YUMO HUMU MWOKOZI Yumo humu, Mwokozi Yesu, Kwenye mzabibu, na ngano tamu Ni mpole ni mwema ni mzima { Waumini (haya), simameni, polepole, kwa maringo, Jongeeni karamuni (mpate) mpate kumwonja Mwokozi Yesu } *2Alisema, twaeni mle, Twaeni mnywe kwa ukumbusho Ni mpole, ni mwema, ni mzimaEkaristi, katuachia, Chakula bora, tufike kwake, Ni mpole, ni mwema, ni mzimaEkaristi ni jina lake, Pamoja nasi, Mungu mwenyewe, Ndani yetu nasi ndani yakeAlitoa, jioni ile, Kwa kumbukumbu, yake milele, Tule tunywe wote tuokokeTugeuze, maisha yetu, Yakafanane, na meza hii Huruma, upendo msamaha
Wa umini aya simameni pole pole kwa maringo jongeeni karamuni mpate mpate kumuonja mokozi yesu asante sana kwamaneno ayo MUNGU awajalie neema nabaraka katika kazi yenu ya utume ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
It's just that in my church we don't dance when it is time for receiving the holy communion . I could be dancing so much🤭 This song is so cool God bless
Nimefurahi sana kusikia wimbo huu ni zamani lakn kama umetoka jana huuishi utamu nimeimba toka nikiwa kijijini na mpka leo bado mambo 🔥🔥🔥hongera sana mtunzi wa wimbo huu
my all time favorite choir st Gregory n favorite composer Benard Mukasa moto 🔥 🔥 🔥 🔥 kubwaaaa, you really bless n uplift my spirit. Nehema za mwenyezi Mungu iwe juu yenu hadi tutakapoifikia Yerusalemu mpya
Hongera Bernardo.Umeshika lile neno>>>>>>>>>>Enendeni duniani kote mkaihubiri Enjili.......Kwa nyimbo na kila namna ya kulitangaza neno lake.Asante sana.Kazi ni nzuri sana hiyo....Big up.
My Favourite Song that blesses me and uplift my heart...l dance while singing and hearing this song...thank you...waumini simameni twende kumwoja mwokozi yesu...
I keep on watching this choir. I like the way all the groups of the church has been represented. Greetings to you all Ongata Rongai choir. My greetings to Christians of Ole Kasasi prayer house.
Who is proud of being a Catholic like me😊😊😊😊😊😊😊
Me
Me
I am so much proud 😊
Me❤❤❤
Ee,Bwana,Sistahili uingie kwangu sema Neno na roho yangu itapona!🤲🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪💃💃💃💃💃🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤
A protestant here but I enjoy catholic songs. So sweet and satisfying 😍😍
😍😍😍likewise my phone is full of catholic songs I sing you might think I'm a Catholic.
@@alicemwangi4909 niiiice
Welcome to the Catholic Church my brother
turyohegwe nutu turirimbo
czcams.com/video/_5yntE9JCTA/video.html
anyone listening to this tuma like
YUMO HUMU MWOKOZI Yumo humu, Mwokozi Yesu,
Kwenye mzabibu, na ngano tamu
Ni mpole ni mwema ni mzima
{ Waumini (haya), simameni, polepole, kwa maringo,
Jongeeni karamuni (mpate)
mpate kumwonja Mwokozi Yesu } *2Alisema, twaeni mle,
Twaeni mnywe kwa ukumbusho
Ni mpole, ni mwema, ni mzimaEkaristi, katuachia,
Chakula bora, tufike kwake,
Ni mpole, ni mwema, ni mzimaEkaristi ni jina lake,
Pamoja nasi, Mungu mwenyewe,
Ndani yetu nasi ndani yakeAlitoa, jioni ile,
Kwa kumbukumbu, yake milele,
Tule tunywe wote tuokokeTugeuze, maisha yetu,
Yakafanane, na meza hii
Huruma, upendo msamaha
Just one of the best. Been on repeat mode ❤❤❤
Proud to be a Catholic
Yes yes naringa yesu wangu Yuko hai,milele tumsifu yesu kristo.
Loving and loving this song daily..... proud to be a Catholic 💗
Reminds me high school so nice and fellow students could sing mpaka father aseme imetosha.
😆🤣😂
Naipenda songs hii love catholic inanikumbukusha nilivokuwa naimba shule choir ...😂 im enjoy
hongera hongera hongera mmetulisha kwa nyimbo tamu tamu mungu na awazidishie
...Tupate kumwonja Mwokozi YESU
A very beautiful peace(karamuni kwa maringo)
Wa umini aya simameni pole pole kwa maringo jongeeni karamuni mpate mpate kumuonja mokozi yesu asante sana kwamaneno ayo MUNGU awajalie neema nabaraka katika kazi yenu ya utume ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Nice song and aproud to be a Catholic
Proud to be a Catholic and love it by the song encouragement
Catholic is always my church wow what a sweet and blessing song
Am proud to be a Catholic
Very soft voices and nice song too.....always a catholic
hongera ziende kwa Bernard Mukasa mtunzi waimbaji na mpiga kinandaa kwa kweli mbarikiwe sana kazi ya Mungu
My pride,,,,born in catholic forever ad ever❤❤
Big love from st. Mary Catholic Church North Carolina Greensboro. 🇨🇩🇺🇸
Utukufu na sifa ni kwa Mungu aliyewapa vipaji hivi, hongereni sana waimbaji wenzangu
Asante mungu kwakuwapa upeo hawa wanakwaya kwa kuweza kuimba wimbo mzur kama huuu wamenikumbusha mbali sana Enzi nipo oliver nikiwa mwanachama wa tycs
Bernard Mukasa Mungu na azidi kuibariki kazi yako na wanakwaya hongereni kwa sauti nzuri
Hongereni sana kwa utukufu huo kwa karamu ya Bwana wetu Yesu Kristo.Mmechangamka hadi rahaaa...!Mbarikiwe pamoja na mtunzi
May God bless the group it makes feel am flying to heaven when I listen may do more than this
wow......its sooooo lit....i love it...forever catholic
So ...nice I'm proud to be a catholic
Nice song.though I don't understand but like it.Watching from Ghana
Wow
The song is a vibe and it's a blessing 🥰🥰🥰
I really enjoy listening carefully proudly Catholic archangels koibarak parish🎉
Once a Catholic always a Catholic
Najivunia ukristo wanangu mimi mkatoliki
So nice ,,,,,,,proud to to be a Catholic
Big up guys.👏👏👏beat iko sawa
Hii nyimbo inanikumbusha TYCS....Wana Usagara .... Mpooooo
The keyboard master Ochieng'
I can see lawrence my church mate Gaciigi shrine ..be blessed
It's just that in my church we don't dance when it is time for receiving the holy communion . I could be dancing so much🤭 This song is so cool God bless
Nimefurahi sana kusikia wimbo huu ni zamani lakn kama umetoka jana huuishi utamu nimeimba toka nikiwa kijijini na mpka leo bado mambo 🔥🔥🔥hongera sana mtunzi wa wimbo huu
My favourite song 🙏🙏
Proud Catholic..God is good
Amazing choir i listen on sundays here in rongai
my all time favorite choir st Gregory n favorite composer Benard Mukasa moto 🔥 🔥 🔥 🔥 kubwaaaa, you really bless n uplift my spirit. Nehema za mwenyezi Mungu iwe juu yenu hadi tutakapoifikia Yerusalemu mpya
Barikiwa sana .
I love this song,,,,, it makes me be proud of being a Catholic
Be blessed kabisa
Very good melody bless u
it never gets old....Tuzidi kujongea kwa karamu, Tunaalikwa na Kristu
Forever catholic in my veins
I'm proud of being a catholic forever ❤❤
💕💕💕👌👌woooooooow God bless you Nancy,Kenyan
awesome.thats my church choir
Proud to be a Catholic...
Leo nimefarijika Sana kupitia wimbo huu,😍😍😍😍
Mbalikiwe sana nimefunguliwa sana na hii nyimbo.
Wonderful choir like the one of Nsambya Uganda. Be blessed.
Currently being taught this song at the school choir
Kazinzur xana mbarikiwe nabwana 🙏
Iyo song n tamu hadi unafeel Mungu mwnyw ameshuka
My song ever am blessed
Hongera Bernardo.Umeshika lile neno>>>>>>>>>>Enendeni duniani kote mkaihubiri Enjili.......Kwa nyimbo na kila namna ya kulitangaza neno lake.Asante sana.Kazi ni nzuri sana hiyo....Big up.
Wimbo mzuri saaana
Nimebarikiwa
Mbarikiwe sana kwa uimbaji wenu mbarikiwe sana sana
My all time song
Aki kama ni Atlanta munayo ,na ujumbe nao: woouh! Hata sisemi kitu. Endeleeni hivyo. Amen.
Wooo proud to be a catholic 🙏🙏
❤nyimbo za Catholic zinaletanga shangwe
I remember this song in the year 2016 during the the confirmation mass at st John's Tongaren parish
Happy Catholics shine in the world without trembling 🎉🎉🎉🎉.
Reminding me at church serve at alter boy
Avery good one keep it up Bruno blessed
Literally stuck here,I have listened to this song the whole day and I'm so blessed
Bernard Mukasa, Ubarikiwe kwa utunzi uliotukuka, nanyi Wanakwaya Hongereni Sana kwa Uimbaji mzuri.
i love your songs thx
Be blessed
I know Catholics can sing well too impressive with lots of blessings
They do sing in a communal way, which is no easy to gather people together, practice, record and shoot.
kazi ya mungu iende mbele
Reminds me of our school choir Sr mary Stephen
Turinge mbele ya yesu mbarkiwe sanaaa
kwa maringo na mbwembwe zote katika yeye atutiaye nguvu
nice be blessed
Amina
🤣😇😇🤠
Illlllljpo
A nice song Worth to listen
My Favourite Song that blesses me and uplift my heart...l dance while singing and hearing this song...thank you...waumini simameni twende kumwoja mwokozi yesu...
caroline ruguru wow
I watch it when am weak and gain strength..
I love the song
Huu wimbo tulikuwa tunaupenda Sana kipind niko TYC MTSS ilikuwa ni 🔥🔥🔥 Mungu awabariki
Sisi pia yaan hadi raha
Amina
Me tuliupenda pindi tu sec TYCS nikiwa m/kiti wa tawi
Hongera sana mukasa kwa kipaji ulichopewa.
Tunamuenzi sana mtunzi huyu. Mungu azidi kumwezesha
Asanten san watu wa mungu
Wooow what a wonderful song,🔥🔥🔥
Mambo ya Bernard mukasa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nice voices big up choir asanteni sana
Mkmkm.kkkk
Benard Mukasa is always 🔥🔥💯
I heard it 12 years ago. Good song brethren
I love the song too much.
One of my favorite catholic song...
Thanks enjoy
I keep on watching this choir. I like the way all the groups of the church has been represented. Greetings to you all Ongata Rongai choir. My greetings to Christians of Ole Kasasi prayer house.
turyohegwe nutu turirimbo
czcams.com/video/_5yntE9JCTA/video.html
A blessing and wonderful song
Waah very nice
OGod strengthen all catholic believes o lord.
Amen! Mbarikiwe sana kwa wimbo mzur
Thank you good songs
Wow! tujongeeni karamuni
Naipenda sana wimbo huu,mwaaaaa
Mbarikiwe sana ongata Rongai.
❤❤❤
Very inspiring. Luv this song. Can play it many times a day....
I just love this song,
mungu nimwema