Joel Lwaga - "KWENDA KWA VIJANA WENYE SHAUKU YA KUSTAWI KATIKA MAISHA YAO" | An inspiring interview.
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- "Wewe ambaye unahisi unakipaji fulani, kifanyie kazi. Natamani kila mmoja ajue ya kwamba Mungu amempa kila mtu uwezo, na hicho kipawa ndio sahani yako." Anasema Joel. "Kuna wakati nilihisi kukata tamaa, kipindi ambacho hakuna tumaini, katika hali kama hiyo Mungu analeta ujumbe, 'Mimi ni mtetezi wako, hautobaki kama ulivyo'''
Joel Lwaga ni mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania. Ni mmoja wa vijana ambao ni mifano ya kuigwa kutokana na usatwi wake katika uwanja aliopo.
Katika video hii anasimulia juu ya maisha yake binafsi na kuwatia moyo na kuwahamasisha, vijana wengine wenye shauku ya kustawi.
Kuwa sehemu ya mijadala hii kwa kutuma neno WISDOM kwenda namba 0753825794 na utaunganishwa katika kundi la whatsApp.
#Inspiring #interview #Joel_lwaga #hekima# #hamasa #simulizi_za_maisha
#Karibu_nyumbani
Jamani punguzeni mziki, tusikilze maudhui
Sahihi kaka. Ahsante sana kwa maoni yako. Tunarekebisha hilo na bila shaka halitojirudia tena. Endelea kufuatilia H.W TV. Maoni yako ni muhimu na yanasaidia kuboresha jukwaa hili kwa ajili yako wewe na jamii kwa ujumla.