KUFUNGUA MAMBO YAKO YOOOOOTE RIZKI KAZI MALI NK. SOMA JINA HILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 65

  • @MariamMohamed-wo3vi
    @MariamMohamed-wo3vi Před měsícem +2

    Alhamdulillah masha Allah

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před 4 měsíci +1

    Shukran sana shekhe wetu nimeona unatujali wanafamilia Allah akulipe janna ww nafamilia yako kwaujumla

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci +1

      Ameeen shukran sana

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci +1

    Ila namshukuru mungu kwa kwel hizi swala na nyirad za uck nazipata nazisoma na napenda sana kuzisikiliza.ila hali ndio hivyo na saiv ht mume wangu hl ya maisha ni ng um u.

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Inshaa allah mungu amfanyie sahali Hali yake ilainike Kwa uwezo wa mola inshaa allah

    • @KhadijaIssa-kd4ho
      @KhadijaIssa-kd4ho Před 3 měsíci

      @@TURIYU aamiin

    • @sfiaalanazi5479
      @sfiaalanazi5479 Před 3 měsíci

      Mambo kama haya kama uko na vifungo vya kichawi ni ngumu kufungukiwq hata mafuta pia ukijipaka yana kataa kwa mwili 😢😢

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura7268 Před 2 měsíci +1

    shukran saana sheikh Allah akulip kheyri,ila nilikua nauliza je hiyo kafara inatolewa baada ya du'a ao vip?

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 2 měsíci

      Ndio inatolewa baada ya dua

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci +1

    Sinyonyeshi Mtoto nishamuachiza ila hali ya ugonjwa tu sijui ht nn nishaomba mungu sana ila sijafanikiwa bado.nina wasiwasi sana.saa nyengine pumzi zinanibana.wala siwez kukaa na njaa .

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u Před 3 měsíci +1

    A. Aleykum W.W. Nauliza ktk kuchinja je kuna manuizi gani? Pili uchinjaji ni lazima ufanyike usiku wa Ijumaa baada ya kisomo au hata kesho yake asubuhi kwa maana siku ya jumamosi Sheikh??

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Uchinjaji hata keshoyake unaweza kuchinja ila manuwizi ni muhimu katika kuchinja

  • @rashidawangara1318
    @rashidawangara1318 Před 2 měsíci +1

    Assalaam aleikum sheikh. Una nafasi unifanyie hii dua?

  • @aminarama1633
    @aminarama1633 Před 4 měsíci +2

    Alhamdulillah, shukran sanaa

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci +1

    A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Před 4 měsíci +2

    Maishallah

  • @yusrashaban8138
    @yusrashaban8138 Před 3 měsíci +1

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh sheikh,naeza pia nikiwatilia dua watoto wangu wawe nafahamu kumbukumbu akili

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Yes inawezekana usjali

  • @user-rv9vw7in2s
    @user-rv9vw7in2s Před 3 měsíci +1

    Shukran jazakallaahu,,vitabu pia tuvipate online bi idhini llaahi,,

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 3 měsíci +1

    Tiba km zipi nishaomba mungu Sana ila hali bado km saiv kichwa kinauma hp rohoni pamekaza

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Pole Sana ila Kuna mda unaweza kumuomba mungu na asikupe ukitakacho kumbe anakupima kwanza anakupa mtihani aone subra Yako ila we usichoke kumuomba mungu utaona faida yake

    • @KhadijaIssa-kd4ho
      @KhadijaIssa-kd4ho Před 3 měsíci

      @@TURIYU asnte kwa ushaur nitajitahid kumuomba allah sitokata tamaa

    • @HusseinAbdulrahman-xh2md
      @HusseinAbdulrahman-xh2md Před 3 měsíci

      Ushawahi somewa dada khadija dua ya kumaliza hali hiyo? Kama laa inawezekana huenda Allah yuwataka kukumalizia mtihani wako. Ntafute nikusomee popote ulipo naamini utafaidikapopote ulipo inshallah

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass Před 4 měsíci +1

    Shekh mbona wanaume tu Kuna wanawake wanalea pekeayo tunataka maisha mazuri ili tuwalee vizuri na ssi tufanyeje

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci

      Hahahahaaaa mbona mie sijabagua mtu dada Zuhra? Nakwanini ulee peke Yako na Hali umezaa na mume? Kama anakusumbua mfanyie Dua tu

  • @yusrashaban8138
    @yusrashaban8138 Před 3 měsíci +1

    Sheikh naeza kutumia msahafu kama sijui kwakichwa

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Ndio Haina tabu unatumia tu

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 3 měsíci +1

    Kama huzijui utafanyaje na utasoma aya ipi naomba ufafanuzi shekhe

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Soma Hilo jina nililokuelekeza

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 Před 4 měsíci

    Subukhu kudus rabbi malaikat waruhkhus ndo hivi

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci +1

      Subuhu kuddusu rabbul malaaikat warruuh

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 3 měsíci +1

    Izo suratul Yasin na Mulki kama huzijui unaweza kusoma sura yoyote ile ? Maana wengine tumeishia juzuu amma.

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Hapana sura ni hizo hizo

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci

    Analolifanya haliendi akiuza biashara halipwi baishara zinaharibika.madeni anayodaiwa ni mingi mpak anfika kuzima .cm

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci

      Analolifanya nani mumeo au nani?

  • @yusrashaban8138
    @yusrashaban8138 Před 3 měsíci +1

    Pole sheikh kwa usumbufu . kwa hii swala hakuna Allahuakbar wala samiallahulimanhamida wala tashhadu na swalaa annabi ibrahimiyya

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci

    Nikikaa na njaa tu hali inabadilika afya inadhoof naona kizungu zungu.khadija kutoka zanzibar

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci

      Pole Sana bi khadija issah ila je? Vipimo vya vidonda vya tumbo ulishafanya?

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy Před 4 měsíci +3

    Sheikh samahan unapo andika soma jina hili tunaomba ukiliandika kwa kiarabu andika na kiswahili hili mtu kma anaitafuta vidio zilizo mpita inakua ni raisi kuipata maana co wote wanajua kiarabu

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci +1

      Doooh pole Sana dada noory ila nimekuelewa na ntaanza kufanya hivyo inshaa allah

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 Před 4 měsíci +1

      AL Fatah Au Katika kusoma Al Fataha au Yaa Fatah Unasoma Hivo
      @noorynMiddy Lina andikwa hivo

    • @Naw89
      @Naw89 Před 4 měsíci

      YAA FATTAAH

    • @habibaramadhani-xv2ed
      @habibaramadhani-xv2ed Před 3 měsíci

      ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH

  • @zuhuramwaniki6138
    @zuhuramwaniki6138 Před 3 měsíci +1

    Naomba kujua jina langu ni nambari ngapi zuhura

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Uzito wa zuhra ni 217

  • @khadijaismail5015
    @khadijaismail5015 Před 4 měsíci

    Shekh weka internet ya TTCL Tsh. 55000 Kwa mwezi unlimited Hainakitangulizi cho chote

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci

      Maa shaa Allah itabidi nifanye hivyo shukran Sana Kwa taarifa hio lakini ishu ni kuipata hiyo line ya ttcl ndio sijui ntaipata wapi

  • @kingarushamsi-gi6yr
    @kingarushamsi-gi6yr Před 3 měsíci +1

    Shekhe na mbuzi tunafanyaje?

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 3 měsíci

      Kama utakavyofanya Kwa kuku

  • @user-ct5yc9ph7u
    @user-ct5yc9ph7u Před 4 měsíci +1

    Mashallah

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci

    Ndio nimenda spital nimeshapima ila had leo hii sjapata majibu kila siku Nambiw kesho.lkn hii hali mara saiv Naumwa hivi badae naumwa vyengine ndio hivyo

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci

      Hizo zoote ni dalili za mashaitwani dadaangu pole inakubidi ungedili Sana na tiba za kuondoa mashaitwani mwilini

    • @HusseinAbdulrahman-xh2md
      @HusseinAbdulrahman-xh2md Před 3 měsíci

      Kweli kabisa sheikh, anafaa asomewe huyu dada, kama waeza mfanyie ama sivyo naweza msomea na Allah akamwondolea

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci

    A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.

  • @husnamasoud4989
    @husnamasoud4989 Před 4 měsíci +2

    Mashallah

  • @KhadijaIssa-kd4ho
    @KhadijaIssa-kd4ho Před 4 měsíci

    A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.

    • @TURIYU
      @TURIYU  Před 4 měsíci

      Hali Yako ipoje unanyonyesha au unaumwa au unatatizo Gani bi khadija?