Magavana 11 huenda wakawa na kibarua kigumu
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2024
- Huku magavana wanapojiandaa kuapishwa kuanzia hapo kesho, kuna magavana kumi na mmoja ambao huenda wakajipata taabani kutokana na hali kwamba wawakilishi wadi wengi ni wa kutoka mrengo pinzani. Gavana Mteule wa Nairobi ni mmoja wao ambaye alichaguliwa kwa chama cha UDA, huku wawakilishi wadi wengi wakitoka mrengo wa Azimio. Sam Gituku anaarifu kuwa mabunge 24 yatasimamiwa na Azimio huku angalau 21 yakishikiliwa na murengo wa Kenya Kwanza.
Hakuna ugumu tumewapa KAZI, siasa zimeisha.🙏🇰🇪
Sakaja aliibiwa hakupita kihalali
Devil is a liar and father of all lies
Hizo ni siasa itabidi.. waskizane watufanyie kazi venye tuliwachagua... Tulimchagua mtu sio chama
The corrupt corrupting the corrupted
Githeri media,,
Sakaja ako Sawa sioni akiwa na chuki
Azimio tv lies
Nini hauelewi hapo wewe.
Kuelewa ndio ngumu ama?? listen to the news well don't just jump into conclusion
@@Jack.254 nkama kiswahili ni ngumu kwake,this are the people who just comment for the sake
THIS TELEVISION IS HEADING TO WRONG DESTINATION,KEEP OFF BEING BIASED.