Wafanyabiashara wa soko la Sabasaba na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma waingia kwenye mvutano
Vložit
- čas přidán 17. 04. 2022
- Hali hiyo imetokana na agizo la Mkurugenzi wa Jiji Joseph Mafuru kutaka wafanyabiashara wasajiliwe katika soko hilo ili kuwatambua wakati Serikali inalenga kulibomoa na kujenga upya, ambapo idadi ya wafanyabiashara sokoni hapo ni zaidi ya 7000 ambao sasa wanatishia kuwa wakilazimishwa kujisajili watafanya maandamano ya amani kwenda ili kushinikiza Serikali kuwaaacha kwenye maeneo hayo ambayo wamedai wanalipa kodi hivyo yatambulike kama maeneo rasmi.
Salimia Sana mzee asumani ongala hapa
Ni kweli mafuru ni tatizo
Wambie ukweli
Mungu tusaidie watoto wako
Mzee umeongea safisana huyo mkurugenzi anataka awagombanishe wananchi na mweshimiwa rais
Wawaache jamani watu Wana mikopo Yao hapo 77 mama Samia waangalie Wana sabasaba jaman
MJERUMAN
Wambie ukweli
Wambie ukweli