a hiyo haipo kwenye hukmu za kiislam

  • @omarsima2763
    @omarsima2763 Před 11 měsíci +1

    Hizo ni porojo tu mlikuwa wapi siku ya munaqasha. Itisha debate mje mfundishwe.

  • @binhussein4411
    @binhussein4411 Před 11 měsíci +2

    MUNGETOA FAIDA HIZI ZOTE MBELE YA MUNAQASHA..AALU BAYT WAMSINGIZIA MTUME URONGO?
    اتقوا الله يا شيوخ الصوفية

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před 11 měsíci

    Baakallahufik

  • @HussainmitunguMakumba
    @HussainmitunguMakumba Před 11 měsíci +1

    Ustadh...Sisi vijana wa twarika tulitarajia uguzie lile swali la bachu pia tuweze kujizunza ....Ebu tufunze Ustadh...Je wanyama waliongea..???

  • @munnihussein9352
    @munnihussein9352 Před 11 měsíci +3

    Abudi hakubali kushindwa na haezani knsa ajaribu kujionesha nae anaweza...baba someni muondoke kwenye ujinga ..(fahuwa rad) pimeni haya

    • @muradkhamissalim5047
      @muradkhamissalim5047 Před 11 měsíci

      Kitu hujuwi sema sijuwi sio kushidana na kusema hakuna na nabi musa alienda kusoma kwa mtu wa kawaida na akashindwa kusubiri Bachu ni hamasa na ujinga madharau leo amfananisha mtume na amitabachan na huku mwacheka makoko....

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 11 měsíci +18

    Sisi vijana ndo walengwa wa elimu hawa Wanajaza mifuko yao kisa maulid hawawezi kuacha huu Uzushi wa wazi .. Vijana wenzangu tuangalie wapi tunapata elimu yetu ila watu kama hawa sio sahihi.. Mimi nimeacha maulid Bachu ameeleweka

    • @nayef3903
      @nayef3903 Před 11 měsíci +7

      Njoo uyapinge kama unaweza sio kupayuka bila elimu yoyote

    • @nabiljumaothman5912
      @nabiljumaothman5912 Před 11 měsíci

      @@nayef3903 sio vita Haq haishindani na batili

    • @HawaOmary-fb6wo
      @HawaOmary-fb6wo Před 11 měsíci +3

      HUNA UJUACHO,ZAIDI YA KUMSHABIKIA BACHU,SISI TUNAZUNGUMZIA DINI.JAHILI MUBIIN.

    • @sumeyasumeya5490
      @sumeyasumeya5490 Před 11 měsíci +3

      MAASHALLAH TABAARAKA ALLAH FIYKA hio ndio natija ya MJADALA na sio kutafuta ushindi mitandaoni

    • @chudybalckonlionetv5495
      @chudybalckonlionetv5495 Před 11 měsíci

      Kabisa

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Před 10 měsíci

    Binti wote jopo ni washirikina tu lakini ninakushangaeni mbele ya mtoto wa baco maji yalijaa kinywani

  • @seifabdi9248
    @seifabdi9248 Před 11 měsíci +1

    Sikuona hoja 19 zilizozungumziwa, mnakasha ulivunjika kabla hata mjadala kuanza

  • @sulesumry9766
    @sulesumry9766 Před 11 měsíci +6

    Kukataa haki ni sifa ya kibri

  • @Aziz-yj2vl
    @Aziz-yj2vl Před 10 měsíci

    Hawa watu wapuuzi sana kwakweli nalau iyo maulidi ingekua ni sunna wasinge ivalia njuga hivo ungewaona wanakwepa kama wanavo chukia sunna ya kuacha ndevu

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Před 11 měsíci +1

    Limewekwa na mashiaaa sio mashekh zenu .
    Imamu shaafii ameyafanya hayoo??
    Imaam maali
    .imaam abuu haniifah
    Imaam ahamd .
    Sasa ukisema mashekh zenu kuna mashekhe wenyeelimu kuliko maimamu hawa!?

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci +1

    SWALI LA KUJIULIZA WEWE USIE NA ELMU KAMA MIMI,JEE SWAHABA GANI,AU MA IMAMU GANI WALISOMA MAULID,? SIO IMAM MALIK,AU HAMBAL,WALA WALA ....WOTE HAWAJASOMA MAULID

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 11 měsíci +1

    Hata wachawi na washirikina hudai wana dalili kutoka katika Quran

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 10 měsíci

    Vibaraka wa mashia ndio wanaotetea Hayo mambo ya Mawlid.
    Kwa sabab nyoyo zao zina Zeiyghu.

  • @kusweymohamed
    @kusweymohamed Před 11 měsíci +1

    Shekh said Hamad dalili kutoka quraan aw Hadith za bwana mtume s a w sio kuropoko tu tazama dalili nabii Suleiman alisikia amir wachungu akisema ee chungu mgini mwashimoni mweni nabii Suleiman alisikia ni maneno Yako kwa qurran na ww thibitisha kwa quraan papa duadua chui na ww shekhe mzushi ulio kishika kiti Cha shekhe bachu kua emekojoa ya ko ni makubwa na ukitaka nd,oo nitakupa kwa ushahidi

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 Před 11 měsíci

    UKITAKA UFE SAUDIA UKIKIRI 2 KWAMBA KUNA KIFARANGA POPOTE PALE ANA ASILI YA KURAISH UMEUWAWA KAMA MBU,

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před 11 měsíci

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا وحبيبنا ونبينا وشفيعنا محمد وعلى آله وأصحابه

  • @hafsamohamed8342
    @hafsamohamed8342 Před 11 měsíci

    huna moja.. tupeni ushahidi wapi wanyama walise wakti mimba ya rasuul imeingia

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 Před 11 měsíci

    We ni mwehu nguzo za mauridi ningap maana kila ibada inanguzo zake

  • @Aziz-yj2vl
    @Aziz-yj2vl Před 10 měsíci

    Angalia ule munaqasha wajuzi pale Kenya wanamletea Sheikh bachu kifaranga kikaleta utoooto Domo Zito kama vile bado linanyonya maziwa ya Mama yake

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Porojoooo

  • @arafatsaid920
    @arafatsaid920 Před 11 měsíci

    Sasa hapo ndio umeeleza nn? nilitegemea unatoa hoja na mifano ya quran na sunna zilivotumika katika vitabu vya mauilidi tuelimike. Halafu muogope Allah na elimu unayotoa kuhusu hadeeth dhaif

  • @mahatmohamed8392
    @mahatmohamed8392 Před 11 měsíci +3

    Hivi vyote mungetutajia katika Munaqasha tungefaidika

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Před 11 měsíci

      Kwan vikitajwa hapo hufaidiki??

    • @shariffali7780
      @shariffali7780 Před 11 měsíci +1

      Katika munaqasha ilikuwa Bachu ajibu swali la mwenzake ndio waendelee. Na hiyo ndiyo maelewano ya Royal Court!

    • @sumeyasumeya5490
      @sumeyasumeya5490 Před 11 měsíci +2

      Swali halikiwepo ilitakiwa saidi atuonyeshe lipo na dailili zake na sio kufanya uchali

    • @hididube9252
      @hididube9252 Před 11 měsíci +1

      Bachu alishindwa ni ajibu swali Kisha waendelee

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Před 11 měsíci

      @@sumeyasumeya5490 yaan majibu ya hoja19 yote yapo kwenye swali hilee...na ndo mana katoto ka bwacho a.k.a "saduku"hakujibu na akaamua kukimbia,ww km una macho ya nazi huwez kuelewa nini kilichomfanya mtoto wa bachu alete balbala zake

  • @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331
    @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331 Před 11 měsíci +2

    Ok kama nkweli ninani alietafsir hiyo riwaya ya wanyama kuongea kwao kuwa mimba ya mtume imeingia?
    Acheni kupotosha watu njaa ndio yawasumbua sababu kenya maisha magumu.

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci

      Hawatajibu hilo hata kiama kitasimama manake wakitasfri washavunja miungu yao ya makaburi

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 Před 11 měsíci

    Kumbe mulijua bachu alijibu suala sawa! Lakini said akakatalia siondooookiiiiii mpaka unijbu kumbe nikuukwamisha mjadala ili haiki isionekane, mutaenda kujibu masuala siku ya kiyama. 9:19

  • @allyabdi8804
    @allyabdi8804 Před 10 měsíci

    Mbona kama hizo dalili hutuambii ni zipi zinapatikana kwenye kitabu gani

  • @saidyusuf9245
    @saidyusuf9245 Před 10 měsíci

    Mbona hukutowa dalili kwenye quran wala katika sunnah kwa hisaniyako wambiyeni watu ukweli maulidi niuzushi mtume hakufanya

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 11 měsíci +1

    Naomba ndugu zangu tuchangieni kiilmu tusitoeni maneno mabaya watu watwarika hatuna sifa hiyo kabisa.

  • @rajabmembe6695
    @rajabmembe6695 Před 11 měsíci +1

    NA KAMA MTU HAJUI KWANINI MSIMUELIMISHE HUYU KWA FAIDA YA WAISLAM WOTE? ACHENI UONGO TUELIMISHENI WAISLAM MBONA HAMJIBU? MNAKWEPA KWEPA JIBUNI COVID 19 NA WANYAMA KUZUNGUMZA

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 11 měsíci

    Amiin

  • @barjah1184
    @barjah1184 Před 11 měsíci

    Kumbe Shia ndio walionzisha maulidi huko masri wakati wa utawala wa ubadiya sikuza kidhungu sheikh Othman ndani ya marekani. czcams.com/users/liveYFTIzjxauMA?si=6U_0kfrsjVouzHl9

  • @mohammednaji8887
    @mohammednaji8887 Před 10 měsíci

    Swali linalokuja ni je maswahaba, tabein and waliowafwata hawakujua dalili hizi??ama hadith za kusoma mawlid zilipokelewa na nani? Tupe mifano ya ayah unazosema ndio dalili ya mawlid?

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Hakitasimama kiama mpaka tufuate mila za makafiri ndio haya

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Mumekua kama mnajadiliana bibilia kuzungusha watu maskiin ambao hawajasoma hiyo yote pilau tu

  • @aminaabdullahi-tp5kn
    @aminaabdullahi-tp5kn Před 11 měsíci +2

    Hayo maneno mungemeambia bachu

    • @ibrahimkhamis4540
      @ibrahimkhamis4540 Před 11 měsíci

      Ye swali moja tu chali ...,angelisema hajui na alisaidiwa akaambiwa aseme hajui rahisi

    • @zigzag4487
      @zigzag4487 Před 11 měsíci

      ​@@ibrahimkhamis4540kwani nani wa kwanza kuuliza swali

    • @qr130p
      @qr130p Před 11 měsíci +2

      ​​@@ibrahimkhamis4540wallahi naapa kwa jina ya ALLAH, hilo jibu ya hilo swali ingekuwepo, Saidi angefungua vitabu na kumfunza bachu na kumkejeli kwa kutojua hilo jibu. Ni swali halimo.
      Twalijua hamuwezi tetea UONGO hio ya barzanji.

    • @sumeyasumeya5490
      @sumeyasumeya5490 Před 11 měsíci +3

      Alipenyezewa kikaratasi kilichoandikwa zuwia hapo hapo walijua angisonga mbele atashikwa koo NA ALLAH akawaumbua 😂😂😂 kikaratasi kikaonekana

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 11 měsíci

    Enyi wapumbavu wa kisufi acheni kibri na vituko!
    Haya, ni katika aya gani au Hadith gani inasema wanyama walipeana habari wakati mimba ya mtume saw ilipotingwa.
    Hivi mtume saw na masahaba zake walihafilika na na ibada hiyo ya uzushi?

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 Před 11 měsíci

    anarudia pale pale huyo mtu huitwa muongo na ashaambiwa wanachuoni hawajadili mtu hujadili maneno yake iv twarika hamuelewi nini, si muweke dalili hapo ya wanyama kuongea. watu waone sio porojo tu, hata mshirikina anaweza kusema kuA anA dalili ila WEKA HAPO USHAHIDI TUONE.

  • @athumanbirya8419
    @athumanbirya8419 Před 11 měsíci +2

    Je ipo dalili mtume mwenyewe kafanya maulidi ama hii ni kama story ya wakristo abao ukiwauliza wapi yesu kasema yeye ni mwana wa Mungu huishia mitini tuonyeshene mtume kasherekea vipi mazazi yake

    • @sumeyasumeya5490
      @sumeyasumeya5490 Před 11 měsíci

      Na wap waliingia mitini

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 11 měsíci

      Na mm nakuliza swali mtume s a w alikusanya quran kua kwenye mswahafu moja alafu mtume s a w alishindanisha kusoma quran hemu nijibu ww @athumanbirya

  • @user-tz9rg7ej6n
    @user-tz9rg7ej6n Před 11 měsíci +4

    Kama kweli una elimu vunja Kwa dalili hoja za bachu usituporojee

  • @blazeking2331
    @blazeking2331 Před 10 měsíci

    Si mutupe tafsiri sahihi ya maulid ya barzanji mbona hamujibu maswali munayoulizwa haya basi mutamjibu Allah

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft Před 11 měsíci +2

    Aboudi mrongo Sasai ndo munakuja Kule aliko bachu

  • @rashid3562
    @rashid3562 Před 11 měsíci +1

    Hakuna kitu kinachokera ni mtu kulazimisha mawazo yke yafatwe na watu wote

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Před 11 měsíci

      Mbona nyinyi mawahabi munapeyana Digirii mastaz na pHD katika maswala dini je kuna dalili

  • @munnihussein9352
    @munnihussein9352 Před 11 měsíci +1

    Mi naona maulidi zamani yamezikwa kumbe bado mwazifufua... Utaulizwa juu ya hili jambo itaqqi Llah shekh

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      إنما يخشى الله من عباده العلماء