Zimeni iyo mi sound beat inayo pita na sauti ina boa chengine quality ya video na editing zingatie ata izo camera mnazo shutia zingatieni na sauti kwenye movie
Nagwa unaweza sana mkali ila vijana wako hawajatulia san kwenye uongeaji,wahun wamekaa poa ila huyo mzee mjomba wa bint na mjumbe hawajafit kabisa.hao chura wako poa ila wapange kwenye maneno mkal wawe mapepe fulan alafu kali konki nazan unaekewa mkali namanisha nn,ila kazi poa san tunategemea mengi yenye kuburudisha.
Hivi kweli muhuni no mtu ambae anavaa cheni shingoni herine masikioni na kipini puani wewe sio muhuni no shoga kwani hofu yangu umevaa ahanga Kama umeweza kuvaa kipini utashindwaje kuvaa ahanga
Kak kiufup haujui kuigiza ww pamoj na crue yako nzima movie zako hazin elimu Wala hazitujeng kwa chochot Zaid ya ujinga tu nakupotosha vijana kwa uamzi wangu km ningekua na kiwadhifa fulan iv nigekufungis kabs kaz hii
Kazi zuri nawasapoti Sana Sema nini huo mdundo wa sauti umekuwa sometime unazidi kwenye sauti sometime hatusikii vinzuri
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa.
Kazikazi mwamba humohumo hakuna kupoa kazi nzuli
Asante 🙏🏼
kaka vp
imeenda hii 🤣🤣 nmeikubali
😮
Kazi nzuri sana Nagwa na wengine lakini sauti iko chini sawa
Asante sana 🙏🏼, tutaendelea kurekebisha sehemu zote!
Kilaaa mtuuu anaweza sema akitaka choo ilaaa uyooo mweupe amefitii uhuniiii vizulii tuuuuu❤❤❤❤
Asante 🙏🏼
Mwamba kafit San ten maneno yapo mdomoni sio uongeaji wa kukalili yupo vizur San keep going... 💪
Aya karibuuu 😂😂😂😂😂
Nakubali
Nagwa kazi nzuri Kenya twakupenda pia tunapanda nyimbo zako
Asante sana kaka 🙏🏼
Hapa ngoma nagwa hapa kishandu nakubali sana familia zangu🔥🔥👊
Asante 🙏🏼
Ngoma nagwa bendera chuma safi sana
Asante 🙏🏼
Mnazingua hivy vinanda
🙏🏼 Tutaliweka sawa.
Kali sana
Asante 🙏🏼
Ila mziki mwingi Sana mpk saut inakua chini sema kazi mzuli Sana
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
Nakubar 💪🏾 kazi nzuri 💯💯🔥🔥
🙏
Mule mule family apo kwenyewe aina iyo wala nn kazi nzuri sana hii
Asante sana 🙏
254 imeweza buda
Asante 🙏🏼
full support from 001 🇰🇪 mko juu tuu sana..mume eleza jamii kunavoendelea #new Generation...wahuni hee nawatambua 👊👊👊 ma bloody.
❤❤ Gostei Muito
🇲🇿🇲🇿🇲🇿💪💪💪
🙏🏼
.kaz 💥💥
🙏🏼
mmetisha wakush sema bit inatawala sana kuliko voice
Asante 🙏, tutalifanyia kazi.
Zimeni iyo mi sound beat inayo pita na sauti ina boa chengine quality ya video na editing zingatie ata izo camera mnazo shutia zingatieni na sauti kwenye movie
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
Content nzur lkn kiukwel tunaitaji content zakuivusha tasnia yet katka dunia kmataifa kwahz conten bdo tasnia yetu naiona inasogea kwa kidgo mno huo ndio ukwel unao umiza hz content za kiuni usela hatujengi tasnia maana tunaaamasisha vjana waish hvoo
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi kuhusu ilo 💯
Bwana nagwa tunakukubali big up man🇰🇪
Asante 🙏🏼
Hhhhhh mze nagwa kaz sn
🙏🏼
🤟🤟🤟 nakubali kichwa Andazi🙌🙌🤛🤛✊
Asante sana 🙏🏼
Nagwa unaweza sana mkali ila vijana wako hawajatulia san kwenye uongeaji,wahun wamekaa poa ila huyo mzee mjomba wa bint na mjumbe hawajafit kabisa.hao chura wako poa ila wapange kwenye maneno mkal wawe mapepe fulan alafu kali konki nazan unaekewa mkali namanisha nn,ila kazi poa san tunategemea mengi yenye kuburudisha.
Asante sana 🙏🏼
Kazi nzuri nagwa sema sauti sehemu nyengine Haina salute
Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa!
Good work
🙏🏼
Congrats big up your work had now acen see jah bress you
Amen 🙏🏼
Ngoma nagwa nakukubali kisenge ❤
Asante sana 🙏
CHUMA Iko sawa Lakini sauti mumeinyima
Asante 🙏 tutaliweka sawa.
Huyo mdada alomuokota huyo dada sijapenda alivyo igiza yeye kama kamuokota mtu ani kumuuliza tu mh
Umetisha sana yani ire kizazi
Asante 🙏🏼
Daah asante nimekusubir sana hatimaye umerud
Asante 🙏🏼
mama mmoja shem
Ila ngoma nagwa nakukubali
Asante 🙏🏼
Nangwa Kaka uko bike nini maana tumemisi kazi zako
Kazi zitakuepo nyingi sana 💯
Hio nyimbo hapo background iko na sauti kubwa hata maneno tatuskii poa but movie iko sawa 2
Hivi kweli muhuni no mtu ambae anavaa cheni shingoni herine masikioni na kipini puani wewe sio muhuni no shoga kwani hofu yangu umevaa ahanga Kama umeweza kuvaa kipini utashindwaje kuvaa ahanga
NICE ONE NAGWA
Nmependa tabuu alvo mchangamfu af anajua kuvaa uhusk wake
Asant 🙏🏾
Pamoja Sana
Tariiiiiii wauni nakubali wazeee sema zingatieni sauti sasa
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
Nakubali 💪💪💪
Asante 🙏🏼
Sema sauti ipo chin sana nagwa
🙏
Kazi Zuri ila Sauti ipoo chini.sanaa
Huyu dogo wait mtoto wa mama sana hata maneno ya kihuni hayamkai yanampwaya uhuni siyo staili yake
Asante 🙏🏼
❤❤❤❤❤❤❤
Nagwa tulisha wamiss😊😊
Asante 🙏
Kali sana nakukubali mzito nagwa
Asante sana 🙏🏼
Sema sauti iko chini san wanangu
Me sio shangingi lol 😂😂😂😂😂
Sema nni ilo biti la boa kweli
Usijali tutaweka sawa
Wanawake w skuiz mnaboa nyote mna mipini puani 😅
🙏🏼
Sijapenda😂
💪💪💪🇲🇿🙌
🙏🏼
Jamani sound ipo juuu sana
Tutaliweka sawa 🙏🏼
Kunavipande sauti ikochini sana
Usijali bos tutaifanyia kazi 🙏
Nagwa tumekumis sana
🤙
Kumamaee wa kwele hawaa
🙏🏼
kazi nzur ila iyo sound inayosikika nyuma inazingua inafanya maneno yasisikike vizur
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa.
Nagwa boleshea kwenye saut
Nomileeeee
💪
Asante 🙏🏼
Mnakwama ktk sound sauti ipo chini baadhi ya vipande kingine background sound inakua juu kuliko waongeaji mkiongea zima sound background inazingua
Asante 🙏 tutaliweka sawa
@@mashinefilmtz shukrani kwa kuelewa na kutusikiliza wateja wenu asante sana nafikiri episode no. 2 itakua poa kwa sauti
mwamba mtukazi nagwa
🙏🏼
🔥🔥🔥🇺🇸
🙏🏼
Kuna Mtu Hapo Anafanana Na Afande Wa Zanzibar
Kazi nzr soundback iko juu
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
movie mbayq bhana😢😢😢
🙏
Jitahidi sauti inazingua maneno haya sikiki
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa
Mwendelezo naupata wapi
Tayari upo
Hahahahaaaaa👍👍👍🇹🇿
🙏🏼
Sauti ni tatizo
Tutaliweka sawa 🙏🏼
Mashallah ❤❤❤❤❤
🙏🏼
Nagwa saut yako Ipo chin babuu.au hupo Sirius kwenye iyo movie
Tutaliweka sawa 🙏
Og
Movie safi ila sound effects ziko juu kuliko chenye mwaongea
Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa 💯
Kanuti wangu uko juu
Asante
@@mashinefilmtz ushanijua
NYUNDO
Nakbal
Hatalii
🙏🏼
Mmezingua sauti ila kazi kazi.
Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa 💯
nagwa kama nagwa #542
🙏🏼
Muendelezooo pleass 😢😢😢
Soon
Nangwa unafanana na barna boy kinyam
Asante sana 🙏🏼
Director kazingua sauti imesikia ikimwambia tabu amwambie piper "haya karibu"
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa 💯
Tatzo saut low qwalyt
Muendelezo please
Soon utakuepo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😮
😂😂😂😂😂
🙏🏼
Voice is donw please next tim collection
Tutalifanyia kazi 🙏🏼
Mh
Bendera chuma
🙏🏼
Kak kiufup haujui kuigiza ww pamoj na crue yako nzima movie zako hazin elimu Wala hazitujeng kwa chochot Zaid ya ujinga tu nakupotosha vijana kwa uamzi wangu km ningekua na kiwadhifa fulan iv nigekufungis kabs kaz hii
🙏🏼
Nilikuwa nataka niitazame hii movie ila kwa maelexo yako ngoja niache nisije kumalizia bando langu buree kwa ujinga wa nagwa
💪💪💪🇲🇿🙌
🙏🏼
❤❤❤❤❤