Kampuni ya Royal Media Services yadhamini matembezi ya maradhi ya kisukari

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Mamia Ya Wakenya Wamejitokeza Mapema Leo Kwenye Matembezi Ya Maradhi Ya Kisukari Yaliyoongozwa Na Kitengo Cha Kidijitali Cha Citizen Kwa Ushirikiano Na Kituo Cha Magonjwa Ya Kisukari Nchini Kwa Udhamini Wa Kampuni Ya Royal Media Services Katika Uwanja Wa Carnivore,Nairobi.

Komentáře • 1