TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR (الاستغفار) | KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Siri miongoni mwa siri za AL-ISTIGHFAR katika kupata utajiri mkubwa. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata ukwasi.
    Maelezo yake:
    Surah: Nuh (71)
    Ayah: 10-14
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an akisema:
    فَقُلْتُ ٱسْتَغْفِرُوا۟ رَبَّكُمْ إِنَّهُۥ كَانَ غَفَّارًۭا. يُرْسِلِ ٱلسَّمَآءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًۭا. وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَٰلٍۢ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّـٰتٍۢ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَـٰرًۭا. مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًۭا. وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    **********************************************************************

Komentáře • 172

  • @TatusuleimaniShauri
    @TatusuleimaniShauri Před 2 měsíci +2

    Shehe Mimi kwanza nashukuru sana halafu ninashida Moja kubwa naomba msaada wako

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 2 měsíci +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Nakushukuru sana kuwa mfuasi mkubwa wa channel yangu. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Naomba unielezee tatizo lako huenda Allah (SWT) Akatupa Tawfiq na tukaweza kulitatua.

    • @TatusuleimaniShauri
      @TatusuleimaniShauri Před 2 měsíci +1

      Asante nashukuru nimekaribia naomba Dua zako maana nimekua mzito wa kufanya mambo yaheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 2 měsíci +1

      @@TatusuleimaniShauri Allah (SWT) Akufanyie wepesi katika mambo yako yote. Ameen 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @عبدالرحمن-ض9م
    @عبدالرحمن-ض9م Před 13 dny +1

    جزاك الله خير
    الله يحفظك
    Allah AKUPE mwisho mwema na akuruzuku kila kitu hapa duniani na kesho akhera insha Allah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 13 dny +1

      Ameen! Thumma Ameen! Thumma Ameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @SharifaA-y4t
    @SharifaA-y4t Před 22 dny +1

    Masha Allah shukuran sana shehe mwenyezi mungu akulipe kira laheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 21 dnem +1

      Tabarakallah! Sote Insha Allah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @husseinshaibu5239
    @husseinshaibu5239 Před 3 měsíci +6

    Jazakallahu kheir Al habib, Hili kama mtu hajafanya huweza kuona kama Masikhara lakini Allah kisha sema, ukifanya hivyi Allah atakupa kadhaa wa kadhaa n.k, Mie ni moja wa Watu ambao Allah alinifanyia mambo makubwa kabisa kwa Istighfar tu Sina Shaka na hilo.. Jenga Yaqini sasa kisha kaa chini utaona Maajabu yake..

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Barakallahu Feek ya Habiby. Nakubaliana nawe 100%. Maneno yako yanazidisha ladha katika mazungumzo haya. Kuwa na yaqeen ndio kufaulu. Allah (SWT) azidi kutupa mazuri duniani na akhera. Ameen! 👐

  • @user-oj1yp1tt1t
    @user-oj1yp1tt1t Před 3 měsíci +4

    Shukran yaa sheikh Mwenyezi Mungu akuepushe vijico na hasidi 🙏🙏🙏🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insh Allah Taala. 👐

  • @zahramsangi3632
    @zahramsangi3632 Před 3 měsíci +3

    Maa Shaa Allwah…kwa faida hii uliyotupatia, Allwah akupe umri mrefu wenye manufaa hapa duniani na kesho akhera, na akuruzuku kwa kila unalo muomba bi-idhinilah In Shaa Allwah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Ameen ya Rabb! Insha Allah. Allah (SWT) atupe mazuri hapa duniani na kesho akhera. Ameen!

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q Před 3 měsíci +4

    Naam shekhe wetu Allah akujaalie kher zaidi mm naamini sana kuruani inasir nyingisan kwaweny kuamini

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +2

      Bila Shaka. Shukran sana kwa maelezo na maoni yako. Allah (SWT) Akubariki. Ameen!

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 Před 3 měsíci +1

    Jazakallah heri,Allah akulipe heri duniani na akhera huna choyo na elimu yako

  • @saidam.k213
    @saidam.k213 Před 3 měsíci +3

    MashaAllah ...Allah atufanye tuwe miongoni mwa wenye kumkumbuka na wenye kutubia kw wingi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Tabarakallah! Ameen ya Rabbal 'Alameen! 👐

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 měsíci +3

    Shukran sheikh kwa ukumbusho
    Allah akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Ameen ya Rabb! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Před 3 měsíci +2

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH Kheri sana.

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld Před 3 měsíci +2

    Shukran shukran shukran shukran 😢😢😢

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Afwan! Afwan! Afwan Sana. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 3 měsíci +7

    shukran sana sheikh wetu

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 Před 3 měsíci +2

    Aa ww ni kweli kabisa, jazaka Llahu kheir from Msa, baraka Llahu fiq

  • @raidataty8502
    @raidataty8502 Před 2 měsíci +2

    Shukran and Ameen for the last dua you made . I went through the comments and some people talk trash here may Allah guide please sheikh don’t take it personal wasamehe kwaajili ya Allah.
    Allah azidi kukuhifadh
    To be clear: is saying istighfar “ استغفرالله…?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 2 měsíci +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. I understand that and I always guided by this Ayah 199 of Surah Al-A'raf:
      خُذِ ٱلْعَفْوَ وَأْمُرْ بِٱلْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ ٱلْجَـٰهِلِينَ ١٩٩
      Meaning: Be gracious, enjoin what is right, and turn away from those who act ignorantly. May Allah (SWT) Bless us abundantly. Ameen! 🤲🤲🤲

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 Před 3 měsíci +1

    Allahumma Ameen. Jazaak Allahul kheir

  • @nasraddinkadiir5115
    @nasraddinkadiir5115 Před 3 měsíci +1

    Wlh alhamdunillah ISTIGHFAR my change your life

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +3

      Masha Allah! May Allah (SWT) Give us Yaqeen about Qur'an so that we can apply in life 🤲🙏🙏🙏🙏🤲

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 3 měsíci +1

    Aslm alkm ww.... Allah Kareem. Jazakallah kheir 🙏 Masha Allah!!!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Allah Akramul Akrameen. Barakallahu Feek.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 3 měsíci +4

    Allahu akbar ❤❤❤

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 3 měsíci +3

    Mashallah ❤️ ❤️ allsh atujaalie tuwe ni miongoni mwao

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci

      Tabarakallahu! Ameen ya Rabbal 'Alameen. Shukran sana.

  • @fatmamafazy8999
    @fatmamafazy8999 Před 3 měsíci +2

    Mashaallah mafunzo mazuri sana. Tafadhali kidogo harakisha katika kueleza. Shukran

    • @NO1LIKES2FAIL
      @NO1LIKES2FAIL Před 3 měsíci

      Mshkuru Allah umepata hio elimu bure kabisa hata kama anaelezea taratibu …

  • @saumsaum712
    @saumsaum712 Před 3 měsíci +2

    Shukran jazeelan

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Waiyyaak Ukhtiyal Azeezah! Barakillahu Feek.

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 3 měsíci +1

    Shukran sheikh ..dua ya kuondoa hasad tafadhali ukipata mda inshaaAllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Afwan. Insha Allah, nitakutumia hiyo Dua. Shukran.

    • @anyeresa928
      @anyeresa928 Před 3 měsíci +1

      Ntashukuru Allah akuzidishie elm na kutuletea faida inshaaAllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      @@anyeresa928 Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Insha Allah utasoma dua hii kila siku baada ya swala ya Subhi na Ishaa mara moja moja. Kwa uwezo wa Allah, Allah (SWT) atakuondolea na kukukinga hasadi ya aina yoyote. Na hii ndio Dua:
      بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ مِنْ كُلِّ شَيْءٍ يُؤْذِيْنِيْ، وَمِنْ شَرِّ كُلِّ نَفْسٍ أَوْ عَيْنٍ حَاسِدٍ، بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ اللهُ يَشْفِيْنِيْ، مَا شَاءَ اللهُ كَانَ، وَمَا لَمْ يَشَأْ لَمْ يَكُنْ، وَلَا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللِه، أَسْأَلُ اللهَ الْعَظِيْمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيْمِ أَنْ يَشْفِيَنِيْ وَيَشْفِيَ مَرْضَى الْـمُسْلِمِيْنَ .اللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ يَا خَيْرَ حَافِظٍ مِنْ كُلِّ شَرٍّ، وَمِنْ كُلِّ حَسَدٍ وَعَيْنٍ، وَاجْعَلْنِيْ فِي ضَمَانِكَ وَحِرْزِكَ وَأَمَانِكَ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ اصْرِفْ عَنِّي كُلَّ مَنْ أَرَادَ بِيْ شَرّاً، وَأَشْغِلْهُمْ فِي نُفُوْسِهِمْ، وَكُفَّ أَيْدِيْهِمْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَعْلَمُ أَنَّهُ لَمْ يُصِبْنِيْ إِلَّا مَا كَتَبْتَهُ عَلَيَّ، وَإِنِّيْ لَا أَخَافُ أَحَداً مِنْ خَلْقِكَ مَا دُمْتَ أَنْتَ مَعِيْ، فَاللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ وَاحْرُسْنِيْ. اللَّهُمَّ إِنِّيْ وَكَّلْتُكَ أَمْرِيْ، وَأَنْتَ حَسْبِيْ وَنِعْمَ الْوَكِيْلِ، اللَّهُمَّ أَخْرِجْ كُلَّ دَاءٍ أَصَابَ جَسَدِيْ، وَرَدِّ كَيْدَ كُلِّ عَيْنٍ نَظَرَتْ فِي رِزْقِيْ، وَاكْفِنِيْ شَرَّ خَلْقِكَ الْـحَاسِدِيْنَ. اللَّهُمَّ لَا تَجْعَلْ نَفْسِيْ حَاقِدَةً حَاسِدَةً، وَارْزُقْنِيْ الرِّضَا وَالْقَنَاعَةِ، وَلَا تَجْعَلْنِيْ أَمَدَّ بَصَرِيْ إِلَى غَيْرِيْ، وَرَضِّنِيْ بِمَا رَزَقَتَنِيْ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ بَارِكْ لِي فِيْمَا رَزَقْتَنِيْ، وَاصْرِفْ عَنّي شَرَّ الْأَشْرَارِ، وَكَيْدَ الْفُجَّارِ، وَطَوَارِقَ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ. اللَّهُمَّ احْرُسْنِيْ بِعَيْنِكَ الَّتِي لَا تَنَامُ، وَاكْلَأْنِيْ بِمُلْكِكَ الَّذِيْ لَا يُضَامُ، وَاحْفَظْنٍيْ يَا حَيُّ يَا قَيُّوْمُ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِكُلِّ اسْمٍ هُوَ لَكَ أَنْ تَصْرِفَ عَنِّيْ كُلَّ عَيْنٍ، وَتُعَافِيْنِيْ مِنْ كُلِّ حَسَدٍ . وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وسلم والحمد الله رب العالمين.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 měsíci +1

    Ma sha llah
    Shukran sheikh
    Allah akubariki

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Tabarakallah! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @ZubedaSorsa
    @ZubedaSorsa Před 2 měsíci +1

    Shukran jazza yako Kwa Allah sheikh

  • @FIRDAUSAWADH
    @FIRDAUSAWADH Před 3 měsíci

    Ameen yaraabil Alameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci

      Taqabbala Allah Minna wa minkum swalihal A'maal.

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 Před 3 měsíci +1

    Aa ww ni kweli hta mimi istighfr na S. A nnby iminipeleka umra Alhamduli Llah jazaka Llahu kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Masha Allah! Tabarakallah! Allah (SWT) Atuafiqie kheri zote. Barakillahu Feek!

    • @herryhabibu9258
      @herryhabibu9258 Před 3 měsíci +1

      Ameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      @@herryhabibu9258 Ya Rabbal 'Alameen. Shukran.

  • @xhilingiibra3571
    @xhilingiibra3571 Před 2 měsíci +1

    Mashaallah

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 Před 3 měsíci +1

    Swadkta wallahi shukrani

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 3 měsíci +2

    MashaAllah shukraan sheikh

  • @abdoulsissoko4855
    @abdoulsissoko4855 Před 3 měsíci +2

    Jazak'Allahu Khairan

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk Před 3 měsíci +1

    shukran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci

      Afwan. May Allah (SWT) Bless you abundantly. Ameen.

  • @UmmuMunawarAliy
    @UmmuMunawarAliy Před 3 měsíci +3

    Asalam alaikum waramtullah wabarakatuh. Ostaz jazakallahulghair

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Waiyyaak! Barakillah Feek! 👐🙏

  • @aminaalidini1705
    @aminaalidini1705 Před 3 měsíci +2

    Mashaa Allah, shukran sheikh

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 měsíci +1

    Shukran d

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @letuslearn7548
    @letuslearn7548 Před 3 měsíci +3

    اللهم صل علي محمد و علي آل محمد كما صليت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد و بارك علي محمد و علي آل محمد كما باركت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد بقدر عظمة الله و قدر جلال الله و كماله عدد الشفع والوتر وكلمات الله التامات الطيبات المباركات

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      آمين يا رب العالمين. بارك الله فيك وجزاك الله خير الجزاء.

  • @Dafetty
    @Dafetty Před 3 měsíci +1

    Shukran sana sheikh

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv Před 3 měsíci +1

    Ameen thumaanin

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o Před 3 měsíci +1

    Shukran jazaqa Allah khayra

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +2

      Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🙏

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o Před 3 měsíci +1

      @@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      @@user-qv8uo3bc6o Ya Rabb! Barakillahu Feek. 🤲🙏🙏🙏

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o Před 3 měsíci

      @@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin kwasote pia

  • @bisharmohamed2275
    @bisharmohamed2275 Před 3 měsíci +1

    God bless you

  • @user-js2gt2bf6n
    @user-js2gt2bf6n Před 3 měsíci +1

    Aminaana

  • @AsnatyMshamu
    @AsnatyMshamu Před 2 měsíci +1

    Allah akuzidishie,nimekuelewa mno kama unagroup wattsap naomba kuingizwa ili nipate faida zaidi inshaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 2 měsíci +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! La sina group. Insha Allah, nitaanzisha. Shukran! 🙏🤲

  • @user-tw8qr3ns6r
    @user-tw8qr3ns6r Před 3 měsíci +1

    استغفر الله العظيم

  • @awenam-of7te
    @awenam-of7te Před měsícem +1

    Hata uislam kwa rehma za Allaah ulisimama kwa upanga nafsi na mali

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 29 dny +1

      Kheiran Insha Allah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld Před 3 měsíci +1

    Masha Allah tabarakallah ❤️🫰🏾

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Tabarakallah. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 Před 3 měsíci +2

    Shukran ya sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Waiyyaak. Allah (SWT) atupe kheri zote. Ameen! 👐

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 3 měsíci +1

    MashaAllah shukran ngoja ni subscribe nizid kupata faida

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Tabarakallah. Bila shaka! Faida utazipata insha Allah. Karibu sana dadangu mpendwa.🙏

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 Před 3 měsíci +1

    Amiin yaarabi

  • @MayiNtunzwenimana
    @MayiNtunzwenimana Před 3 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci

      Shukran Sana 🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 3 měsíci +1

    Hio ALSTIGHFAAR ni dua upi ama unaisoma vp,,,,mwenye kuifaham namba anijuze inshaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran kwa swali lako. Kinachohitajika kufanya ni kufuata yafuatayo:
      Utaratibu wake:
       Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
       Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 3 měsíci +4

    The miss understood religion

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +2

      Allah Akbar! Allah (SWT) is Great! Kindly. See my comments below 👇. Barakallahu Feek ya Habiby!

    • @user-oj1yp1tt1t
      @user-oj1yp1tt1t Před 3 měsíci +1

      Alhamdulillah sheikh nayapenda mawaidha yako na I ivi kwa Sasa naanza kuyaona mabadiliko kwa duaa hiz na adhkar namuomba mungu mwingi wa Rehema akujalie afia nzuri na mafanikio mazuri fii dunia wal akhera 🙏🇷🇼mashallah tabaraka Allah 🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      @@user-oj1yp1tt1t Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah Taala. Shukran.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +1

      @@user-oj1yp1tt1t Ameen! Ameen! Thumma Ameen! Barakillahu Feek!

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 3 měsíci +6

    Quran haikuja kuwatafutia watu utajiri hebu ifike wakati hii dini tuwaachie wanaojua hii dini watufundishe haya ukishajuwa tajiri ndio inakuwa nini?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +28

      Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Kwanza nakushukuru kwa maoni yako na tunayaheshimu sana. Ila ni kwamba maneno yako yatufahamisha kiwango chako cha elimu. Nadhani ni busara kubwa kutorevusha ujumbe wangu kwako. Kwa ufupi Qur'an imeletwa kwa manufaa ya wanadamu. Nawe una khiyari ya kunufaika au la. Usiwe mbishi kwa mambo yalobainishwa wazi ndani ya Qur'an na wanavyuoni wakubwa wakayathibitisha na kunufaika. Qur'an inatutaka tujue, tuizingatie na kufwata. Na hizo ayah ziko wazi. Allah (SWT) ni mjuzi wa yote! Shukran sana Kakangu na nakupenda kwa ajili ya Allah (SWT).

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney Před 3 měsíci +12

      Acha chuki kaka hiy ni sifa ya hasid Allah akulind my lecturer

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Před 3 měsíci +3

      @@FayeezAlbahassaney Ameen ya Rabb. Shukran Habib!

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney Před 3 měsíci +8

      Angaliya kaka ktk surat Nuh aya ya 10 -12 inaelz waz waz inasema aya 10 “ Nikisema ombeni msamaha kwa mola wenu mlezi,hakika yeye ni mwingi wa kusamehe. Aya 11 “ Atakuletea mvua inyeshe mfululizo. Yan kwa man ya kwamba mvua iwe rutuba ktk ardh tuwez kupat mazao ambay sisi ni chakula kwet. Aya ya 12 Atakupeni mali mali, na wana (watoto) na atakupeni mabustani na atakufanyieni mit na pia nakuongzy aya ya 13 Mna nini hamuweki heshima ya M/mung? Pmj na Aya ya 14 Na hali yeye kakumbeni darja baada ya darja

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney Před 3 měsíci +3

      @@mohamedalidini Allahumma amin Yarabby:InshaAllah my lecturer

  • @HassanAboud-gh5re
    @HassanAboud-gh5re Před 3 měsíci +1

    Mashallh mungu akuzidishie kheri Inshallah