Video není dostupné.
Omlouváme se.
JPM - "Eti MO DEWJI Alikutwa Gymkhana Alifikaje? Watanzania Sio Wajinga"
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2024
- JPM - "Eti MO DEWJI Alikutwa Gymkhana Alifikaje? Watanzania Sio Wajinga"
RAIS wa Dk John Pombe Magufuli ameonyesha kuoridhishwa na namna ambavyo suala la upelelezi wa tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ linavyofanya na Jeshi la Polisi nchini huku akidai sakata hilo linaacha maswali yasiyojibika kwa wananchi.
Magufuli amesema hayo leo Jumatatu, Machi 4, 2019 wakati akihutubia mara baada ya kumaliza kuwaapisha Balozi Dk. Augustine Phillip Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba John Mwaluko Aidan Kabudi kuwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Anae amin kuwa mo hakutekwa ila ni mpango tu like hapa
R.I.P boss wangu wa muda wotee linikua nakukubali sana mshua💔 Rais wangu wa muda wote😭
Nakupenda sana mzee mungu akupumzishe kwa aman
Kwenye uongozi wako anko Magufurj ulizingirwa na maadui wengi kuchagua uongozi wako pumzika kwa amani
Leo nimekupenda kweli kweli yani
Daah yani hapo mkuu Leo umenifurahisha Sana
Leo mbona mkuu unaongea point tupu??
kweli kiongozi uko sahihi
Wamekumaliza wafanye yao baba 😭😭😭😭😭
Baba Magufuli uliongea ukweli mtupu Pumzika kwa Amani Watanzania tunaumia Sana
Wewe na wewe ulikuwa walewale,Sasa Kama huyu Mambosasa alikosea na yuko chini yako,ulichukua hatua gani?.Acheni kutuzuga sisi Watanzania.
Nashukuru Mheshimiwa kwa kuligundua hilo
Rest in peace jpm🇹🇿
Mungu akupumzishe kwa amani baba yangu
R. I .p.Babaetu Kiukwel Tunapita Mibani bila Hata Malapa...
I love you my president
Dah! R.I.P mzee!
Safi kabisa
The best speech ever and it shows how Mr President care for his country
Alijaribu kujizima data kuwa hausiki lakin mungu wetu ni mwema...
Baba yetu Magufuli ulisema IPO sikututakukumbuka na kweli tunakukumbuka kwa mema uliotenda Mungu aiweke roho Yako mahali pema peponi..
Amiiin😭😭😭👏👏👏
Kwa kipi?
Kwa nyoko
Jamani tumekumis sana dady
Daah tena sana,rip my beloved president JPM
CCM Haina pumzi tatizo hapo sio polisi tatizo ni CCM. Kama polisi wangefanya kazi Yao kama wafanyavyo kukamata gari iliobeba mihadarati HATAKAMA mwenye mzigo yumo gari lazma ipelekwe kituoni na dereva lazma afikishwe mahakamani japo mwenye mzigo yupo so hapo ilibidi CCM na serikali yake iwajibishwe
2021
Duh!😭😭
yaani mambo ya ukweli tupu unaongea maana hayamatukio yanaharibu taswira ya utawala huu ulio mzuri
Aise ulisema ukweli.
Mungu watu Sasa hivi tunafanana baada ya kifo chako,
kazi mzuli ufanya m2 mwenye ueledi wahali ya juu saruti kwako mkubwa wa mchi
leo baba nimekukubali
Hahahahahahah maisha yanaenda mbio muda hautoshi
Kwakweli tunanyamaza mkuu mengi yapo unaongelea huyo dewji alirudi wapowengi ambao hawarudi tunaambiwa walikua majambazi kwakwehili jeshi la lapolisi halipo sawa
Hatakama wakinyamaza miyoyoyao haitakuwa clear
My President of all time
Watanzania pia mpaka sasa hatujui Magufuli alikufa kawaida au ..alishughulikiwa.
Cha msingi kafa
😢😭😭😭
Mkuu wa nchi akizungumza ukweli namna hii tutasalimika.Wakati ws uongozi wake ndio wakati mchongo wa kumkamata Mbowe kama gaidi ulichongwa na aliyafahamu yote hayo lakini kwa akili xake xa kawaida tu hakumkamata na kumwadihibu kama ilivyo sasa.Kama kweli Mbowe anao uwezo wa kutenda ugaidi kwa kutumia vijana watatu tu si atakhuwa hatari kuliko Osama bi Laden aliyekuwa na vikosi vingi?!
Kamfufue umwambie aifute kesi 😏😏😏😏
Ndio vituko vya injiiii hiiiii🥱 RIP Magufuli
Tengeneza tatizo ulitatue
Wakina hamza wameisha jmn wajitokeze tena tumewamic uonevu umezd
Kichaa wewe ni nani aliyewapa kesi viongozi wa chadema na kulipa mapesa kama sio jpm?.Tena alimuweka mbowe na Esther Matiko miezi mitano mahabusu.
Daah kiongoz wangu wa muda wote
Raisi wangu
INGEKUWA DUNIAN TUKIOMBA UNARUDI TANZANIA INGEOMBA URUDI R.I.P JEMBE
Ali jaribu kujizima data
Lakini MUNGU wetu ni mwema
R.I.P. Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
Duuu pumzika kwa Aman
wamteke tena maana ni mjuaj xaana...@
nchi yetu ngumu sana kuielewa lakini Mweshimiwa Rais kaongea kweli zaidi tuiombee nchi yetu na kuilinda wenyewe tusisubiri mpaka police tutakuja kupata matatizo big up Rais wetu
❤❤💪🏿
Rip
Nenda salama Baba... Umetuachia Jeshi la Police bado limeozaaa... Dilii linalopigwaa Vijijinii kabisa huko mzigo (mpunga) unaopatikana unamfikia Inspector General siku hiyo hiyoo bilaa aibuu..
Mzee pumnzika salama
Magu dady!!!
In "pragmatism" theory "what you utter is not what you mean"
Ongea tu kiswahili sisi tunajua alichokisema ndio anacho maanisha. Na hilo lipo wazi.
Mambo ya kisasa kama mambo sasa 😁😁😁
Hamonize
Namuombea Mwanangu Joseph aje kuwa Kiongozi mzuri kama wewe baba, ulikuwani ni mtu Imara Sana!!
Tutakukumbuka daima
Kwahiyo alijiteka? Mbona hamkumpeleka Sasa wakati ninyi niserikali?
Kazi ya Rais sio kuchunguza kesi ni kuongoza nchi. Au humeelewi na anaongea kiswahili?
Tunajuta kukupoteza kipenz chetu
Samia mungu anakuona
😭😭😭😭
Good point president
R.P.I magufuli
Huu mpango wa aduwi zako ambao wanataka kukuchafua inakuwa makamba kupata.tarifa mapema ya kupigiwa simu wakati mo hakuwa na simu uchunguzi ungeanzia apo
kweli musema kweli huwa hadumu
Nenda mzee poa
Tanzania you lost a treu Hero
Yani niwajinga watz lkn sio wajinga sana
Wengi waliomchukia huyu mwamba ni wale wenye akili fuata upepo , bila kumsikiliza kwa makini huwez kumuelewa mtu mwenye maadau wengi, ni mpaka umfuatilie kuanzia neno la kwanza na pumzi zake ..... Sioni hatia kwa mtu huyu
MR PRESIDENT
Jmn
Magufuli aliipenda nchi yetu ya Tanzania
Mtekaji si ww au unajitoa ufahamu
Mzee ni mapolice wako haohao wanatufanyia hivyo vitu.
Ben saanane nae...kazee kalikuwa kanafiki haka...
Ukiwa mpumbavu utakuwa mpumbavu tu. Mnamjua beni saanane alipo? Yeye aliongelea kitu ambacho kilikuwa wazi.
@@husseinmkanga7794 @alikuwa kajizima data kujifanya hajui kitu ila mungu wetu ni mwema sana...
danganya toto tu.
MCHONGO WA MAMBOSASA NA MAKONDA,,,DHAMBI ZAO ZITAWAUA SHEZY
Daima daddy u mtima wa moyo wangu hata nikiwa mzee kikongwe you are the only one the best of me
Mamb vp
Nyandu
Huyu jamaa alikuwa mzugaji sana ni mtu mbaya sana yani alikuwa anatufanya kama vile rumekufa akili zetu
Ukiwa mpumbavu huwezi muelewa JPM.
Tengeneza tatizo ulitatua usifiwe
Alikua anajua
Kama hauna akili ya kujua viongozi wa namna kama yake figisu huwa zinakuwa vipi
Utakebei ila wengine tunaelewa
Rest in Power mwanaume wa kweli
Sikiliza content wewe, acha kuongea ujinga kwa mihemko yako tu.
Afadhali kiongozi umesema wewe maana hii picha hata stealing hatumjui
Leo kidogo umenena
Mkuu haya yote ni point tutazidi kukupenda ikiwa tutaona hao woote wanao usika na matukio kama hayo wachukuliwe hatua
Siasa ni ujanja tu , aape kama hawajui watekaji..
Mzee acha kucheza na akili za watu
Alikuwa anajua kafanya kama advertisement kwa matajiri wengine waingie na uoga
Siamini kama ulishafariki baba yangu
@@zully756Ukiwa mpumbavu ni ugonjwa siwezi kukulaumu.
Huyu mwamba kweli kweli
Nitakumis daima hata kama haupo kuna watu watafanya kazi kwa miongozo yako
Leo kwa mara Kwanza nimekusikiliza