GUBU LA MAWIFI_Ep_2_Final

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 245

  • @kijitimedia7072
    @kijitimedia7072  Před měsícem +71

    Samahanin Sanaa kwa kuwacherewesha kutoka kwa movie yetu ya GUBU la MAWIFI haikua makusudi ila kwa changamoto zilizokua nje ya uwezo wetu tunaomba support yenu sanaa kuanzia saiv back to back mambo mazuri yanakuja Usisahau Ku subscribe like comment and Share.....Tunawapenda Sanaa ❤❤

  • @EmerlynePato
    @EmerlynePato Před měsícem +4

    Jaman mnakawia mpka mnaboa mnaokubaliana na mm gonga like apo

  • @PrinceCharlesNyakimori
    @PrinceCharlesNyakimori Před 2 dny +1

    kusema kwel wanawake n mataila san tuwape nn mlizike jaman hata chembe ya huruma2 hamna daaaah

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Před měsícem +5

    Hataa kama ndo unataka kulala ndo ulale na miguuu michafu kisa hasira zako,,weeeee nakushushaaaa...

  • @Irankundasadiki-yx1vf
    @Irankundasadiki-yx1vf Před měsícem +2

    Siyo vizuri kukamata maamuzi bila kucungunguza kweli iyi imenifundisha mengi asante kwakufanya kazi vizuri nawapenda

  • @JanethJoseph-tq2ns
    @JanethJoseph-tq2ns Před 3 dny

    Mbona imewahi kuisha jamaniii 🥰🥰 ilikuwa Moto

  • @Franklalata
    @Franklalata Před 8 dny +1

    Mmmmh watoto wakike tubadilike bas mawifi bana duuu

    • @Franklalata
      @Franklalata Před 8 dny

      unalia nini umeyataka hasira hasara ila polee sana pia kaz nzur

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Před měsícem +1

    Kaka Hana makosa😮ila mawifi ndio sababu ya yote 😮pole dada ilo ni funzo kubwa kwa mawifi wote duniani❤❤❤nimekipenda sana hik kipindi cha mwisho asanteni nyote 😊😊😊😊😊

  • @user-tl9qp3wb9u
    @user-tl9qp3wb9u Před měsícem +2

    Ombo langu kwa makaka mnaotaka kuoa,,,ukijua umeamua kuoa,mskize mkeo achana na familia kukupea ombea kumwusu mkeo,,,ukiona mtu anataka kukuambia kitu mskize...Mimi wenu cathrin

  • @purityneema-gh6jc
    @purityneema-gh6jc Před měsícem +2

    Inaliza ila ina funza sana kazi nzuri

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w Před měsícem +1

    Wow ni nzuri sana lakni hapo kwa sheila na norah n kali sana waja tw❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g Před měsícem +2

    Kazi nzuri sana bidii ndo kilakitu

  • @user-tu2sk1mo8q
    @user-tu2sk1mo8q Před měsícem +1

    Umbea sio kazi kazi kusutwa😂😂😂 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @moreenrehema1347
    @moreenrehema1347 Před měsícem +1

    Hii ni funzo kwa kila mtu ukiowa ujua family ya bibi yako wote ndo shida km hizi haziwi asant san bro kwa funzo lako

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před měsícem +1

    Asante sana kwa movie nzuli sana na yenye mafunzo mazuli sana ❤❤❤❤❤❤

  • @EmanuelSulle-c5f
    @EmanuelSulle-c5f Před 24 dny +1

    Dah kama vile kweli at!

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee Před měsícem +1

    shei shei na noraty nawapenda kazi nzuri

  • @user-vp8ms2ff4s
    @user-vp8ms2ff4s Před 20 dny +1

    Ninzuri sana nawapenda kinoma

  • @NuruNdegwa-yg2bm
    @NuruNdegwa-yg2bm Před měsícem +1

    Jaman hii ina mafunzo makubwa sana🎉🎉🎉🎉hongereni

  • @JudithAdhiambo-yd6qb
    @JudithAdhiambo-yd6qb Před měsícem +3

    Hawa wadada mbona nikama wale wa KP au nimekosea

  • @JaneAnyona-bu3rj
    @JaneAnyona-bu3rj Před měsícem +4

    Kma sheila na nola ndo mawifi huna bahati 😂😂😂

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 Před měsícem +1

    Kazi nzuri sana vijana wetu ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-bi9zi1ex7t
    @user-bi9zi1ex7t Před měsícem +1

    Weeeeeeee
    Mbona Happy Jamani ❤❤❤

  • @MonicaYona
    @MonicaYona Před měsícem +1

    Fundisho kwa wanaume wote wanaowasikiriza nduguzao kazinzuri sana

  • @ShakiraIbrahim-e7c
    @ShakiraIbrahim-e7c Před měsícem +2

    Ni funzo kwa wanaume wote mna wanpndag kukurupuka tu

  • @JibranMursali
    @JibranMursali Před měsícem

    Jamani nimzurii saana nimeipenda mnoo hata isifikie mwisho kwakweli daaah

  • @user-ef1zl5gi1k
    @user-ef1zl5gi1k Před měsícem

    Jamani mawifi wenyewe ndio awoo 😂😂😂😂 lazima ulie😂😂😂hongereni Sana kwa kazi nzur sanaa pokea mauwa yako DJ 🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic Před měsícem

    Maua 🎉🎉🎉🎉yenu mmeweza sana, ila Shey na Norah sijapenda mmemharibia kaka yenu system ya maisha, mmeharibu pia afya ya Happy,

  • @yusufabdi8568
    @yusufabdi8568 Před 20 dny +1

    Kama mtuu akutaki Archana name nyiee vipi allaaaaaaaa🎉

  • @SizahajiSiza-fw6ob
    @SizahajiSiza-fw6ob Před měsícem +1

    Hata ulie kilioncha tembo imeisha iyoo umesha mharibia mwenzio maisha kwa kutokumsikiliza

  • @LovenessNgonela
    @LovenessNgonela Před měsícem +1

    Jamani eee bora hii imekuwa muvi mimi nilipigwa ba mwanamke akidai natoka na mpenzi wake ikiwa mpenzi wake ni kakaangu wa damu kabisa

  • @FatmaMusaifa
    @FatmaMusaifa Před měsícem +2

    Dah nimelia mm jamani

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j Před měsícem +1

    Aky mmekawia sana hatq nilikuwa nmeisahau pia 😂😂😂

  • @RadjaoMufolotars
    @RadjaoMufolotars Před měsícem +3

    Kosa nikwa mke utaweza je kwenda na kaka yako maali kama alikuwa anaenda ? Kwa nini wasi kutane kwa mama mdogo ? Na yeye ni mke wa mtu, ata mimi ninge Norah ningefanya vile kama Norah

  • @user-ic6mf1xz1t
    @user-ic6mf1xz1t Před měsícem

    So kwa kilio hich jaman mnajua kuekti mashallah allah awatangulie ktk uigizaj wenu

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před měsícem +3

    Wee jmn kukurupuka ni mbaya daa

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Před měsícem +2

    Usichukue uamuzi wa kumuadhibu mtu bila kuchunguza kosa liko wapi na chanzo chake ni nn

  • @mbodzechiti
    @mbodzechiti Před měsícem

    Kazi nzuri sana mungu akubariki kijiti media❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @eliudikamwela-hl7pb
    @eliudikamwela-hl7pb Před měsícem

    Mboka kaka unalia vibaya sana jitahidi uwe unalia vizuri bwana😀😀😀

  • @FaithMinyika
    @FaithMinyika Před měsícem +2

    Nani amelia kama mm😢

  • @BadGirl-to8xk
    @BadGirl-to8xk Před měsícem +1

    Umeua Broo sarungiiii

  • @user-gi6su7jw1h
    @user-gi6su7jw1h Před měsícem

    Mawifi tuweni makin tusifanye vitu kwa kukurupukwa 😢😢😢😢 inauma sana na nyinyi wanaume muache ujinga wa kuwasikiliza nduguzenu😢😢😢

  • @Bitulomaingu
    @Bitulomaingu Před měsícem +1

    Msijali kawaida tu ila mjitahidi maan Pak tuna sahau

  • @isaiebizimana8935
    @isaiebizimana8935 Před měsícem

    Watu wangu Sheila and Nora full love from Burundi

  • @mbarakasefu
    @mbarakasefu Před měsícem

    Asanten jamani mawifi hatali hao shei shei umetishs

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b Před měsícem +1

    Nimejifunza kitu Asanteni sana ila sheishei na dadako 😂😂😂

  • @HamissaRamadhan
    @HamissaRamadhan Před měsícem +1

    mawife tuwe nabusala hasa kwama kaka zetu na mawife zetu tuwapende mawife

  • @user-pk6td6yz7h
    @user-pk6td6yz7h Před měsícem

    ❤❤full burudan na nimejifunza pakubwa sana

  • @user-tr1fs2ne3p
    @user-tr1fs2ne3p Před měsícem +1

    Siyokila mtu akikaa namwanaume anatokanaye kimapenzi tujifunze kitu hapa

  • @ruth1377
    @ruth1377 Před měsícem +1

    Sheila na Norah nimewapenda sana mmecheza vzr

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před měsícem +1

    Ndo waswaili wasema kizuri akikosi kasoro katoto karembo lkn umalaya tu kuoga aaah

  • @user-ts2gr7ny8k
    @user-ts2gr7ny8k Před měsícem +1

    jamani kueni makini wanaume madugu wabaya😊

  • @machozibachinge8626
    @machozibachinge8626 Před měsícem

    Nimeipenda hii movie pia imenifundisha kitu ❤❤❤❤

  • @user-gu6eh4gl8l
    @user-gu6eh4gl8l Před měsícem

    Duh😮 mwisho wa mabaya ni mabaya jmn😢😢😢

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h Před 27 dny

    Nimelia sana hii muvi ni Mimi kabisa 😢😢😢🎉🎉🎉

  • @LeilaAdija
    @LeilaAdija Před měsícem

    Mmmh nyinyi mawif hamfai kabisa mnaroho mbay

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 Před měsícem +2

    Mnapo amua kupendana wawili msimpe nafasi mtu kuingilia mahusiano yenu hasa ndugu hata marafiki

  • @user-ji2ks9ex9s
    @user-ji2ks9ex9s Před měsícem

    Hongereni kwa funzo zuri❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před měsícem +1

    Hapa kuna kujifuza kitu kwaza UKIAMBIWA kitu ya MPENDWA wako chunguxaa kisha muulixeee nAusikixeee pande mbili sio kuwasikiza dadako sasa nasra mara mbili watoto huna mkemlemavuu

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Před měsícem

    Nula na cheilla niwambeya jameni wamenivunja mbavu😂😂😂❤❤🥰🇧🇮🇧🇮

  • @AishaHamisi-zy7zn
    @AishaHamisi-zy7zn Před měsícem

    We mjinga .ungelala humohumo ndani.yaani unawapa faida hao mawifi zako.

  • @user-wh8px4pu9n
    @user-wh8px4pu9n Před měsícem

    Haya nenda kaowe dada zako xx 😢wanaume wengine sijui wanaakaje yaani kwann usimchunguze mwenyewe mkeo hadi dada zako wakuchunguzie

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před měsícem

    Mawifi walioshindikana yani kama hawa hatakuolewaaa wakifika huko nikurudishwaaa wambea kweli simrudii Kwenuu

  • @stephenndungu8237
    @stephenndungu8237 Před měsícem +2

    Imekawia sna

  • @user-xf3uj9xg2o
    @user-xf3uj9xg2o Před měsícem

    Nora na sheishei mungu anawaona nyieeee mmemponza mwenzenu😂😂

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Před měsícem

    Jamani mtapoteza mafans wenu maana mnachelewesha sana movies zenu ila nampenda sana from 🇰🇪

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před měsícem

    Hawa mawifii nawafananisha na vigagulaa kabisaaa wanaroga mchana sasa mumepata faida gani hapo

  • @samjabri2611
    @samjabri2611 Před 22 dny +1

    Muvi mzuli

  • @maramalansari3039
    @maramalansari3039 Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mawifi wambea hawa

  • @user-mv7cs7td9k
    @user-mv7cs7td9k Před měsícem

    Maneno ya kuambiwa changanya na yako ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅

  • @vestinabagenda3164
    @vestinabagenda3164 Před měsícem +2

    Wanaume acheni Asila

  • @user-rh7kx5xp4f
    @user-rh7kx5xp4f Před měsícem +1

    Sio sir jaman nimelia sana 😭😭😭

  • @AhmadAlaee-x1r
    @AhmadAlaee-x1r Před měsícem

    Hao mawifi siwapendiiii mana wamezidiiiiiii😂😂😂😂

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 Před měsícem +1

    Kijiti media mwatubwaga Sasa tusubirie baada ya miezi mingapi Tena tupate mwendelezo

  • @florencekanze
    @florencekanze Před měsícem +1

    Wale wakulia nawenzetu tujuane nasi

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 Před měsícem

    We sheyshey na noora mlifika huku pia aki nyinyi😂😂😂😂

  • @shamimudusabimana5459
    @shamimudusabimana5459 Před 19 dny

    Hii Movie inaniliza jamani nyieeee😢

  • @AishaNasra
    @AishaNasra Před měsícem

    Unalia nni na umeyataka wewe ungemuuliza yule alokaa nae nani SI angejieleza ukajifanya kidume ukampiga ukaharib Kila kitu ila hongereni kazi nzuri

  • @salhatiddy
    @salhatiddy Před měsícem

    Nzur sana inafundishA❤❤

  • @ROMSTONGroup
    @ROMSTONGroup Před měsícem

    Norah na shey shey YANI mweye amulalaki niuchunguzi tuu

  • @user-hd4xz8rv3p
    @user-hd4xz8rv3p Před 25 dny

    Inatufundisha tusihukumu bila kujiridhisha ipasavyo na ni vizuri umuulize kwanza mtu kwa unachokihisi ukiona majibu ayaelewek ndo uhukumu

  • @user-gv7to8is6y
    @user-gv7to8is6y Před měsícem

    Mwaichelewesha sna hii movie jaman

  • @LoiceMapenzikenga
    @LoiceMapenzikenga Před měsícem +1

    Nora na Sheila hamupitwi kweli wifi Huna bahati

  • @ngusakalima9899
    @ngusakalima9899 Před měsícem +1

    Mhuuu

  • @swabrinahamed3620
    @swabrinahamed3620 Před měsícem

    uliskiza umbea sai wajuta lkn pole xan

  • @HAMIAKAJIBA
    @HAMIAKAJIBA Před měsícem

    Duuuh😢😢😢 mawifi tubadilike khaaaaa😢

  • @user-is4ts6gz6t
    @user-is4ts6gz6t Před měsícem +1

    Yani nimecheka anavolia 😂😂

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 Před měsícem +1

    Ila mawifi😂😂😂

  • @ThumahSalush
    @ThumahSalush Před měsícem

    Mume zidi mawifi wawenyewe naijua iyo pole wifi wa watu ni kawaida ya mawifi usilie pole😢😢😅😅

  • @user-xe2wt9kt9z
    @user-xe2wt9kt9z Před měsícem +1

    Mawifi
    Mawifi
    Mawifi 😢😢

  • @fhnchjk5195
    @fhnchjk5195 Před měsícem

    Hongereni sanaa❤❤

  • @madymag6926
    @madymag6926 Před měsícem

    Kazi nzuri sana❤❤❤❤😢😢😢

  • @user-ts2gr7ny8k
    @user-ts2gr7ny8k Před měsícem +1

    duu jamaa unamoyo wewe tee

  • @user-jl3ck5mf8p
    @user-jl3ck5mf8p Před měsícem

    Yaani sheila na nola ndo mlionifanya niiangalie hii move nawapenda sana jmn 🤪😂😂

  • @Dontatv-255
    @Dontatv-255 Před měsícem +1

    ❤❤❤❤❤❤. Ishara Jérémie frome musasa camp

  • @Bintluckas3918
    @Bintluckas3918 Před měsícem

    Waoooh ❤ sheishei na Norah

  • @RukiaDzombo-uf7wp
    @RukiaDzombo-uf7wp Před 15 dny

    Daah,Hawa mawifi Hawafai

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Před měsícem

    Funzo zuri ni kuwa ukiona ama ukisikia kitu muulize muhusika badala ya kumuhukumu

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 Před měsícem

    Hazira hasara mawife❤😂😂😂 shay shay😂😂 na Norah

  • @NahyaMohd-u1k
    @NahyaMohd-u1k Před měsícem +1

    mawifi kama awa tunao tena hatari wezi kama nn,?? 😅😅😅