Ila namshukuru mungu kwa kwel hizi swala na nyirad za uck nazipata nazisoma na napenda sana kuzisikiliza.ila hali ndio hivyo na saiv ht mume wangu hl ya maisha ni ng um u.
Sinyonyeshi Mtoto nishamuachiza ila hali ya ugonjwa tu sijui ht nn nishaomba mungu sana ila sijafanikiwa bado.nina wasiwasi sana.saa nyengine pumzi zinanibana.wala siwez kukaa na njaa .
A. Aleykum W.W. Nauliza ktk kuchinja je kuna manuizi gani? Pili uchinjaji ni lazima ufanyike usiku wa Ijumaa baada ya kisomo au hata kesho yake asubuhi kwa maana siku ya jumamosi Sheikh??
Pole Sana ila Kuna mda unaweza kumuomba mungu na asikupe ukitakacho kumbe anakupima kwanza anakupa mtihani aone subra Yako ila we usichoke kumuomba mungu utaona faida yake
Sheikh samahan unapo andika soma jina hili tunaomba ukiliandika kwa kiarabu andika na kiswahili hili mtu kma anaitafuta vidio zilizo mpita inakua ni raisi kuipata maana co wote wanajua kiarabu
Ndio nimenda spital nimeshapima ila had leo hii sjapata majibu kila siku Nambiw kesho.lkn hii hali mara saiv Naumwa hivi badae naumwa vyengine ndio hivyo
Alhamdulillah masha Allah
Shukran
Shukran sana shekhe wetu nimeona unatujali wanafamilia Allah akulipe janna ww nafamilia yako kwaujumla
Ameeen shukran sana
Ila namshukuru mungu kwa kwel hizi swala na nyirad za uck nazipata nazisoma na napenda sana kuzisikiliza.ila hali ndio hivyo na saiv ht mume wangu hl ya maisha ni ng um u.
Inshaa allah mungu amfanyie sahali Hali yake ilainike Kwa uwezo wa mola inshaa allah
@@TURIYU aamiin
Mambo kama haya kama uko na vifungo vya kichawi ni ngumu kufungukiwq hata mafuta pia ukijipaka yana kataa kwa mwili 😢😢
shukran saana sheikh Allah akulip kheyri,ila nilikua nauliza je hiyo kafara inatolewa baada ya du'a ao vip?
Ndio inatolewa baada ya dua
Sinyonyeshi Mtoto nishamuachiza ila hali ya ugonjwa tu sijui ht nn nishaomba mungu sana ila sijafanikiwa bado.nina wasiwasi sana.saa nyengine pumzi zinanibana.wala siwez kukaa na njaa .
A. Aleykum W.W. Nauliza ktk kuchinja je kuna manuizi gani? Pili uchinjaji ni lazima ufanyike usiku wa Ijumaa baada ya kisomo au hata kesho yake asubuhi kwa maana siku ya jumamosi Sheikh??
Uchinjaji hata keshoyake unaweza kuchinja ila manuwizi ni muhimu katika kuchinja
Assalaam aleikum sheikh. Una nafasi unifanyie hii dua?
Inshaa allah
Alhamdulillah, shukran sanaa
Inshaa allah
A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.
Maishallah
👍
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh sheikh,naeza pia nikiwatilia dua watoto wangu wawe nafahamu kumbukumbu akili
Yes inawezekana usjali
Shukran jazakallaahu,,vitabu pia tuvipate online bi idhini llaahi,,
Inshaa allah
Tiba km zipi nishaomba mungu Sana ila hali bado km saiv kichwa kinauma hp rohoni pamekaza
Pole Sana ila Kuna mda unaweza kumuomba mungu na asikupe ukitakacho kumbe anakupima kwanza anakupa mtihani aone subra Yako ila we usichoke kumuomba mungu utaona faida yake
@@TURIYU asnte kwa ushaur nitajitahid kumuomba allah sitokata tamaa
Ushawahi somewa dada khadija dua ya kumaliza hali hiyo? Kama laa inawezekana huenda Allah yuwataka kukumalizia mtihani wako. Ntafute nikusomee popote ulipo naamini utafaidikapopote ulipo inshallah
Shekh mbona wanaume tu Kuna wanawake wanalea pekeayo tunataka maisha mazuri ili tuwalee vizuri na ssi tufanyeje
Hahahahaaaa mbona mie sijabagua mtu dada Zuhra? Nakwanini ulee peke Yako na Hali umezaa na mume? Kama anakusumbua mfanyie Dua tu
Sheikh naeza kutumia msahafu kama sijui kwakichwa
Ndio Haina tabu unatumia tu
Kama huzijui utafanyaje na utasoma aya ipi naomba ufafanuzi shekhe
Soma Hilo jina nililokuelekeza
Subukhu kudus rabbi malaikat waruhkhus ndo hivi
Subuhu kuddusu rabbul malaaikat warruuh
Izo suratul Yasin na Mulki kama huzijui unaweza kusoma sura yoyote ile ? Maana wengine tumeishia juzuu amma.
Hapana sura ni hizo hizo
Analolifanya haliendi akiuza biashara halipwi baishara zinaharibika.madeni anayodaiwa ni mingi mpak anfika kuzima .cm
Analolifanya nani mumeo au nani?
Pole sheikh kwa usumbufu . kwa hii swala hakuna Allahuakbar wala samiallahulimanhamida wala tashhadu na swalaa annabi ibrahimiyya
Ipo
Nikikaa na njaa tu hali inabadilika afya inadhoof naona kizungu zungu.khadija kutoka zanzibar
Pole Sana bi khadija issah ila je? Vipimo vya vidonda vya tumbo ulishafanya?
Sheikh samahan unapo andika soma jina hili tunaomba ukiliandika kwa kiarabu andika na kiswahili hili mtu kma anaitafuta vidio zilizo mpita inakua ni raisi kuipata maana co wote wanajua kiarabu
Doooh pole Sana dada noory ila nimekuelewa na ntaanza kufanya hivyo inshaa allah
AL Fatah Au Katika kusoma Al Fataha au Yaa Fatah Unasoma Hivo
@noorynMiddy Lina andikwa hivo
YAA FATTAAH
ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH
Naomba kujua jina langu ni nambari ngapi zuhura
Uzito wa zuhra ni 217
Shekh weka internet ya TTCL Tsh. 55000 Kwa mwezi unlimited Hainakitangulizi cho chote
Maa shaa Allah itabidi nifanye hivyo shukran Sana Kwa taarifa hio lakini ishu ni kuipata hiyo line ya ttcl ndio sijui ntaipata wapi
Shekhe na mbuzi tunafanyaje?
Kama utakavyofanya Kwa kuku
Mashallah
Shukran
Ndio nimenda spital nimeshapima ila had leo hii sjapata majibu kila siku Nambiw kesho.lkn hii hali mara saiv Naumwa hivi badae naumwa vyengine ndio hivyo
Hizo zoote ni dalili za mashaitwani dadaangu pole inakubidi ungedili Sana na tiba za kuondoa mashaitwani mwilini
Kweli kabisa sheikh, anafaa asomewe huyu dada, kama waeza mfanyie ama sivyo naweza msomea na Allah akamwondolea
A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.
Mashallah
👍
A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.
Hali Yako ipoje unanyonyesha au unaumwa au unatatizo Gani bi khadija?