ALIKAMWE AFUNGUKA UBORA WA DIARA/ATOA UTOFAUT WA YANGA NA SIMBA NA AZAM/TUTACHUKUA MFURULIZO UBINGWA
Vložit
- čas přidán 15. 06. 2024
- CATCH US BONGO FM 📻
90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: bongo_fmtz
TWITTER: https: BONGO FM
FACEBOOK: BONGO FM
#rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #teamindia #nguvumonukuu
#kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv#harmonize #rayvanny #harmonize_tz #rayvanny #diamondplatnumz #zuchu #simbanayanga #wasafifm #wasafitv
Ally uko sawa sana kaka
Ally Kamwe Your the Best Kaka wewe Unaujua Mpiraaaaa
Ally waelimishe ila waandishi Wana mapenzi na vitu vingine ila endelea kuwaelimisha
Ali kamwe anajuwa kuchambuwa sana
Sautiiiii hakunaaaa
Interview nzuri,ila haina sauti
Diaraa is the best
Kwanza diara nimeepesi kucheza akiwa na mpira na hana mpira
2.diaraa kwenye communication yupo vizuri
3. Diarra kwenye utulivu yupo vizuri
4.diaraa ni mzuri kwneye kuanzisha set pices
5. Diarra ana uwezo binafsi na akili ya ziada ya mchezaji
6. Diara anawwza cheza kama mchezaji
7.diarra footwork yake ipo vizuri
All in all tuache siasa diarra is the best . Mpka amewekwa kwenye tuzo huko mali . Diarra is the best
Mwandish Hana akili hhhhhh Kun vitu vingine sio vy kubishn unajiaibish tuu hhhhh
Jamani mbn hasikiki tena mitambo vp
Kwani iyo aneye isemeyo mabeki hana
Itakuwa una machungu yako ndiyo maana humwelewi!
Hao hajuwi unakimanisha ujuwe watagazaji wetu wakipeda kitu hata umulize hawezi kujibu unacho kisem
M/kiti wa wasemaji Ally Kamwe,, achana na hilo jamaa halijui hata kuhoji limekaa kishabiki eti Diara hakutani na kashikashi. Halafu linakimbia maswali
wambie wajinga hawajui kuuliza maswali
😂😂😂onesheni sura ya uyo wa ayoub simuoni anavyouliza juu simuoni ayoub ata kwa manula amfikii robo kama manula ako mzima ana majeraha ila ukitaka kumfaninisha diarra mfananishe na manula wa miaka 6 nyuma sio ayoub ata ayoub kwa alisalim anakitu
huyu mchambuzi wawapi mbna anaongea mambo ya hovyoo san
Ali kua mkweli sema vilabu mlivyo vidhamin vinawafeva nyinyi hamna timu Bora mnahela nyingi zakudhofisha wachezaji
kwa hiyo hata wachezaji wa Makolo walipewa hela...?
Belouizdad na yeye alipewa hela na kwann tulivyofungwa kule kwao hamkuongea haya
We ni mbwa kama mbwa wengine
Vipi Simba nao walidhoofishwa? Vipi kuhusu Belouzdad? Watu mbona mna hoja za kijinga sana? Hivi akili zenu huwa mnazipeleka wapi ? Mnaandika hoja za kisenge sana.
Unatia huruma sana! Simba ndo timu iliyopigwa kipigo kizito na Yanga kuliko timu zote! Wachezaji wenu walidhoofishwa!
Achana na huyo Aly ajui mpira huyo
Hilo lijamaa kijinga halina akili
Ayoub is the best goal keeper than any in Tz . Africa analysts understand this
Pole ww jamaa Ayoub ana rekod gan bora ungesema ata matampi ktk msimu huuu kafanya vzr mpira haudanganyi
Hapana 😊😊😊😊
Ubuntuuu fever
Mtoto pumba sana huyu