UKHTY SAU - YALOJIFICHA (Official Qaswida Video Lyrics) ♥️👍1080p60
Vložit
- čas přidán 30. 07. 2023
- Welcome To The Official CZcams Channel For Ukhty Sau
📩 Do you need to make your celebration fun? this is the right time for you.
☎ Call / WhatsApp +255 779 354 988
📍Don't forget to - LIKE 👍 | SHARE 🤗 | COMMENT 💁 | SUBSCRIBE 🤓
Karibu Katika Chaneli Rasmi ya CZcams Kwa Ukhty Sau
📩 Je, unahitaji kufanya sherehe yako iwe ya kufurahisha? huu ni wakati muafaka kwako.
☎ Piga / WhatsApp +255 779 354 988
📍Usisahau ku- LIKE 👍 | SHIRIKI 🤗 | MAONI 💁 | SUBSCRIBE 🤓
N:B
FOR COPYRIGHT NOTICE CLAIMS
Please if you have any issue with the content used in my channel or you find something that belongs to you, before you claim it to CZcams Kindly send me a direct message through qaswidazetu082@gmail.com or telephone +255 773 451 090 and I will delete them right away. Thanks for your understanding.
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 © 2023 𝑫𝒊𝒓𝒆𝒄𝒕𝒐𝒓 𝑶𝒏𝒆.𝒕 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. - Zábava
Ukhti Sau Nakupenda kwa akili ya Allah
Ahsante ukhti sau kwa ujumbe wa kutukumbusha
mashaAllah umenigusa sana ukhti sau
Kazi nzur ww uliyo fanikisha
Mashaallah ukhty kazi zako ni nzuri sana mashaallah jitahd uendelee kuchunga maadili ya dini tumia fani kama njia ya kufikisha neno la Allah sio burudani .
Namuomba Allah akupe siha wewe na wenzio wote inshaallah
Mashaallah
Mashallah Allah ❤
Maashallah MASHAALLH hongera sana sana hii yangu MİE
Malip ni hap hap duniani , kil ck nasem ukhty sau lazm atatutolea qaswida yeny ujumb, maashallah
Hongera sana ukhti sau kasida imegusa mioyo ya watu allah akulinde na chuki na hasadi za wale wasio penda maendeleo ya wenzao na waimba taarabu
Hata mimi imenigusa sana kasida
Mashaallah mashaallah mashaallah yaani hii kasda imenigusa moyo wangu hongera Ukhti sau nakuhitaji kwenye harusi ya mwanangu naitaka hii kasda
Mashaalah hapo hapo Dada usibadilike kwenda kwenye nyimbo
Kaza kamba ukhty hapo umeupiga mwingi sana hongera kwa kazi nzuri ambazo ndo tunazo zimiss
mashallah qaswida nzri sana
Mashallah ukhty hii kaswida nzuri sana 😊
Nakupe ukhty sau hunambaya ila nakunasihi usiimbe nyimbo qaswida zipotele nakuamini Sana hunabaya
Hongera sanaa ukhty wangu hii umeua kweli Mungu akuzidishie kipaji zaid
sau nakukubali sana kazimzuri jitahidi kuleta kile shenye ujube mzuri ustazi nasemahapa mashaawha❤❤❤
Hongera ukt sau nakupenda ❤❤❤ hunambaya
Dah 😢hii kasweda imenigusa wallah Allah atusaidie jmn
gwijiiiiiiiiiii hongera sn kw qasida nzur video imetulia verry verry
Mashaallah hiyo ndio kaswida
Ewe mola wetu tusaidie🤲 ujumbe muruwa Allah azidi kukubariki ewe waridi la visiwani
Mashallah❤❤❤❤
MashaAllah MashaAllah kaswida nzr❤❤❤ ukweli kabisa
Mashallah kipnz ❤❤
Nakubaliiiii my weyetena ❤ hunambamba ❤
Mashaa Allah,,,,Allah Amuepushe Na Macho Ya Husda, Muishi Miaka Mingi❤❤❤❤
Ammina
MashaAllah Tabarakallah wallah hongera sana ukhty Sau yan maneno yenye msingi mzr wakuzijenga familia zetu Allah akubariki Ameen
asnt
❤❤❤
Mashaallah allah akujaalie kaz njema akuzidishee ujuz ktk kipaji chako hiii ndo kasida mpenz
asnt
mashAllah mashAllah tumekumis uku Kenya utakuja lini❤
asnt.. nitfk tu inshllh
Hongera sau ujumbe umefika na upo vzur hii inapendeza kwakwel
Mashalaah qaswida inaujumbe mzuri sana Allah akulipe kheri ukht Sau ❤️
Hatimae imetua niliisubiri kwa hamu mzigo umejaa hauna khitilafu
hekoooo mama lao!!
Mashallah ukht wngu ❤
MHHHH SINA SHAKA KBSA NA UKHTY SAU hp naon km haifiki tarehe
💖Mashaallah 💖
Hii ndo qaswida,,, fanya hv daily chunga usije ukaingia kwenye taarabu mashabik zako tunataka qasida
Kabisa umeongea kitu tulokua tunawategemea kwa kasida sasa niwaimba taarab tungo zimewaishia
@@siwajibuhassan2924.. kwer kabisa
Shukriya da swau
Mashallah
Maashaallah huna mbaya mpenz
asnt
❤🇹🇿🇴🇲
Mabruuki ya ukhut sau
shkrn
Qaswida mzur sana mashalla la director ont bwana hujaitendea haki skiript huja ziweka kwanini emu onesha msimamo wako kama director bwana nisome kama director kd only
nmekuelew ila ni mbinu tu kwakutoeka vitendo ucjl
Qasda ni nyimbo zilizonasibishwa na dini , Qur - an imekataza mziki na mnanda , hivyo chochote kinachoingia Mziki na Mnanda basi ni kharamu.
KIFO KIPO , SIKU YA HUKUMU IPO , DADA ACHA MZIKI , usipende sifa za kijinga ❌
ASNT ila vile vile nakunasihi sn nawew kutofatilia masuala yaliokatazwa na dini, kwani hadi umefika ku comment bs nimfatiliaji mzur ila tu hii qasida yng hukuipenda cndio???
nimpe dalili na sio utashi kuwa hii imekatazwa au ni haramu.. AYA au Hadithi sahihi
ukht sau mtu akitaka kukodi muongozo tafadhali
@@habiptyomar1532 namba zipo apo zimeandikwa izo zilizoishia 88
@@UkhtySauShamsiaMahonda achana na maneno ya watu, ukijali utakata tamaa, kama kwake ni halaf bas kwetu ss ni halali, maana tangu mpaka sasa umri miaka 28 ndo nasikia kwake kuwa qaswida ni halam. Waimbaj weng wamepotea kwa sababu ya maneno ya watu. UKHTY SAU, we fan's Love's you more. Usichoke INSHALLAH
Mashaallah