GODWIN OMBEN : "Uimbaji wa sasa unagusa nafsi na si Roho ,Mwl Mwakasege anamsikiliza MUNGU"
Vložit
- čas přidán 27. 07. 2021
- Sikiliza Bethel Radio
bethelradio.co.tz
Connect with Bethel Radio
/ bethelradiotz
/ bethelradiotz
x.com/bethelradiotz
Contacts (Mawasiliano): +255 764 582 584
Give | M-Pesa: +255 764 582 584 ( Bethel Media)
Sawa kbs. Ibada za zamani zilikua na udhihirisho wa nguv za Mungu ktk sifa na kuabudu. Siku hiz imebaki historia tu.
Napenda sana mtumishi Godwin mungu aendelee kukutunza,ubalikiwe sana
Godwin Omben nakupenda sana mtumishi wa Mungu....Mungu akutunze kile unakisema ni kitu kipo rohoni napenda sana Tenzi....hakika zinamafunuo ya Mungu mwenyewe....
1 Nyakati 28:9......mjue Mungu ukamtumikie✳️💓⛪
Amen
Ki ukweli mtumishi Godwin Ombeni umesema kweli kabisa,Fanuel sedekia alikuwa mnyenyekevu Sana,alikuwa anafikika kirahisi Sana,Kama Mungu angenipa nafasi moja ningemwomba Fanuel sedekia arudi lakini itoshe tu kusema Mungu atabaki kuwa Mungu 🙏🙏🙏
Asantee Sana
Napenda Sana hiiii
Nizaid ya Chuo hapa
baba azidi kutuinulia watumishi wenye hekima kama hawa hakika nabarikiwa sana kuona mtumishi wa MUNGU ukiwakatika maadili ya wokovu barikiwa sana baba
Utu uzima dawa, hekima nyingi sanaa
I loved His talking
He's real and Father
great hymns i've remembered
Nimeipenda sana hii interview. Mtumishi Godwin Ombeni umebarikiwa sana kuwa mkweli na muwazi katika uimbaji. Hakika zinahitajika semina kuhusu kumwimbia Mungu vinginevyo tunamwimbia binadamu badala ya Mungu.
Nakupenda sana mtumishi Mungu aendelee kukutunza
Nimebarikiwa sana! Mungu akubariki mtumishi, kipawa cha Mungu hakiuzwi
MUNGU awabariki sana watumishi wa MUNGU, MUNGU akubariki sana baba Godwin ombeni
Hiii elimu ni hatareeeee
Wow. Ubarikiwe mtumishi.
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Nakukumbuka ulitufundisha kusifu na kuabudu Kule Arusha ,japo ni muda mrefu miaka kati ya 1997au 1998 kama sijasahau,lakini Elimu ile ilinifungua sana,nikiangalia uimbaji wa sasa kweli unagusa nafsi na sio roho kwa kweli wakati mwingine unasikiliza wimbo unajiuliza huu ni wimbo wa injili au wa dunia?
Zidanganyi Napenda Kicheko chake huyu baba Godwin ombeni
Naomba namba zenu nataka kuleta kazi zangu
clouds hawajamuona huyu mwamba @ mtangazaji
Umesema ukweli kabisa. Kwa Sasa muziki ni sana sana kuelekea wanadamu
Ameni
Godwin ombeni
Kwa sauti ya Fanuel Sedekia 😂😂
This guy is REAL
Hiyo radio iko wapi mtumishi ?