Mapacha Watatu Kuolewa Na Mwanaume Mmoja | HARUSI HII HAIJAWAHI KUTOKEA DUNIANI
Vložit
- čas přidán 14. 03. 2022
- Hiki Ni Kisa Cha Kushangaza Cha Mwanaume Aliyefunga Ndoa Na Mapacha Watatu
Kumbuka: Video ya Asili iliyoundwa kwa KISWAHILI & KIFARANSA na Afrimax Ltd ikimaanisha kuwa tunamiliki haki yake kwa 100% ilimradi sisi ndio tumetoa ya asili na hii ni Toleo la Kiswahili Tafadhali jiunge na Video nyingi za Afrimax Swahili.
Sura wamefanana lakin sio tabia, madhali sasa wote wakezako utawajua tafauti zao.
Ma pasta wa Siku za mwisho kweli,mwenyezi mungu awasamehe kweli
Ni ndani kweli au kuediti, kwa sheria za Mungu hilo halipo,
Hapo hapana ndoa wanazini tu Kwasheria ya Mungu huwezi kuoa ndugu wawili au watatu kwa wakati mmoja
Tena ndugu wa tumbo moja
Zama za mwisho izo
Vizuri Sana Baba angu.. kila mmoja akipata mimba akazaa mapacha wa 3 .tu unapata watoto 9 Mara 3, basiii unawafunga mnafungua shule yenu
😂😂😂😂😂
Cjasikia Ivo tangu nizaliwe.
GOD forbid
😂😂😂
😂
Mbingu Mutaisikia tu ikipita kwa Jirani yenu 😢😢😢😢😢😢😢
Kwanini ??
@@ciarmnyone738 ni nani mwenye Mbingu kama SI Mungu...
Yakobo Israel atakuwa wapi...kama SI mbinguni
Kanisagani hilo namchungaji nae analusu kufungandoa ya wa2 wa3 Bibilia yake ndiyo inamfundisha ivyo kweli 2mefika mwisho mngu a2saidie
P pm
😂😂😂😂😂𝐲𝐚𝐰𝐚
Duuuuh Ndugu Moja Mume Mmoja Kweli Dunia Imefika Mwisho😢😢😢😢😢
Kwanza nataka kujua Hawa mapacha watatu kuolewa na mume mmoja vp harus Yao imefungiwa Kwa kanisa Gani kwasababu nadhani kitka ukristo ni mke mmoja
Kharaaaaaaam.Kharaaaaaaam..Kharaaaaaaam.Kharaaaaaaam.Kharaaaaaaaam.
Its about to happen to Kenya with our big man stevo. COMRADES FLAVOR kujeni huku.
Waiting for big man Steve, hope it will be the 👌
That's true... can't wait fr our brother Big Man Stivo🔥
Same cant wait to see that big day with our bro🌟🌟🌟🌟
Tutaomba mrejesho baada ya miaka 2
Kabisaa
Kwel kbs
Wako wanasonga mbele
Maandiko ya wanawake saba kuolewa na mwanamume yametimia kweli Nyakati za mwisho hizi.yesu tusaidie.
Bible is all about Revelation...can't interpret Bible like a novel 🙏
Kweli nikubu'ishibru utakaso, angaliy hata awo ma dd hawana woga yeyote wala haya
Incredible indeed 👏 everything is possible
huku kenya pia tuko na comrade triplets soon our luo man is going to tie the knot
😅😅😅 I can't wait
Nice 👍 God bless this couples and protect them
Congratulations,wish them all the best in their marriage ,May God's Blessings Be Upon them
Hatakama daaa😢😢😢 12:43
Waaaa beautifuly congract
Mwisho wa Dunia umefika
Muna mjua Mungu,je,mna wazazi,Aibu hii
A man will continue going slim and slim than present hahahahaha
Congratulations,may the God's blessings be upon them.
Sasa siungeoa mwenye ulkutana nae Kwanza,mbn uoe wote hao ,ninahuzka na kizazi like lkin nasema haonwatu walipotoka mioyo hawazijui njia zao,
Hongera Sana umetimiza maandiko ya Isaya 4:1 Barikiwa Sana ndugu
Kuoa ndugu wa damu moja 🤔🤔🤔
Kuoa siyo kazi mwendelezo wake sasa.....tutajua baadaye
Congrats,I have never had a man like you may God be on your side forever
How will it be at bed times? Hard times for this man
Msikose kutuletea mrejesho
Mmmm nyakati za mwisho sijawahi ona
Mmm nawasikitieni sana , .mpo kinyume kabsa na nelo la Mungu
Kinyume aje kwan Jacob c alioa Rachel na leah watoto wa mtu mmoja aiii ebu soma bibilia tena congratulations to them❤❤❤
Dunia imeisha jaman tufanye san ibada
Nice wedding. May they live long
😊😊😊 sijui kama nicheka ama nilie.... wish you good life though
Nmeangalia historian hii na mm timishio langu niseme tu sijui mm Mungu ndie anaejua ni saw amefurahishwa ama hajafurahishwa Mimi ni mwanadamu tu na nitabaki Ivo Mungu ndie anaejua yote yaliofanyika katika history hii.dah!
My Dea sahhi
Masha Allah
Congra my God blessed u people..gd life💝💖💝
Which God??
May God bless you
Félicitation mn frère
Beautiful
Jamani !Mungu hawaonekanie.
God bless you brother
Nice weeding god blessed
Mungu awasamehe sana mahana amujuwi munalolitenda....
Ndugu wewe pia unajua unalolitenda!?
God bless your union.
Wonders shall never end mmmh
You are a man among men
So beautiful my God protect your family
Hapa naona n mtu na maisha yake na maamuzi yake pia.mshirikishe mungu kwa ndoa yenu shetani asije akawatenganishe
Siku za mwisho hizi tukae macho.
Uwo niujinga tu tena yiyi hamna akili kabisa
@@magrethelisha156 ujinga uko wapi kwani wanazini hao wanandoa,kamili wala bibilia haijakataza ndoa za mitala
Mko poa mungu aendeleshe maisha yenu you look nice
HAMNA NDOA HAPO UPUUZI TU NA LAANA
Ni wapi kwa biblia imeandika mwanaume kuoa wanawake watatu hio ni tamaa ya mwili na mbele zake Mungu ni dhambi
Abomination watu waiita arusi akuna arusi hapo may God have mercy upon them wote wameongozwa na tamaa za mwili
Maajabu kweli,kujizarau wanaweke vile.
Kwa nni ht unasema kuwa wamejidharau
Hiiiii ni maaaajabu😂
Sijapenda ni kama tena hao mapacha wanajirudi
Isaya 4:1 katika bibilia
Duuhh kweli nimeenda kusoma😮
Amazing this is great congratulations ...from kenya
For everything God above all
Mashaall jamn
The weeding should remain in history
So beautiful my God protect you famly
Maajabu
Mungu atusamehe Mchungaji hiyo dhambi nawe itakutafuna sijui kama maandiko unayajua hapo umetumia biblia gani kufungisha hiyo ndoa
Wonderful 🎉
woooh jaman mungu awap maish mem n yeny furah
Amazing
Amazing story!
Hongera bro, furahia maisha.
congratulations👏
So! so nice
Love I like it
Seens l was born l hv never seen this,they look cute good marriage
Congra🙏 may God blessed u all..gd life a head💝💖💞 u all
Dunia imeisha
Hongera sana
Hii kweli ni noma lakini bibilia ilisema wanawake saba watamshika mume mmoja wakisema kula chakula chetu na ufae nguo zetu utuondolee aimbu
Pole ndugu yetu,hata Yakobo alioa wawili lakini pole sana
Very beautiful and God bless you guys
Wah mungu akuogoze
Wonderful
May you live happily ever
mashalah
It might not be a big deal like any other poligamous marriage, but Incase a social problem, physical and even spiritual it will be so diverstating to the family this a real sisters poleni sana
Huo ni umalaya ungemuoa wa kwanza uliyekutan nae kwanin uwoe wote hao ni familia iyo ni laana
Wewe !!!
Wewahoo good wedding
Are they going to share a same bed at night? So interesting couple hahahaha
Kwahkik nimevutiw sn na hii chanali kwa hakik muna jitahid Allah atawalipa kwa wema wenu 🙏🙏
It a miracle to me
So sweet
God bless journey
Comgratulations
Hongera bb harusi
Nime muona jamaa mumoja hapo papaaa
What kind of man of God dose that.
God bless u
Kilicho unganishwa na shetani huyo shetan atakitenganisha fasta!
Pole zakooo
Watu wanatumia pesa kama fimbo , angekua hana pesa asingewaza huo upuuzi, na hilo kanisa sio la yule Mungu Zumarid kweli🙆
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣aah yaani daahhhh
Haowanawak nao hawakutumia akili
Hata mimi nadhani
hakuna mahali popote ktk bible ilipokataza kuoa wake wengi ni mambo ya mahanith wa ulaya ndio waliyoingiza ktk ndoa wakafanya sheria
Nice 🥰🥰🥰
Congratulations 👏🎉👏🎉
It's ok as long as they are happy
Congralation
Man stivo come this side and see your brother from this side
The coment I was looking for 😂😂😂😂😂😂
khaaaaaaaa😲😲 haya ni makubwa,aya mapacha wanaotaka kuolewa na mimi waje😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣na wew unataka 3
Hahahahahaha hii Dunia hapan stress ukifa umejitakia acha tu ni chekee na wewe unataka mapacha
tuko hap
That is good