JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025
Vložit
- čas přidán 30. 06. 2024
- JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025, JEAN CHARLES AHOUA CV, JEAN CHARLES AHOUA SKILLS, JEAN CHARLES AHOUA GOALS, JEAN CHARLES AHOUA HIGHLIGHTS, JEAN CHARLES AHOUA MAGOLI, MAGOLI YA JEAN CHARLES AHOUA , UWEZO WA JEAN CHARLES AHOUA ,Jean Charles Ahoua (Stella Adjame) Stats, AHOUA CHARLES SKILLS, CHARLES AHOUA SKILLS, MCHEZAJI MPYA SIMBA JEAN CHARLES AHOUA
- Sport
Jamaa n mzuri kwenye suala Zima la kuasisst ana jicho la kimidfielder sanaa tupate tu mastriker wazur jamaa Yuko poa na aina yake y uchezaj n tofaut na chama ana uchezaj kama wapakome kwa hii clip nilioona japo pia clip haitoshi kusema n Bora au laaa
Umenena mzee
MUNGU ampe Lais wa heshima maisha marefu na afya njema🙏❤
Umemkubali kijana?
Mtu wa maana huyu 💪🦁🙏
sawa sawa
Msije tukana matusi ligi ikianza😅😅😅
Ligi ya bongo ya kawaida Sana ni ya vilabu 3 ndio vyenye ushindani Dogo atawatia aibu mtalala ndani wiki tulutane ngao ya jamii to me Sijawahi kuangushwa na usajiri wa Cretus Magori
Tusubirie Ligi Ianze au Siyo?
Tulutane ndo nn
Unafuatilia kila mchezaj anaesajiliwa Simba dalili ya uoga
Kazungukwa na Nan mzeee
@@hizzomaplan1409we tahila
Tayaalii
safi
Wakawaida aisee mutale na mkwala Agostini Akajepha na Valentine Nouma ndo watu wa maaana🎉🎉🎉🎉🎉
Tusubirie mambo uwanjani
❤❤ nguvu Moja Kijana Wa kazi
Tusubirie ligi ianze sasa
Simba na vibweka vya usajli, kama kawaida kuchamba kwingi.
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
Mim sjaona laa jabu kwa huyu niwale wale Akina Jobe t
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Huyu mchezaji wa ndondo cup
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Kwa kweli hapa tumepigwa na kitu kizito.
Ni afadhali hata na Mutale kidogo sio huyu😂😂😂😂😂
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
Wew ni mpumbavu
Hii mali ikipta kocha mzur ina fighting sprit
Ngoja Tusubirie Ligi Ianze
Anafaaa kabs huy tuwaombee munguu
sawa
Hamna mchezaji humo tujidae kisokolojia
Sawa mungu
Kusoma na kuandika hujui ndo utamjua mchezaji? Pimbi wewe
Hii ni mali
Simba wamepania Round Hii
Mali saana mangungu funding saan atakua kahuzikaa😂😂😂
Wajingaa kweli nyinyi na makombe mtaishia kuyasikia tuu kwenye bomba ety huyu ndo wanawadanganya in mbadala wa chama 😂😂😂😂,,Yaani makombe mpaka Samia atoke madarakani washenzi nyinyi
Normal player bora asajiliwe kinzumbi
Apa hmn ki2
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Boss hapo umetudanganya hakuna mchezaji hapo
Subiria kazi uwanjani
KItu ambacho nakipenda ni bado kabwana mdogo xn
bado mdogo kabisa
Huyu na karabaka bora karabaka
kwanini hahaha
Wa Kawaida saana
Sema ukweli hata kama unaumia mzee 😅😅😅😅😅😅
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Ata akiwa wa kawaida wakwetu
Yaccouba sogne aliechangamka
hahaha
Mtu na nusu
sawa sawa
Hamna mchezaji umu ,,,, huyu ligi ya apa bongo lazima afeli
Sawa mganga
Hahaha kwamba amegeuka Mganga
Baadae mnamtaka mnafanya nasherehe majini fc mnashida
Kama we ni utopolo tulitarajia kusema hayo😊😊
Wapiga ramli wameshaanza duuu😂😂😂
Soccer nyie hahahahah
limefanya nini
Dah tumepigwa
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
Hamna kitu apa
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
No skills 😂😂😂apa kazi anayo ya kutuaminisha kama anaweza ila kama hzi ndo clip zake bora hapana kwa kweli
Kwahiyo haujampitisha?
hapa naona kama tumepigwa iv
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
Mm simba ila humu hakuna kitu
@@i.dclassic116 Kwanini unaona hamna kitu
Mfuatilie akili yako itakua
Kwa Nini ujitambulishe wewe Ni Simba Kwanza inaonyesha wazi sio
akuna kitu apa tumepgwa
@@user-gi7tp2mz8b Kwanini kaka?
kweli hamna mchezaji kabisa humu. Sio wa quality ya kuchezea simba, bora poku
@@richardmlinga3764 kesho msibadilishe maneno
@@richardmlinga3764hujamfuatilia ndomaan unaropoka, mchezaj bora Ivory
Normal player
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
WACHEZAJI WANAOENDANA NA KOMBE LENYEWE LA LOSERS😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?