Samahanin Sanaa kwa kuwacherewesha kutoka kwa movie yetu ya GUBU la MAWIFI haikua makusudi ila kwa changamoto zilizokua nje ya uwezo wetu tunaomba support yenu sanaa kuanzia saiv back to back mambo mazuri yanakuja Usisahau Ku subscribe like comment and Share.....Tunawapenda Sanaa ❤❤
Kaka Hana makosa😮ila mawifi ndio sababu ya yote 😮pole dada ilo ni funzo kubwa kwa mawifi wote duniani❤❤❤nimekipenda sana hik kipindi cha mwisho asanteni nyote 😊😊😊😊😊
Ombo langu kwa makaka mnaotaka kuoa,,,ukijua umeamua kuoa,mskize mkeo achana na familia kukupea ombea kumwusu mkeo,,,ukiona mtu anataka kukuambia kitu mskize...Mimi wenu cathrin
Kosa nikwa mke utaweza je kwenda na kaka yako maali kama alikuwa anaenda ? Kwa nini wasi kutane kwa mama mdogo ? Na yeye ni mke wa mtu, ata mimi ninge Norah ningefanya vile kama Norah
Hapa kuna kujifuza kitu kwaza UKIAMBIWA kitu ya MPENDWA wako chunguxaa kisha muulixeee nAusikixeee pande mbili sio kuwasikiza dadako sasa nasra mara mbili watoto huna mkemlemavuu
Samahanin Sanaa kwa kuwacherewesha kutoka kwa movie yetu ya GUBU la MAWIFI haikua makusudi ila kwa changamoto zilizokua nje ya uwezo wetu tunaomba support yenu sanaa kuanzia saiv back to back mambo mazuri yanakuja Usisahau Ku subscribe like comment and Share.....Tunawapenda Sanaa ❤❤
❤❤❤hongereni
Wa Kwanza naombeni likes
Sawa ila punguza kuchelewa
BASI HII UNAWEZA KUKUTA KP NDIO KAANDIKA KWA KUTUMALIZIA BANDO WEE KIJANAA
🥰🥰🥰
Jaman mnakawia mpka mnaboa mnaokubaliana na mm gonga like apo
kusema kwel wanawake n mataila san tuwape nn mlizike jaman hata chembe ya huruma2 hamna daaaah
Hataa kama ndo unataka kulala ndo ulale na miguuu michafu kisa hasira zako,,weeeee nakushushaaaa...
Nimecheka Kwa sauti😂😂😂
Bora umwambie ww maana ningeongea pale ningepigwa bao
Siyo vizuri kukamata maamuzi bila kucungunguza kweli iyi imenifundisha mengi asante kwakufanya kazi vizuri nawapenda
Mbona imewahi kuisha jamaniii 🥰🥰 ilikuwa Moto
Mmmmh watoto wakike tubadilike bas mawifi bana duuu
unalia nini umeyataka hasira hasara ila polee sana pia kaz nzur
Kaka Hana makosa😮ila mawifi ndio sababu ya yote 😮pole dada ilo ni funzo kubwa kwa mawifi wote duniani❤❤❤nimekipenda sana hik kipindi cha mwisho asanteni nyote 😊😊😊😊😊
Ombo langu kwa makaka mnaotaka kuoa,,,ukijua umeamua kuoa,mskize mkeo achana na familia kukupea ombea kumwusu mkeo,,,ukiona mtu anataka kukuambia kitu mskize...Mimi wenu cathrin
Inaliza ila ina funza sana kazi nzuri
Wow ni nzuri sana lakni hapo kwa sheila na norah n kali sana waja tw❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana bidii ndo kilakitu
Umbea sio kazi kazi kusutwa😂😂😂 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hii ni funzo kwa kila mtu ukiowa ujua family ya bibi yako wote ndo shida km hizi haziwi asant san bro kwa funzo lako
Asante sana kwa movie nzuli sana na yenye mafunzo mazuli sana ❤❤❤❤❤❤
Dah kama vile kweli at!
shei shei na noraty nawapenda kazi nzuri
Ninzuri sana nawapenda kinoma
Jaman hii ina mafunzo makubwa sana🎉🎉🎉🎉hongereni
Hawa wadada mbona nikama wale wa KP au nimekosea
Niwenyewe
Kma sheila na nola ndo mawifi huna bahati 😂😂😂
Kazi nzuri sana vijana wetu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Weeeeeeee
Mbona Happy Jamani ❤❤❤
Fundisho kwa wanaume wote wanaowasikiriza nduguzao kazinzuri sana
Ni funzo kwa wanaume wote mna wanpndag kukurupuka tu
Jamani nimzurii saana nimeipenda mnoo hata isifikie mwisho kwakweli daaah
Jamani mawifi wenyewe ndio awoo 😂😂😂😂 lazima ulie😂😂😂hongereni Sana kwa kazi nzur sanaa pokea mauwa yako DJ 🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂
Maua 🎉🎉🎉🎉yenu mmeweza sana, ila Shey na Norah sijapenda mmemharibia kaka yenu system ya maisha, mmeharibu pia afya ya Happy,
Kama mtuu akutaki Archana name nyiee vipi allaaaaaaaa🎉
Hata ulie kilioncha tembo imeisha iyoo umesha mharibia mwenzio maisha kwa kutokumsikiliza
Jamani eee bora hii imekuwa muvi mimi nilipigwa ba mwanamke akidai natoka na mpenzi wake ikiwa mpenzi wake ni kakaangu wa damu kabisa
Mmmh aisee pole
Dah nimelia mm jamani
Pole
Aky mmekawia sana hatq nilikuwa nmeisahau pia 😂😂😂
Kosa nikwa mke utaweza je kwenda na kaka yako maali kama alikuwa anaenda ? Kwa nini wasi kutane kwa mama mdogo ? Na yeye ni mke wa mtu, ata mimi ninge Norah ningefanya vile kama Norah
Ni kweli kabisa
So kwa kilio hich jaman mnajua kuekti mashallah allah awatangulie ktk uigizaj wenu
Movie nzur sana
Wee jmn kukurupuka ni mbaya daa
Usichukue uamuzi wa kumuadhibu mtu bila kuchunguza kosa liko wapi na chanzo chake ni nn
Kazi nzuri sana mungu akubariki kijiti media❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mboka kaka unalia vibaya sana jitahidi uwe unalia vizuri bwana😀😀😀
😭😭😭😂😂😂
Nani amelia kama mm😢
Umeua Broo sarungiiii
Mawifi tuweni makin tusifanye vitu kwa kukurupukwa 😢😢😢😢 inauma sana na nyinyi wanaume muache ujinga wa kuwasikiliza nduguzenu😢😢😢
Msijali kawaida tu ila mjitahidi maan Pak tuna sahau
Watu wangu Sheila and Nora full love from Burundi
Asanten jamani mawifi hatali hao shei shei umetishs
Nimejifunza kitu Asanteni sana ila sheishei na dadako 😂😂😂
mawife tuwe nabusala hasa kwama kaka zetu na mawife zetu tuwapende mawife
❤❤full burudan na nimejifunza pakubwa sana
Siyokila mtu akikaa namwanaume anatokanaye kimapenzi tujifunze kitu hapa
Sheila na Norah nimewapenda sana mmecheza vzr
Ndo waswaili wasema kizuri akikosi kasoro katoto karembo lkn umalaya tu kuoga aaah
jamani kueni makini wanaume madugu wabaya😊
Nimeipenda hii movie pia imenifundisha kitu ❤❤❤❤
Duh😮 mwisho wa mabaya ni mabaya jmn😢😢😢
Nimelia sana hii muvi ni Mimi kabisa 😢😢😢🎉🎉🎉
Mmmh nyinyi mawif hamfai kabisa mnaroho mbay
Mnapo amua kupendana wawili msimpe nafasi mtu kuingilia mahusiano yenu hasa ndugu hata marafiki
Kabsa ushasema apo
Hongereni kwa funzo zuri❤❤
Hapa kuna kujifuza kitu kwaza UKIAMBIWA kitu ya MPENDWA wako chunguxaa kisha muulixeee nAusikixeee pande mbili sio kuwasikiza dadako sasa nasra mara mbili watoto huna mkemlemavuu
Nula na cheilla niwambeya jameni wamenivunja mbavu😂😂😂❤❤🥰🇧🇮🇧🇮
We mjinga .ungelala humohumo ndani.yaani unawapa faida hao mawifi zako.
Haya nenda kaowe dada zako xx 😢wanaume wengine sijui wanaakaje yaani kwann usimchunguze mwenyewe mkeo hadi dada zako wakuchunguzie
Mawifi walioshindikana yani kama hawa hatakuolewaaa wakifika huko nikurudishwaaa wambea kweli simrudii Kwenuu
Imekawia sna
Nora na sheishei mungu anawaona nyieeee mmemponza mwenzenu😂😂
Jamani mtapoteza mafans wenu maana mnachelewesha sana movies zenu ila nampenda sana from 🇰🇪
Hawa mawifii nawafananisha na vigagulaa kabisaaa wanaroga mchana sasa mumepata faida gani hapo
Muvi mzuli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mawifi wambea hawa
Maneno ya kuambiwa changanya na yako ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅
Wanaume acheni Asila
Sio sir jaman nimelia sana 😭😭😭
Hao mawifi siwapendiiii mana wamezidiiiiiii😂😂😂😂
Kijiti media mwatubwaga Sasa tusubirie baada ya miezi mingapi Tena tupate mwendelezo
😂
Wale wakulia nawenzetu tujuane nasi
We sheyshey na noora mlifika huku pia aki nyinyi😂😂😂😂
Hii Movie inaniliza jamani nyieeee😢
Unalia nni na umeyataka wewe ungemuuliza yule alokaa nae nani SI angejieleza ukajifanya kidume ukampiga ukaharib Kila kitu ila hongereni kazi nzuri
Nzur sana inafundishA❤❤
Norah na shey shey YANI mweye amulalaki niuchunguzi tuu
Inatufundisha tusihukumu bila kujiridhisha ipasavyo na ni vizuri umuulize kwanza mtu kwa unachokihisi ukiona majibu ayaelewek ndo uhukumu
Mwaichelewesha sna hii movie jaman
Nora na Sheila hamupitwi kweli wifi Huna bahati
Mhuuu
uliskiza umbea sai wajuta lkn pole xan
Duuuh😢😢😢 mawifi tubadilike khaaaaa😢
Yani nimecheka anavolia 😂😂
Ila mawifi😂😂😂
Mume zidi mawifi wawenyewe naijua iyo pole wifi wa watu ni kawaida ya mawifi usilie pole😢😢😅😅
Mawifi
Mawifi
Mawifi 😢😢
Hongereni sanaa❤❤
Kazi nzuri sana❤❤❤❤😢😢😢
duu jamaa unamoyo wewe tee
Yaani sheila na nola ndo mlionifanya niiangalie hii move nawapenda sana jmn 🤪😂😂
❤❤❤❤❤❤. Ishara Jérémie frome musasa camp
Waoooh ❤ sheishei na Norah
Daah,Hawa mawifi Hawafai
Funzo zuri ni kuwa ukiona ama ukisikia kitu muulize muhusika badala ya kumuhukumu
Hazira hasara mawife❤😂😂😂 shay shay😂😂 na Norah
mawifi kama awa tunao tena hatari wezi kama nn,?? 😅😅😅