GODWIN OMBEN : "Uimbaji wa sasa unagusa nafsi na si Roho ,Mwl Mwakasege anamsikiliza MUNGU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 07. 2021
  • Sikiliza Bethel Radio
    bethelradio.co.tz​​
    Connect with Bethel Radio
    / bethelradiotz​​
    / bethelradiotz​​
    x.com/bethelradiotz
    Contacts (Mawasiliano): +255 764 582 584
    Give | M-Pesa: +255 764 582 584 ( Bethel Media)

Komentáře • 25

  • @user-iy7jc5ee8v
    @user-iy7jc5ee8v Před 4 měsíci +2

    Sawa kbs. Ibada za zamani zilikua na udhihirisho wa nguv za Mungu ktk sifa na kuabudu. Siku hiz imebaki historia tu.

  • @danyirankunda8102
    @danyirankunda8102 Před rokem

    Napenda sana mtumishi Godwin mungu aendelee kukutunza,ubalikiwe sana

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 Před 3 lety +2

    Godwin Omben nakupenda sana mtumishi wa Mungu....Mungu akutunze kile unakisema ni kitu kipo rohoni napenda sana Tenzi....hakika zinamafunuo ya Mungu mwenyewe....

  • @dafrosafaustin7836
    @dafrosafaustin7836 Před 3 lety +2

    1 Nyakati 28:9......mjue Mungu ukamtumikie✳️💓⛪

  • @j.fstudiorecordst9658
    @j.fstudiorecordst9658 Před 3 lety +3

    Amen

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 Před 3 lety +2

    Ki ukweli mtumishi Godwin Ombeni umesema kweli kabisa,Fanuel sedekia alikuwa mnyenyekevu Sana,alikuwa anafikika kirahisi Sana,Kama Mungu angenipa nafasi moja ningemwomba Fanuel sedekia arudi lakini itoshe tu kusema Mungu atabaki kuwa Mungu 🙏🙏🙏

  • @shedrackmhehe
    @shedrackmhehe Před 3 lety +4

    Asantee Sana
    Napenda Sana hiiii
    Nizaid ya Chuo hapa

    • @wardamaulid6309
      @wardamaulid6309 Před 2 lety

      baba azidi kutuinulia watumishi wenye hekima kama hawa hakika nabarikiwa sana kuona mtumishi wa MUNGU ukiwakatika maadili ya wokovu barikiwa sana baba

  • @noahmisholi1080
    @noahmisholi1080 Před 3 lety +2

    Utu uzima dawa, hekima nyingi sanaa
    I loved His talking

  • @axerkinota3510
    @axerkinota3510 Před 3 lety +3

    He's real and Father

  • @maxwellvangulinja
    @maxwellvangulinja Před 3 lety +2

    great hymns i've remembered

  • @rebekah7576
    @rebekah7576 Před rokem

    Nimeipenda sana hii interview. Mtumishi Godwin Ombeni umebarikiwa sana kuwa mkweli na muwazi katika uimbaji. Hakika zinahitajika semina kuhusu kumwimbia Mungu vinginevyo tunamwimbia binadamu badala ya Mungu.

  • @tinatuka1540
    @tinatuka1540 Před 2 lety +1

    Nakupenda sana mtumishi Mungu aendelee kukutunza

  • @happyalbert5089
    @happyalbert5089 Před rokem

    Nimebarikiwa sana! Mungu akubariki mtumishi, kipawa cha Mungu hakiuzwi

  • @JBB875
    @JBB875 Před 2 lety

    MUNGU awabariki sana watumishi wa MUNGU, MUNGU akubariki sana baba Godwin ombeni

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 Před 3 lety +2

    Hiii elimu ni hatareeeee

  • @mercyelahuya9522
    @mercyelahuya9522 Před 2 lety

    Wow. Ubarikiwe mtumishi.

  • @esthermavura2266
    @esthermavura2266 Před rokem

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Nakukumbuka ulitufundisha kusifu na kuabudu Kule Arusha ,japo ni muda mrefu miaka kati ya 1997au 1998 kama sijasahau,lakini Elimu ile ilinifungua sana,nikiangalia uimbaji wa sasa kweli unagusa nafsi na sio roho kwa kweli wakati mwingine unasikiliza wimbo unajiuliza huu ni wimbo wa injili au wa dunia?

  • @sheilanatalia1619
    @sheilanatalia1619 Před 2 lety

    Zidanganyi Napenda Kicheko chake huyu baba Godwin ombeni

  • @alfasaidiofficial5800
    @alfasaidiofficial5800 Před 2 lety +1

    Naomba namba zenu nataka kuleta kazi zangu

  • @ronabel2340
    @ronabel2340 Před 2 lety +1

    clouds hawajamuona huyu mwamba @ mtangazaji

  • @mercyelahuya9522
    @mercyelahuya9522 Před 2 lety

    Umesema ukweli kabisa. Kwa Sasa muziki ni sana sana kuelekea wanadamu

  • @danielichaula7186
    @danielichaula7186 Před 2 lety +1

    Ameni

  • @sheilanatalia1619
    @sheilanatalia1619 Před 2 lety

    Godwin ombeni
    Kwa sauti ya Fanuel Sedekia 😂😂
    This guy is REAL

  • @sylvesternkuliye7715
    @sylvesternkuliye7715 Před 2 lety +1

    Hiyo radio iko wapi mtumishi ?