Mungu asamehe dhambi zenu, kwakuwa mlikuwa binadamu... Mmetuachia majonzi na watanzania tutaendelea kuwakumbuka kwa misimamo yenu ya kutetea wanyonge.😢😢😢😢😢
DAAAAAH... NYERERE BABA WA TAIFA LA TANZANIA, NJOO HUKU UONE YANAYOENDELEA.. TINGATINGA BABA JOHN POMBE MAGUFULI NJOO UONE YANAYOFANYIKA HUKO TANZANIA ULIYOIACHA BABA 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Hakika tumechezewa Sana na ogopa Sana mtu anasema Damu yangu haina thamani Kama wananchi wa Tanzania hawatapata haki yao, Hembu msikilize Jk nyerere na Jpm hakika utajua sasahivi tuna waaina gani kwahiyo Nawasihi Tumlilie Mwenyezi Mungu Haki zetu
Hawa ndio marais ndio ninaowajua kweli wanamioyo na wananchi wake..,mungu wapumzishe kwa amani ila usichoke mungu kutuletea rais mwengine muaminifu amen.., Kwa sasa atuna uwongozi wa nchi kwa wananchi Bali kuna wezi kwa kuiba na kunyanyasa watu wako
@@margarethsolomon9823 wabongo mlio wengi mnazaa bila ya ndoa hamuoni huo ni umalaya wa kuzaa toto za haramu. Naamini mama yako amefanya umalaya ndio ukazaliwa ww . Bila ya mama yako kuhongwa pesa na kufanya umalaya usingezaliwa ww
@@user-xr8nx9sd9y imewauma mara hii mumetawaliwa na mzanzibar hata mkiumia mungu alishapanga AWe raisi kama una wivu na choyo jinyonge. Mtakufa siku si zenu kwa roho zeni mbaya
Unatia hasira wewe. mambo ya msingi unaleta udini waislamu tumieni akili binafsi kufikiria msitumie mawazo ya viongozi wenu Maana baadhi ya viongozi wa dini wawe wakristo ama waislam ni wachumia tumbo
Baba tunakukumbuka kwauzalendo wako kwataifa hili mungu akubariki huko uliko ulituachia mtu asiolitakia mema taifa hili anabinafisisha bandari yetu kweli hivi meji wako unakushinda umkabidhi nani sasa wakati inatakiwa ujibadilishe kifkira ili uwebora siokubinafisisha.mungu awabariki wazalendo wetu mliojitoa kwakuongoza kwahaki wote mnaolitakia mema taifa tanzania sema ameeni.😅
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و والظالمين والباغين و الساحرين وكل من كادها بالسوءاللهم اردد كيدهم في نحورهم
Watu wengi huwa bora wakiwa nje ya uongozi wakisha pata huo uongozi ndo waharibifu wakubwa mama alivyo ingia madarakani akaanza kumsimanga magufuli sasa hivi afadhali magufuli
Yani watu wanasema ni udini lkn awajui kitatuadhiri kiasi gani watanzania na vizazi nyetu vya baadaye kwakweli mungu atusimamie jaman muacheni mungu aitwe mungu sasa tunautambua wema wa JPM
❤ Yani 😭😭😭😭😭😭😭😭 ❤ MUNGU awalaze mahali pema peponi.tutawakumbuka Kila iitwayo Leo na kesho sjui km atatokea mtu afeee halafu akumbukweee km Hawa watu2.baba na mwana mliona mbali kuhusu bandar Sasa wao Leo ndio wanawafanya hinyoo mliovyoo kataaa wao wanakubali inamana ni hayo unayoyasema ni mala
Nafikiri wew shoga kweli unajitaidi kuchamba ila ungejitaidi ukachamba mkundu wa mama yako uliomchafu..,kuma LA mamako lililopo kuzimu mbwa unapenda kudandia maneno ya kiume njoo sasa udandie uboo huu kuma wew
Mungu awasameh dhamb zenu nyote mpate kukaa katik kit Cha ufalme nkawe pia viongoz waalaik rais mugufuli katik hotuba zake pia aliwah kusema mungu atamteua kuwaongoza malaika
daaah Watanzania wenzangu itachukua Tena miongo kazaa kuwapata watu kama Hawa angalia tuh kutoka kwa king nyerere mpaka kwa king magufuri daaah watoto wangu ombeni sana mm baba yenu nishaumaliza mwendo
Viongozi wetu iweni HADITHI nzuri! Ili hata kizazi kijacho kiikute HADITHI yenu nzuri kwenye taifa hili la Tanzania nao waje wasimulie mazuri ya viongozi mliotangulia kama. Maana maisha yetu hakika ni HADITHI tu. Kesho watapokea watoto wetu je? Wataikuta gani?
Mi ukiniuliza marais wa Tanzania walokuwa na uchungu na uzalendo kwa wananchi wao ni Nyerere na Jp.Magufuli tu. Mlale salama majemedari wetu😭.
Mashaallah
Upo sawa mkuu
Sawa
BANDARI BANDARI Mungu atusaidie sana ktk nchi yetu
RIP Maraisi Nyerere na Magufuli🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mungu asamehe dhambi zenu, kwakuwa mlikuwa binadamu... Mmetuachia majonzi na watanzania tutaendelea kuwakumbuka kwa misimamo yenu ya kutetea wanyonge.😢😢😢😢😢
Pp
DAAAAAH... NYERERE BABA WA TAIFA LA TANZANIA, NJOO HUKU UONE YANAYOENDELEA..
TINGATINGA BABA JOHN POMBE MAGUFULI NJOO UONE YANAYOFANYIKA HUKO TANZANIA ULIYOIACHA BABA
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
kweli magufulii mungu alikuteuwa Kwenye hii nchii.tumeshikwa pabayaa
Ali tuachia usia tutamkumbuka kwa unabii aliotuachia
MUNGU tusaidie tupate wa kututetea juu ya hivi vitu vya hovyo,, RIP MAGUFULI 🙏🙏
Hakuna atae kuja kutu tetea na uki sema ukweli una kamatwa
Hawa ndio marais wa hili taifa Mungu bariki Tz.
Kweli.wenye.haki.hawadum.na.mimi.ambaye.ni.mwenye.kiti.wa.kijiji.cha.kasangezi..na.teswa.na.viogozi.wa.chama.tawi..kwa.kupenda.lushwa.ya.wa.fugaji..
Ni Bora ukakosa elimu ya darasani lkn ukawa na akili ,,,kuliko kuwa na elimu ya darasani lkn akili hamna 😭😭
Kweli mzee wetu wapo mashetani wa hata Leo na wamezidi kwasabu ya maisha yao
Mungu awarehem na tutazidi kuwakumbuka na kuwaenzi maana mmetuacha tukiwa bado gizani
Hakika tumechezewa Sana na ogopa Sana mtu anasema Damu yangu haina thamani Kama wananchi wa Tanzania hawatapata haki yao, Hembu msikilize Jk nyerere na Jpm hakika utajua sasahivi tuna waaina gani kwahiyo Nawasihi Tumlilie Mwenyezi Mungu Haki zetu
Thank you my president John magufuli good blessed you
Hawa ndio marais ndio ninaowajua kweli wanamioyo na wananchi wake..,mungu wapumzishe kwa amani ila usichoke mungu kutuletea rais mwengine muaminifu amen..,
Kwa sasa atuna uwongozi wa nchi kwa wananchi Bali kuna wezi kwa kuiba na kunyanyasa watu wako
Heche vipi
Mwenyezi mungu awape pumziko la milele wazee wetu yote mlitabiri leo tunayaona kwa macho na masikio
😭😭 hakika tumeuona ugumu wakazi mliyokua mnatufanyia rest in happy ma daddy
Yesu tunaomba mtetezi wa inch yetu tena tunaangamia babaang
Mungu ailinde Tanzania
Hakika sitakusahau ktk maisha yangu yote
Mmesikia hayo, fanyieni kazi mawazo ya kujenga ya wakubwa hao. RIP JKN & JPM
Watu wenye uchungu na nchi ndio hawa wengine wamepanga tu kwenye nchi
RIP MZEE WETU NYERERE.
Mungu awalaze pema tuliwapenda saizi watanzania tunalia
Hilo neno mzee nyerere aliongea muda Sana mpenda hela kwasabu ya umalayamalaya tu hawatendi Haki kwa watanzania
Tanzania tuna marais wawili tu Jk,Nyerere na Jpm. Magufuri wengine wote wanatabia ya Malaya Malaya tu
Tunauzwa jamani mungu atusaidie aliye Shiba hamjui mwenyew njaa
Shujaaa hafi nafsi yake itaendelea kuishiiiiiiiiiii,,
R.I.P OUR BELOVED
Ninani atakaye Tusaidia katika Jambo hili waheshimiwa, Hebu fikirieni Kwa makini hiyo Mikataba kabla ya kusaini.
Nimesikiliza kwamakini sana kuhusu mkataba huu wakubinafusisha bandari ushauri wangu mkataba huu ufutwe maramoja kwamasilahi mapana yataifa letu hivyo
RIP Nyerere Kwan Malaya malaya ndio Yuko nao Sasa hivi, Ila viongozi mmetuchosha jaman tunasikia machungu Mali zetu kuondoka na kwenda nje
Malaya mama yako amepata mimba nje ya ndoa ukazaliwa ww mtoto wa Haramu unaweza kumwita mama yako malaya
@@salehkhamis-ob8ln unafirwa, toka toka toka shwetani wewe
@@margarethsolomon9823 wabongo mlio wengi mnazaa bila ya ndoa hamuoni huo ni umalaya wa kuzaa toto za haramu. Naamini mama yako amefanya umalaya ndio ukazaliwa ww . Bila ya mama yako kuhongwa pesa na kufanya umalaya usingezaliwa ww
@@salehkhamis-ob8ln Kama ni malaya nitamwita malaya tu maana ni ukweli. Rais wa TZ na viongozi wake note ni wezi na ni malaya watupu.11
@@user-xr8nx9sd9y imewauma mara hii mumetawaliwa na mzanzibar hata mkiumia mungu alishapanga AWe raisi kama una wivu na choyo jinyonge. Mtakufa siku si zenu kwa roho zeni mbaya
Hongera Sana mega Arusha fm
we gonna cry forever Tanzanians. no body like these pioneers
Hapa shetan wa nchi anajijua ebu ache kutupeleka makosa,tusikilezen kuwa tunataka nn jmn😭😭
Inaumaaa sanaaaaaa😭😭😭😭😭😭😭
JK Nyerere na JPM ndiyo walikuwa Marais wa kweli
Aiseee nitawarejerea enzi enzi viongz wetyu Dr John P.Magufuli and J.K Nyerere kwa msimamo na fikra zenu zenye mtazamo mzuri kwa wengi
Leo yametimia yale waliyonena wakubwa wetu je, tutafanyaje sisi na watoto wetu katika kizazi hiki
Ukweli inauma sana kuhusu bandari ingezekekana mngefufufka kidg Nyelele na Magufuli mtasaidie
Magu hongela
Kweli Mwalimu maneno yako yametimia sasa nchi imekuwa ya kimalaya malaya
Kazi mnayo makafiri! Mnateseka na uongozi wa mama!
Unatia hasira wewe. mambo ya msingi unaleta udini waislamu tumieni akili binafsi kufikiria msitumie mawazo ya viongozi wenu
Maana baadhi ya viongozi wa dini wawe wakristo ama waislam ni wachumia tumbo
@@ibrahimsuleyman9465 Kafiri ni wewe na mkundu wako, FALA wewe na ni mshenzi, watu wanaumia lkn wewe unaongea unyama unyama
Nyinyi ndio Malaya Malaya na maaaskari wenu wale 😂 wamchongo analilia,,,
Yule...askari wenu alifanywa Nini nyuma ndio mtajua..anaitwa ibra😂
R.I.P🎉🎉🎉🎉🎉..samia atumuelewi uku kitaa km malayamalaya faza kasema
Mhhh, eeee Mungu husika katika hili
Tumeku miss Mzee Bora ufufuke
😭😭😭 tunalia hatutawasahau
Mungu akurehemu akulaze mahali pema peponi amina jibu ndilo hilo limepatikana bandari ndiyo hizo mama anazikomba huyu mama wala hawantaki kabisa
Baba tunakukumbuka kwauzalendo wako kwataifa hili mungu akubariki huko uliko ulituachia mtu asiolitakia mema taifa hili anabinafisisha bandari yetu kweli hivi meji wako unakushinda umkabidhi nani sasa wakati inatakiwa ujibadilishe kifkira ili uwebora siokubinafisisha.mungu awabariki wazalendo wetu mliojitoa kwakuongoza kwahaki wote mnaolitakia mema taifa tanzania sema ameeni.😅
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و والظالمين والباغين و الساحرين وكل من كادها بالسوءاللهم اردد كيدهم في نحورهم
Mwamba wa watanzania.!!!! Pumzikeni kwa amani.!!
Watanzania wenzetu amkeni fungueni macho 4,msikubali bandalini zetu ziuzwe. Kataeni utumwa mambo Leo.
Mpaka wametufungia R I P magufuri
wameshatavuna bandari,reli,Kilimanjaro,loliondo na ngorongoro.
safi
Rocks from lake zones duuuuu
Mama anaongezea kodi wananchi na bado anaendelea kukopa na mikopo yenyew haieleweki imefanya nini
Mungu awabalik wote watanzania
Watanzania tunajisahau sana tayari mnawapa bandari mabepari tena
Watu wengi huwa bora wakiwa nje ya uongozi wakisha pata huo uongozi ndo waharibifu wakubwa mama alivyo ingia madarakani akaanza kumsimanga magufuli sasa hivi afadhali magufuli
Huyu mwamba htawahi kutokea tna samia anaumiza wananchi na pia nchi anaipeleka pabaya
Yani watu wanasema ni udini lkn awajui kitatuadhiri kiasi gani watanzania na vizazi nyetu vya baadaye kwakweli mungu atusimamie jaman muacheni mungu aitwe mungu sasa tunautambua wema wa JPM
😭😭😭😭moyo unauma sana
Kwa kweli inatuma.
❤ Yani 😭😭😭😭😭😭😭😭 ❤ MUNGU awalaze mahali pema peponi.tutawakumbuka Kila iitwayo Leo na kesho sjui km atatokea mtu afeee halafu akumbukweee km Hawa watu2.baba na mwana mliona mbali kuhusu bandar Sasa wao Leo ndio wanawafanya hinyoo mliovyoo kataaa wao wanakubali inamana ni hayo unayoyasema ni mala
Kweri baba tutakukumbuka sana kipenzi pumzika kwa amani bandari saizi imebinafu
Iyo sio tena Tanzania tulioifahamu ya J.J.P. MAGUFULI.
Uyo Malaya Malaya ndio tunaesasaiv ananunulika kwa kuwekwa picha yake ghorofa ndefu kule dubai
Nahisi mama yoko ndio malaya alokuzaa nje ya ndoa wabongo mnachukuana tu kama wanyama mnazaa toto za haramu
Nafikiri wew shoga kweli unajitaidi kuchamba ila ungejitaidi ukachamba mkundu wa mama yako uliomchafu..,kuma LA mamako lililopo kuzimu mbwa unapenda kudandia maneno ya kiume njoo sasa udandie uboo huu kuma wew
Ndo tumesh potea rais wetu maguuu sisi tunajua bado ww bado ni rais wetu
Mungu zi pumuzishe roho zao
Baba wawa tanzania
hakika nch inaitaji kiongoz nasio muongozaji tu
Mama anaongezea kodi wananchi na bado anaendelea kukopa na mikopo yenyew haieleweki imefanya nini 10:45
Mungu akulanze pema peponi jpm
Amchome
Mungu tusaidie
R l p Nyrere R l p Magufuli tutawakumbula daima
Yako yameisha Mzee, tulia!! Tunashika ya samia suruhu Hassani our beloved mama
Chetani hayupo anae mtaka, huyo eti mama #,#NONSENSE
Yan daaah Kuna viongez wengine bhna
Nikweli kabisa mzee
Kwani walikua miungu nini?
Hao ndo waliirudusha nchi nyuma twendeni tu tutaona baadae mtasema nyinyi nilijua tu nilijua tu.
Mungu awasameh dhamb zenu nyote mpate kukaa katik kit Cha ufalme nkawe pia viongoz waalaik rais mugufuli katik hotuba zake pia aliwah kusema mungu atamteua kuwaongoza malaika
Okay!!
Tutakukumbuka daima
daaaa atali
Mkapa upo kutukomesha
Viongozi ukweli mnauza nchi kwani maandamano ni vita kama mnajua yanakwamisha uchumi kwanini mnauza na ambacho tumeshakipata?
Kama baazi ya wabunge wenye tabia ya uchawachawa na kusahau majukumu ya kutetea masrahi ya nchi yetu na wananchi
na mpaka sasa tumewaona malaya malaya wanavyotuvawa huku😂😂😂😂
Mungu tupiganie
Mbaya zaid siku za kumbukumbu za vifo vya hawa mashujaa zimegeuzwa kuwa shelehe za mafisad
Nawaza magufuli angewahi kuwa rais wa kenya
Duh😢😢😢😢
Hivi hali ya migodi sahizi ikoje au ndio tumerudi tena tulikotoka?
Miamba ya Tanzania iliyojawa na uzalendo was Aina yake
Hivi kuna redio inaweza kurusha hii kweli.!!!!!¡
Wapo wanaopenda chama iki Kama chilpss kuku atauwambie nn awakwelewi
Mulitufaaa Sanaa ila MUNGU akawapenda sana
Magufuli pumzika mahali pema baba ulikuwa namahono sana
daaah Watanzania wenzangu itachukua Tena miongo kazaa kuwapata watu kama Hawa angalia tuh kutoka kwa king nyerere mpaka kwa king magufuri daaah watoto wangu ombeni sana mm baba yenu nishaumaliza mwendo
Mimi naona msitukumbushe machungu tunaumia zaidi
❤❤
Huzuni Sana.
Why Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😢😢😢😢
Mpuuzi tu huyu nashangaa sana hadi leo majitu yanatukuza, wanafiki wakubwa
Mpumbavu kama wewe hutakiwi kumwelewa, utamwelewaje wakati bichwa lote limefurika upumbavu na umalaya malaya tu?
😭😭😭😭
Viongozi wetu iweni HADITHI nzuri! Ili hata kizazi kijacho kiikute HADITHI yenu nzuri kwenye taifa hili la Tanzania nao waje wasimulie mazuri ya viongozi mliotangulia kama. Maana maisha yetu hakika ni HADITHI tu. Kesho watapokea watoto wetu je? Wataikuta gani?