Hongera sana, naomaba unisaidie ukubwa wa banda hilo la mbuzi 100
Kazi nzuri
Excellent video brother, Keep them coming.
nimeipenda hii, wingi wa mifugo haimaanishi wewe mfugaji mzuri lkn Ubora wa mifugo ndio kitu cha msingi
Good job bro keep going 👍
Asante sana kwa elimu yenu na hiyo ndio ndoto yangu ya 2025
Amina Naombakuuliza mimi natakakulima hao mbuzi wa nyama unaitwaje?
Safi sana great content na presentation. LUGHA unaongea vizuri tu bila kubana pua, Hongera.
Jaribu uwe na michoro au na idadi ya materials pia kutupa uhalisia zaidi hususan kwenye mabanda.
asante sana kwaushauri Na Mimi napenda sana ufugaji mbuzi nanimiongoni mwandoto zangu
Asante sana ❤
Safi sana Tajiri
Mnapatikana wapi mkuu mbona hamjaweka mawasiliano yenu
Asante sana.
Asante sana kwa ufunzo wako❤🎉
Ili mfugo uingie katika orodha ya mifugo bora mfugo huo uwe na sifa zipi?
Mtaji sh ngap kuanza na Mbuzi mia moja na size ya banda naomb
Hilo banda lina ukubwa gani? pia kama nafugia Dar linaweza kunigharimu shs ngapi.. Asante
We need more video like this in Tanzania
Asante kwa elimu
Kiongoz naomba ututumie no ya sim
Mie nataka kuanza Na mbuzi Mia tano Kwa heka Mia mbili itatosha heka hizo
Namba yenu ya sim
Nimejifunza Zaid ..see me at the top😂
Vip naweza kufuga mbuzi kwa zero grazing?
So inpire bro
Nahitaji mbuzi wa nyama na wa maziwa je unao uniuzie?
Niwe na mtaji shilling ngapi?
Tupe contacts zako
Kazi nzuri sana. Naomba kujua vipimo vya banda hilo.
Inawezekana kufuga mbuzi bila kuwachunga(zero grazing) na kupata matokeo?
Tupe contact bas
Can I know goats and sheep prices in tanzania?
Naomba vipimo vya banda hilo lakini kama hutojali namba namba ya fundi wako shukran.
Vipimo nikujikisia tu mwenyewe urefu upana wake. Hilo ukiangalia nikama miguu 15kwa 7 na urefu wajuu 15"
Asante Kwa elimu 👍