Magavana 11 huenda wakawa na kibarua kigumu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Huku magavana wanapojiandaa kuapishwa kuanzia hapo kesho, kuna magavana kumi na mmoja ambao huenda wakajipata taabani kutokana na hali kwamba wawakilishi wadi wengi ni wa kutoka mrengo pinzani. Gavana Mteule wa Nairobi ni mmoja wao ambaye alichaguliwa kwa chama cha UDA, huku wawakilishi wadi wengi wakitoka mrengo wa Azimio. Sam Gituku anaarifu kuwa mabunge 24 yatasimamiwa na Azimio huku angalau 21 yakishikiliwa na murengo wa Kenya Kwanza.

Komentáře • 12