AHADI ZA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2021
- Kuna eneo ambalo Mungu amekuitia.Na siku zote tambua kuwa hilo eneo tayari kuna ambao wanalikalia tayari.Wakati Mungu amewapa Waisraeli Kanaani,nchi hii haikuwa tupu,kuna ambao walikuwa wanaishi humo tayari.
Baada ya Musa kutuma wapelelezi kumi na mbili,kumi waliona namna ambavyo hawawezi kuwapiga na kuwafukuza wale wakaao katika nchi ya Kanaani,na wawili tu ndio waliona ushindi katikati ya changamoto.Unapotaka kuingia Mungu alipokuahidia kuwa makini unasikiliza taarifa gani kutoka kwa hao waliokutangulia kufika huko.Kwa kuwa tu wengi wamekwambia hakufai,waliopo hapo tayari wana majina makubwa, haina maana kuwa huwezi kuingia.
Wanaweza wakawepo lakini Mungu kawaondolea uvuli uliokuwa juu yao.Sio kweli kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.Shikilia Neno na Ahadi Mungu aliyokwambia,Yeye aliyesema ataitimiza.
#PastorSunbella#
Huuu ndio ukiristo sasa watu wanafunguliwa kupitia neno lake sio porojo za pokea without reading the word of God
Amina
Amen Amen Amen. My word..I want n pray to enter canan before others, that Grace I tap in Jesus Name.
Amen amen amen
Amen mtumishi barikiwa sana
Amina Baba angu, Ninamshukuru Mungu kwa ajiri Yako Baba angu
Amen Amen ...Am ready Lord send me
Very true man of God 🙏 may God help us in the name of Jesus
Napokea neema hii kwa jina la Yesu
Uvuli wako Mungu ukae Nami skuzote katika yote niyafanyao.
Mtumish nabarikiwa namahubili yako mungu akubarik
Ameen 🙏🙏🙏🙏
Hallelujah
Amen
Ooh my God i feel fire
I recieve the grace
Am ready...... May your will be done my HEAVENLY FATHER.
Amen napokea
Mahubiri yako yanagusa maisha yangu mchungaji🙏
AMEN
Ameen
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Safiiii
Hii sermon yote inaitwaje?? Nimejaribu kuitafta na sijaiona
Kanisa linapatikana wapi?? nipo Dar es salaam''kigamboni
Lipo Sinza Mori, karibua na ofisi za Tamwa... Linaitwa Reality of Christ.... ROC
Amina
Amen
Amen napokea
Amen
Amen