EXCLUSIVE: BARNABA AKIRI KUBADILI DINI.. ANAITWA MOHAMED, MAUA YA DIAMOND, AELEZEA YA HARMONIZE -PT1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 339

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před rokem +25

    Karibu kaka yangu muhamedi, Allah akulinde na mabala

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Před rokem +10

    Hongera Barnaba kwa uislam Mr.Mohamed uso wako una nuru .MashaaAllah

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Před rokem +16

    Mash'Allah, Allah Akujalie !

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 Před rokem +42

    Karbu Kwa dini yetu ya haki Allah akudumishe Kwa dini hii ampaka kifo chako ❤

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před rokem +5

    Katika vi2 ambavyo umevifanya barnaba kuingia katika dini ya hakh umefanya jambo kubwa ..kuna vesi ya quran inasema ina din li Islam akuna dini ispokuwa uwislam nafikili surat imaran ndomana watu wanaofaham special maprofesa wa kizungu wakitambua hakh bac ukubari fasta .na watu watakuja juta wakati wanaingizwa makaburini ndo .utaona biashara umepata faida au hasara ..Allah akupe nguvu na umejipa jina la kipenzi cha Allah. Muhammed..mashaa Allah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Před rokem +15

    Pamoja sana Barnaba nakukubali mr mohammed 👏👏👏

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Před rokem +25

    This man is very positive and really calm

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 Před rokem +1

    Wakristo acheni makasiriko, mwenzenu kaja kwenye nuru dini ya haki. Takbeeeeer 📣📣📣📣📣

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Před rokem +18

    Baranba hana zarau ni mtuu yupo sipo sana mungu amtagulie sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před rokem +14

    MashaAllah....

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Před rokem +10

    Barnabas jaman usoni una Nuru sana na umeng'ara HADI raha hakika umedamsh

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před rokem +1

    MASHALLAH..SAI...UKO..SAWA.. UMENONA..MOPAO..OGERA..SN❤❤

  • @SH3Y03
    @SH3Y03 Před rokem

    Raya any day you see this just know that you are a real gem MashaAllah…learned sth here today😊🤍Clever Woman!👏🏽

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +6

    Kaka pia hili uimalike
    Jifunze kwa kuangalia
    Mihazara ya kidin ikiwemo
    Shekhe kinyogoli na upande wapili
    Na ungalie mihazra ya shekhe
    Habib mazinge kutoka tanzania
    Na wachungaji wakiwa wanatoa
    Maneno kwenye vitabu vyote utajua
    Ukwel upo wap Jazaq rlau allah
    Atakuwekea wepesi inshahallah
    Kaka mo! Welcome in islam

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před rokem +4

    MAA shaa allah

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Před rokem +7

    Maashaallah

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před rokem +2

    Nakupenda bro barnaba kari kwenye dini ya haki 😘 dini yenye Uhuru wa mambo ya haki mbele za Allah 🙏💞

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +6

    Mashaallah

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Před rokem +1

    Hongera sana Kwa kuamua kuacha ukapela karibu kwenye dini yetu

  • @elsonkingtz4506
    @elsonkingtz4506 Před rokem +4

    Jibu ni hili kwa wale wote wanaobeza ukristo utofaut wetu ni huu, waislam wanafata mandiko pekeake, ila wakristo tofaut na mandiko kuna kitu kinaitwa roho mtakatifu mwenyez mungu ni mwema sana alijua kabisa kua sisi pekeetu hatuwez ndy maana waislam hawatokaa waelewe chochote kuhusu ukristo kwasababu wao ni tofaut na huenenda kwa hakil zao tu na kufata kitabu tu, kwao maono au roho mtakatifu ni kitu kigen kwao, kwahyo msibishane nao maana hawatoelewa kabisa kikubwa mwachien mungu mwenyewe ana fungu lao, kama mwenyez mungu humpa uhai mpka shetan alieasi mbingun why asiwape hata wale wanaokataa maagzo yake!

    • @ashahassan2667
      @ashahassan2667 Před rokem

      Duu pole elson kingtz upo kwenye msitu wenye giza nene sana mwenyezimungu akufanyie wepesi utoke huko

    • @khalekichambo1131
      @khalekichambo1131 Před rokem

      Wewe ni kondoo ulie potea, bado unahema tafuta dini ya haki

  • @kingsmash254
    @kingsmash254 Před 11 měsíci

    Kaka big up sana for that its like amazing decision

  • @themaquin2177
    @themaquin2177 Před rokem +8

    Karibu NDUGU yetu.

  • @emanuelnyonyi1866
    @emanuelnyonyi1866 Před rokem +5

    Nakukubali sana brother

  • @fatmajuma5475
    @fatmajuma5475 Před rokem +3

    Maashaa allah kaka anasauti nzuri sana

  • @leilasalim-2009
    @leilasalim-2009 Před rokem +15

    Allah akuongoze Kaka wisilam din ya haki karib sana

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 Před rokem +3

      Hapo ndio mnapoharibu.uislam ni dini kwenye dini kuna wauaji,kuna majambazi,kuna magaidi,kuna wezi,kuna wezi,wara rushwa.itoshi kusema karibu kwenye uislam.ila dini ya haki si kweli unaweza ukawa na haki wewe mwingine jambazi na ni muislum.pambania pepo utaenda peke yako .hutoenda kwa dini,

    • @svt3
      @svt3 Před rokem

      Leila Salim: magaidi wote .....

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 Před rokem

      @@svt3 mwenzangu mimi nimmkristo napambania pepo yangu siwezi sema karibu ukristo dini itakayokupeleka mbinguni dini ndio inayompa mtu pepo au wewe mwenyewe tengeneza na Mungu wako.unajua tumekuwa na theory za kikoloni hadi leo.

    • @yeunhiasrwetze8377
      @yeunhiasrwetze8377 Před rokem +2

      ​@@foodbasiccourt2028 sio majambaz TU Zanzibar 100% n Islamic na ndo wanaongoza kufirana wanasema n suna

    • @yeunhiasrwetze8377
      @yeunhiasrwetze8377 Před rokem

      Zanzibar n Islamic 100% na ndo wanaoongoza kufirana wanasema n suna

  • @muddyally8463
    @muddyally8463 Před rokem +3

    Mungu akuongoze brother

  • @upendomahenge3802
    @upendomahenge3802 Před rokem

    He is so smart,

  • @babybaby8384
    @babybaby8384 Před rokem +18

    Mashaallah karibu sana kwenye dini yetu😍

    • @myleskenya
      @myleskenya Před rokem +1

      Dini Hakuna place itakupeleka remember this don't die a Muslim,jena lazima utaingia

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem +1

      ​@@myleskenya wivu wendoutaingua motoni ukiya kwenye ukafiri

    • @myleskenya
      @myleskenya Před rokem +1

      @@fatmafatu1128 kati ya mkristo na muislam Nani kafiri?wakristo walitangulia kabla Islam hata quran inajua hivo

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem +2

      @@myleskenya kafiri ninyie hata chooni mnaingia na makaratasi mnatembea mnanuka kinyesi

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem +3

      @@myleskenya dini ni moja tu islaam hizo zingine maigizo na byashara

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před rokem +17

    Alikiba badilika wafollow na wenzako hata wengine wangeweza zaidi Yako kukaa bila kufollow watu wengine ,lakini Kwa ubinadamu na utu wameonesha utu wao Kwa wengine sio kama wewe hicho ni kiburi na ushamba my friend napenda sana ngoma zako ila Kwa hili umefeli sana mkuu

    • @teophilletus8969
      @teophilletus8969 Před rokem +3

      Ww ndo mshamba mbn jay z hajamfollow mtu yeyote kwan kina ana kosa gan sio kiba ndo wa kwanz Ni maamz ya mtu na pendekezo lake

    • @jimmyangela5717
      @jimmyangela5717 Před rokem +4

      Usilazimishe aish unavyo taka ww kila mtu Ana lifestyle yake brooo

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu Před rokem +3

      Uzuri kiba wala hangalii comment zako

    • @pastoraile7195
      @pastoraile7195 Před rokem +1

      Www hujuwi kituu Jay z kafollow nani????

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu Před rokem

      Kama kweli haangalii comments za mashabiki zake anafeli nisawa na wewe kuwa na duka halafu hujali maoni ya wateja wako ,wote wataenda dukani Kwa jirani Yako hata akifunga watamsubiri hadi arudi hata kama utakuwa na kila kitu dukani kwako 😄 😄😄

  • @kimah9461
    @kimah9461 Před rokem +1

    Karibu kwa dini yetu, MashaAllah hongera ndugu angu

  • @harouniddy4626
    @harouniddy4626 Před rokem

    Maashaallah, Allah akulinde na akuepushe na changamoto zitakazo tokea, inshallah

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 Před rokem +8

    Mirard nakufatiala sana pia nikijana naomba support kwenye biashara yangu ya mtaji

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před rokem

      Haujaeleweka biashara ya mtaji ndo ikoje?

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před rokem +3

      pamoja sana Ndugu, ni biashara gani ?

    • @santosclassic9935
      @santosclassic9935 Před rokem +2

      Nafanya biashara ya kuuza cm ndogo nilipata ajali ya kugongwa na gari nilikuwa na mwenzangu alipoteza maisha Mimi nilivunjika sana mtaji wangu wa simu ulikatika Kwa kuniuguza kaka naomba unisaidie

    • @poucostantin4403
      @poucostantin4403 Před rokem +2

      Yaan hakuna media naikubali tz kama Millard ayo

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Před rokem +13

    He speaks very gently

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 Před rokem +5

    Hongera kwakuwa muislan

  • @hemedinabinga3604
    @hemedinabinga3604 Před rokem +4

    Allah ambarik na amdumishe katika Uislam

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před rokem

    Hongera kila nabii ukimsoma alitawadha ndoakaingia kuswali kwhyo karbu, tafuta masahafu ya yeny tafsir ya Swahili iliumuone vzr Nabii Isa ambaye ni yesu utafurah Sana kuwa mwsilam.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +2

    Nampenda sana uyu brother, Namkubali mno 😘😍

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem +1

    Kama umegundua Afya amezidiwa kete kwenye ubalozi na Afiya, gonga like hapa, ni wachache wataelewa hii😂

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před rokem +5

    Millard yuko very smart na maswali yake

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 Před rokem +3

    Mimi sibadilishi dini kwaajili ya mtu kwa kweli
    Naungama ubatizo mmoja kwa maondoleo ya dhambi 🙏🙏

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem

      Sababu hujitambui ukijitambua atakuja kwenye haki

    • @claudiayohana6576
      @claudiayohana6576 Před rokem

      @@fatmafatu1128 wew pia hujitambui

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Před rokem

      Uko sahihi kwa mtazamo wako kaka ila fuatilia hizi dini utapata ukweli soma maandiko ya biblia kisha tafakari ukiwa mwenyew tu utapata majibu

    • @khalekichambo1131
      @khalekichambo1131 Před rokem

      Wewe kondoo ulio potea

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 Před rokem

      ​@@claudiayohana6576akili hana huyo Yani ubadilishe dini kisa mwanaume au mwanamke ni ujinga

  • @harunaabu3083
    @harunaabu3083 Před rokem

    Dhhhhaa braz umetisha sana Allah akutangulia kaka

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před rokem

    Masha Allah Mungu akudumishe ktk iman

  • @MNHAMAOFICIAL
    @MNHAMAOFICIAL Před rokem

    Shallah❤❤❤

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +3

    Barnaba yupo smart sana pia Millardy Ayo umeuliza maswali mhimu sana🙌🙌

  • @gracemnyani6848
    @gracemnyani6848 Před rokem +4

    Barnaba kumbuka Yesu Kristo alisema ukinikana mbela za watu nami nitakukana mbele za Baba yangu aliye Mbinguni.

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Před rokem

      @@kylesmeight4837hahahahaha. Swali zuri sana. Hebu atujibu

    • @teophilletus8969
      @teophilletus8969 Před rokem +2

      Ebu acha kumtumia yesu vibaya Grace dadangu tatzo lenu mnamjua yesu kwakufundishwa na watu na si kumjua yesu kwa kumsoma Zaid pole yesu atawakan ninyi wakat uo

    • @hawahabibu3881
      @hawahabibu3881 Před rokem +4

      Yesu cyo Mungu

    • @experiencetours5037
      @experiencetours5037 Před rokem +3

      Huwezi kuwa miuislam kama hujamkiri yes kama ni mtume wa Mungu , acha imani potovu Grace fanya na wew usilimu . Kariba kama uislam Grace

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před rokem +1

      ​@@kylesmeight4837 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ibrahimuomari-ck5fv
    @ibrahimuomari-ck5fv Před rokem +1

    Allah atakabali duwaa

  • @Mbossokhanmatelephone98
    @Mbossokhanmatelephone98 Před rokem +5

    One of the most educating interview ❤

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 Před rokem +2

    Yeyote atakayenikana nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa kweli na yesu kristo uliyemtuma

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Před rokem

      Yesu Mungu or ametumwa na Mungu???

    • @khalekichambo1131
      @khalekichambo1131 Před rokem

      Huyu hajamkana maana kwenye Uislam tuna mkubali sana Issa bin Maryam (Jesus the son of Mary not God)
      Mpe hongera ya kumkubali Yesu anavyotakiwa kukubaliwa

  • @BJOKER-ef7zi
    @BJOKER-ef7zi Před rokem

    Real

  • @myleskenya
    @myleskenya Před rokem +13

    Matthew 10:33-35
    King James Version
    33 But whosoever shall deny me before men, him will I also deny before my Father which is in heaven.
    34 Think not that I am come to send peace on earth: I came not to send peace, but a sword.

    • @hapaupdates9277
      @hapaupdates9277 Před rokem +2

      Muslim never deny Jesus Christ

    • @hamismussa428
      @hamismussa428 Před rokem +2

      Hakika hii ndo dini ya haqi lakini watu wengi hamjui qur30:30

    • @myleskenya
      @myleskenya Před rokem +1

      @@hamismussa428 Ni dini ya haki kwa mdomo Pekee, but Kwa maandiko Islam is a religion of lies na bila uongo Islam is nothing,swali kwako Kama Ni dini ya kweli Muhammad ako uhai? Isah ako uhai ukijibu hiyo utajua dini yenye niya kweli..mimi ndiye niko supposed kukufunza

    • @hamismussa428
      @hamismussa428 Před rokem

      @@myleskenya there's no even a single lie about Islam the reason is that you have been lied about Islam since you were children

    • @issaramadhan
      @issaramadhan Před rokem +3

      @@myleskenyachuki inakusumbua bure, baki ukiamini dini yako na sie tuamini dini yetu islam 🫡

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Před rokem +3

    Akili kubwa sana daah

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc Před rokem +4

    Wakwanza hapa classic

  • @shufaamakame5839
    @shufaamakame5839 Před rokem +1

    MashaAllaH AllaH akuongoze kwenye matendo mema ishaAllaH

  • @KitwikaBrown
    @KitwikaBrown Před rokem

    Kiukwel barnaba ni classic

  • @lilianmasoud1444
    @lilianmasoud1444 Před rokem +2

    Msenge tu huyu mtt wako Steve atakuwa din gan sasa

  • @rashidimasoud558
    @rashidimasoud558 Před rokem

    NOTED

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar9583 Před rokem +1

    Sio rahisi sana kukutana ndugu zetu Wakristo kutukana...ila ingekuwa ndio ndugu yetu mmoja katamka kubadili dini kutoka Islamic eee..angeshambuliwa sana...sijui kwa nini huwa tunajihesabia haki?

    • @pharm.kayombo
      @pharm.kayombo Před rokem

      Correctly inabidi kujitafakari, coz anayejikweza atashushwa

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 Před rokem

      Hebu soma comment uonr wakristo wanavyomtukana

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238 Před rokem

    Mabruk.. karibu katika dini ya haki

  • @Vetexenterprise
    @Vetexenterprise Před rokem +1

    The guy is very very smart

  • @Zuulito
    @Zuulito Před rokem +2

    hiyo Afiya naipenda jamani😋

  • @mosesmayala5961
    @mosesmayala5961 Před rokem +2

    Daimomdi mtu Safi Sana

  • @NatacollectionMushi-ux2xm

    Ana sound kama mkongo. 💛😘😘

  • @ochuramieochuochu3210

    barinaba 👏

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před rokem +2

    Bro nna ideas ningependa tuchekiane What's App km hutojali

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před rokem +3

    Nakukubali sana Millardayo 👍

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf Před 3 měsíci

    Sababu mkeo bwana

  • @siamejerry9239
    @siamejerry9239 Před rokem +2

    Mond known business

  • @InnocentSelemani-jq1jf

    Huyo mshamba tena nazifuta nyimbo zako.

  • @allymasuke1543
    @allymasuke1543 Před rokem

    Takbirrrrrrrrrrrrrrrrrii

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Před rokem

    Barnaba hongera

  • @isaacelijah6516
    @isaacelijah6516 Před rokem +1

    I feel so sorry for him 😭. From Yeshua ✝️ 2 Abdollism 😭😭😭. Hope Yeshua will show him the right way soon ✝️. Go and listen 2 Christian Prince and David Wood u will learn a lot about islam Abdollism.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před rokem +2

    Ruge hakuwa Mzee ila uko vzr sana sana endelea kujitafuta nakuona unauwezo wa kubadili muziki wako.

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf Před 3 měsíci

    Kwahapo kwaeri

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Před rokem

    mmmmh Barnaba bwana, hebu niishie hapa kwanza

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před rokem

    Hapo kwenye ku badili dini sijakupenda, huwa nakuelewa

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Před rokem

    Mungu mkubwa barnaba nakupongeza kwa hilo.allah akusimamie akuonyeshe haki uweze kuifata na batwili uweze kuiacha.fanya kazi ila usisahau hamsa salawat uwe miongoni mwa hamsa salawat insha allah.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +2

    Ehh hv nchi hii kazi kubwa ni usanii tu

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Před rokem +1

    Barnabas nioao watz

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Před rokem

    dahaaaaa 🤣😂🤣🙌 haweeeee mwanaume kubadili dini hii kali ya dunia lakn sawa husisaau kufatiliya hibada zote za kawe kwa mwamposa husisahau hulipo toka 👏ongera kwa yt🤝🤝🤝

  • @othmanhamad4626
    @othmanhamad4626 Před rokem +2

    Wala nasibu hajawahi kunituma nisiongee na diamond

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem +2

    Barnab bn unasifia

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Před rokem

    Chokoooooo

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Před rokem +8

    Kuwa tuu muwazi kuwa umebadilisha Dini sababu ya Mwanamke
    Usitufanye Watoto wadogo hapa
    Hilo ni shinikizo tuu
    Hata Mkweo alisema hivyo hivyo
    Ukumbuke tuu Ndoa sio kitu cha kuaminika sana ikitokea Ndoa imevunjika utaanza kiherehere cha kurudi Ukristo
    As a Man you need to stick with your self sio kupelekeshwa na mapenzi

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před rokem +1

      Ayo ndo unayojidanganya akuna mtu unaweze kumwambia abadili dini ispokuwa Allah ameandika ukiona kaacha mke au mume ujue aikundikwa alichokiandika Allah akibadili km kufa

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Před rokem +1

      @@hajjiomary2383 NDUGU ZETU WA DAMU WAKOROFI SAAANA UKIWAAMBIA UKWELI KUHUSU DINI LAKINI WAJUE ALLAH HUMPA AMTAKAE NA HUMNYIMA AMTAKAE

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před rokem

      Brother iman ki2 muhim sana ..alichokiandika mungu akibadiliki hata kwa uchawi

  • @joneydomin6708
    @joneydomin6708 Před rokem

    MWANAUME WA KIKRISTO KUBADILI DINI KWA AJILI YA MWANAME UNADANGANYWA WEWE MWANAMKE.KUNA VITU HUYO MWANAUME AMEVIFUATA KWAKO.HUYU MWONGO MSIKITINI HATOINGIA RAMADHANI HATOFUNGA NA KUSWALI HATOSWALI . WANAUME WA KIKRISTO NI WAJANJA SANA

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Před rokem +3

    Chama chetu ukijiunga kule hakuna Bwana asifiwe kule Asaam Alekum hivyo lazima kubadili dini ili waende sawa

  • @Zsdaughter
    @Zsdaughter Před rokem +16

    Karibu kwenye mila ya Adam, Ibrahim, Moses, Issa ambae ndio Yesu, dini ya Ismail na Elias na Maelf ya manabii na mamessengers.
    Dini ambayo haijatoka ulaya.
    Wote walimuabudu Mmoja na hawakumshirikisha na kitu chochote na wanakubali kuwa wao hawafanyi chochote isipokuwa kwa uwezo na ruhusa kutoka kwa mola wao mmoja.
    Mola ambae hasinzii wala halali
    Sifa ya kusinzia ni ya viumbe, kiumbe akilala anakuwa weak na anaweza akafanywa chochote. Hiyo sio sifa ya Mungu wa kweli.
    Mungu ambae hali ila analisha watu na viumbe kwa kuwazawadia rizq.
    Sifa ya kula ni ya sisi viumbe na ukila lazima utoe hicho ulichokula au kunywa.
    Mungu ambae yuko hai masaa yote, hajawahi kuiacha dunia yake, sifa ya kufa ni ya viumbe na sio ya Muumba.
    Ndio tunamtegemea all the time.
    Anakitabu ambacho kimekamilika 100%
    Na Yesu anavyoondoka alisema kijiti anamwachia ndugu yake ambae anaitwa Ahmad.
    Ipo kwenye biblia na quran.
    Sasa wee unamfuata Rais wa sasa ambae ni Muhammad sallallahu aleyhi wasallam.
    Na manabii wote wanafuatwa vilivyo.
    Moja ya Mashart ya kuwa Muislam ni kuamini kuwa mitume wote ni wa mwenyezimungu. Yesu yumo ndani.
    Ukimkataa basi umekataa uislam.
    Umeona majina hayo
    Hapo paulo hayupo. Sasa jifunze aliingiaje hapo.
    Sasa kina Milad wao wanamshangaa why?
    Politics na fake news about Islam.
    And kuzungukwa na fake Muslims.

    • @elsonkingtz4506
      @elsonkingtz4506 Před rokem +2

      🤣🤣🤣🤣 usinifanye niseme kua hata hyo imeletwa na waalabu! Haya huyo mungu wenu wa uarabun atamlinda

    • @elsonkingtz4506
      @elsonkingtz4506 Před rokem +1

      Hyo dini kwangu naona ni ushuz tu

    • @elsonkingtz4506
      @elsonkingtz4506 Před rokem

      Yan hapo alichokifanya ni kwenda mbal na uso wa mwenyez mungu maana hakuna dini hapo

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 Před rokem

      ​@@elsonkingtz4506 Fanya research " apple to apple" ili uokoke. Na ikiwa ukweli umepatikana take immediate actions...

    • @mabrozacpmstancesa1207
      @mabrozacpmstancesa1207 Před rokem

      @@elsonkingtz4506 Acha kashfa na dini za wa2 ww nyau🤪

  • @ayushjhayayushjhay2476
    @ayushjhayayushjhay2476 Před rokem +3

    Barnab kafanana na kayumba.

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před rokem

    Mkwe wa Mama Kimbo Nakukubali Sanaa nimewahi kukuona CCBRT Ukiwa na yule. Mwanamke wa kwanza na mtoto Ni Mpole Sanaa Mungu akulinde🙏

  • @finiaskalist747
    @finiaskalist747 Před rokem

    Napendaga tu namna unavyojieleza

  • @manassemike6048
    @manassemike6048 Před rokem +1

    sasa baranaba ww nimujinga kabisa unatupa musalaba unajitwika kabili we vipi??umefanya ujinga sana ludi kwenye dini yako apana huko

  • @ericaasher7535
    @ericaasher7535 Před rokem

    Yaani huyu kaka kubadili dini kisa mwanamke shikamoo mapenziii🙌

    • @olivermarunda7226
      @olivermarunda7226 Před rokem

      Akifa kama mke wa mtu fulani alimuacha mume wa kikrsto akaenda kuolewa na wasemao wasafi leo anaangaika kwenye mitandao kuomba msaada mpk kwa raisi hapo njee dini imemuokoa ujingaa

  • @alandeus2945
    @alandeus2945 Před rokem +1

    Taqbbir 👏👏👏

  • @2badofficial538
    @2badofficial538 Před rokem

    Camera man anazingatia wadhamin

  • @lightnessyaghambe
    @lightnessyaghambe Před 10 měsíci

    Kubadili dini sio kipimo Cha mtu kua mkamilifu ila kwa vyovyote ww unakitu MUNGU akusimamie mana Kila dini inafundisha kua wema na wenye hekma na busara

  • @maase2023
    @maase2023 Před rokem +4

    Huyu nae anabadili dini kwa nn maana ucha mungu hana mziki na yy na yy na mziki Kisha anacheza na dini vp huyu

    • @othmanothman5803
      @othmanothman5803 Před rokem +4

      Hiy pia ni hatua kubwa sana! Kua Muislamu tu pia ni neema kubwa sana!.. Hayo mengine ataaacha kidogo kidogo..
      # Mungu amfanyie wepesi

    • @salmasamir2388
      @salmasamir2388 Před rokem +3

      Mungu ndo mjuzi wa yote Arqam usijfanye we ndo mkosoaji tuombeane ni hatua kubwa kuzaliwa mkristu leo kuslim Mungu amnyooshee njia iliyo sahih

    • @maase2023
      @maase2023 Před rokem +2

      @@othmanothman5803 ss huyu kweli hata dini ana habari nayo kweli? Mziki na yy na yy na mziki jamani tuwe tukiangalia basi

    • @olivermarunda7226
      @olivermarunda7226 Před rokem

      @@othmanothman5803 dini iliyoo safi tatuu kwa sana vipin heren ila ukristo hautaki na Biblia imekataa happ vp

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Před rokem

      @@maase2023 mpaka ameingia ujue kabla ya kuingia alitenga muda mkubwa wa kutafakari juu ya hilo Waislam Tumuombee

  • @nzikobanyankasun-pg5ok

    Hadi nimejifunza kitu kutoka kwake kiukweli nimepnda interview hiyi!tungekuwa na wasani hawa Burundi labda mziki wetu nawo ungepanda!

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před rokem

    Aliyemuona vidox anakuna kidevu akijizuia kucheka baada ya Banaba kusema mkubwa kumcheki hanscana tena gonga likes hapa!

  • @ramlamchonga7669
    @ramlamchonga7669 Před rokem

    Kazi ipo Maana hii family wapo vzr mdomoni🙈

  • @shillahkenny4818
    @shillahkenny4818 Před rokem

    Mpanga mtu kubadili dini kama huyu basi jua kuna kitu ameelewa hajakurupuka msijisemeshe amechoka kuingia kwenye ibada na viatu alivyokanyanga kila aina ya uchafu hivyo tu

  • @beatriceemanuel1098
    @beatriceemanuel1098 Před rokem

    Mulize ben paul