Wafanyabiashara wa soko la Sabasaba na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma waingia kwenye mvutano

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 04. 2022
  • Hali hiyo imetokana na agizo la Mkurugenzi wa Jiji Joseph Mafuru kutaka wafanyabiashara wasajiliwe katika soko hilo ili kuwatambua wakati Serikali inalenga kulibomoa na kujenga upya, ambapo idadi ya wafanyabiashara sokoni hapo ni zaidi ya 7000 ambao sasa wanatishia kuwa wakilazimishwa kujisajili watafanya maandamano ya amani kwenda ili kushinikiza Serikali kuwaaacha kwenye maeneo hayo ambayo wamedai wanalipa kodi hivyo yatambulike kama maeneo rasmi.

Komentáře • 9