Tatizo sisi watanzania hatuko serious kwenye vitu vyetu, yaan unapost mashine yakupandia halafu huna, tukipiga simu tunaambiwa mara mwez wa 11, tuwe kidogo serious haya nimaisha yetu sote tunataka tusonge mbele kilimo cha zaman kimetuchosha tunahitaj modernized ways, sorry Kama nimewakera
Mbona hujibu bei gani
Ya mistari 4 bei gani
Beishingap
How many Tanzania shillings and where are available in Tanzania?
Bei gani hiyo mashine, na je inapanda inchi ngapi
Inauzwaje machine hii
Acheni kucheza na akili za watu
Sh ngapi
Tatizo sisi watanzania hatuko serious kwenye vitu vyetu, yaan unapost mashine yakupandia halafu huna, tukipiga simu tunaambiwa mara mwez wa 11, tuwe kidogo serious haya nimaisha yetu sote tunataka tusonge mbele kilimo cha zaman kimetuchosha tunahitaj modernized ways, sorry Kama nimewakera
Uko sawa
Shingapi mashine hiyo
0655803070 tuwasiliane
Namba zipo hapo wapigie
@@agrimectanzania7516 taja bei hapa ili kupunguza maswali
Shngp nahitaj hyo mashine
Niliwapigia tar 3 oct 2020 bei laki Saba na ishirn saiv hawana Hadi mwezi 11,( wangeangalia bei upya)