SIKUTAKA KUSHIRIKI KWENYE TUZO ZA NDANI KWASABABU HAZIKUWA KWENYE MISINGI YA HAKI, WANAONEANA HURUMA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ninachompendea SIMBA hanaga no comment kwenye interviews zake safi sana broo
Diamond Platnumz ni Brand kubwa... Heshima kwake SIMBA 🙏👍🇹🇿
Diamond we ni mfalme wa muziki wetu wa bongo una mpinzani🔥🦁🙌
Mwamba huyu apa
❤
Diamond platnumz unaongea point tupo naomba ufungue kitua au darasa kuwafundisha wasanii wengine hizo mbinu za kutoboa kwenye kila jambo kuna research,strategies
Mzee wa busara love ❤you mond ❤❤ from DRCCONGO🇨🇩
Dah umetema cheche zilizo pita umuri wako hongera sana simba
Yoo bro Simba zilipendwa you are best
This is Lion 🦁 of Africa 🌍🎉 from Mozambique 🇲🇿❤
Mondi wetu from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tuna kupenda
Kweli mondi kwenye suala la tuzo Kuna figisu sana
😂😂😂 huyu Mwamba ana Akili saana kwenye muziki huu nimegundua alivoeleza kwenye collabo za Drcongo daah❤🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Nakupa maua yako bado upo hai🎉🎉🎉🎉
Diamond hakun kam ww na mm nataman kuw kam ww 💯💯💯
Diamond umewachana vzr sana umewachana sanaaaaa
Oyaaaaaa😅😅😂😂 kwa kamati hapo nmeeelew,,hata mmi niliwagomea mamae
Tuzo ni biashara za watu diamond bora ulivyoachana nazo ila ile shuu ni kalii mnooooo hapa bongo sijaona nyimbo ya kusumbua shuu
❤❤❤ simbaaaaaaa
good
Nice one diamond platnumz.
Mheshimiwa Damasi Ndumbaro ni waziri wa sanaa,, michezo na utamaduni sio habri habri ni mheshimiwa Nappe mosese nhauye naomba kuwasilisha mkuu.
Umenena Sana hapo✊ watu watafute pesa
😊noooma
😂😂😂sema baba angu fct🙌
Huyu ndie simba sasa,acha yule mwengine aliye pigwa makofi na waha😂😂 platnumz
Fact
Vraiment 🇨🇩
MONDI, KAKA UKO SAWA SANA WW NI MKWELI HUNA FINTINA, WW NA MWAKINYO MKO SAWA HONGERENI
Simba umeongea vyema utekelezaji unatakiwa juu ya ushirikiano wa wasani wa home
Jamaa ana penya congo
True
Siiimba 1
Jamani ndo kusema Simba amekua kwa Kila kitu au..,Maana anawajibu kiakili sana skuhizi Hawa wauliza maswali ya kichochezi
Havikuhusu
Congo ilikuwa katika inchi ambazo zilikuwa na mziki mkubwa dunia ilikuwa kabisa hiyo ni ukweli kaka🙏🏽
💯%🤝
👌
Umeongea vzr Tanzania kugumu ata wachezaji wa ndani najua wanakutana na mambo mengi sanaaa
Kama umesikia kwangwaru akiitaja Simba gonga
Bonge la msanii anajitambua
Huyu ndo simba ogooopa
Master mind
Kuna kwangwaru. Waambie simba Waambie
Unaongea point sana simba
✊
Na Wana ile ngoja tugawe kdogo kdogo wote wapate
Mwomba anaonekana alikaziwa sana kwenye masuala ya rushwa
Shehe 😅
Shehe😂
Umri huu Mimi kha!😂😂😂
😂
Et kha
Akiri ming simba
Akiri mingi au Akili mingi?
Jinga kabisa unaandika kiswahili cha kiluga chenu
Mwamba umewakomesha wauliza maswali ya kijinga
Hakuna swali la kijinga brother kila swali lina jibu lake
Fanya kazi acha ma comment za vilema
kabisa yan
Mondi nakuelew kichiz
😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna lolote kazi majigambo tu ila hana jpya tena abaki tu kusaidia wengne aachane na mziki kwa sasa
Hujui kitu kima wewe
Acha makasiriko na chuki utakuwa mchawi ufanani nae mondi
Nikwel sifanan nae pia hata ww ni km mm tu huna lolote
Kweli mondi kwenye suala la tuzo Kuna figisu sana