JINSI YA KUVUNJA SHAMBULIZI LA KIROHO | PASTOR GEORGE MUKABWA||22/08/2024
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
-Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
❤❤❤❤❤Amina mchungaji natokamo katika jina la Yesu kristo barikiwa sana MUNGU akuzidishie umri 100 na zaidi kwa jina la Yesu maana kupitia haya mafundisho nimetoka mahali toka nianze kukufuatilia
Mungu akubariki sana Pastor hakika unakitu kikubwa sana ,Nina mwezi 2 nasikiliza magundisho Yako nimeamua kuokoka ,nimemkataa shetani na kazi zake zote ,nasikia amani sana kuwa ndani ya kristo ,umenisaidia sana Pastor Yani naogopa kutenda dhambi ,nimejifunza mambo mengi sana kwaufupi Mungu amenibadilisha na kunipa jina jipya,kimwili,kiroho,kiakili Sasa nimekua mtu mwingine kabisa.asante sana Pastor Mungu akutunze,ehh Yesu endelea kuishi ndani yangu milele.
Amina amina amina amina mtumishi wa mungu mungu akupe maisha marifa
Amen mchugaji naomba unitamukiye neno katika jina layesu
Pastor you are really blessing me since i started listening and doing ...may the Lord preserve you for this Generation.
Amen, Amen 🙏🙏 in Jesus name.
Amen amen 🙏🙏 barikiwa mtumish wa Mungu
Nimetoka mautini tunaingia uzimani....Hallelujah!!
GOD BLESS YOU PASTOR AND ALL VIEWERS
Barikiwa sana muchungaji ❤❤❤❤
Barikiwa mtumishi
Oooh My Goodness help me Prophet George ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢
Asante Mungu kwa maneno yako ambayo ni uzima na ni taa ya njia zangu
niongoze miguu yangu ikimbilie kwako na uso wako uende pamoja nami.
Mbariki Mtumishi wako George
Amen Amen jina la baba lipewe Sifa 🙏🙏🙏
Barikiwa sana mchungaji somo zuri sana
MUNGU akubariki sana sana umenitoa mbali sana kiroho...nakuelewa mpaka namwona MUNGU maishani mwangu kupitia mafundisho yako...mafundisho yako yamekuwa wokovu kwangu..hakika ubarikiwe mno na huyu YESU
Ameeeeeeen...Glory
Asante Yesu! Mlinde mtumishi wako na kizidi kumpa ufunuo wa neno lako ili tupone kiroho na kimwili Ameeen!
Amen Amen Amen
Amen Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu nakushukuru
Amen Amen 🙏 🙌 Bwana mungu kama mtumishi wako alivyoomba pamoja nami kupitia cm yangu wacha ifanyike sawa nalivyosema kupitia kwa mtoto wangu moses afunguliwe awe huru na kakutumikie ww Bwana mungu wa Ibrahim,yakobo na Isaka
Your my spirital father my GOD BLESS YOU father❤
amina mpakwa mafuta wa bwana.
Amen amen and amen, barikiwa sana muchungaji,nimebarikiwa sana sana🔥📛🙏🙏
Amen
Mungu akubariki sana mchungaji. Unanibariki sana. Napata ufahamu mkubwa sana.
Amen and Amen what a teaching what an instruction
Wow asanti bwana kwa kuniongoza kwa kunjengwa mahali pazuri n kunitia moyo n kunielekeza katika njia zako
Amen am much blessed, be blessed too man of God
Mungu akubariki mchungaji bwana anipiganie kila shambulizi liachie maisha yangu kwa jina la yesu kristo
Barikiiwa sana
Amen mungu akubariki naomba uniombee pasta nikilala naota manyoka na watu waliokufa
Amen Amen sana mahubiri ni mzuri , yamegusa maisha yangu kwakweli
Amen ubarikiwe sana PASTOR may God bless you 🙏
Ameeeen ameeeen ameeeen
Ameeeen
Mungu Baba azidi kukutunza katika Utumishi Baba
Hili ni neno langu
God bless you pastor
Nice teachings
Asante Baba nimepokea
Amen mtumishi ❤❤❤❤
Pastor thanks for your teachings,lm begging to Love the word of God,be blessed
Amen 🙏🙏
Shalom! Naomba mnisaidie no ya mchungaji
No ziko apoo juu
Baba hata mm nahisi nashambuliwa kiroho maana sisomi tena bible naangalia sana sanaa kuliko bible na hata nikisema naacha najikuta mumerudi tena hii tambia naichukia sana lakini kupita haya mafundisho naamini mungu atatenda
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Amen Amen Amen
Amen
Ameen mtumishi wa Mungu. Barikiwa sana.
Moona weito Ubarikiwe sana.
Amen Amen Amen
Amen 🙏🙏
Amen Amen
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen amen 🙏
Amen amen
Amen
AMEN