Video není dostupné.
Omlouváme se.

JPM - "Eti MO DEWJI Alikutwa Gymkhana Alifikaje? Watanzania Sio Wajinga"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 08. 2024
  • JPM - "Eti MO DEWJI Alikutwa Gymkhana Alifikaje? Watanzania Sio Wajinga"
    RAIS wa Dk John Pombe Magufuli ameonyesha kuoridhishwa na namna ambavyo suala la upelelezi wa tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ linavyofanya na Jeshi la Polisi nchini huku akidai sakata hilo linaacha maswali yasiyojibika kwa wananchi.
    Magufuli amesema hayo leo Jumatatu, Machi 4, 2019 wakati akihutubia mara baada ya kumaliza kuwaapisha Balozi Dk. Augustine Phillip Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba John Mwaluko Aidan Kabudi kuwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
    www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Komentáře • 110

  • @frankmwampamba166
    @frankmwampamba166 Před 5 lety +32

    Anae amin kuwa mo hakutekwa ila ni mpango tu like hapa

  • @n_onlinetv91
    @n_onlinetv91 Před 2 lety +21

    R.I.P boss wangu wa muda wotee linikua nakukubali sana mshua💔 Rais wangu wa muda wote😭

  • @morombotv
    @morombotv Před 2 lety +6

    Nakupenda sana mzee mungu akupumzishe kwa aman

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 Před 2 lety +11

    Kwenye uongozi wako anko Magufurj ulizingirwa na maadui wengi kuchagua uongozi wako pumzika kwa amani

  • @chazzkessy2371
    @chazzkessy2371 Před 5 lety +9

    Leo nimekupenda kweli kweli yani

  • @chazzkessy2371
    @chazzkessy2371 Před 5 lety +7

    Daah yani hapo mkuu Leo umenifurahisha Sana

  • @deepcworkshop7442
    @deepcworkshop7442 Před 5 lety +15

    Leo mbona mkuu unaongea point tupu??

  • @hafidhyousuph7592
    @hafidhyousuph7592 Před 5 lety +10

    kweli kiongozi uko sahihi

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před 2 lety +18

    Wamekumaliza wafanye yao baba 😭😭😭😭😭

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762

    Baba Magufuli uliongea ukweli mtupu Pumzika kwa Amani Watanzania tunaumia Sana

    • @saidnassoro9562
      @saidnassoro9562 Před 2 lety

      Wewe na wewe ulikuwa walewale,Sasa Kama huyu Mambosasa alikosea na yuko chini yako,ulichukua hatua gani?.Acheni kutuzuga sisi Watanzania.

  • @mohamedkasimu3652
    @mohamedkasimu3652 Před 5 lety

    Nashukuru Mheshimiwa kwa kuligundua hilo

  • @ridhiwanmwakasie7009
    @ridhiwanmwakasie7009 Před 2 lety +6

    Rest in peace jpm🇹🇿

  • @luganokitwika7359
    @luganokitwika7359 Před 2 lety +1

    Mungu akupumzishe kwa amani baba yangu

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Před 2 lety +3

    R. I .p.Babaetu Kiukwel Tunapita Mibani bila Hata Malapa...

  • @morefireministrychurch177

    I love you my president

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Před 2 lety +4

    Dah! R.I.P mzee!

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 Před 5 lety +4

    Safi kabisa

  • @ahmedshariff8064
    @ahmedshariff8064 Před 5 lety +16

    The best speech ever and it shows how Mr President care for his country

    • @ibrahimomari2458
      @ibrahimomari2458 Před 4 měsíci

      Alijaribu kujizima data kuwa hausiki lakin mungu wetu ni mwema...

  • @willywaire50
    @willywaire50 Před 2 lety +13

    Baba yetu Magufuli ulisema IPO sikututakukumbuka na kweli tunakukumbuka kwa mema uliotenda Mungu aiweke roho Yako mahali pema peponi..

  • @ChangchunRealstateDragon
    @ChangchunRealstateDragon Před 2 lety +4

    Jamani tumekumis sana dady

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 2 lety

      Daah tena sana,rip my beloved president JPM

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Před 4 měsíci

      CCM Haina pumzi tatizo hapo sio polisi tatizo ni CCM. Kama polisi wangefanya kazi Yao kama wafanyavyo kukamata gari iliobeba mihadarati HATAKAMA mwenye mzigo yumo gari lazma ipelekwe kituoni na dereva lazma afikishwe mahakamani japo mwenye mzigo yupo so hapo ilibidi CCM na serikali yake iwajibishwe

  • @djmatia2313
    @djmatia2313 Před 2 lety

    2021

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 2 lety +1

    Duh!😭😭

  • @hapakazitu7364
    @hapakazitu7364 Před 5 lety +4

    yaani mambo ya ukweli tupu unaongea maana hayamatukio yanaharibu taswira ya utawala huu ulio mzuri

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 Před 2 lety +1

    Aise ulisema ukweli.
    Mungu watu Sasa hivi tunafanana baada ya kifo chako,

  • @hamisichuma3270
    @hamisichuma3270 Před 5 lety +5

    kazi mzuli ufanya m2 mwenye ueledi wahali ya juu saruti kwako mkubwa wa mchi

  • @maryclaralema2577
    @maryclaralema2577 Před 5 lety +3

    leo baba nimekukubali

  • @egattamkaima676
    @egattamkaima676 Před 5 lety +1

    Hahahahahahah maisha yanaenda mbio muda hautoshi

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 Před 5 lety +3

    Kwakweli tunanyamaza mkuu mengi yapo unaongelea huyo dewji alirudi wapowengi ambao hawarudi tunaambiwa walikua majambazi kwakwehili jeshi la lapolisi halipo sawa

  • @wixtomixeverythingeverythi7765

    Hatakama wakinyamaza miyoyoyao haitakuwa clear

  • @sangasadick3350
    @sangasadick3350 Před 2 lety +1

    My President of all time

  • @ramadhanmgaya1775
    @ramadhanmgaya1775 Před 2 lety +2

    Watanzania pia mpaka sasa hatujui Magufuli alikufa kawaida au ..alishughulikiwa.

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Před 2 lety +1

    😢😭😭😭

  • @fulgencemark7640
    @fulgencemark7640 Před 2 lety +9

    Mkuu wa nchi akizungumza ukweli namna hii tutasalimika.Wakati ws uongozi wake ndio wakati mchongo wa kumkamata Mbowe kama gaidi ulichongwa na aliyafahamu yote hayo lakini kwa akili xake xa kawaida tu hakumkamata na kumwadihibu kama ilivyo sasa.Kama kweli Mbowe anao uwezo wa kutenda ugaidi kwa kutumia vijana watatu tu si atakhuwa hatari kuliko Osama bi Laden aliyekuwa na vikosi vingi?!

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Před 2 lety

      Kamfufue umwambie aifute kesi 😏😏😏😏

    • @dunstangeorge3263
      @dunstangeorge3263 Před 2 lety +1

      Ndio vituko vya injiiii hiiiii🥱 RIP Magufuli

    • @ramadhanmakame1328
      @ramadhanmakame1328 Před 2 lety

      Tengeneza tatizo ulitatue

    • @denisimaliyaweni9183
      @denisimaliyaweni9183 Před 2 lety

      Wakina hamza wameisha jmn wajitokeze tena tumewamic uonevu umezd

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz Před 2 lety

      Kichaa wewe ni nani aliyewapa kesi viongozi wa chadema na kulipa mapesa kama sio jpm?.Tena alimuweka mbowe na Esther Matiko miezi mitano mahabusu.

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 Před 2 lety

    Daah kiongoz wangu wa muda wote

  • @renatusmonko7172
    @renatusmonko7172 Před 2 lety +2

    Raisi wangu

  • @jmondmsafi5558
    @jmondmsafi5558 Před 2 lety +1

    INGEKUWA DUNIAN TUKIOMBA UNARUDI TANZANIA INGEOMBA URUDI R.I.P JEMBE

  • @titokeneth391
    @titokeneth391 Před rokem +1

    Ali jaribu kujizima data
    Lakini MUNGU wetu ni mwema

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 Před 2 lety +1

    R.I.P. Raisi wetu kipenzi cha Watanzania

  • @daudmwaipasi5672
    @daudmwaipasi5672 Před 3 lety +1

    Duuu pumzika kwa Aman

  • @emmaxcaris5530
    @emmaxcaris5530 Před 2 lety +2

    wamteke tena maana ni mjuaj xaana...@

  • @philbertmwanakusya8050
    @philbertmwanakusya8050 Před 5 lety +12

    nchi yetu ngumu sana kuielewa lakini Mweshimiwa Rais kaongea kweli zaidi tuiombee nchi yetu na kuilinda wenyewe tusisubiri mpaka police tutakuja kupata matatizo big up Rais wetu

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera3144 Před 2 lety

    ❤❤💪🏿

  • @twahamdoe5730
    @twahamdoe5730 Před 2 lety

    Rip

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Před 2 lety +4

    Nenda salama Baba... Umetuachia Jeshi la Police bado limeozaaa... Dilii linalopigwaa Vijijinii kabisa huko mzigo (mpunga) unaopatikana unamfikia Inspector General siku hiyo hiyoo bilaa aibuu..

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Před 2 lety +1

    Mzee pumnzika salama

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Před 2 lety +2

    Magu dady!!!

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před 2 lety +5

    In "pragmatism" theory "what you utter is not what you mean"

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 4 měsíci

      Ongea tu kiswahili sisi tunajua alichokisema ndio anacho maanisha. Na hilo lipo wazi.

  • @shakira1301
    @shakira1301 Před 5 lety +7

    Mambo ya kisasa kama mambo sasa 😁😁😁

  • @saramichael1632
    @saramichael1632 Před 2 lety

    Namuombea Mwanangu Joseph aje kuwa Kiongozi mzuri kama wewe baba, ulikuwani ni mtu Imara Sana!!
    Tutakukumbuka daima

  • @renatusrevocatus3895
    @renatusrevocatus3895 Před 2 lety +2

    Kwahiyo alijiteka? Mbona hamkumpeleka Sasa wakati ninyi niserikali?

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 4 měsíci +1

      Kazi ya Rais sio kuchunguza kesi ni kuongoza nchi. Au humeelewi na anaongea kiswahili?

  • @aisharamadhani9438
    @aisharamadhani9438 Před 2 lety +1

    Tunajuta kukupoteza kipenz chetu

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Před 2 lety +1

    Samia mungu anakuona

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 2 lety

    😭😭😭😭

  • @ramadhanbm7356
    @ramadhanbm7356 Před 5 lety +2

    Good point president

  • @ashimunarashidi1970
    @ashimunarashidi1970 Před 2 lety

    R.P.I magufuli

  • @morandraymond8602
    @morandraymond8602 Před 2 lety +1

    Huu mpango wa aduwi zako ambao wanataka kukuchafua inakuwa makamba kupata.tarifa mapema ya kupigiwa simu wakati mo hakuwa na simu uchunguzi ungeanzia apo

  • @laurentlusatho4343
    @laurentlusatho4343 Před 2 lety

    kweli musema kweli huwa hadumu

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu Před 6 měsíci

    Nenda mzee poa

  • @backsa6214
    @backsa6214 Před 2 lety

    Tanzania you lost a treu Hero

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Před 4 měsíci

    Yani niwajinga watz lkn sio wajinga sana

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 2 lety

    Wengi waliomchukia huyu mwamba ni wale wenye akili fuata upepo , bila kumsikiliza kwa makini huwez kumuelewa mtu mwenye maadau wengi, ni mpaka umfuatilie kuanzia neno la kwanza na pumzi zake ..... Sioni hatia kwa mtu huyu

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 5 lety +2

    MR PRESIDENT

  • @nassersalim3408
    @nassersalim3408 Před 2 lety

    Jmn

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 2 lety

    Magufuli aliipenda nchi yetu ya Tanzania

  • @danielmatya373
    @danielmatya373 Před rokem

    Mtekaji si ww au unajitoa ufahamu

  • @edigajoh5669
    @edigajoh5669 Před 2 lety

    Mzee ni mapolice wako haohao wanatufanyia hivyo vitu.

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před 4 měsíci

    Ben saanane nae...kazee kalikuwa kanafiki haka...

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 4 měsíci

      Ukiwa mpumbavu utakuwa mpumbavu tu. Mnamjua beni saanane alipo? Yeye aliongelea kitu ambacho kilikuwa wazi.

    • @ibrahimomari2458
      @ibrahimomari2458 Před 4 měsíci

      @@husseinmkanga7794 @alikuwa kajizima data kujifanya hajui kitu ila mungu wetu ni mwema sana...

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri1149 Před 2 lety

    danganya toto tu.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před 2 lety

    MCHONGO WA MAMBOSASA NA MAKONDA,,,DHAMBI ZAO ZITAWAUA SHEZY

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 2 lety

    Daima daddy u mtima wa moyo wangu hata nikiwa mzee kikongwe you are the only one the best of me

  • @bundalayusuph308
    @bundalayusuph308 Před 2 lety

    Mamb vp

  • @omarimshindo6146
    @omarimshindo6146 Před 2 lety

    Nyandu

  • @harounhilal1394
    @harounhilal1394 Před 2 lety

    Huyu jamaa alikuwa mzugaji sana ni mtu mbaya sana yani alikuwa anatufanya kama vile rumekufa akili zetu

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 Před 2 lety +3

    Tengeneza tatizo ulitatua usifiwe

    • @zully756
      @zully756 Před 2 lety +1

      Alikua anajua

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 Před 2 lety +1

      Kama hauna akili ya kujua viongozi wa namna kama yake figisu huwa zinakuwa vipi
      Utakebei ila wengine tunaelewa
      Rest in Power mwanaume wa kweli

    • @dennisdereck7006
      @dennisdereck7006 Před 2 lety

      Sikiliza content wewe, acha kuongea ujinga kwa mihemko yako tu.

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 Před 5 lety +1

    Afadhali kiongozi umesema wewe maana hii picha hata stealing hatumjui

    • @jengahyahaya4835
      @jengahyahaya4835 Před 5 lety

      Leo kidogo umenena

    • @jimmymasaki286
      @jimmymasaki286 Před 5 lety

      Mkuu haya yote ni point tutazidi kukupenda ikiwa tutaona hao woote wanao usika na matukio kama hayo wachukuliwe hatua

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před 2 lety +2

    Siasa ni ujanja tu , aape kama hawajui watekaji..
    Mzee acha kucheza na akili za watu

    • @zully756
      @zully756 Před 2 lety

      Alikuwa anajua kafanya kama advertisement kwa matajiri wengine waingie na uoga

    • @franktembo1658
      @franktembo1658 Před 2 lety

      Siamini kama ulishafariki baba yangu

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 4 měsíci

      ​@@zully756Ukiwa mpumbavu ni ugonjwa siwezi kukulaumu.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 2 lety

    Huyu mwamba kweli kweli

  • @a2comedy36
    @a2comedy36 Před 2 lety +1

    Nitakumis daima hata kama haupo kuna watu watafanya kazi kwa miongozo yako

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 Před 5 lety +2

    Leo kwa mara Kwanza nimekusikiliza