SHABIKI YANGA ALIYEBETIA MKE WAKE AANGUA KILIO TAIFA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Komentáře • 466

  • @paschalraphael6833
    @paschalraphael6833 Před 5 lety +4

    Pole sana jimmy kwa kubeti mke badala ya pesa

  • @matarisuma9036
    @matarisuma9036 Před 5 lety +21

    Mkeo ataachiwa lakin kwa masharti na maandishi. Sharti la kwanza uhame yanga na cku ukigeuka,, ufilisiwe mali zote

  • @amanigwalanda2852
    @amanigwalanda2852 Před 5 lety

    ungekuwa Na ushabiki wa hivyo Kwa mambo ya Mungu ingependeza sana .Badilika brother

  • @kibeyamakuta1681
    @kibeyamakuta1681 Před 5 lety

    Jimi. Kindoki nakukubari. Sana. Ukiwepo. Easta africka. Kipenga pamoja sana. Yanga mbere. Nyima mwiko

  • @meshackbenedicto4179
    @meshackbenedicto4179 Před 5 lety +8

    et hivi mke wangu anaweza fanana na mpira kweli!!!!!!!!!!;ww hukujua au

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 Před 5 lety +14

    Kwa mpira upi wa Yanga unaweka mke!!!
    Mmezoea kulia kama vigoli.

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 5 lety +1

    Amen amen. Ningekua baba mkwe wako ningemchukua mwanangu bilakujadili mana umpendi na hana dhamani kwako. Lakiniii poooleeeni nyote. Amen.

  • @nurumunguakutangurirabdull4472

    Yan mm ndiokama mkeo sirudi ngo nakaa ukouko kwa simba atakikusamehe sij 😂😂😂

  • @mariamjohn1700
    @mariamjohn1700 Před 5 lety

    Jamaa jinga eti linajiuliza nakujijibu "hivi kweli make anaweza kufananishwa na mpira kweli"

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 5 lety

    Huyo mwanamke aondoke huyo fala hampendi ,huwezi Fanya huo ujinga kwa mwanamke unaempenda !!!

  • @chondecannibal6108
    @chondecannibal6108 Před 5 lety

    Mbwembwe tu mke mwenyewe hana. Watu wanaahidi vingi lakini hawatekelezi kwa hiyo hizi mbwembwe tu. Mara ooh! timu fulani ikishinda nakunya hadharani mbagala hadi ubungo. Huyo mwenyewe hawezi kukubali hata siku moja

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 Před 5 lety +4

    Dah! Unaweka mke ndugu yangu mpira ni dakika 90!

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Před 3 měsíci

    Nilishawaambia siku nyingi kuwa watu wa yanga wasenge , lazima amuweke lehani mke wake sababu yeye kazi yake kumfurahisha enjinia kwa kumfira , sasa mke wa nini Enjinia msomali kazi yao wanapenda kufira watu kashamuhalibu kindoki

  • @linderedward2844
    @linderedward2844 Před 5 lety

    Jinga Kweli kumbe unajua mke ni zaidi ya mpira ungekuwa mme wangu walahi ungekoma

  • @enosupertv2205
    @enosupertv2205 Před 5 lety +18

    Kpindi unabet hukujuwa kama mkeo atamsaidia nn jamaa ako ety mdau anajielewa huyu chura wa maji machafu

  • @hassanipuntina3149
    @hassanipuntina3149 Před 5 lety +14

    Hahahaha" kutoa mke ni zaidi ya ushabiki daaar!! Huyu jamaa kazidisha mapenzi kwa Yanga" mimi hata kama ningekuwa Yanga nisingeweka hata mia sababu mziki wa Simba umeuzidi wa Yanga kwa hiyo ushindi kwa Yanga ungekuwa bahati sana

    • @selemankilawa1589
      @selemankilawa1589 Před 5 lety +1

      simba ss ni waungwana mke tutakurudishia Ila utabaki kuwa shabiki wa simba ww na mkeo na wanao daima

    • @fatmaadam1778
      @fatmaadam1778 Před 5 lety

      Wewe Mpumbavu mke wako unambeti duu huyo mke nae asikubar jamani

    • @zawadimwanjoka1269
      @zawadimwanjoka1269 Před 5 lety

      Simba

  • @chriskalega5708
    @chriskalega5708 Před 5 lety

    Sura kabla ya mechi na baada ya mechi ni tofauti Sasa uyo mke utamkosa mjinga sana wew mke atamsaidia nn umejua baada ya kufungwa

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 Před 4 lety

    Noma sana

  • @nawawiitara7909
    @nawawiitara7909 Před 5 lety

    Ifike wakati watu wajitambuwe mke ni mtu wa heshima ni mama wa watoto bora kuweka vitu vingine si upuuzi huo Jimy

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 Před 5 lety +14

    Ivi uyu jamaa tumfananishe na mini kichaa zezetaa au, umtoe Mke kweli! Kisa yanga kweli hajielewi

  • @aidannzowa5502
    @aidannzowa5502 Před 5 lety

    Kama ni Mimi sikubali kumrudishia Mke wake! Huyu anaonekana kabisa kama Yanga ingeshinda yy asingekubali! Pia ina maana anamdharau mke wake na hampendi kabisa! Huwa tuanaweka hela na sio Mke! Kwani hela kesho utatafuta sio Mke!

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y Před 5 lety

    Ushabiki heeey noma sana akusamehe tu mambo yaendelee nimichezo tu

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv5327 Před 5 lety

    Simbaaaaaa🙌🙌🙌🙌

  • @khamiskitto3118
    @khamiskitto3118 Před 4 lety

    Wapenda kuuza sura tu mama uyo

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 5 lety +3

    NIMECHEKA SANA ETI KUWEKA MKE LEHANI😂😂😂😂😂UZWAZWA HUU JAMANI

  • @40kstore
    @40kstore Před 5 lety

    Msenge kweli,ulikua hujui ama.

  • @rajabusaid2692
    @rajabusaid2692 Před 5 lety

    Jimmy kindoki jimmy makambo Jimmy ajibu😂😂😁😁😁😁😂😂😂😁😁😁😁😁pole brother nakusubilia nikusikilize jtatu

  • @evancechacky1614
    @evancechacky1614 Před 5 lety

    vipi Ndugu yanga inathamani kuliko mke mpumbavu sana

  • @halimahamadi7592
    @halimahamadi7592 Před 5 lety

    Ivi we kaka upo sawa jaman adi kufikia kumueka mke bongi kisa ushabiki atari umenichekesha kweli mie nisinge rudi ngooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SalmaSawaqw
    @SalmaSawaqw Před 5 lety

    We hamia simba daima simba hawashindwi simba oyeeeee

  • @biottomollel6527
    @biottomollel6527 Před 5 lety

    Kimberly mashabiki wa yanga ndio viña za viví duu

  • @geofreysolomon5954
    @geofreysolomon5954 Před 4 lety

    Sasa amesahau.....hatutaki mkewe saivi tunammweka yeye mtalimbo

  • @kawezaog5062
    @kawezaog5062 Před 5 lety

    Wewe sio mzima kwayanga gani yakueka mke ulikua humpendi huyo mke nahuyo shabiki wasimba asikubali kumuachia ilimjifuze pambavu

  • @gerrardstanslaus3649
    @gerrardstanslaus3649 Před 5 lety

    Mwendawazim takataka kabsa hunaakili

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or Před 5 lety +13

    Yani unamuweka mkeo bond we kweli kiande unaoneka aumpendi mkeo na ninqekuwa mimi mkeo leo unqenipa taraka pumbavu😡😡

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      co kwamba ungeenda kwa mchizi na usingerudi!

    • @sabbihmwindi4776
      @sabbihmwindi4776 Před 5 lety

      kweli kabisa ha.mpendi, km unajua mpira una matokeo ma3 unawekaje ahad za kizandiki km hzo, mke ajiongeze tu huyo hata akipatkana mtu anataka kununua bnadamu atakuwa tayar kumuuza mkewe🙂🙂🙂

  • @rafikimoses5774
    @rafikimoses5774 Před 5 lety

    Poleni sana Yanga Muke nae acha akandamizwe2

  • @swabriali4583
    @swabriali4583 Před 5 lety

    Nauliza mashabiki Mfano ungekua kakake mke wa huyu jamaa ungefanyaje.

  • @abdulisima7729
    @abdulisima7729 Před 5 lety

    Pole kk ushabiki mwingine hufai mpaka unamzarau mke kk acha hizo

  • @josephmuyanga8822
    @josephmuyanga8822 Před 5 lety +1

    Huyo sio shabiki wa Yanga, anaact tu...

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 Před 5 lety

    Mimi ni mshabiki na mdau mkubwa wa YANGA ila mshikaji amefanya nicheke sana hii ni hatari.

  • @amounanyale9220
    @amounanyale9220 Před 5 lety

    Aah we subutu justin chukua mke na hakikisha akirudi awe kitu ndani

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 5 lety

    Jamani mke ni kitu chako lakini kuna tofauti kubwa sana huwezi kumfanya mkeo eti awe rehani huko nikumdhalilisha mkeo hiyo sio akili mke ni binaadam kama wewe na hiyo ni dalili tosha kuwa huyu jamaa hamueshimu mke wake

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora860 Před 5 lety

    Yaani we umedhalilisha wanawake wote duniani ..yaani mkeo kakosa thamani namna hiyo kwa yanga!!!!???? Bado ukahaidi utasimama uchi barabarani😣 Unahitaji msaada wa kisaikolojia chura we!!!

  • @abdulhakimsalmin4440
    @abdulhakimsalmin4440 Před 5 lety

    Kwa kukutia adabu simba tunakaa na mkeo siku moja tuu halafu tunakurudishia usifanye siku ingine mtanii tunakupendaa

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Před 5 lety +16

    Duu kaka umetisha.. lakini tunamuomba mwanasimba mwenzetu basi afanaye ustaarabu.. ajiunge nasi kushangilia ushindi na amrudishe shemeji.. jamani huko mnakoenda sio kuzuri.. unamweka rehani mkeo.. Aisee..!? #NugvuMoja!

    • @brownlovekiwall6076
      @brownlovekiwall6076 Před 5 lety +1

      Joseph Gomalo wala acmrudishe kabisaaaa abaki na ujinga wake

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 Před 5 lety +1

      @@brownlovekiwall6076 Haaa! Fisiii.. au Simba weye!

    • @brownlovekiwall6076
      @brownlovekiwall6076 Před 5 lety +1

      Joseph Gomalo Kama anajuwa Cmba wako vizuri aliweka mke wa nn huyu alitaka kumwacha mkewe ngekuwa mm crudii Nabaki hukohuko

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 Před 5 lety +1

      @@brownlovekiwall6076 Lmao.. aisee hii kali..!

    • @winniewilson1360
      @winniewilson1360 Před 5 lety

      ovyooooo!

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli9572 Před 5 lety +11

    Nyokooooo ndo dawa yenu munaenda na matokeo mkonon sasa katoe huyo mkeo duuub

  • @jamalkimbililo9127
    @jamalkimbililo9127 Před 5 lety

    Huyo choko asitafute kiki kwa mgongo wa yanga cc mashabiki wa yanga tuna uchungu tumefungwa na watani yy anajiliza kinafik tuu hapa akatafute baasha Kama mke kamshnda

  • @SwahiliPrideBongoMovie2018

    daaaah mke, ivi kwani mke ni chombo si ni binadamu sasa

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile9116 Před 5 lety +3

    Huyu shabiki Wa Yanga (Jimmy) alikuwa anania ya kuachana na mkewe alikuwa anatafuta kisingizio tu, anajua mkewe hawezi kubali kudhalilishwa kiasi hicho kwa kufananishwa na mpira, au jamaa alikuwa ana tabia kuuza mkewe kwa wenzie?.
    Tusiwadhalilishe wanawake #Womenrights #Hakizawanawake

  • @heppymunisi377
    @heppymunisi377 Před 5 lety

    yaani huyu kaka akili hana.ipo siku utabadilishana na mkeo kwa hela,,

  • @daprince7545
    @daprince7545 Před 5 lety

    We mshenzi sana kijana

  • @aishakippy9572
    @aishakippy9572 Před 5 lety

    We kuma ni simba nakujua vzuri

  • @sendekakimani3825
    @sendekakimani3825 Před 5 lety

    We tupe mke wetu

  • @abuirajabu4457
    @abuirajabu4457 Před 5 lety

    Pole sana Mimi abui

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma6824 Před 5 lety

    Huwezi kumfananisha mke na kitu chengine......wacha ushabiki wa kitoto

  • @kivuyomollel5337
    @kivuyomollel5337 Před 4 lety

    Ukicheza kamari ukubali vyote kupata na kupatwa.

  • @wilfredkuyonza2518
    @wilfredkuyonza2518 Před 5 lety

    Huyo mke wake atakua ni malaya pia maana huwezi ukaweka mke rehani alafu nae akakubali kwenda kutoa huduma kwa mwanaume mwingine kisa michezo yenu ya kipumbavu kama nae hapendi hiyo michezo kifupi jamaa wewe ni bwege na huyo mke wako kama anaakili timamu inabidi akatafute mume wewe ni kiande.

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje8693 Před 4 lety

    umesamehewa kwa sharti la kuhamia simba

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 Před 5 lety

    jingaaaaa kubwa na jitu kubwaa akili ndogo ungemueka reheni dada ako kwanini umuekee mwana wa mwenzako mulojuana ukubwani shabikii mjinga huyu

  • @salimually1371
    @salimually1371 Před 5 lety +1

    Mngekuw ata mungu mnamlilia ivo ktk kumnyenyekea wallah moto ungebakia kuchoma mahind

    • @huseinhalidially2477
      @huseinhalidially2477 Před 5 lety +1

      Innalillah wainnailayh rajighuni,,,unaweka mke rihan kwajili ya mpira,,

  • @zawadiomary2511
    @zawadiomary2511 Před 5 lety

    kumamako kweli kwa nn ucjeke wew upigwe mchezo wa ambalut

  • @rozinamassawe4083
    @rozinamassawe4083 Před 5 lety +4

    Mpumbavu wew Tena una akili mamaeeeee

  • @ezequielgamba6952
    @ezequielgamba6952 Před 5 lety +5

    sikubali msamaha lazima nipige show mkeo leo

  • @jommtechmedia8307
    @jommtechmedia8307 Před 5 lety

    sio kichaa wana yanga wote wapo ivyo alaf wabishi balaa sijui wana nn

  • @remawerashiid4333
    @remawerashiid4333 Před 5 lety

    Hapana huyu jamaa shabiki Wa Simba ameamua kushangilia kwa mtindo huu.

  • @jacobwawile8990
    @jacobwawile8990 Před 5 lety +1

    uyu jamaa pamoja na mke wake ote ni makanjanja inawezekanaje mumeo akubetie

  • @samsonalfred5938
    @samsonalfred5938 Před 5 lety

    hahahahahahhaahahah Justine Kessy piga huyo...mke anaonekana chombo Hadi jamaa analia😂😂😂😂🤣🤣

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce889 Před 5 lety

    Kama ni kweli ameweka mke kama dhamana, maana yake mke ni sawa na radio, baiskeli, na tv. Hii ni dharau kubwa kwa wanawake wote.

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 5 lety

    HUYU JAMAA HANA AKILI IVI ANAMFUNDISHA NIN MKE ALIE NAE KAMA SIO UMALAYA MI NAJIOULIZA HIVI MKE AKIOMBA AJIWEKE REHANI KWA MWANAMUME ATAKUA AMEKOSEA

  • @godfreycharles6322
    @godfreycharles6322 Před 5 lety

    Safii Sanaa wachezaji wa simbaa wana uboraaa

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 Před 4 lety

    Mpeleke mkeo alale nae siku moja cha kumsaidia anacho

  • @SaidSaid-xh2dt
    @SaidSaid-xh2dt Před 5 lety

    Tahira tu kwa timu gan yakuwa na matumain yakipumbavu ivo

  • @lusajomwambusye6563
    @lusajomwambusye6563 Před 5 lety

    Pesa hinathamani ndiyo ,lakini Mke anatoka kwa bwana uwezi kufanani NA pesa muombe mungu msamaha umemzalilisha sana bwana wewe kufananisha Mke NA bidhaa vilevile ni unyanya saji mkubwa Wa kijinsia ambao unapingwa kila kona ni heri ungekaa kimya

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 Před 5 lety

    Hahaha inaonyesha anaipenda sana yanga kuliko anavyompenda mkewake,duuh hii kali

  • @edyaliborm3180
    @edyaliborm3180 Před 4 lety

    Asahv linatoajeur et Nyoko nyokoa

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 5 lety

    Hahaha inafrahisha pia inahuzunisha duh jmn mnaakili gan mpk unaweka mke rehan si ungejiweka mwenyewe2 mambo yoote yakaishia kwako pumbav kweli nenda kalale Leo mke wako kaenda kumuona kagere kwanza

  • @dullahhassan8940
    @dullahhassan8940 Před 5 lety

    Huu ni ujinga wa hali ya juu

  • @hassangomai8884
    @hassangomai8884 Před 5 lety +5

    kwani ulivo muweke reyani ulijuwa atasaidiya nini wewe mbwege tu

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 Před 5 lety

    Igizo lenu limefeli vibaya

  • @bongoonlinetv1073
    @bongoonlinetv1073 Před 5 lety

    mkee tuna mchukua ww uliweka mkee acha tu teteme nae nilikusikiliza vizuri kwenye kipenga na ulikuwa Sirius ya nn kuomba msamaa tupe mzigo wetu tu upige baada ya mwezi atarudi kwako na bado magunia 5 ya maharage

  • @kahasatv8262
    @kahasatv8262 Před 5 lety

    Ndugu yangu, mke hata kwa dawa siwezi mbetia, wee

  • @abdallahabibu8340
    @abdallahabibu8340 Před 5 lety +7

    Wee ni mpumbavu, unaekaje mke rehani huon km ni kumdhalilisha m'mke?
    Af wee kwn ulikua hujui km utafungwa??

  • @khadijamagram4063
    @khadijamagram4063 Před 5 lety

    Jamani kuwa na mipaka yaushabiki mambo ya wake te a kuwekeana kamari mm nadhani mumekisea sana sana

  • @shakiramwenye1683
    @shakiramwenye1683 Před 5 lety

    Ukome kucheza na mnyamaaa , nyooooo!!!

  • @samsonmusa7626
    @samsonmusa7626 Před 5 lety

    Saikolojia ya huyu jamaa anatafuta kiki ...hamna ukwel hapo anataka umaarufu

  • @vicenttarimo8752
    @vicenttarimo8752 Před 5 lety

    Nina Mashaka na msemaji si kweli

  • @yulithakashegu7028
    @yulithakashegu7028 Před 5 lety

    Ningekuwa mkeo kuanzia Leo sirudi kwako kumbe unajua kuwa Mke afananishwi na mpira ulifanya makusudi

  • @omaryjuma9669
    @omaryjuma9669 Před 5 lety

    yani ww huna hakiri kweri mke awashei kaka mtu atakupa atagari yamilio100 ila awezi kukupa mkewake ata kw Dk 1 kifup kaka umemzaririsha mkeo

  • @mwandehamadi8649
    @mwandehamadi8649 Před 5 lety +2

    hahahh et "ivi kwl mke anaweza kufananishwa na mpira kwl" hahahh sasa kama unajua kwnn ulieka

  • @mtawatawatvonline8393
    @mtawatawatvonline8393 Před 5 lety +2

    HUYU NISHABIKI WA SIMBA ANALETA USENGE HAPA UGENDE HUKO

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 5 lety

    Vichaa wamezidi Tanzania.

  • @dianaktanganyika2374
    @dianaktanganyika2374 Před 3 lety

    Huyo mke humpendi kabisaa

  • @joycemasamu8690
    @joycemasamu8690 Před 4 lety

    Ondoka zako mwenzangu huyo mumeo alikuwa hapendi

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 Před 5 lety +1

    umebet mke kwa upuzi,hakuna cha msamaha tupe mkee

  • @abuuqaasim4815
    @abuuqaasim4815 Před 5 lety

    Subiri aje akuzalie toto la simba ndio utajua

  • @gerrardstanslaus3649
    @gerrardstanslaus3649 Před 5 lety

    Likinga kabisa mkewe akalale kwa Simba hata mwaka

  • @sebaharrison1385
    @sebaharrison1385 Před 5 lety +1

    Da! Kwel umemchoka Mke wako, unadhamin mpira kuliko unaejifunika nae shuka moja, yaan hata huyo mwanamke akirud atakudharau sana hauna maan nae

  • @flugencekiwale1501
    @flugencekiwale1501 Před 5 lety

    uyuu jmaaa boya kweliii,,,,

  • @hamisisha
    @hamisisha Před 5 lety

    Hahahahaaa....kudadeki hupati tena tamu

  • @superiorsucces5388
    @superiorsucces5388 Před 5 lety +2

    ww ina mana hao yanga ndo wamekuwa na thamani kuliko hyo mtoto wa watu kama anakupa chakula cha usiku unamweja rehani basi nenda kwa hao yanga ambayo una mapenz ya kweli nayo na nguo peleka zikafuliwe mungu akupe adhabu kwa matendo yako

    • @hamadiramadhani6482
      @hamadiramadhani6482 Před 5 lety

      superior succes watu wengne hawajui umuhimu wa wake zao ulaniwe mkundu huyo jamaa mke wako kweli duuuh