MUHIMU: UKIONA DALILI HIZI ZA WAZI JUA KUA UMEROGWA - Sheikh Salum Mardhiyya
Vložit
- čas přidán 22. 12. 2022
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Zungumza na Mardhiyyah
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 772 281 879
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama
cc: Nusra Khamis
cc: Sidrat Khamis
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Ali Seif
Rukaiya Vuai
Abdillah Said
Editors:
Rukaiya Vuai
Abdillahi Said
Dereva
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Assalamu alykm warahmatulah wabarakatu shehe upo sahihi mwenyezi Mungu akihifadhi nao,mm nadalili zote naumwa zaidi ya miaka ishirini naomba misaada wa duwaa
MASHAALLAH SHUKRAN AHASANTE SHEIKHE WETU ALLAH AKUZIDISHIE UMR WENYE AFYA NJEMA NA SIHA MZR NAKUPENDENI NYOTE MASHEIKHE NA KILA MUISLAM KWA AJILI YA ALLAH
Mashaallah Allah akuzidishie Imani shekh na mapenzi ya kuzidi kutusaidia Katk kutafuta tiba ameen
MashaAllah tabarakallah Allah akizidishie hio elimu utunufaishe Allahamdulilah
Maashallah sheikh salim mardhiyah siku nyingi sana sijapata kusikia khabari nzuri may Allah bless you and all Muslim brothers and sisters inshaallah
ALLAHUMMA aamiin yaarabb al alamiin waiyaak.
Masha Allah lecture BarakAllah feek
Watu wengi wanaharibikiwa na maisha saiv kutokana na husda ya kurogwa
Allah awangamize wanga na wachawi subhana llah shekhe Allah akulinde na ww
Allahuma Amiin
Mashallah sheikh Allah akuzishie umri mrefu na afya njema
Mashallah , nipo kenya nimerogwa chuma ulete kunitenganisha na mume wangu pia watoto 2 hawatembe shekh dua zenu
Mungu atustiri inshallah
Amiin amiin
Masha Allah,sheikh salum Allah akulipe kher
Jazaq Allahu kheiran
Dalili zote ninazo shekhe wangu yani mpaka kazi naziona mbaya na kazi zinatoke nyingi lakini gafra sinagahilishwa na kama nikifanikiwa kuzipata basi naziona mbaya yani nataka kuacha hapo hapo wallaih napata shida sana
Cjuwi na mume wangu karogwa maana dada hanapenda kulala hapendi kazi hata kidogo na hakifanya kikazi kidogo hanachoka hatar Yani Allah peke Ndio mjuwaji wa haya mambo ya kichawi mashekh tunao ila dawa ndio mtihani 😭😭😭😭
Nakuomba shekhe tujuwe tatizo nn au tukipata no zako nivizuri Zaid shekhe ishaallaa
Waislamu nawaelewa sana, Asante sana na MwenyeEnzi Mungu akujalie uzima Shekhe.
Karibu kwe wislam brother 🙏😊
@@btylove1870 Shukrani kaka, InshaAllah iko siku.
@@godfreydavid6996 in shaallah bro Mungu akufanyie wepesi 🙏 Ila mimi sio kaka ni dada.😊
@@btylove1870 Nisamehe dada angu.
@@godfreydavid6996 bila samahani usijali brother
Allah Akbar
Allah atunusuru na kila shari
Jazzakka Allahu khyern 💌❤️💌
Allah Akbar Subhanallah!
Asalam alykum warahmatullah wabarakatuh.....shekhe mimi ni mwenye matatizo kwa mfano naweza kaa mahali kichwa kinaniuma na kusahau vitu vitu na pia nimeanza kazi mwaka saiv sijalipwa mshahara mpka najiona kama nina mikosi mpka muda mwingine nawaza kuiacha kazi kabisa
Allah atakufanyia Wepesi in Shaa Allah
Dumu sana na adhkar za asubuh na jioni
Sheikh wallahi niko na hizi dalili mimi zakurogwa nasoma qur'an nyiradi za asubuhi na jinni lakn bado ni hi yo hivyo
Ameen 🤲 may Allah open for us all Muslims brothers and sisters the door of heaven 🤲🥰
Maa Shaa Allah
Walai nampenda huyu Sheikh kwa ajili ya Allah
Masha Allah
Allahu akbar SubhannaAllah Allah atunusulu na shiliki
mashallah may allah bless inshaallah
Barakallah fiika
Sheikh Mungu akuzidishie kila la kher
Assallam Alaykum
Hii dawa ya tego ni ipi shekhe wangu
ما شاء الله
Obgda sheh por explicacao e ensinamento, sheh eu tenho prbma d esquecer muitas vezes esquexo algo enquanto esta cmgo.e dor d cabexa q n passa me ajuda porfvr sheh
jazakaAllahu kheir
Mimi na familiy yangu tunahuzuni sana maana tunasikia mamaetuzazi nimchawi mungu atupiganie
MashallaAllah
Wow nimezungukwa na watu wengi sana wenyewe ugonjwa huo wa sihri junun!
Mashallah mungu akubariki kaka angu
Umefika kila mahali lakini hukufika mji wetu wa SAN DIEGO CALIFONIA inshallah kheri mola atakujalia kufika mara nyingine tena mola atupe umri na afya njema ameen yaa raab.
In Sha Allah nitakuja
Namba zako tukipiga haupokei na tunaumwa sisi tunakupenda lakini wewe unaubaguzi au unataka twende kwa waganga kuku tupate madhambi wewe umetuamsha umetupa mwanga lakini una bagua wagojwa wallah sijapenda
Mashaallah tabarika allah
Maashaallah
Mashallah Alhamdullah mungu akubariki
Asante sana. Mungu akubariki
Subhanallah !!
Maashaallaah tabarakallaah rahman
Wachawi watu wabaya sana Astaqhafirllah 😪
Bismillah maashallah ❤
Shekha mm natenganishwa na watoto wangu
Pole sana Allah ata kuvusha
Hasbuna Allahu waniimal Wakiil
Namba za simu za shekh salimishaala.
Mimi nmefanyikiwa kwenda Ulaya na vijana wangu Wa 2 kwaleo sina uhusiano nao nafukuzwa Kazi mara kwa mara nimechukiliwa na watu wote wanao nifahamu na wasiyo nifahamu , na kwa sasa najihisi afazali nife , nakuomba nisaidiye 😢
Dalili zote ninazo ,
Assalam aleykum warahmatullah wabakatu
Jmn mungu aninusulu yani Mm sausau sana mpaka nakasilika jmn 😭😭😭
Mm nateseka sana waallah
Shekhe ok sawa
Subhanallah
Sheikh hii midundo kwenye video zako zinatuudhi zitoe pls
Asanthe sana
Subxana llah nisawa kabisa masha Allah sheikh
Allah azivunje dhamiri za achawi wote,na hivyo wavitumavyo vikatae vimuogope Allah
Ameen yarabb 🙏🙏
MashaAllah
Mashaallah
Jamani mnanisaidiaje mimi naiyo shida ya kusahau sana na sikuwa ivyo mwanzo
Hata kwetu wapo yaani nishida sana
Shekh tuhurumie
Mimi na hitaji tiba kila mwaka lazima ni poteze fahamu kwa mwenzi moja .inaelekea miaka 15 tangu ni patwe na homa hiyo ya ubongo
Tupe namba muogope mungu mwanangu anaumwa hata kazini mashwetwan wanamfata jamani muokoni mwanangu
Walmushirikina finar khaldina fihaa abadan
🌴❤️🌴
Swalekh tusaidieni jamani huyu salum asifanye ubagazi mwambie atupe namba
Aliolewa Ana watoto 4
Shekhe salum mimi Nina mtoto haskins lamtu amepata kama wazim kidogo
Aliposema ," Yule ana kimavi...." Nimecheka .mpaka jirani yangu ameniuliza," kwema huko ?".
Shekh bwana kwenye tambaliwa mmojapo ni mimi fatìhiya ni fanyeje nina miaka kama tisa sasa tuseme vyapunguwa lakini bado vituko viko je shekj wangu nì tafanyaje mimi.
Mimi naona kwa sasa yakuwa nimelogwa
Nakubali
Assalamu ghalaikum shekhe
Duh,, wachawi hawaa mung awaongozee
Hayaaa 🤷🏿♂️ naona umekwamilia kwa single minded
pliiiz shkh nilikua naomba nipate mawasiliano yako
Jmn ni mm kabisa uwoo sihrul akiil na waswas umenizidii Tena mtt mdg tu lkn nawaza mambo ata syajuwii mpk mwsh ntk kujuwa🥺
Aslm alykum shekhe tunaomb namba yako nina shida na wew
Salaam alikuh Mimi Nina swali hua naota nikisikia mtu amenishika na nguvu yaani ana force hua anataka alale na Mimi bt najaribu kumkemea na kuomba mwishowe naamka nikijawa na mshtuko na uoga hivyo inamanisha aje Naoba unisaidie pls 🙏
Shekhe mm ninae mzazi wangu anamatatizo hatujuwi nn alilala alipoamka amechicha mkononi hajafika sikunyingi kaumwa sana alipoenda hospital kaambiwa anasukari kashamaliza dawa mpaka Leo hajapoa
Ustadh niko na mamaangu ana furaa kukicha nimgonjwa maospitali anayamaliza nisaidie tatizo ni nn Mm niko kenya
Sheikh zanzibar mnapatikana wapi
Asalam alekum
Assalamou alaykoum n'a mm junitimize kitu uwa kinache lewa Sana sijuwi kwanini
Pls naomba number ya simu ya sheikh salum
Assaalam alaykum warahmatullahi wabarakaatuhu mwenye namba za huyo sheikh anisaidie nazo
Naomba namba zako
Asalamualaikum sheikh maridhiya naomba dawa.sijui nakupataje. Kama itawezekana naomba numbe ya simu ama whatsaap
Naomba jawabu kwa sheikh mardhiya
Kweli kusafiri ni dawa
Mbona huonekani Nairobi
Naomba namba ya ke
Nikweli kabisa Yani umeogea ukweli
Utakuja lini Mombasa shekh salum
Hapo kituoni munakuwepo siku zote
Shekhe nawezaje kuwasiliana na wewe
Tufundishe jinsi¹ ya kujitoa uchawi
Na je kama yule mtu kafa na magonjwa ya HIV hao wachawi hawapati hayo maradhi??
Mwenye namba yake uyu ustadh anitumie
Ndo mana tukaagizwa ttuchukue uzu kwa ajil ya swala ktk maji yanayotembea,,, maji yaliyotuama au kusimama haiswihi kuchukua uzu,
naombo no zako