Masha Allah masha Allah wallah najickia kulia Allah akuzidishie sheikh wetu umenifanya nimkumbuke marehem mama yangu allahumma ghfirlaha warhamaha waskana fil janna Allah ampe qaul thabit mama angu
Umeongea maneno.mazuri na nasahakwa vijana wanaowatelekeza ama zao Allwah atawapa imani kupitia mawaidha yako.Allwahu Barik sheikh mungu atakupa afya na furaha na mafanikio.mema hapa duniani na kesho akhera
Mungu akutimizie kheri zote unazozifikiria, nami niombee mungu anijaalie kama unavoyataka ww ndio nnayo yataka mimi, WALLAHI.WALLAHI .WALLAHI THUMMA WALLAHI...HAYO UTAFKIRI MIMI NDIE NILIEKWAMBIA UYAFANYE NA KUYASEMA YOOOOOOOOTEEEEEEEE HAYO...WALLAHI NASKIA KULIA TENA WW NIMPENZI WA MUNGU NA MTUME ...MUHAMMAD REHMA NA MANI IWE JUU YAKE...AHSANTE SANA SHEKH WANGU MWANANGU...MIMI MAMANGU ASHATUNGULIA MBELE YA HAQI...NAMUOMBEA MUNGU AMPE MAMANGU QAULI THABIT..AMSWAMEH MADHAMBI YAKE PAMOJA NA BABANGU..NA WAISLAMU WOOOOOOTEEE WALOTANGULIA...ALLAHUMMA AMIIN AMIIIN YAARABBIL ALAMIIIN...JAZAKA ALLAHU KHERI SHEIKH UTHAMAN MICHEAL
Nimekuelewa vizuri sana Sheikhe, Allah Akubariki na Akutimizie malengo yako,..Namuomba Allah Anijaalie kauwezo nimjengee Mama yangu mzazi pia mimi nimjengee Mama yangu mzazi nyumba Mwaka huuhuu 2021, by December iwe iko tayari In Shaa Allah kama nilivyokuwa nimeyapanga na vilevile Allah Amurehemu marehemu baba yangu na Amuepushe na adhabu katika kaburi lake.
Yaani Sheh Othuman nimeshiba maneno na matendo na maoni yako ee mwenyez Mungu asante nakuomba umfanyie anavyokuomba na sisi utufanyie na kutufikisha mwisho mwema wa baraka na Amani Amen🙏🙏
MashaAllah sheikh kwa hiki umekifanya mungu akuzidishie...kwa kweli imenigusa tuombee pia ss mungu atajalie tuwajengee wazazi wetu..."Mama ni mama hata kama hana maaana"
Mashallha allha akuzidishie shekhe lnshallha mpaka nimelia nimemkumbuka mama yangu sana maisha tuliyo pitia alipambana sana kwa ajili yetu alhamdullha nashukuru niliweza kumuuguza ndani ya miaka minne akiwa awezi kutembea mpaka allha alivyo mchukua allha ampunguzie azabu ya kabli lnshallha pia kwa ss najitaidi ninacho kipata kidogo na mtumia na baba angu angarau siyo mara kwa mara alhamdullha nashukuru na dua namuombea mama yangu Amen🤲
Subhanallah 😭😭 Allah awahifadhi mama zetu wallahi sheikh wangu umeniliza hayo maisha ndo aliyo pitia mama yangu Allah ampe afya njema na awajaalie mama zetu mwisho mwema Allahumma amiin
Mashaallah shekhe Allah akuzidishie mapenzi jui ya mamaetu . Nawale wazaza wetu wengine Allah aliowahitaji ishaallah awaweke kwe pepo ya firdaus kwa rehma zake ?Ammiin🤲
mashallh nimefurahi sana kwa unavyomuongoza mama yako ndomana hata mimi nampenda sana mama yangu napambana sana kwajii ya wazizi wangu mungu wape wazazi wangu umri mrefu innshallh
Masha Allah, na kwa dua yako ya kufia madina sisi ndugu zako ktk iman twaitikia Aamiin iwe Qun faya Kun. Twajifunza mengi kupitia Channel hii ya othman Michael. Allah akupe mema hapa duniani na kesho Akhera, Allah akulipe Firdaus ya juu. Nakuhusudu kwa Kheir sheikh Othmaan
Wallahi sheikh akuna sheikh ninayempenda Kama wewe mwenyezimungu akulipe n akuhifadhi natamani ata siku moja nikakuona live lakini haiwezekani namuomba Allah anikutanishe nawe peponi in Shaa Allah
Jaman nimelia sana .tarehe moja mwezi wakwanza .nilimfanyia .kitu mama yangu .cha kumshutukiza kidogo tu lakin alifurahi sana mpka Leo tabasamu lake huwa naliona ingawa nipo mbali nae .Mimi nipo dar yeye yupo kahama shinyanga .niliangalia changamoto kubwa hapo home .nilinunua vitanda viwili na magodoro nikapeleka . home .namuomba mungu siku zote awatunze
Ma shaa Allah. Allah kujaze kheri Daima. Allah amjalie kheri mzee wako. Na sisi Allah atuongoze tuwatendee wema Wazazi wetu. Kwa pamoja Allah turuzuku PEPO YA DARAJA LA JUU. FIRDAUSI. AMIIN AMIIN AMIIN
Mashaallah Hilo ulilolionyesha la kumwangalia mama kwa bawa la unyenyekevu na jicho la rehma NA HURUMA liwe funzo kwetu sote. M/mungu akupe unachotaka. Amin. Haya mafunzo tuyafanyie kazi na tuwapende wazazi wetu ili tupate radhi zao na tuipate pepo . Amin. "HONGERA SHEKH OTHMAN MICHAEL" MABRUK. Dada yako kutoka OMAN.
Mashallah wallahi nimetokwa na machozi Sana nimewamumbuka wazazi wangu wote 2 wamesha tangulia mbele ya haki, kweli kabisa ukisha kuondokewa na wazazi ni Sawa sawa na taa imezima hakuna mwangaza kwa upande wetu Allah atustiri kama tulivyo wastiri wazazi wetu ameen yaraby
Allahu Akbar , hakika nilikuwa na mengi ya kusema lkn mpk ilivyoishia hii video nmekosa cha kusema ila mm nakuomba dua tu shekh uwe na mwisho mwema ukafie Makkah au Madinah lkn Mungu akupe maisha marefu kw7bu bado tunakuhitaji utukumbushe kuhusu masuala ya dini , tukomboke kupitia ww.
Mashallah natamani nivae ivyo habaya na nikab bt nashindwa am asmatic tena za joto hua najaribu nikab lakini sometimes Pia nainua bt i really wish people nt 2 see my face Kabisa, mashallah nimependa hii family
kaka nilivoanza kuangalia video zako week ilopita adi leo nazisachi atakama sijaziona na nakupenda kwajili ya allah pia najifunza mengi mno kutoka kwako allah akufanyie wepes insha alla
Sheikh mashaallah Allwah atazidi kukunawirishia kazi yako.aliyokupa mungu umefanya wajib kwa kumridhirisha mama yako na kumuekua stara ya duniani na ww mungu atakustiri hapana huko akhera zaidi.ukutane na mola wako.kwa bashasha na kupewa kitabu chako kwa mkono wa kulia in shaa allah Amin amin thuma amin
Aslm alkm wtw......ma sha Allah!!!!!! Umezidi kupendeza Sheikh Othman. Alla akutimizie unayo yataka. Allah akupe umri wenye afya furaha na mafanikio. Akupe pepo firdaus Sheikh wetu. Mmmmwaaaaaaa Sheikh Othman. Wallahi kwa uwezo wake Allah, wewe ni mtu wa peponi. Ma sha Allah!!!!!! Kila la kheir sheikh wetu.
Manshaallah manshaallah mungu nami anifungulie milango ya rizki yarab niweze kumtimizia mama kila analo liitaji yarab amjalie umri na uzima na kila la kher ameen ameen
Maa shaa Allah sheikh nikikumbuka ulipotoka kwenye ukiristo halafu Allah kajaalia umewasilimisha wote hao, Bila ya shaka ww ni mtu mwema, Allah akuhifadhini nyote, amiin.
Masha Allah masha Allah wallah najickia kulia Allah akuzidishie sheikh wetu umenifanya nimkumbuke marehem mama yangu allahumma ghfirlaha warhamaha waskana fil janna Allah ampe qaul thabit mama angu
Alhamdulillah niko napambana kumalizia malizia nyumba ya mama yangu 🙏🙏🤲🤲🤲yarabbi nijaalie niimalizie ikamilike kama ninavyotaman iwe🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤝
🤲🤲🤲🤲
Umeongea maneno.mazuri na nasahakwa vijana wanaowatelekeza ama zao Allwah atawapa imani kupitia mawaidha yako.Allwahu Barik sheikh mungu atakupa afya na furaha na mafanikio.mema hapa duniani na kesho akhera
Mungu akutimizie kheri zote unazozifikiria, nami niombee mungu anijaalie kama unavoyataka ww ndio nnayo yataka mimi, WALLAHI.WALLAHI .WALLAHI THUMMA WALLAHI...HAYO UTAFKIRI MIMI NDIE NILIEKWAMBIA UYAFANYE NA KUYASEMA YOOOOOOOOTEEEEEEEE HAYO...WALLAHI NASKIA KULIA TENA WW NIMPENZI WA MUNGU NA MTUME ...MUHAMMAD REHMA NA MANI IWE JUU YAKE...AHSANTE SANA SHEKH WANGU MWANANGU...MIMI MAMANGU ASHATUNGULIA MBELE YA HAQI...NAMUOMBEA MUNGU AMPE MAMANGU QAULI THABIT..AMSWAMEH MADHAMBI YAKE PAMOJA NA BABANGU..NA WAISLAMU WOOOOOOTEEE WALOTANGULIA...ALLAHUMMA AMIIN AMIIIN YAARABBIL ALAMIIIN...JAZAKA ALLAHU KHERI SHEIKH UTHAMAN MICHEAL
Nimekuelewa vizuri sana Sheikhe, Allah Akubariki na Akutimizie malengo yako,..Namuomba Allah Anijaalie kauwezo nimjengee Mama yangu mzazi pia mimi nimjengee Mama yangu mzazi nyumba Mwaka huuhuu 2021, by December iwe iko tayari In Shaa Allah kama nilivyokuwa nimeyapanga na vilevile Allah Amurehemu marehemu baba yangu na Amuepushe na adhabu katika kaburi lake.
In shaa ALLAH. ALLAH S.W.T akujalie afya njema na yenye swiha na akurahisishie utimize lengo lako.Amiin🤲
@@ummya3996 Amin
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
Allaah akutangulie kwa Neema zake
In sha Allaah
@@rashidkalimbo2451 allahuma amin yarab
Amiin Allah akujalie ukamilishe malengo yako jamani
Yaani Sheh Othuman nimeshiba maneno na matendo na maoni yako ee mwenyez Mungu asante nakuomba umfanyie anavyokuomba na sisi utufanyie na kutufikisha mwisho mwema wa baraka na Amani Amen🙏🙏
Ahsanthum sheikh wangu. Nimestafiidh Sana katika darsa zako na ninazikubali.kila ninachokiskiliza lazima kiniwachie athari.
MashaAllah sheikh kwa hiki umekifanya mungu akuzidishie...kwa kweli imenigusa tuombee pia ss mungu atajalie tuwajengee wazazi wetu..."Mama ni mama hata kama hana maaana"
Mashallha allha akuzidishie shekhe lnshallha mpaka nimelia nimemkumbuka mama yangu sana maisha tuliyo pitia alipambana sana kwa ajili yetu alhamdullha nashukuru niliweza kumuuguza ndani ya miaka minne akiwa awezi kutembea mpaka allha alivyo mchukua allha ampunguzie azabu ya kabli lnshallha pia kwa ss najitaidi ninacho kipata kidogo na mtumia na baba angu angarau siyo mara kwa mara alhamdullha nashukuru na dua namuombea mama yangu Amen🤲
Ila mama yangu hajawa Muislam, lkn ameniahidi kuwa muislam hapa karibuni! WALLAHI Allah Atufunguliye mulango ya barka zake
MashaAllah Jazakhallahu kheiri Sheikh’umetufunza kitu kikubwa’Allah awalaze wazazi wetu Maharli Pema peponi Ameen InshaAllah.
Maashallah story yako imenikumbusha mbali sana sheikh 😭😭😭🇴🇲🇴🇲Yaarabby mjaalie afya njema mama angu 😥
Ma shaa Allah jambo la kheir Allah Azidi kukuhifadhi sheikh Othman
Subhanallah 😭😭 Allah awahifadhi mama zetu wallahi sheikh wangu umeniliza hayo maisha ndo aliyo pitia mama yangu Allah ampe afya njema na awajaalie mama zetu mwisho mwema Allahumma amiin
Subhan Allah hakika ya hii dawa imeniliza sna
Mashaalah sheik osman Allah akujalie Janato kwa elmi yako tamu my dia bro alaah akulinde sana shke osman wabilahi taufig.
Mashaaallah 🙏 Allah akuongoz shekh Osman insha'Allah 🙏 Allah akup maish maref
Dahhh yarabiii wajaaliye wazazi wetu maisha marefu wanapitia changamoto nyingi sana
Amiin
Nikweli
Mashaallah shekhe Allah akuzidishie mapenzi jui ya mamaetu . Nawale wazaza wetu wengine Allah aliowahitaji ishaallah awaweke kwe pepo ya firdaus kwa rehma zake ?Ammiin🤲
Amiinaa aminaa amiinaa yaarabili alamiina rabb taqbal duwa
Aamiin thumma Aamiin ya Rabb
mashallh nimefurahi sana kwa unavyomuongoza mama yako ndomana hata mimi nampenda sana mama yangu napambana sana kwajii ya wazizi wangu mungu wape wazazi wangu umri mrefu innshallh
Allahumah Amiin
Wallah hii historia imeniliza sana!
70% inakwenda kukutana na hali nayo ishi na mama yangu sasa!
Maskin 😭😭wazazi wanapadatabu juuyetu. Allah awalipe wema in sha allah 🙏
Sheikh MUNGU akuongoze uzidi kumkirim mama
Amiin
Amiin ya rabi 🤲🤲
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
Ammin
Masha Allah, na kwa dua yako ya kufia madina sisi ndugu zako ktk iman twaitikia Aamiin iwe Qun faya Kun. Twajifunza mengi kupitia Channel hii ya othman Michael. Allah akupe mema hapa duniani na kesho Akhera, Allah akulipe Firdaus ya juu. Nakuhusudu kwa Kheir sheikh Othmaan
MashaAllah.... Allah amzidishie umri yenye kheri na baraka inshaAllah 🤲🤲🤲🤲😭😭😭
Ameen yaraab alamiin
Wallahi sheikh akuna sheikh ninayempenda Kama wewe mwenyezimungu akulipe n akuhifadhi natamani ata siku moja nikakuona live lakini haiwezekani namuomba Allah anikutanishe nawe peponi in Shaa Allah
Jaman nimelia sana .tarehe moja mwezi wakwanza .nilimfanyia .kitu mama yangu .cha kumshutukiza kidogo tu lakin alifurahi sana mpka Leo tabasamu lake huwa naliona ingawa nipo mbali nae .Mimi nipo dar yeye yupo kahama shinyanga .niliangalia changamoto kubwa hapo home .nilinunua vitanda viwili na magodoro nikapeleka . home .namuomba mungu siku zote awatunze
Vtanda vwili unatangaza
Khaaa
Kutangaza kheri huenda ikawashawishi wengine kufanya,naye akapata thawabu
Inayokatazwa ni riyaa
Sheikh nikiskiliza mawaidha yako
Najifunza vitu vingi sana
Shukran Allah akukinge na kila baya
Ma shaa Allah. Allah kujaze kheri Daima. Allah amjalie kheri mzee wako. Na sisi Allah atuongoze tuwatendee wema Wazazi wetu. Kwa pamoja Allah turuzuku PEPO YA DARAJA LA JUU. FIRDAUSI. AMIIN AMIIN AMIIN
Mashaallah
Hilo ulilolionyesha la kumwangalia mama kwa bawa la unyenyekevu na jicho la rehma NA HURUMA liwe funzo kwetu sote. M/mungu akupe unachotaka. Amin.
Haya mafunzo tuyafanyie kazi na tuwapende wazazi wetu ili tupate radhi zao na tuipate pepo . Amin.
"HONGERA SHEKH OTHMAN MICHAEL"
MABRUK.
Dada yako kutoka OMAN.
In Sha Allah yarrab Allah atakulipa makubwa zaid ya uliyo mfanyia mama yetu sote. Dua yako Allah aipoke yarrab 👏🏻
Mashaallah shekhe allah akufungulie kila la kheir wewe na familia yako hakuna kitu kikubwa kama wazazi
Baarkhallah fiq Allah hakujazekillalakheir
Waalkum salaam waarahmatullah wabarakaatuh, maashaallah tabarakallah kw nasaha nzur nami pia namuomba Allah aniajalie nami nmkirimu mmayng zayd na zayd Aamiin thuma aamiin yarabby, shukran sheikh Othman...
ALLAH karim.atujalie sote.akuzidishie afya naumr uzid kutupa ilm inshaallaah.
MashAllah...Allah akupe umri mrefu sheik.. mafunzo yako yamenijenga sana ki iman..I am a changed woman
Nakushukuru sana sheikh kwa kutufunza mwenyeazimungu akujalie umri uweze kutufunza nazaidi
Yaa Raby wasemehe madhambi yao wazee wangu,😭😭nasie tupe mwisho mwema
Mashaallah mashaallah mola akuzidishiwe iman akupe maisha marefu na akuhifathi
Mashaallah Mashaallah Mashaallah allah azidi kukuongoza katika kheri nausivunjike moyo kwa maneno yawatu tufurahia tunapata mengi mazuri
Mashallah wallahi nimetokwa na machozi Sana nimewamumbuka wazazi wangu wote 2 wamesha tangulia mbele ya haki, kweli kabisa ukisha kuondokewa na wazazi ni Sawa sawa na taa imezima hakuna mwangaza kwa upande wetu Allah atustiri kama tulivyo wastiri wazazi wetu ameen yaraby
Mashaallah Mashaallah Mashaallah. Sheikh Othman
Jazakallah sheikh
Masha Allah mungu akuongezee lnsha Allah ❤️❤️
Mama yeyote anatamani mtoto mwema basi nakuomba Allah unifanye mja mwema ktk dunia nawatoto wengine kwa uwezo wako
Nimesikia raha sana mimi pia nakuombea dua kila ulicho nuiya ukipate ishallah😘
Masha Allah.... Allah bless you more Amiin yrby Amiin 🙏🙏🙏
MashaAllah, mtoto mwema
Asante sheikh othman
Allahu Akbar , hakika nilikuwa na mengi ya kusema lkn mpk ilivyoishia hii video nmekosa cha kusema ila mm nakuomba dua tu shekh uwe na mwisho mwema ukafie Makkah au Madinah lkn Mungu akupe maisha marefu kw7bu bado tunakuhitaji utukumbushe kuhusu masuala ya dini , tukomboke kupitia ww.
Salama 32806902 jina kama kawa
Mashallah natamani nivae ivyo habaya na nikab bt nashindwa am asmatic tena za joto hua najaribu nikab lakini sometimes Pia nainua bt i really wish people nt 2 see my face Kabisa, mashallah nimependa hii family
Jitahidi kuivaa mwanzo ni mgumu ila mwisho utaizowea
@@mamussi6872 sawa sawa sitachoka
Mumy joto LA jahanam ni zaid ya hapa jitahid
@@khadijaabbas1581 subhanallah ntajaribu
Nimependa kisa chako saan mungu akuzidishie n akupe kila ulichotia Nia inshasllah
W/ msalam shkhe mungu awafanyie wepesi mama zetu waliotutangulia mbele za haki Amiin
Ameen
ameen
Amen
Amiin yarabily liallamina
Dua ya mama yetu ❤️
Ukweli namkubari shehe Othuman michael.Mungu amzidishie umri mrefu tuzidi Kupata elimu yikes.
Mungu akuzidishie kwa kumsamini mama yako amina
Mashaallah twakupenda sana shekh wetu na mama pia allah awahifadhi daima
Maashaallah Allah awaajalie wazazi wetu awape afya Na umri mrefu jazakallah kheri sheikh wetu
Allahu Akubar nampenda sana mama yangu na mm inshallah nitamjengea mama yangu nyumba inzuri
I love you my love Mom more Life my Allah bless you ❤️❤️❤️
🤲💖💖💖💖
Maasha'Allah Tabarak'Allah sheikh Othman Allah akujalie kila lenye kheri Dua ya mama itimie ufie makkah na Madna Amiin ya Rabb 🤲🤲
Mashaallah ,allah akuepushe na shari na akujaalie unalomuomba amiin
Ameen yaraab alamiin💕💕
Mashalla shehe umenifundisha meng sana yaani hata kwetu wapo jamani acha tuu she he
Allahuma Amin Yarab Allah akubarik na akukubalie duwa zako pamoja na mzee wako Amin 🤲🤲🤲
Maa shaa Allaah TabarakaAllaah
kaka nilivoanza kuangalia video zako week ilopita adi leo nazisachi atakama sijaziona na nakupenda kwajili ya allah pia najifunza mengi mno kutoka kwako allah akufanyie wepes insha alla
MashaAllah TabarakahAllah
Mwenyezi mungu atakusaidia utawajengea wote
Allahuma barik laha, maa shaa Allah JazaakAllah kheiran nimejifunza mengi. Allah awahifadhi na kuwapa umri wazazi wetu. Amiin
MashaAllah love u mmy❤❤
Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah
Jazzakumllah Khery
Mashaallah Allah azidi kukufunguliya
Masha Allah mwnyenzi mungu akupe moy huohuo
Manshaallah Allah atujalie nasi kuyatenda yenye kheri kwa wazazi wetu yarrabbiii
Allah akuifadhi uzidi kuelimisha ummah
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh masha Allah shekh Othman Michael
MashallH sheh aallah azid kukuongoz ila jitaid na ss uzid kutuombea tufik ulip fik ww kimaisha tupat rizk zet zahalal tusaidie wazee wet na watt wet na kil narizki yak tumsaidie
😂😂Alhamdulah Alhamdulah Jazaka Allah kher
Mashallahu mungu atakulipa Kwa uliyo mtendeya mama na Mungu akuwezeshe kutmiza malengo yako na ishalla Mungu akufshe Maka au MADINA ishalla
ALHAMDULILAH kwa radhi za wazee ALLAH akutimizie nia yako vile unavyopenda AMIN
Wallah nmejifunza sana na nmejituta nazidi kuwapenda wazazi wangu shukuran sana
Mashallah ALLAHakujaliekheri tunajifunza mengi na tunapata sanamoja
Allah akujaliye inshaallah kila la kheri
Aslam alkm masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah mama nimama mwenyezimngu akupenafasi yakumuifazi mzazi shehe hosumani mwenyezimngu akupe maisha mema uwalinde wazazi wako vizuli insha allha
Assalamaleyhi warahmatullahi
Mansha Allah Allah
Allah atujaze mapenzi mema kwa wazee wetu
Ameen
Mashallah allah azidi kutuzidishie mapezi juu ya wazazi wetu kwa jumla pepo ya dunia ni wazazi wetu
Amiin
Amiin
Sheikh mashaallah Allwah atazidi kukunawirishia kazi yako.aliyokupa mungu umefanya wajib kwa kumridhirisha mama yako na kumuekua stara ya duniani na ww mungu atakustiri hapana huko akhera zaidi.ukutane na mola wako.kwa bashasha na kupewa kitabu chako kwa mkono wa kulia in shaa allah Amin amin thuma amin
Aslm alkm wtw......ma sha Allah!!!!!! Umezidi kupendeza Sheikh Othman. Alla akutimizie unayo yataka. Allah akupe umri wenye afya furaha na mafanikio. Akupe pepo firdaus Sheikh wetu. Mmmmwaaaaaaa Sheikh Othman. Wallahi kwa uwezo wake Allah, wewe ni mtu wa peponi. Ma sha Allah!!!!!! Kila la kheir sheikh wetu.
Yaarabiy Mshuhudie amefikisha kwetu sisi. Very nice.
jazakallhu lkheir sheikh othman
Mashallah..Allah akuongoze ww na familia yako kwa ujumla
Manshaallah manshaallah mungu nami anifungulie milango ya rizki yarab niweze kumtimizia mama kila analo liitaji yarab amjalie umri na uzima na kila la kher ameen ameen
Amiinaaa🙏🙏🙏
Maa shaa Allah Allah Kareem kwa kila jambo
Maa shaa Allah sheikh nikikumbuka ulipotoka kwenye ukiristo halafu Allah kajaalia umewasilimisha wote hao, Bila ya shaka ww ni mtu mwema, Allah akuhifadhini nyote, amiin.
MASHAALLA. MASHAALLA NIMEFRAHI SANA KUSKIA HAYO NIMEJIFUNZA MENGI
Masha allah
Naomba hapo mwambiyeni mngazija khudhayfaha alilala kwake anaomba amuone sheikh nakuomba mwambiye makihiyo shangaz yake naakumbuke usingizi walipolala nae mda uyuanamiaka kumi ila mgonjwa sheikh nakuomba fikisha ujumbe huyo ni mama mngazija Burundi
Masha Allah mafunzo mema mfano mwema,Allah atujaalie na sisi tueze kufuata
Mashaalah umenikumbusha mbali shekhe mpaka machoz
jazzakaAllahu kheyran ustadh... samahani angalau ungempa mama kiti
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah.Ameen yaraabalamiin sote jamii Islam .💕💕❤
Assalam aleykum warahmatullahi shekh Othman Michael masha Allah
Assalamaleyhi Warahmatullahi