Yamoto Band - Mama Official Video
Vložit
- čas přidán 21. 02. 2016
- Watch KAYUMBA MSELA Latest Song ► bit.ly/2uBIx9c
Yamoto Band Latest Videos ► bit.ly/YamotoBandVideos
Presenting Mama official video song by Yamoto band.
Video Directed by Pablo
Follow Me on:
Instagram: / yamoto_band
Twitter: / yamotoband
Facebook: / mkubwa.wanawe
Digital promotion by Spice Vas Africa!!
Subscribe us for unlimited entertainment
/ mziikitube
Like us on Facebook
/ spicevasafrica
Follow us on Twitter
/ spicevasafrica
Follow us on Instagram
/ spicevasafrica
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "Kisamaki - Zatika (Official Video)"
• Kisamaki - Zatika (Off...
~-~~-~~~-~~-~ - Zábava
Wangapi tunatazama kuanzia june 2024
Uchungu wa mwana naujua mwenyew wangapi bado wanaiskia mpaka leo kama mm 😔😭 2024
best song !
best message !
team yamoto ilikuwa juu !
😅😅
Tuko wengi mama❤❤❤
Tupo
Hi😊
Mungu akupe baraka na neema mama yangu❤❤ 2024
wanawake wote duniani wanaweza kukusaliti na kukugeuka, ispokua mwanamke mmoja tu nae ni MAMAKO MZAZI... MUNGU AWABARIKI MAMA ZETU, NA WALOFARIKI AWAWEKE PEMA PEPONI.. HAKUNA KAMA MAMA ❤
Amiin kweli hakuna km mama mwenye mamake munqu amuekee
Ameeeen
Swadaqtaa brother Nassir ,pepo ya dunia ni mama❤️
Kwel kaka Allah awabariki.
hapa sio wote
Allah awalaze mahala pema wa zazi wetu. Walo tangulia😭😭 huko mbele zake Allah na wazazi bado wapo hai Allah awape umri mrefu yarabi
😭😭amin
fatty and Ruqyah bint Houthman nikumbuka mama
Amiin yaarabbi
Amiin
Ameen
wimbo mzuri wanikumbusha mama pia machozi yanitoka R.I.P my mum
wimbo waniuzunisha nakumbuka mama R.I.P my mum
alloveyouuu mam
Pole darln
Pole sana ndungu
😭😭
Mwenyezi Mungu ashanijalia na mimi nikaitwa Mama na mimi.Nagombana na majirani ata wanangu wawe wachokozi.Raha ya Uzazi
Naogopa kupotea... Walai navyo kupenda anayejua ni Mungu!
Daaaah!! Huu mwimbo unanitoa machozi kila nikiusikiliza...Hakika hakuna kama mama hapa duniani
Hakn kama mama wkt yupo ambae ni baba
Haki
From Somalia one love
Mama nakupenda sana ❤️❤️❤️ gonga like ukipenda mamako 🥰🥰🥰
Almas X true
😘😘
Mambo
Mama ndio kila kitu kwenye hii dunia Asante mama kwa kunilia vizuri
Mm pia f from Somalia
Mama ni mtamu kwa walotangulia mamazetu mungu awalaze pema peponi.na walokua hai mungu awape umri.
Am a mother now, I understand every sacrifice my mom made for me. May Allah bless u in this world and in hereafter
Nafurahia, najivunia
Uwepo wako we kwenye dunia
Nakuombea, miaka mia
Uishi nisije potea njia
Mama yangu kipenz ❤️💋❣️ love you
This song goes to my mother's who's not here with us RIP mama 😭 thanks for being there for us 🙏🙏🙏🙏
Imagine I don’t understand what they but I swear I love Tanzania 🇹🇿 song for is best in Africa even I’m from Mauritania 🇲🇷 west Africa
Do you understand Swahili
We wacha 😂😂
The song is about mother
@@hidrammwanga3508 😅😅😅
We love you darlin
Tanzania ni nchi yenye nguvu kubwa barani Afrika, mimi ni Mkongo 🇨🇩 lakini Tanzania ni kipenzi changu.
Most welcome
Kwely😊??
Hii nyimbo hakuna katika miaka 2015 hasi 2020 kama ujumbe hakuna kama hii
Swahili Villa 9
Love you mom
Loise muhando
Allah warehem wazaz wet wot waliotangulia mbele za hakii ila tusisahau kuwaombea dua
Rest in Peace my mom😭😭😭😭😭 hii nyimbo inanitoa machozi huwa namkumba Sana mama yangu
popote ulipo mama angu Nakupenda sana
mama is great gift from God. ..thank you ya moto more love. ..God bless you
Mungu akulindee mama yangu nipambanee niwezeee kusaidiaa Mama yanguu❤
2019 natafut wenzangu R.I.P my mum
Ooh ma gad. thank you ya moto band.. nani kama mama?? Lord bless our mothers,,,
Ameen
Augostiner Mercy AMEN
Mama nampenda SNA love uuu mum wangu
00p00000
Yani nalia tuu hapa 2021nikisikiliza nyimbo
Big up yamoto band for sure always make me happy especially this song i really remember where she is.
Who else is watching today 2020 mother's day.
Piga like
Kama unaamini hakuna kama mama embu tupia like
Malikia Kimwera pa1
I miss you mama
Nani kama mama hakuna hakuna
SAANAA
Love mom
I don't understand the language, but I can feel the music. Great African voices they've all got
uligombana na majirani kunitetea wakati mkorofi ni mm ....that line tho! my eyes are welling luv u mum.
That parts also gets me teary
Pole kwa Wale wote walio poteza wa mama zao Mungu awalaze Mahali Pema tunawapoza
Aamina inshaallah mola awafanyie wepesi wazazi wetu walotangulia
nimejikuta natokwa na machozi... daaah big up YAMOTO BAND....Aslay M/Mungu akupe nguvu ameen inshaallah... kupotezewa na mama sio kitu rahisi kabisa...especially at a very young age😭😭😭😭😭
nic song
Hakuna kama mama
ilove u mom always and forever 😘😘😘😘 no one like u
Oooh yeahhhh nani kama Mamaaaaaaa.....!
Kama umesikilza 2019 gonga like yako hapa twende sawa
Nawakubali sana sema nimeboleka mlivyotengana nataman bend irudi tenaaa
Joanita stephano .💕💕💪
Nawakubalili sanaaaa yamoto band
Kamaunampendmamalaik
Mamb
happy mother's day everyone from Ethiopia!!!
pamoja
A
Love you song swahili
Good Music indeed........!!! Love you mum and all women
hata mm nawakubali yamoto bend
Daaah huu wimbo inanikumbusha mbali sana daaah ulale salama huko ulipo mama😭😭😭😭🥺🙏
Now dayz Nina 23 yrs ila nikimpigia mama simu hua namuuliza "umepika nn Leo mama"? Namiss sana madikodiko ya pale maskan ... Be blessed mama
Sichoki kuusikiliza huu wimbo Hakika Hakuna Km ♥️MAMA♥️ ALLAH awajaalie pepo yenye darja ya juu mama zetu
Amiin thuma amiin
Apo ni ukweri mama Ndio mweisho hapa duniani
Still lit in 2022 rip mom nakupenda sana mama yangu 😪😭😭😭 daaaaah naumia mama kila nikikufikiria nakuchukia kifo mnoooo nashindwa kuficha hisia zangu 😭😭😭😭
Mungu awa jalie maixha maruf na vipaji vyenu viendelee
Ohhh😭pole 😓
Nakupenda sana mama yang nashukul kwa kunizaa nakuombea maisha marefu
Mama ni wa maana sana hebu rudi pamoja yamoto band nawapenda coz bado nawatazama hadi sasa from kenya
Kama bado unaangalia hadi 2020,piga like twende sawa
Iko poa sana
Poa
Nzuri
💪💪👏
Yap man
RIP my lovely mum i miss u so much,this song make me to cry
rip lovely mama.
thank dear
I really miss u mum, nakutafutia all de way in Jordan
+am ma ommy missing u mum but am coming soon 14th aug 016 inshaallah
***** rip lovely mum.
Rip my mom imiss u somuch iwish ningejua atasura yako ikoje 2 kama unajuata suraya mama yako unatakiwa umshukuru sana mungu
Where this song takes I don't need anyone else to understand😅 I love you mama💖💖Namibia🇳🇦
I love this song and love music to God bless All Mammas
asante mama
Hi I love it so much have a wonderful time.
R.I.P mom
Siwajahi kumuona mama mwenye roho nzuri Kama wewe mamangu I luv u mama
Hii nyimbo aky kila nkiisikilza nahisi kma cjaickilza ilhli ata cjui n mara ya ngpi nishaicklza.......miss u mum ol d wy frm Oman.......
Yamoto band zamani 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Navyo kupenda mama aneyejua ni Allah.
This song gets me high and emotional. Missing you mum. Continue to rest in peace. Wish you were here to see your grown up boys.
Innocent Kisanga daaaah umenigusa ujumbe pia hakuna asiye na mama pia namuombea mum lala salama ulipo
Innocent Kisanga sorry daaanh mama mtam jmn wenzetu wanafaid na mama zao but ni kaz ya mungu mungunawape kauri thabit mama zetu
Innocent Kisanga
pole pole my her soul rest in peace
I miss my mama...R.I.P..
+Yasmin Muthoni m 2
Mama yangu jamani hajawai kula ata mia yangu daah mungu alimchukua mapema inaniuma xn basi tu🙏🙏mungu ampumzishe sehemu salama
😭😭😭😭😭😭 Daaa huu wimbo huu unatuliza tuliopoza mama zetu
special dedication to all our mothers asanteni yamoto for the song.
love it sanaaaaaaa!!... ninavyo kupenda mum only God knows mwaaaaaaa yamoto
ⁿqi Rd oqze[̲̅$̲̅(̲̅ ͡ಠ_ಠ)̲̅$̲̅]
ⓃⒶⓀⓊⓅⒺⓃⒹⒶ ⓈⒶⓃⒶ #Mama ...ngoma kali sana
Mama ni zawadi kubwa duniani kama bado yupo mpende na umjali nmemmc mama right now 😢😢😢
Navyo kupenda mama waaaaah anayejua ni Mungu
The link I have with my mum❤️I'll play this song forever..2023 here we go 🔥🔥
me kwako bado mtoto.mama ooh mame x2mwanao nimekuwa eeh. yale ya dunia eeh ulinambia .umenifunza kuna maziwa na tui
mom I luv u
Halima Ahmed ,,mama,,mama
Sasa Halima
T
Kwer
Nakupenda mama, ALLAH akupe maisha marefu na yenye kumcha yeye inshallah
Allah awarehemu wazazi wa wote waliotangulia mbele ya haki
Allah akulaze maala pema peponi Mama yangu Mwanamanza Zumo
I miss you mama😍😍😍♥️♥️from somalia🇸🇴🇸🇴🇸🇴
RIP my lovely mum.you're true heroine in our life.you fought restless in your lifetime to make sure life of your generation is in safe hand.we miss your taught special your twin grand daughters who used to call you Mayi Rose.Rem Queen mother never die,multiply millions flowers. This song make me to cry.We will remember you forever in our lifetime.
Nakukumbuka sana mamy umeniachia pengo kubwa sana kwangu kikubwa nakuombea upumzike kwa aman
iluv my mum.umenipa ushauri uweze kunisaidia.dunia sio mbaya binadamu ndio wabaya..
This song makes me to remember how you cared for me.. love you mum till I will die
😢😢😢love u my mom Allah akupe Maish marefu ktk hii dunia
Na wale wt waliopotelew na mama zao waliotangulia mbele za haki Allah awape kauli sabit awasameh yt mabaya na hawawek mahala pema pepon wot tusem Amiin Amiin Amiin dua maqboor kwetu sote Mama ni mama😗😗😗
muvi
Akuna wakukufananisha nawee mama penda sana mmmangu💕💕💕
Ninavyokupenda mama anaejua ni mungu😘😘😘😘
if only my mum was alive this song I could have been singing to her! RIP MAMA uchungu wa mwana aujuae ni wewe mama
kama naww pia unatamani yamoto iludi tena kama zamani gonga like apo tujuane
😭😭😭😭😭Nakupenda mama yangu mungu akupe afya jemaaaa
Love songs from yamoto band 2024 naisikiliza
What a song! It makes me cry anytime I listen to it. It reminds me of my Mother and my Wife! God bless you for the great work
Take heart broz
RIP my mom wherever u are .....iiiiiuuuuu
Poleee
Pole
Pole
Ilove you maama angu mwenyezimungu akufanyie wepesi uzito akuondolee nakutakia maisha mema maama angu apa duniani na akhera tuwapende sana mama zetu
Nakupeda mama yangu ❤
Who is here in 2018...i miss my mama..R.I.P
Kweli mama huwa mtetezi I miss my mum deeply R.I.P
-ى
Yasmin Njeri RIP 😪
Nani ambae anaangalia hili chupa mpaka 2023 agonge like twende Pamoja
Kwa wale ambao wamepoteza mama zao 2020 ,inauma sanaaaaaaa
sisemi mengi maneno ya nyimbo ni kweli .ninakupenda sana mama yangu.mungu akubariki
I really miss you mum ....... all the way from Abu dhabi
Marwa Mohamad hujambo Marwa
mungu akupumzishe uko ulpo mama angu nakupenda sanna
utaani1 i
No body else like mom
i like his voice and music but i don't understand from somalia🇸🇴🇸🇴 keep going bro.
i love you all mothers
Hoio hoio ❤ elahi kcabso
@@ammaraldodo3625 na
Nampenda mama akuna mwingine kama mama
Am here 2023,nafee nko mbali sana na mamangu but this the message for her❤❤❤❤ mama yangu mzazi
makes me love ma mum moooo...aspecial person! like no other in the world...
Happy Mothers Day❤❤❤Mwenyezi Mungu awabariki wamama wote duniani na awarehemu wamama wote waliotangulia mbele za haki🙏🙏🙏🙏
Mashallah
Amin
Mama angu nakupenda mungu akupe Maisha malefu♥️♥️♥️♥️♥️
Asante mungu kwa kunipa mama mzuri na mwenye malezi mema nakupenda sana mama
only tanzanians make us proud as eastern africans
love from somalia❤❤❤
Fact:somalia not part of east africa
abdinoor shariff considering its location it is in east Africa
Love you song
Asilei
Amin
Kama unaupenda huu wimbo gonga like in2019
Mama hana mpinzani
Mama ndio kila kitu kwenye hi dunia nakupenda sana mama agu
Allah awabariki mama zetu na awa rehemu waliotangulia na walioko hai pia.
RIP mum i wish ur were;right here so that icn play this song as a dedication bt since God loved you more than us🙏🙅
🙏🙏
Mbosso killed!
uchungu wangu unaujua ww mama angu mungu akuwek miaka miaa...
Hakuna anaye jua uchungu ya mwana. Mama tu. Love yu mum