Ufugaji wa nguruwe kisasa.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 03. 2023
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our CZcams Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Komentáře • 50

  • @ANTONIMAMSERI-jm1he
    @ANTONIMAMSERI-jm1he Před 2 měsíci +6

    Nilikuwa najizuiq kucomment lakini nimeshindwa naomba niwaonyeshe tofauti ya marketing kutoka kwa masai modern farm owner na anayezungumza kutoka virutubisho vya kauda MARKETING its something else🎉🎉🎉🎉

  • @rozkiwale912
    @rozkiwale912 Před 11 dny

    Hongera sana Masai kwa somo zuri kweli nimenufaika ubarikiwe sana sana

  • @felisternicholaus3281
    @felisternicholaus3281 Před 10 dny

    Ubarikiwe sana

  • @GeorgeBwogi-ni2hd
    @GeorgeBwogi-ni2hd Před měsícem

    Tafadhali naomba kupewa namna ya kufika ktk shamba lenu kuona kazi nzuri mnayoifanya ili na mimi nikaanzishe ufugaji huko kwetu.
    Mungu aibariki sana hii kazi.

  • @sammngi
    @sammngi Před 2 měsíci

    Asante kwa kipindi kizuri..nimegielimisha kweli..pokea salamu tuko Kenya

  • @user-if8uh3cp8s
    @user-if8uh3cp8s Před měsícem

    Kazi nzur

  • @jobkuloba4940
    @jobkuloba4940 Před 10 měsíci

    Kazi nzuri kaka niko kenya, niko njiani naomba kupata ngurue hati kenya.

  • @antonioarmandoantonio6229

    Gostei muito, a vossa criação.

  • @sammyBSM2144
    @sammyBSM2144 Před rokem

    Asante sana ITV nmejifunza mengi

  • @DoreenChristopher-ro4vw

    😂😂😂😂ety nguruwe anavifaranga😂😂😂😂

  • @VeredianaKasaya-tn2ke
    @VeredianaKasaya-tn2ke Před 2 měsíci

    Nimependa

  • @rosemasashua4158
    @rosemasashua4158 Před 8 měsíci

    Wow Amazing

  • @nyamachabobalange-yn5ho
    @nyamachabobalange-yn5ho Před měsícem

    Ndugu mfugaji,naomba kuuliza kuusu chakula cha nguruwe,,

  • @user-gu8fo6cv9z
    @user-gu8fo6cv9z Před 3 měsíci

    Mtangazaji jaman, wacha aelezee

  • @claudjohn
    @claudjohn Před 17 dny

    Namba kuuliza kama unaanza kufuga NGURUWE unatakiwa uwe na badget ya shingapo

  • @kennethmahenge7719
    @kennethmahenge7719 Před 2 měsíci +1

    nipo mbeya mnanisaidiaje kupata elimu zaid

  • @leahmsangula3345
    @leahmsangula3345 Před 10 měsíci +1

    Mje Tanga pia

  • @wambomatilda
    @wambomatilda Před rokem

    thanks for sharing

  • @olivieriranzi6629
    @olivieriranzi6629 Před rokem

    Mufungue branch Burundi. Tunaitaji chakura bola cha mifugo

  • @leonardkipronongeywo3117

    Niko Kenya nakutazama, Mimi pia ni Mkulima mdogo wa ngurruwe

    • @jonanderson4280
      @jonanderson4280 Před 8 měsíci +1

      Nguruwe (au wanyama wowote) hawalimwi, ila wanafugwa. Kwa hiyo wewe ni mfugaji na si mkulima.

    • @mutalemwabugeza1489
      @mutalemwabugeza1489 Před 6 měsíci +1

      Hahaha hapo ni lugha gongana. Wao Kenya wanasemaga mkulima wa nguruwe

  • @leahmsangula3345
    @leahmsangula3345 Před 10 měsíci

    Nimekukubali

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 Před měsícem

    TUNDUMA

  • @user-go5gg4qc3v
    @user-go5gg4qc3v Před 9 měsíci +1

    kufuga mifugo ni furusa

  • @user-bg3jj5nw1b
    @user-bg3jj5nw1b Před 28 dny

    Weka namba ya sm ili tuweze kupata elimu zaidi

  • @priscusleodegardsambonanga6167

    Utuwezeshe kupata pure breed ili tufanye uzalishaji

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride2230 Před rokem

    Mnauza wenye mimba?cross ,,am from Kenya!

  • @sammyBSM2144
    @sammyBSM2144 Před rokem +2

    Kuhusu mtaji wakuanzia Tumetishwa sana yani 5m haitoshi na hata ukiwa na 10m uwe tayari umeshaweka miundombinu yote imekamilika kwa mfano mabanda,maji na vitu vingine muhimu... daaah ufugaji tena kwasisi vijana tusio na mtaji mkubwa ni mgumu sana

    • @kibaniosilaa436
      @kibaniosilaa436 Před 5 měsíci

      Achana nae huyu anataka awe peke yake mchoyo huyu

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 Před měsícem

      Usikate tamaa unaweza Jenga banda la kawaida nakununua vitoto viwili tu nakuanza ufugaji utaboresha ukianza kuuza

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 11 dny

      Fanya unachokiweza mkuu, sio lazima uige kunya kwa tembo

  • @user-fq2zr9lf1j
    @user-fq2zr9lf1j Před 10 měsíci

    Natamani kujua bei jamani

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Před 8 měsíci

    Huyu masai ataki mfuge😂 aiwezekan anakatisha tamaa hivi yaan M 5 anasema km mtaji mdogo atukushauli ufuge mh

  • @priscusleodegardsambonanga6167

    Je nikitumia cayodice nitaweka madini mengine?

  • @josephdeogratius3616
    @josephdeogratius3616 Před 3 měsíci

    Huyu mtangazaji anarukaruka maswali

  • @kelvinshirima8847
    @kelvinshirima8847 Před rokem

    Mna patikana wap mim na fuga hawa wakawaida hawa tembei kabsaa awo juro beigani miezi miwili

  • @user-fq2zr9lf1j
    @user-fq2zr9lf1j Před 10 měsíci

    Bei zikoje vitoto

  • @FidelisMalile-zq1kj
    @FidelisMalile-zq1kj Před rokem

    Je kitoto Cha nguruwe ni Bei gani

  • @joycemabena9981
    @joycemabena9981 Před 5 měsíci

    tunaomba .namba zenu

  • @ExaudMwemutsi-fz1qv
    @ExaudMwemutsi-fz1qv Před rokem

    Vipi Mbeya tunawapataje?

  • @aminswai8165
    @aminswai8165 Před rokem +1

    Naomba mfungue branch musoma tupate chakula na mbegu hizo

    • @philipphanuel9558
      @philipphanuel9558 Před rokem

      Huyu jamaa hajui kujieleza. Sijui anatuficha Nini hata afunguki

    • @adriankibona1994
      @adriankibona1994 Před 5 měsíci

      Mnaweza kumpelekea TRA maana tz shida nyingi. Mtangazaji ni kama hajui anachotaka

  • @alphoncelondo6586
    @alphoncelondo6586 Před rokem

    Hi bro. Masai bei ya kutokana na Aina ya nguruwe ni SHS. Ngapi Kwa nguruwe mmoja

  • @emmanuelngonela7909
    @emmanuelngonela7909 Před 11 měsíci

    Nimefurahishwa sana na kipindi hiki,naomba kujua kinarushwa siku gani na saa ngapi?

  • @emmansabu9300
    @emmansabu9300 Před 3 měsíci

    Interviewer is boooooring
    Si utulie tusikilizeee 😡
    Watangazaji wa certificate hawa 😏

  • @diclarekimaro1525
    @diclarekimaro1525 Před 10 měsíci

    Naomba kuuliza kuna sababu gani ya kuwa puguza mikia ikawa midogo hivyo?

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa6515 Před 3 měsíci

    Naomba no ya grp la wasap