TELEZA! WANAWAKE Arusha WABAKWA na MTU ALIYEJIPAKA MAFUTA MWILI MZIMA, "HALI SI SHWARI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • TELEZA! WANAWAKE Arusha WABAKWA na MTU ALIYEJIPAKA MAFUTA MWILI MZIMA, "HALI SI SHWARI"
    Wakazi wa Murieti Mkoani Arusha wamefanya kikao cha dharura kutafuta suluhisho la Mtu anaedaiwa kuwaingili kwa nguvu wake za watu na kuwabaka mtu huyo waliyempa jina la Teleza
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 80

  • @rehemaibrahim6416
    @rehemaibrahim6416 Před 3 lety +1

    Eee Mungu tunakuomba uwepo nasi sisi wanawake...hii changamoto peke yetu hatuwezi 🙏🙏🙏

  • @tamashanuhu2668
    @tamashanuhu2668 Před 3 lety +4

    😂 huyo teleza alikuwa Kigoma wanawake wa kigoma wamelia sana kwa kubakwa. Mungu amlaani

    • @bentv6769
      @bentv6769 Před 3 lety +1

      yah n kwelii ametesaa sana watuu kigomaa

  • @ligobertwile6590
    @ligobertwile6590 Před 3 lety +2

    Telezaaa? Poleni akinamama mungu atasimama nanyi!!

  • @johariramadhani978
    @johariramadhani978 Před 3 lety +4

    Iyo tabia ni kweli ipo .....Mpangaji wangu alimuona mtu akimchungulia bafuni akiwa anaoga na akawa anajaribu kuingiza kichwa .....siku ya pili alijibanza sehemu ya giza anasubir jinsi ya kuingia ndani 😢😢

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Před 3 lety +1

    Ashindweeeee kwa JINA LA YESU

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 3 lety +4

    🤣🤣🤣 Cha muhim weken mtego ili mumkamt ila hii mpya jamn 🤔😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety +4

    Eti teleza 😂😂

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Před 3 lety +1

    Hongera mwnykt kata kabisa.

  • @ishaomari2232
    @ishaomari2232 Před 3 lety +1

    Hii kuna kipindi Manyara-Babati ilishawahi kutokea ilikuwa tishio sana aise pole sana ndugu zangu

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan8358 Před 3 lety +4

    Subhannallaah

  • @fredmramba6612
    @fredmramba6612 Před 3 lety +1

    Sasa hapo ndio police watuambie intelejensia inafanya nini au wanasubiri chadema

  • @ashiraally527
    @ashiraally527 Před 3 lety

    Teleza ww mungu atakuazibu ww hama tanzania nenda zake huko

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 3 lety +1

    Asiomne siku akamatwe mbn wanaume wenzake watamtelezesha nyuma🤣🤣

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 Před 3 lety +1

    Yawezekana mko naye hapo ktk Kikao, Au ni Popo Bawa kaja Kivingine

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 3 lety

    Huyo hakuna cha kuteleza atakamatwa tu, poleni sana.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 3 lety

    Huyo ni tall bwana wa Masalen 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 Před 3 lety +1

    Kila mtaa arusha nzima wawe na ulinzi shirikishi huwezi jua labda atahamia mitaa mingine

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 Před 3 lety

    Mm naona ametokea kigoma au ni mwenginee maana kigoma irinitakea ndani bahati yangu nirirara na watoto wa kiume huku nimetoka kujifunguwa. hata kigoma anapitia dirishani Mafuta anayoo tumia niya binadamuu ndiyoo maana hashikwi anapita dirishanii porenii sanaaa nimuchawii

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Před 3 lety +2

    Popobawaa karudi!!!

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Před 3 lety +2

    Wanawake wana mambo mengi kweli yaani

  • @stephenrwaich1078
    @stephenrwaich1078 Před 3 lety

    maelezo katika hili tukio bado ni mbegu.

  • @mwajumakweli6774
    @mwajumakweli6774 Před 3 lety +2

    Jamani alafu ana baka watoto wadogo miaka 14 au 15

  • @FatmaFatma-ie3pk
    @FatmaFatma-ie3pk Před 3 lety

    Acheni kusema wa oman mnayo mambo zaid ya wa oman. Ambaye hawezi kuishi oman arudi kwao

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Před 3 lety

    Tunataka mtu aliyefanyiwa ukatili na teleza mmoja japo atuelezee!

  • @bentv6769
    @bentv6769 Před 3 lety +1

    ASIJEE TU AKAANZAA KUFIRA WANAUMEE😁😁

  • @williamgirbet2290
    @williamgirbet2290 Před 3 lety

    Kasumbua sana kigoma uyo teleza

  • @charlzayo3422
    @charlzayo3422 Před 3 lety +3

    Somi karudi au😂😂

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety +1

    Jiendeleeni waTZ magufuli amekufa mambo mengi yataonekana TZ

    • @tatualmazrui5945
      @tatualmazrui5945 Před 3 lety +1

      Kwani yy mungu huyo magufuli kila linalotokea hamna la kusema ni magufuli amekufa mengi yatatokea kwani kabla ya magu kulikuwa hakuna matokeo mengine yaliyotokea hebu acheni mambo yanu hayo

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Před 3 lety +1

    Daaaaah aende Meru atakiona

  • @sanisani5266
    @sanisani5266 Před 3 lety +2

    Jamani 😆😆😆

  • @hapinesslongan4412
    @hapinesslongan4412 Před 3 lety

    Akishikwa auwawe

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 3 lety

    Sasa kama ni mshirikina huwezi kumfuata kyenyeji! Tumia nguvu za giza pia! Hapo ndo mtamnasa vilivyo!

  • @faharimovies
    @faharimovies Před 3 lety

    wengine wamefanikiwa kubakwa !

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 Před 3 lety +1

    Duh

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 Před 3 lety

    Poleni sn wananchi wa Muleti jmn

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 Před 3 lety

    Tumeni taarifaa kigoma anakaa kijiji cha bitare kitongoji cha nkuruba anapakaa Mafuta ya mutuu ariyee kufaa na anapitia dirishanii hata kwetu kigoma anapitia dirishanii Ira Kwa sasa miaka mingi sijuwi katoroka wapi hata kigoma anaangatia nyumba ambayoo mwanaume hayupoo poreeni Sana 🤣🤣🤣🤣

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho3319 Před 3 lety

    kigoma eneo la mtaa wa simu alipga kazi sana

  • @rukiasudi8821
    @rukiasudi8821 Před 3 lety

    Uwiii kigoma kuna wakat alikua anavizia mlango ukiwa wazi anapenya na kujificha ndani ad mida ya kulala

  • @lusajojoram4522
    @lusajojoram4522 Před 3 lety +1

    Teleza katoka kigoma

  • @sanisani5266
    @sanisani5266 Před 3 lety +3

    Atakuwa mgonjwa anataka kuambukiza watu

  • @ummymsangi1204
    @ummymsangi1204 Před 3 lety

    Walio mkamata jamn kwann hamkurehemishaaa jana

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 Před 3 lety

    Auwawe tu.

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 Před 3 lety

    Ndugu mwandishi umeshindwa hata kuulizia aliyepitiwa na bwana Teleza ili atueleze.

    • @kainimlowe7555
      @kainimlowe7555 Před 3 lety

      ngoja nionane na teleza anipe mbinu iyo ya kivita inaonekana ina siri ya mafanikio

  • @nicksontarimo8886
    @nicksontarimo8886 Před 3 lety +2

    Hahahahahahahahahaaaah teleza,auna hakili kabisa unajipaka wese?

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety

    Hio jambon linarudi tena ?nyinyi waTZ mnao kwenda makanisani bado hamjaelewa kuwa huo ametuma kuleta uhalifu nchini na kujariju hio sumu kwenye wanadamu i ichunguze kwa wanadamu Nini atatokea mtu atakufa

  • @Mamsocom
    @Mamsocom Před 3 lety

    Teleza nae atakuwa m1 ya hao ulinzi shirkishi

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 Před 3 lety

    Aise poleni sana wana muriet.

  • @magechuwa804
    @magechuwa804 Před 3 lety

    Msukule huyo katumwa mungu atusaidie

  • @mtetesirima3053
    @mtetesirima3053 Před 3 lety

    Hachom kisu ila anaweka saini yake wasje wakamkana kuwa hajwaptia

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 3 lety

    Telezaa 🤣anateleza kwa wake z watu khaa

  • @shivalonso8277
    @shivalonso8277 Před 3 lety

    Huyo ndio bwana teleza

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Před 3 lety

    Mseme asikutishie .

  • @kshdbzjnxksksw6567
    @kshdbzjnxksksw6567 Před 3 lety

    Popo bawa uyo

  • @dando7819
    @dando7819 Před 3 lety

    hiyo kitu hata kigoma wameshapitiwa sana na hao wakina telezaaa,, mwaka juzi sijui ilifikia wapi kuna mambo ya ajabu sana ila wanapoelekea R CHUGA hana bahati atashikwa tuu!

    • @hadijangaina2833
      @hadijangaina2833 Před 3 lety

      Chidi boy myafuye teleza aisee tushaogopaaaaa hali hii si shwarii

  • @rizzymbaruku1501
    @rizzymbaruku1501 Před 3 lety

    mmh makubwa

  • @FatmaFatma-ie3pk
    @FatmaFatma-ie3pk Před 3 lety

    Labda muoman huyo mtu

  • @mfalmewanyika2804
    @mfalmewanyika2804 Před 3 lety

    Akishikwa nayeye atelezwe

  • @rudypaul7862
    @rudypaul7862 Před 3 lety

    Mama anawataja majina kabsa wenzake waliobakwa hahahha

    • @adammjomba7112
      @adammjomba7112 Před 3 lety

      Kubakwa sio Aibu nitukio ambalo hukulipenda hivyo hakuna sababu yoyote ya kuona aibu

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Před 3 lety

    Si pisipisi ni bisibisi

  • @shukuruyabo1185
    @shukuruyabo1185 Před 3 lety

    Mavi yenu

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 Před 3 lety

    JENGENI HOJA UWEZI JUA KWANINI YUPO IVO

  • @kayosrvstr9040
    @kayosrvstr9040 Před 3 lety

    Daa poleni sn sn hata sisi kigoma ilikuwa nguzo sn sn tulipambana na serikari hapa walifika hatuwa polisi wanasema ni mabwan zao hayo ndung zanguni usichoke kupambn wekeni ulizi shirikishi wa kutosha umsiongope sumbueni sn vyombo vya usalama tokomezeni na kupng kabisa polen san sn

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    mkome si mmemsingizia sabaya kuwa mbaya mkuwa huo haya pambaneni sasa wajinga sana serkal ya 6 ni uwoza tu kama vile hakuna rais wallah maovu yanaongezeka tu