Waafrica tulipewa akili tofauti na watu weupe kwani mwalaabu hawezi kukuuzia hata jangwa stakuambia nina kazi nayo ila mweusi toka ukoloni walikuja wakaoewa kila kitu sijui nini!!!!!?
Wana CCM Nani kawalaani? Mpango mzima ni✌️chadema ni chama yenye uchungu na nchi yake.siyo hawa madalali ya nchi yetu eti nani Kama Mama mpigadili na waarabu ktk taifa letu ila Zanzibar hapana.
Kaka mbona magufuli alipowazuwia wakina bariki kwenye mikayaba ya hovyo ulikuwa upande wa majizi ya ndani na nje sikuelewagi......Watiemoyo wanaofanya vizuri utajijengea kuaminiwa na waTz.chunguza kwasasa Tz wana akili sana siyo maneno .VITENDO.
Ni kuondoa Vyama vingi, no choice making,, dili la mabepari duniani ni vyama vingi,, NDIYO maana huwezi sikia ujinga huu china na kwingine, hata mkipata biblia Au Quran kwa Ubepari huu unao tumia vyama kutugawa bado sana,, makundi kwao ndo dili, hakuna serikali yenye nguvu mbele ya mabeberu,, wamo kwenye siasa.
Wenye uovu ndani ya mioyo huwa na vichws vya hila na kushikamana ktk hila zao lakini hawapendani kwa kuwa wanajuana ktk anga zao za uovu wa mioyo. Tuwe na mioyo ya kupenda unyoofu, kuwa na akili yenye kupenda kuutenda mema kwa ajili ya wengine, akili nzuri hutokana na moyo mzuri na kuna mawasikiano kati ya moyo na akili zetu. Ukiona ndimi zenye wongo na hila nyingi, ni kielelezo cha moyo mbaya na unafiki wa mshikamano ktk maovu. Tujihadhari na aina hizi za watu ni hatari kuliko ukoma. Kuweni macho wanajifanya kuwa na mema lakini hawajawahi tenda na kunena njema kwa ajili wengine ktk maisha Yao, ila kuhubiri Chuki. Hawana maono ya kimaendeleo na maelewano kati ya watu, ulishawahi kusikia maneno aina hii ktk mahubiri Yao?
Hapo sasa Mzee lisu unaona nikwa nini Rais wetu j.p Magufuli alikuwa hawapendi hao watu Weupe njo hayo sasa Inchi tayari imeisha pingwa Mnanda kisha na kukosa Akili ya Askofu Gwajima kama nikujitama nisha kila akisema tu anasema Hivi Maman Samia suluhu hoyeeeee yani Gwajima simpendi kwa Maana ni Askofu Mnafki
Hawa wabongo wanamatatizo. Wao wako Zanzibar tokea 1964 wanakereka kwa Mama Samia. Hawa ni wabinafsi. Bora kila mtu aburure lake. Haina maana kelele za siku zote
Nchi haiwezi pigwa mnada. Nchi ina dhamana zakutosha. Na kukopa lazima kuna miradi mikubwa haiwezi kujengwa bila mikopo. Hata nyie mkipewa nchi mtakopa tu. Hata mbowe ana miradi yake na uwa anakopa kuendesha biashara zake.
Sio kweli mungu hapendi kukopa ovyo ndo mana akaweka tanganyika madini na reselemali nyengine ili musiwe omba omba Nani kasema lazima kukopa uo ni uongo
We ni kuku uliyefungwa kamba. Hutaki kufunguliwa kutokana na elimu yako ndogo.akili butu kabisa tena mtindi. Aidha wewe ni lichawa au lipumbavu fulani lisilojielewa! Aibu kabisa! Elimu yako ya msingi kama unayo hakusaidii lofote maana hata uelewa wako uko chini ya wastani! Wajinga ndo waliwao ! Pole sana!
We ni kuku uliyefungwa kamba. Hutaki kufunguliwa kutokana na elimu yako ndogo.akili butu kabisa tena mtindi. Aidha wewe ni lichawa au lipumbavu fulani lisilojielewa! Aibu kabisa! Elimu yako ya msingi kama unayo hakusaidii lofote maana hata uelewa wako uko chini ya wastani! Wajinga ndo waliwao ! Pole sana!
@@johngerald4677 ina maana kuwa hujasikia hizo hoja zinazotolewa na watu wasomi wenye ueledi? Ndo maana nasema -" SHULE" mzee!!! VIPI wewe? Amka umelala! Sikiliza hao wanaume wakiongea utaelewa!
Wana Chama, Mashabiki na wapenzi wa CHADEMA wahauriwe, na muwahimize wakajiandishe kwenye Daftari la wapiga kura ili CHADEMA ijihakikishie ushindi.
Mzoga haukosi inzi,kama wewe ccm itakuchoma sana maana watu wamechoka mpk watoto wadogo,hawana la kumjibu kwakua mkweli,.lisu oyeeeee
We lisu unaelimisha na unavichekesho hongera
Katiba mpya ni lazima halikwepeki
Mh, iyo ni spana tosha tunaojitambua tunaelimika na tunakuelewa vyema...
Kwa hili mm ccm feki na muunga mkono lissu kbs mungu akulinde hili kbs ❤
Waafrica tulipewa akili tofauti na watu weupe kwani mwalaabu hawezi kukuuzia hata jangwa stakuambia nina kazi nayo ila mweusi toka ukoloni walikuja wakaoewa kila kitu sijui nini!!!!!?
Acha aendelee kutuelimisha ss ww ambaye Anakudanganya basi acha kumsikiliza
Watanzania tuamke tudai katiba mpya kweli hii katiba ya sasa ingekuwa huru Rais anauwezo gani wamkumtowa kiongozi wa muhimili mwingine ulio huru
Lisu umesahau kusema kuwa yanga ni bingwa
Wana CCM Nani kawalaani? Mpango mzima ni✌️chadema ni chama yenye uchungu na nchi yake.siyo hawa madalali ya nchi yetu eti nani Kama Mama mpigadili na waarabu ktk taifa letu ila Zanzibar hapana.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Zanzibar ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Kaka mbona magufuli alipowazuwia wakina bariki kwenye mikayaba ya hovyo ulikuwa upande wa majizi ya ndani na nje sikuelewagi......Watiemoyo wanaofanya vizuri utajijengea kuaminiwa na waTz.chunguza kwasasa Tz wana akili sana siyo maneno .VITENDO.
Fact.
Tengeneza sera ,acha kuongea upuuzi
Ni kuondoa Vyama vingi, no choice making,, dili la mabepari duniani ni vyama vingi,, NDIYO maana huwezi sikia ujinga huu china na kwingine, hata mkipata biblia Au Quran kwa Ubepari huu unao tumia vyama kutugawa bado sana,, makundi kwao ndo dili, hakuna serikali yenye nguvu mbele ya mabeberu,, wamo kwenye siasa.
Lisu komedi tu hana jipya
Petty. The country is doing well and progress is being recognized internationally.
Wenye uovu ndani ya mioyo huwa na vichws vya hila na kushikamana ktk hila zao lakini hawapendani kwa kuwa wanajuana ktk anga zao za uovu wa mioyo. Tuwe na mioyo ya kupenda unyoofu, kuwa na akili yenye kupenda kuutenda mema kwa ajili ya wengine, akili nzuri hutokana na moyo mzuri na kuna mawasikiano kati ya moyo na akili zetu. Ukiona ndimi zenye wongo na hila nyingi, ni kielelezo cha moyo mbaya na unafiki wa mshikamano ktk maovu. Tujihadhari na aina hizi za watu ni hatari kuliko ukoma. Kuweni macho wanajifanya kuwa na mema lakini hawajawahi tenda na kunena njema kwa ajili wengine ktk maisha Yao, ila kuhubiri Chuki. Hawana maono ya kimaendeleo na maelewano kati ya watu, ulishawahi kusikia maneno aina hii ktk mahubiri Yao?
Hapo sasa Mzee lisu unaona nikwa nini Rais wetu j.p Magufuli alikuwa hawapendi hao watu Weupe njo hayo sasa Inchi tayari imeisha pingwa Mnanda kisha na kukosa Akili ya Askofu Gwajima kama nikujitama nisha kila akisema tu anasema Hivi Maman Samia suluhu hoyeeeee yani Gwajima simpendi kwa Maana ni Askofu Mnafki
Asante kamanda!
Vihoja vya Lisu
Wee umeona muungano up sawa?
Andamaneni lakini dawa ili ikolee, rudisheni wanenu toka ughaibuni, siyo tuuliwe peke yetu! Likishindikana hilo, ng'o hamtupati bro.
tutawaonyesha tuu majizi ya uchaguzi mafisiem
Lisu na ndugai wapatana baada ya uhasimu wa muda mrefu
Wajinga nyie Magufuri alipambania nchi hamkuliona mlimtukana na kumuita majina yote mabaya sasa wacha watunyoshe kwa pamoja
Utasema sana.tena sana.
Hawa wabongo wanamatatizo. Wao wako Zanzibar tokea 1964 wanakereka kwa Mama Samia. Hawa ni wabinafsi. Bora kila mtu aburure lake. Haina maana kelele za siku zote
Ss wazanzibar ndio wajinga maana tunaona na hatukemei Ila wenzetu wanaakili wanaona na wanaondoa kwa mikono Yao Ila ss tunaviruka
Yote unataka urais.acha maneno.je wewe pesa utazitoa wapi?kama hautakopa
tumbo la kuhara limepoa? au bado uharo unakusumbua?
Haina haja tanganyika kukopa maana madini mungu amekupeni kukuepusheni kukopa ovyo lakini bado munawaacha viongozi uchwara wanakopa ovyo tu
Huyo ni wakili jamani sio kwambia ajasoma , ni wakili sasa unahoji anapata wapi hela
acheni uongo nchi kukopa haikuanza leo. spika alitaka urais akashindwa
Acheni Uongo. Fanyeni Siasa msidanganye wenye akili
Mfano upo kwako huna akili sawa!
Heri ya mjinga kuliko mpumbavu, mpumbavu hajui kwamba hana akili na hatafakari kabla ya kuandika ujumbe
Wewe ndio mjinga nambar moja.
Uongo ni upi hapo? Spika hakufukuzwa kihuni? Katiba ilifuatwa? Acha upunguwani usije ukaeleweka huna ubongo.
Watanzania amkeni CCM haitakupelekeni popote mtaendelea kuwa maskin mpka lini
Nchi haiwezi pigwa mnada. Nchi ina dhamana zakutosha. Na kukopa lazima kuna miradi mikubwa haiwezi kujengwa bila mikopo.
Hata nyie mkipewa nchi mtakopa tu.
Hata mbowe ana miradi yake na uwa anakopa kuendesha biashara zake.
Sio kweli mungu hapendi kukopa ovyo ndo mana akaweka tanganyika madini na reselemali nyengine ili musiwe omba omba Nani kasema lazima kukopa uo ni uongo
Huyu mbwaaaaa kbs kuma kbs mnafk
Porojo za ajabu!
Mungu tutunzie huyu tundu lissu atuokoee kutoka kwa wakoloni Weusi ccm
We ni kuku uliyefungwa kamba. Hutaki kufunguliwa kutokana na elimu yako ndogo.akili butu kabisa tena mtindi. Aidha wewe ni lichawa au lipumbavu fulani lisilojielewa! Aibu kabisa! Elimu yako ya msingi kama unayo hakusaidii lofote maana hata uelewa wako uko chini ya wastani! Wajinga ndo waliwao ! Pole sana!
Mungu tutunzie huyu tundu lissu atuokoee kutoka kwa wakoloni Weusi ccm
Mungu tutunzie huyu tundu lissu atuokoee kutoka kwa wakoloni Weusi ccm
We ni kuku uliyefungwa kamba. Hutaki kufunguliwa kutokana na elimu yako ndogo.akili butu kabisa tena mtindi. Aidha wewe ni lichawa au lipumbavu fulani lisilojielewa! Aibu kabisa! Elimu yako ya msingi kama unayo hakusaidii lofote maana hata uelewa wako uko chini ya wastani! Wajinga ndo waliwao ! Pole sana!
Toa hoja
@@johngerald4677 ina maana kuwa hujasikia hizo hoja zinazotolewa na watu wasomi wenye ueledi? Ndo maana nasema -" SHULE" mzee!!! VIPI wewe? Amka umelala! Sikiliza hao wanaume wakiongea utaelewa!