TULICHOKISEMA KINATOKEA LEO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • tujikumbushe nyuma yaliyosemwa kwa video ya kwanza inayohusu Bandari link hii hapa
    • Nilisema Kuhusu Hii Ba...

Komentáře • 198

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem +35

    Mi ukiniuliza marais wa Tanzania walokuwa na uchungu na uzalendo kwa wananchi wao ni Nyerere na Jp.Magufuli tu. Mlale salama majemedari wetu😭.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před rokem +5

    BANDARI BANDARI Mungu atusaidie sana ktk nchi yetu
    RIP Maraisi Nyerere na Magufuli🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 Před rokem +24

    Mungu asamehe dhambi zenu, kwakuwa mlikuwa binadamu... Mmetuachia majonzi na watanzania tutaendelea kuwakumbuka kwa misimamo yenu ya kutetea wanyonge.😢😢😢😢😢

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 Před rokem +9

    DAAAAAH... NYERERE BABA WA TAIFA LA TANZANIA, NJOO HUKU UONE YANAYOENDELEA..
    TINGATINGA BABA JOHN POMBE MAGUFULI NJOO UONE YANAYOFANYIKA HUKO TANZANIA ULIYOIACHA BABA
    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @theresiakimath5402
    @theresiakimath5402 Před rokem +9

    kweli magufulii mungu alikuteuwa Kwenye hii nchii.tumeshikwa pabayaa

  • @mabinamsoja4849
    @mabinamsoja4849 Před rokem +11

    MUNGU tusaidie tupate wa kututetea juu ya hivi vitu vya hovyo,, RIP MAGUFULI 🙏🙏

    • @mageletz
      @mageletz Před rokem +1

      Hakuna atae kuja kutu tetea na uki sema ukweli una kamatwa

  • @josephbufu1363
    @josephbufu1363 Před rokem +3

    Hawa ndio marais wa hili taifa Mungu bariki Tz.

    • @haruntongo6703
      @haruntongo6703 Před rokem

      Kweli.wenye.haki.hawadum.na.mimi.ambaye.ni.mwenye.kiti.wa.kijiji.cha.kasangezi..na.teswa.na.viogozi.wa.chama.tawi..kwa.kupenda.lushwa.ya.wa.fugaji..

  • @eddyjunior2881
    @eddyjunior2881 Před rokem +6

    Ni Bora ukakosa elimu ya darasani lkn ukawa na akili ,,,kuliko kuwa na elimu ya darasani lkn akili hamna 😭😭

  • @danfordkessy515
    @danfordkessy515 Před rokem +3

    Kweli mzee wetu wapo mashetani wa hata Leo na wamezidi kwasabu ya maisha yao

  • @nyongolecostantino7176
    @nyongolecostantino7176 Před rokem +6

    Mungu awarehem na tutazidi kuwakumbuka na kuwaenzi maana mmetuacha tukiwa bado gizani

  • @danfordkessy515
    @danfordkessy515 Před rokem +3

    Hakika tumechezewa Sana na ogopa Sana mtu anasema Damu yangu haina thamani Kama wananchi wa Tanzania hawatapata haki yao, Hembu msikilize Jk nyerere na Jpm hakika utajua sasahivi tuna waaina gani kwahiyo Nawasihi Tumlilie Mwenyezi Mungu Haki zetu

  • @user-so1zm8yb2l
    @user-so1zm8yb2l Před rokem

    Thank you my president John magufuli good blessed you

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Před rokem +8

    Hawa ndio marais ndio ninaowajua kweli wanamioyo na wananchi wake..,mungu wapumzishe kwa amani ila usichoke mungu kutuletea rais mwengine muaminifu amen..,
    Kwa sasa atuna uwongozi wa nchi kwa wananchi Bali kuna wezi kwa kuiba na kunyanyasa watu wako

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Před rokem +1

    Mwenyezi mungu awape pumziko la milele wazee wetu yote mlitabiri leo tunayaona kwa macho na masikio

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před rokem +5

    😭😭 hakika tumeuona ugumu wakazi mliyokua mnatufanyia rest in happy ma daddy

  • @marymchina6557
    @marymchina6557 Před rokem +2

    Yesu tunaomba mtetezi wa inch yetu tena tunaangamia babaang

  • @LucasSambilo-gn2dt
    @LucasSambilo-gn2dt Před rokem +1

    Mungu ailinde Tanzania

  • @JohnIkumbo
    @JohnIkumbo Před rokem +3

    Hakika sitakusahau ktk maisha yangu yote

  • @georgekitosi1514
    @georgekitosi1514 Před rokem +3

    Mmesikia hayo, fanyieni kazi mawazo ya kujenga ya wakubwa hao. RIP JKN & JPM

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Před rokem +6

    Watu wenye uchungu na nchi ndio hawa wengine wamepanga tu kwenye nchi

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před rokem +7

    RIP MZEE WETU NYERERE.

  • @user-bd3yv2ge6j
    @user-bd3yv2ge6j Před rokem +1

    Mungu awalaze pema tuliwapenda saizi watanzania tunalia

  • @danfordkessy515
    @danfordkessy515 Před rokem +1

    Hilo neno mzee nyerere aliongea muda Sana mpenda hela kwasabu ya umalayamalaya tu hawatendi Haki kwa watanzania

  • @AltoFesto
    @AltoFesto Před rokem +1

    Tanzania tuna marais wawili tu Jk,Nyerere na Jpm. Magufuri wengine wote wanatabia ya Malaya Malaya tu

  • @emmanuelkalist
    @emmanuelkalist Před rokem

    Tunauzwa jamani mungu atusaidie aliye Shiba hamjui mwenyew njaa

  • @championnassor2148
    @championnassor2148 Před rokem +1

    Shujaaa hafi nafsi yake itaendelea kuishiiiiiiiiiii,,

  • @sapientiamayaha9783
    @sapientiamayaha9783 Před rokem +5

    R.I.P OUR BELOVED

  • @juliuskulwa6101
    @juliuskulwa6101 Před rokem +5

    Ninani atakaye Tusaidia katika Jambo hili waheshimiwa, Hebu fikirieni Kwa makini hiyo Mikataba kabla ya kusaini.

  • @amosmbangala9079
    @amosmbangala9079 Před rokem +3

    Nimesikiliza kwamakini sana kuhusu mkataba huu wakubinafusisha bandari ushauri wangu mkataba huu ufutwe maramoja kwamasilahi mapana yataifa letu hivyo

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Před rokem +6

    RIP Nyerere Kwan Malaya malaya ndio Yuko nao Sasa hivi, Ila viongozi mmetuchosha jaman tunasikia machungu Mali zetu kuondoka na kwenda nje

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před rokem

      Malaya mama yako amepata mimba nje ya ndoa ukazaliwa ww mtoto wa Haramu unaweza kumwita mama yako malaya

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před rokem

      ​@@salehkhamis-ob8ln unafirwa, toka toka toka shwetani wewe

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před rokem

      @@margarethsolomon9823 wabongo mlio wengi mnazaa bila ya ndoa hamuoni huo ni umalaya wa kuzaa toto za haramu. Naamini mama yako amefanya umalaya ndio ukazaliwa ww . Bila ya mama yako kuhongwa pesa na kufanya umalaya usingezaliwa ww

    • @user-xr8nx9sd9y
      @user-xr8nx9sd9y Před rokem

      @@salehkhamis-ob8ln Kama ni malaya nitamwita malaya tu maana ni ukweli. Rais wa TZ na viongozi wake note ni wezi na ni malaya watupu.11

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před rokem

      @@user-xr8nx9sd9y imewauma mara hii mumetawaliwa na mzanzibar hata mkiumia mungu alishapanga AWe raisi kama una wivu na choyo jinyonge. Mtakufa siku si zenu kwa roho zeni mbaya

  • @FloridAsenga-wg5jj
    @FloridAsenga-wg5jj Před rokem

    Hongera Sana mega Arusha fm

  • @alicencyprian
    @alicencyprian Před rokem +3

    we gonna cry forever Tanzanians. no body like these pioneers

  • @roselekule3639
    @roselekule3639 Před rokem +1

    Hapa shetan wa nchi anajijua ebu ache kutupeleka makosa,tusikilezen kuwa tunataka nn jmn😭😭

  • @amiymuhamisi59
    @amiymuhamisi59 Před rokem +1

    Inaumaaa sanaaaaaa😭😭😭😭😭😭😭

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 Před rokem +2

    JK Nyerere na JPM ndiyo walikuwa Marais wa kweli

  • @manonipulasayida479
    @manonipulasayida479 Před rokem

    Aiseee nitawarejerea enzi enzi viongz wetyu Dr John P.Magufuli and J.K Nyerere kwa msimamo na fikra zenu zenye mtazamo mzuri kwa wengi

  • @emmanuelbusuti8800
    @emmanuelbusuti8800 Před rokem +1

    Leo yametimia yale waliyonena wakubwa wetu je, tutafanyaje sisi na watoto wetu katika kizazi hiki

  • @richardmsomgole2663
    @richardmsomgole2663 Před rokem +1

    Ukweli inauma sana kuhusu bandari ingezekekana mngefufufka kidg Nyelele na Magufuli mtasaidie

  • @AmbindwileMwandandila-eb2ng

    Magu hongela

  • @richkinji2583
    @richkinji2583 Před rokem +3

    Kweli Mwalimu maneno yako yametimia sasa nchi imekuwa ya kimalaya malaya

    • @ibrahimsuleyman9465
      @ibrahimsuleyman9465 Před rokem

      Kazi mnayo makafiri! Mnateseka na uongozi wa mama!

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 Před rokem

      Unatia hasira wewe. mambo ya msingi unaleta udini waislamu tumieni akili binafsi kufikiria msitumie mawazo ya viongozi wenu
      Maana baadhi ya viongozi wa dini wawe wakristo ama waislam ni wachumia tumbo

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před rokem +1

      ​@@ibrahimsuleyman9465 Kafiri ni wewe na mkundu wako, FALA wewe na ni mshenzi, watu wanaumia lkn wewe unaongea unyama unyama

    • @neemasondobi1560
      @neemasondobi1560 Před rokem

      Nyinyi ndio Malaya Malaya na maaaskari wenu wale 😂 wamchongo analilia,,,

    • @neemasondobi1560
      @neemasondobi1560 Před rokem

      Yule...askari wenu alifanywa Nini nyuma ndio mtajua..anaitwa ibra😂

  • @talekush5623
    @talekush5623 Před rokem

    R.I.P🎉🎉🎉🎉🎉..samia atumuelewi uku kitaa km malayamalaya faza kasema

  • @sainyeyeMisilali
    @sainyeyeMisilali Před rokem

    Mhhh, eeee Mungu husika katika hili

  • @gracemichael484
    @gracemichael484 Před rokem

    Tumeku miss Mzee Bora ufufuke

  • @evancebuberwa1567
    @evancebuberwa1567 Před rokem +1

    😭😭😭 tunalia hatutawasahau

  • @margarethpolepole7438

    Mungu akurehemu akulaze mahali pema peponi amina jibu ndilo hilo limepatikana bandari ndiyo hizo mama anazikomba huyu mama wala hawantaki kabisa

  • @user-vc2hk9kr1c
    @user-vc2hk9kr1c Před rokem

    Baba tunakukumbuka kwauzalendo wako kwataifa hili mungu akubariki huko uliko ulituachia mtu asiolitakia mema taifa hili anabinafisisha bandari yetu kweli hivi meji wako unakushinda umkabidhi nani sasa wakati inatakiwa ujibadilishe kifkira ili uwebora siokubinafisisha.mungu awabariki wazalendo wetu mliojitoa kwakuongoza kwahaki wote mnaolitakia mema taifa tanzania sema ameeni.😅

  • @omaryramdhani9823
    @omaryramdhani9823 Před rokem +2

    ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و والظالمين والباغين و الساحرين وكل من كادها بالسوءاللهم اردد كيدهم في نحورهم

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Před rokem

    Mwamba wa watanzania.!!!! Pumzikeni kwa amani.!!

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před rokem +2

    Watanzania wenzetu amkeni fungueni macho 4,msikubali bandalini zetu ziuzwe. Kataeni utumwa mambo Leo.

  • @siliviamaneno2905
    @siliviamaneno2905 Před rokem +1

    Mpaka wametufungia R I P magufuri

  • @Jeremiahlukumay
    @Jeremiahlukumay Před rokem

    wameshatavuna bandari,reli,Kilimanjaro,loliondo na ngorongoro.

  • @hashimhassan4812
    @hashimhassan4812 Před rokem

    safi

  • @johnnyarara3463
    @johnnyarara3463 Před rokem

    Rocks from lake zones duuuuu

  • @PaulMaregesi
    @PaulMaregesi Před 23 dny

    Mama anaongezea kodi wananchi na bado anaendelea kukopa na mikopo yenyew haieleweki imefanya nini

  • @magilutvonline8476
    @magilutvonline8476 Před rokem

    Mungu awabalik wote watanzania

    • @silamatewa
      @silamatewa Před rokem

      Watanzania tunajisahau sana tayari mnawapa bandari mabepari tena

  • @PaulMaregesi
    @PaulMaregesi Před 23 dny

    Watu wengi huwa bora wakiwa nje ya uongozi wakisha pata huo uongozi ndo waharibifu wakubwa mama alivyo ingia madarakani akaanza kumsimanga magufuli sasa hivi afadhali magufuli

  • @husseinabdhallah8792
    @husseinabdhallah8792 Před rokem +3

    Huyu mwamba htawahi kutokea tna samia anaumiza wananchi na pia nchi anaipeleka pabaya

    • @amoursalim7418
      @amoursalim7418 Před rokem

      Yani watu wanasema ni udini lkn awajui kitatuadhiri kiasi gani watanzania na vizazi nyetu vya baadaye kwakweli mungu atusimamie jaman muacheni mungu aitwe mungu sasa tunautambua wema wa JPM

  • @ModestusLutonda-yy5gy
    @ModestusLutonda-yy5gy Před rokem +1

    😭😭😭😭moyo unauma sana

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Před rokem

    ❤ Yani 😭😭😭😭😭😭😭😭 ❤ MUNGU awalaze mahali pema peponi.tutawakumbuka Kila iitwayo Leo na kesho sjui km atatokea mtu afeee halafu akumbukweee km Hawa watu2.baba na mwana mliona mbali kuhusu bandar Sasa wao Leo ndio wanawafanya hinyoo mliovyoo kataaa wao wanakubali inamana ni hayo unayoyasema ni mala

  • @JohnKesenda-pg5qz
    @JohnKesenda-pg5qz Před rokem

    Kweri baba tutakukumbuka sana kipenzi pumzika kwa amani bandari saizi imebinafu

  • @KafilaBulimwengu
    @KafilaBulimwengu Před rokem

    Iyo sio tena Tanzania tulioifahamu ya J.J.P. MAGUFULI.

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Před rokem +3

    Uyo Malaya Malaya ndio tunaesasaiv ananunulika kwa kuwekwa picha yake ghorofa ndefu kule dubai

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před rokem

      Nahisi mama yoko ndio malaya alokuzaa nje ya ndoa wabongo mnachukuana tu kama wanyama mnazaa toto za haramu

    • @jumahassan273
      @jumahassan273 Před rokem

      Nafikiri wew shoga kweli unajitaidi kuchamba ila ungejitaidi ukachamba mkundu wa mama yako uliomchafu..,kuma LA mamako lililopo kuzimu mbwa unapenda kudandia maneno ya kiume njoo sasa udandie uboo huu kuma wew

  • @ivantompoo2885
    @ivantompoo2885 Před rokem +1

    Ndo tumesh potea rais wetu maguuu sisi tunajua bado ww bado ni rais wetu

  • @mageletz
    @mageletz Před rokem

    Mungu zi pumuzishe roho zao

  • @jumapaschal-nj7or
    @jumapaschal-nj7or Před rokem

    Baba wawa tanzania

  • @JumaHussein-uz3ij
    @JumaHussein-uz3ij Před rokem

    hakika nch inaitaji kiongoz nasio muongozaji tu

  • @PaulMaregesi
    @PaulMaregesi Před 23 dny

    Mama anaongezea kodi wananchi na bado anaendelea kukopa na mikopo yenyew haieleweki imefanya nini 10:45

  • @JonhMwageni-xj9wh
    @JonhMwageni-xj9wh Před rokem

    Mungu akulanze pema peponi jpm

  • @JacksonHenjewele-dl6rc

    Mungu tusaidie

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před rokem +3

    R l p Nyrere R l p Magufuli tutawakumbula daima

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman9465 Před rokem +1

    Yako yameisha Mzee, tulia!! Tunashika ya samia suruhu Hassani our beloved mama

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Před rokem +1

    Yan daaah Kuna viongez wengine bhna

  • @justinejabiel7816
    @justinejabiel7816 Před rokem +1

    Nikweli kabisa mzee

  • @musamshihiri5027
    @musamshihiri5027 Před rokem

    Kwani walikua miungu nini?
    Hao ndo waliirudusha nchi nyuma twendeni tu tutaona baadae mtasema nyinyi nilijua tu nilijua tu.

  • @stephanokalisti9107
    @stephanokalisti9107 Před rokem

    Mungu awasameh dhamb zenu nyote mpate kukaa katik kit Cha ufalme nkawe pia viongoz waalaik rais mugufuli katik hotuba zake pia aliwah kusema mungu atamteua kuwaongoza malaika

  • @nicken3250
    @nicken3250 Před rokem

    Okay!!

  • @kenstev3297
    @kenstev3297 Před rokem

    Tutakukumbuka daima

  • @NeemaRichard-ih6wn
    @NeemaRichard-ih6wn Před rokem

    daaaa atali

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Před rokem

    Mkapa upo kutukomesha

  • @IfbBulushi-eo3qg
    @IfbBulushi-eo3qg Před rokem

    Viongozi ukweli mnauza nchi kwani maandamano ni vita kama mnajua yanakwamisha uchumi kwanini mnauza na ambacho tumeshakipata?

  • @abrahamkalinga4291
    @abrahamkalinga4291 Před rokem

    Kama baazi ya wabunge wenye tabia ya uchawachawa na kusahau majukumu ya kutetea masrahi ya nchi yetu na wananchi

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 Před rokem

    na mpaka sasa tumewaona malaya malaya wanavyotuvawa huku😂😂😂😂

  • @ellymrita5070
    @ellymrita5070 Před rokem

    Mungu tupiganie

  • @user-er4xs3rn9v
    @user-er4xs3rn9v Před rokem

    Mbaya zaid siku za kumbukumbu za vifo vya hawa mashujaa zimegeuzwa kuwa shelehe za mafisad

  • @martinogaro251
    @martinogaro251 Před rokem

    Nawaza magufuli angewahi kuwa rais wa kenya

  • @dorcasmbagga4931
    @dorcasmbagga4931 Před rokem

    Duh😢😢😢😢

  • @michaeldjunior1023
    @michaeldjunior1023 Před rokem

    Hivi hali ya migodi sahizi ikoje au ndio tumerudi tena tulikotoka?

  • @RomanMalamsha-oe3ri
    @RomanMalamsha-oe3ri Před rokem

    Miamba ya Tanzania iliyojawa na uzalendo was Aina yake

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Před rokem

    Hivi kuna redio inaweza kurusha hii kweli.!!!!!¡

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix1680 Před rokem

    Wapo wanaopenda chama iki Kama chilpss kuku atauwambie nn awakwelewi

  • @KalistiSilivanus
    @KalistiSilivanus Před rokem

    Mulitufaaa Sanaa ila MUNGU akawapenda sana

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 Před rokem

    Magufuli pumzika mahali pema baba ulikuwa namahono sana

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 Před rokem

    daaah Watanzania wenzangu itachukua Tena miongo kazaa kuwapata watu kama Hawa angalia tuh kutoka kwa king nyerere mpaka kwa king magufuri daaah watoto wangu ombeni sana mm baba yenu nishaumaliza mwendo

  • @iraakasubete8287
    @iraakasubete8287 Před rokem

    Mimi naona msitukumbushe machungu tunaumia zaidi

  • @richardmsomgole2663
    @richardmsomgole2663 Před rokem

    ❤❤

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu8040 Před rokem

    Huzuni Sana.

  • @KuntukumuSadam
    @KuntukumuSadam Před rokem

    Why Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😢😢😢😢

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 Před rokem

    Mpuuzi tu huyu nashangaa sana hadi leo majitu yanatukuza, wanafiki wakubwa

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Před rokem

      Mpumbavu kama wewe hutakiwi kumwelewa, utamwelewaje wakati bichwa lote limefurika upumbavu na umalaya malaya tu?

  • @abrahamkalinga4291
    @abrahamkalinga4291 Před rokem

    😭😭😭😭

  • @user-xp1pq1sm6f
    @user-xp1pq1sm6f Před rokem

    Viongozi wetu iweni HADITHI nzuri! Ili hata kizazi kijacho kiikute HADITHI yenu nzuri kwenye taifa hili la Tanzania nao waje wasimulie mazuri ya viongozi mliotangulia kama. Maana maisha yetu hakika ni HADITHI tu. Kesho watapokea watoto wetu je? Wataikuta gani?